Mwanzo 12 – NEN & KJV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 12:1-20

Wito Wa Abramu

1Bwana akawa amemwambia Abramu, “Ondoka kutoka nchi yako, uache jamii yako na nyumba ya baba yako, uende hadi nchi nitakayokuonyesha.

212:2 Mwa 13:16; 15:5; 17:2-4; 18:18; 22:17; 24:1, 35; 25:11; 26:3, 4; 28:3, 4, 14; 24:1, 35; 25:11; 32:12; 35:11; 41:49; 47:27; 48:16-19; 22:18; Kut 1:7; 5:5; 32:13; 20:24; Kum 1:10; 10:22; 13:17; 26:5; Yos 11:4; 24:3; 2Sam 17:11; 1Fal 3:8; 4:20; 1Nya 27:23; 2Nya 1:9; Neh 9:23; Za 107:38; 67:6; 115:12; Isa 6:13; 10:22; 48:19; 51:2; 54:3; 60:22; 19:24; Yer 4:2; 33:22; Mik 4:7; Hes 22:12; 23:8, 20; 24:9; Isa 44:3; 61:9; 65:23; Mal 3:12; Hag 2:19; Zek 8:13“Mimi nitakufanya taifa kubwa

na nitakubariki,

Nitalikuza jina lako,

nawe utakuwa baraka.

312:3 Mwa 27:29; 15:5; 18:18; 22:18; 26:4; 28:4, 14; Kut 23:22; Hes 24:9; Kum 30:7; 9:5; Za 72:17; Isa 19:25; Mdo 3:25; Gal 3:8Nitawabariki wale wanaokubariki,

na yeyote akulaaniye nitamlaani;

na kupitia kwako mataifa yote duniani

yatabarikiwa.”

412:4 Mwa 11:27, 31; 16:3, 16; 17:17-24; 21:5Hivyo Abramu akaondoka kama Bwana alivyokuwa amemwambia; naye Loti akaondoka pamoja naye. Wakati Abramu alipoitwa aondoke Harani, alikuwa na miaka sabini na mitano. 512:5 Mwa 11:29, 31; 13:2-6; 31:18; 46:6; 14:14; 15:3; 17:23; 16:3; Mhu 2:7; Ebr 11:8Abramu akamchukua Sarai mkewe pamoja na Loti mwana wa ndugu yake, mali zote walizokuwa nazo pamoja na watu aliokuwa amewapata huko Harani, wakasafiri mpaka nchi ya Kanaani, wakafika huko.

612:6 Ebr 11:9; 1Fal 12:1; Mwa 10:18; 33:18; 17:12; 35:4; Yos 17:7; 20:7; 24:26; Amu 7:1; 9:6; 8:31; 21:19; Za 60:6; 108:7Abramu akasafiri katika nchi hiyo akafika huko Shekemu, mahali penye mti wa mwaloni ulioko More. Wakati huo Wakanaani walikuwa wanaishi katika nchi hiyo. 712:7 Mwa 8:20; 17:1, 8; 18:1; 26:2; 35:1; 13:4, 15-17; 15:18; 23:18; 24:7; 26:3-4; 28:13; 35:12; 48:4; 50:24; Kut 6:4-8; 6:3; 13:5, 11; 32:13; 33:1; Mdo 7:2, 5; Hes 10:29; 11:12; Kum 1:8; 2:31; 9:5; 11:9; 34:4; 30:5; Ebr 11:8; Rum 4:13; 2Fal 25:21; 1Nya 16:16; 2Nya 20:7; Za 109:9-11; Yer 25:5; Eze 47:14; Gal 3:16Bwana akamtokea Abramu, akamwambia, “Nitawapa uzao wako nchi hii.” Hivyo hapa akamjengea madhabahu Bwana aliyekuwa amemtokea.

812:8 Mwa 4:26; 8:20; 13:3; 28:11, 19; 26:25; 33:19; 35:1, 8, 15; Yos 7:2; 8:9; 12:9; Yer 49:3; 1Sam 7:16; 1Fal 12:29; Hos 12:4; Amo 3:14; 4:4; Ebr 11:9; Ezr 2:28; Neh 7:32Kutoka huko Abramu akasafiri kuelekea kwenye vilima mashariki ya Betheli, naye akapiga hema huko, Betheli ikiwa upande wa magharibi na Ai upande wa mashariki. Huko alimjengea Bwana madhabahu na akaliitia jina la Bwana. 912:9 Mwa 13:1-3; 20:1; 24:62; Hes 13:17; 33:40; Kum 34:3; Yos 10:40Kisha Abramu akasafiri kuelekea upande wa Negebu.

Abramu Katika Nchi Ya Misri

1012:10 Mwa 41:27; 42:5; 43:1; 47:4, 13; 41:30, 54-56; 47:20; Rut 1:1; 1Sam 21:1; 2Fal 8:1; Za 105:16Basi kulikuwako na njaa katika nchi, naye Abramu akashuka kwenda Misri kukaa huko kwa muda, kwa maana njaa ilikuwa kali. 1112:11 Mwa 11:29; 24:16; 26:7; 29:17; 39:6Alipokuwa karibu kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe, “Ninajua ya kwamba wewe ni mwanamke mzuri wa sura. 12Wakati Wamisri watakapokuona, watasema, ‘Huyu ni mke wake.’ Ndipo wataniua, lakini wewe watakuacha hai. 1312:13 Mwa 20:2; 26:7Sema wewe ni dada yangu, ili nitendewe mema kwa ajili yako, na maisha yangu yatahifadhiwa kwa sababu yako.”

14Abramu alipoingia Misri, Wamisri wakamwona Sarai kuwa ni mwanamke mzuri sana wa sura. 15Maafisa wa Farao walipomwona, wakamsifia kwa Farao; ndipo Sarai akapelekwa kwa nyumba ya mfalme. 1612:16 Mwa 24:35; 26:14; 30:43; 32:5; 34:23; 47:17; Ay 1:3; 31:25Kwa ajili ya Sarai, Farao akamtendea Abramu mema, naye Abramu akapata kondoo, ngʼombe, punda, ngamia na watumishi wa kiume na wa kike.

1712:17 2Fal 15:5; Isa 53:4; Ay 30:11; 1Nya 16:21; Za 105:14Lakini Bwana akamwadhibu Farao na nyumba yake kwa maradhi ya kufisha kwa sababu ya kumchukua Sarai, mke wa Abramu. 1812:18 Mwa 20:9; 26:10; 29:25; 31:26; 44:15; Isa 43:27; 51:2; Eze 16:3Ndipo Farao akamwita Abramu, akamuuliza, “Umenifanyia nini? Kwa nini hukuniambia ni mke wako? 1912:19 Mwa 20:5; 26:9Kwa nini ulisema, ‘Yeye ni dada yangu,’ hata nikamchukua kuwa mke wangu? Sasa basi, mke wako huyu hapa. Mchukue uende zako!” 20Kisha Farao akawapa watu wake amri kuhusu Abramu, wakamsindikiza pamoja na mke wake na kila alichokuwa nacho.

King James Version

Genesis 12:1-20

1Now the LORD had said unto Abram, Get thee out of thy country, and from thy kindred, and from thy father’s house, unto a land that I will shew thee: 2And I will make of thee a great nation, and I will bless thee, and make thy name great; and thou shalt be a blessing: 3And I will bless them that bless thee, and curse him that curseth thee: and in thee shall all families of the earth be blessed.

4So Abram departed, as the LORD had spoken unto him; and Lot went with him: and Abram was seventy and five years old when he departed out of Haran. 5And Abram took Sarai his wife, and Lot his brother’s son, and all their substance that they had gathered, and the souls that they had gotten in Haran; and they went forth to go into the land of Canaan; and into the land of Canaan they came.

6¶ And Abram passed through the land unto the place of Sichem, unto the plain of Moreh. And the Canaanite was then in the land.12.6 plain: Heb. plains 7And the LORD appeared unto Abram, and said, Unto thy seed will I give this land: and there builded he an altar unto the LORD, who appeared unto him. 8And he removed from thence unto a mountain on the east of Beth-el, and pitched his tent, having Beth-el on the west, and Hai on the east: and there he builded an altar unto the LORD, and called upon the name of the LORD. 9And Abram journeyed, going on still toward the south.12.9 going…: Heb. in going and journeying

10¶ And there was a famine in the land: and Abram went down into Egypt to sojourn there; for the famine was grievous in the land. 11And it came to pass, when he was come near to enter into Egypt, that he said unto Sarai his wife, Behold now, I know that thou art a fair woman to look upon: 12Therefore it shall come to pass, when the Egyptians shall see thee, that they shall say, This is his wife: and they will kill me, but they will save thee alive. 13Say, I pray thee, thou art my sister: that it may be well with me for thy sake; and my soul shall live because of thee.

14¶ And it came to pass, that, when Abram was come into Egypt, the Egyptians beheld the woman that she was very fair. 15The princes also of Pharaoh saw her, and commended her before Pharaoh: and the woman was taken into Pharaoh’s house. 16And he entreated Abram well for her sake: and he had sheep, and oxen, and he asses, and menservants, and maidservants, and she asses, and camels. 17And the LORD plagued Pharaoh and his house with great plagues because of Sarai Abram’s wife. 18And Pharaoh called Abram, and said, What is this that thou hast done unto me? why didst thou not tell me that she was thy wife? 19Why saidst thou, She is my sister? so I might have taken her to me to wife: now therefore behold thy wife, take her, and go thy way. 20And Pharaoh commanded his men concerning him: and they sent him away, and his wife, and all that he had.