Mwanzo 12 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 12:1-20

Wito Wa Abramu

1Bwana akawa amemwambia Abramu, “Ondoka kutoka nchi yako, uache jamii yako na nyumba ya baba yako, uende hadi nchi nitakayokuonyesha.

212:2 Mwa 13:16; 15:5; 17:2-4; 18:18; 22:17; 24:1, 35; 25:11; 26:3, 4; 28:3, 4, 14; 24:1, 35; 25:11; 32:12; 35:11; 41:49; 47:27; 48:16-19; 22:18; Kut 1:7; 5:5; 32:13; 20:24; Kum 1:10; 10:22; 13:17; 26:5; Yos 11:4; 24:3; 2Sam 17:11; 1Fal 3:8; 4:20; 1Nya 27:23; 2Nya 1:9; Neh 9:23; Za 107:38; 67:6; 115:12; Isa 6:13; 10:22; 48:19; 51:2; 54:3; 60:22; 19:24; Yer 4:2; 33:22; Mik 4:7; Hes 22:12; 23:8, 20; 24:9; Isa 44:3; 61:9; 65:23; Mal 3:12; Hag 2:19; Zek 8:13“Mimi nitakufanya taifa kubwa

na nitakubariki,

Nitalikuza jina lako,

nawe utakuwa baraka.

312:3 Mwa 27:29; 15:5; 18:18; 22:18; 26:4; 28:4, 14; Kut 23:22; Hes 24:9; Kum 30:7; 9:5; Za 72:17; Isa 19:25; Mdo 3:25; Gal 3:8Nitawabariki wale wanaokubariki,

na yeyote akulaaniye nitamlaani;

na kupitia kwako mataifa yote duniani

yatabarikiwa.”

412:4 Mwa 11:27, 31; 16:3, 16; 17:17-24; 21:5Hivyo Abramu akaondoka kama Bwana alivyokuwa amemwambia; naye Loti akaondoka pamoja naye. Wakati Abramu alipoitwa aondoke Harani, alikuwa na miaka sabini na mitano. 512:5 Mwa 11:29, 31; 13:2-6; 31:18; 46:6; 14:14; 15:3; 17:23; 16:3; Mhu 2:7; Ebr 11:8Abramu akamchukua Sarai mkewe pamoja na Loti mwana wa ndugu yake, mali zote walizokuwa nazo pamoja na watu aliokuwa amewapata huko Harani, wakasafiri mpaka nchi ya Kanaani, wakafika huko.

612:6 Ebr 11:9; 1Fal 12:1; Mwa 10:18; 33:18; 17:12; 35:4; Yos 17:7; 20:7; 24:26; Amu 7:1; 9:6; 8:31; 21:19; Za 60:6; 108:7Abramu akasafiri katika nchi hiyo akafika huko Shekemu, mahali penye mti wa mwaloni ulioko More. Wakati huo Wakanaani walikuwa wanaishi katika nchi hiyo. 712:7 Mwa 8:20; 17:1, 8; 18:1; 26:2; 35:1; 13:4, 15-17; 15:18; 23:18; 24:7; 26:3-4; 28:13; 35:12; 48:4; 50:24; Kut 6:4-8; 6:3; 13:5, 11; 32:13; 33:1; Mdo 7:2, 5; Hes 10:29; 11:12; Kum 1:8; 2:31; 9:5; 11:9; 34:4; 30:5; Ebr 11:8; Rum 4:13; 2Fal 25:21; 1Nya 16:16; 2Nya 20:7; Za 109:9-11; Yer 25:5; Eze 47:14; Gal 3:16Bwana akamtokea Abramu, akamwambia, “Nitawapa uzao wako nchi hii.” Hivyo hapa akamjengea madhabahu Bwana aliyekuwa amemtokea.

812:8 Mwa 4:26; 8:20; 13:3; 28:11, 19; 26:25; 33:19; 35:1, 8, 15; Yos 7:2; 8:9; 12:9; Yer 49:3; 1Sam 7:16; 1Fal 12:29; Hos 12:4; Amo 3:14; 4:4; Ebr 11:9; Ezr 2:28; Neh 7:32Kutoka huko Abramu akasafiri kuelekea kwenye vilima mashariki ya Betheli, naye akapiga hema huko, Betheli ikiwa upande wa magharibi na Ai upande wa mashariki. Huko alimjengea Bwana madhabahu na akaliitia jina la Bwana. 912:9 Mwa 13:1-3; 20:1; 24:62; Hes 13:17; 33:40; Kum 34:3; Yos 10:40Kisha Abramu akasafiri kuelekea upande wa Negebu.

Abramu Katika Nchi Ya Misri

1012:10 Mwa 41:27; 42:5; 43:1; 47:4, 13; 41:30, 54-56; 47:20; Rut 1:1; 1Sam 21:1; 2Fal 8:1; Za 105:16Basi kulikuwako na njaa katika nchi, naye Abramu akashuka kwenda Misri kukaa huko kwa muda, kwa maana njaa ilikuwa kali. 1112:11 Mwa 11:29; 24:16; 26:7; 29:17; 39:6Alipokuwa karibu kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe, “Ninajua ya kwamba wewe ni mwanamke mzuri wa sura. 12Wakati Wamisri watakapokuona, watasema, ‘Huyu ni mke wake.’ Ndipo wataniua, lakini wewe watakuacha hai. 1312:13 Mwa 20:2; 26:7Sema wewe ni dada yangu, ili nitendewe mema kwa ajili yako, na maisha yangu yatahifadhiwa kwa sababu yako.”

14Abramu alipoingia Misri, Wamisri wakamwona Sarai kuwa ni mwanamke mzuri sana wa sura. 15Maafisa wa Farao walipomwona, wakamsifia kwa Farao; ndipo Sarai akapelekwa kwa nyumba ya mfalme. 1612:16 Mwa 24:35; 26:14; 30:43; 32:5; 34:23; 47:17; Ay 1:3; 31:25Kwa ajili ya Sarai, Farao akamtendea Abramu mema, naye Abramu akapata kondoo, ngʼombe, punda, ngamia na watumishi wa kiume na wa kike.

1712:17 2Fal 15:5; Isa 53:4; Ay 30:11; 1Nya 16:21; Za 105:14Lakini Bwana akamwadhibu Farao na nyumba yake kwa maradhi ya kufisha kwa sababu ya kumchukua Sarai, mke wa Abramu. 1812:18 Mwa 20:9; 26:10; 29:25; 31:26; 44:15; Isa 43:27; 51:2; Eze 16:3Ndipo Farao akamwita Abramu, akamuuliza, “Umenifanyia nini? Kwa nini hukuniambia ni mke wako? 1912:19 Mwa 20:5; 26:9Kwa nini ulisema, ‘Yeye ni dada yangu,’ hata nikamchukua kuwa mke wangu? Sasa basi, mke wako huyu hapa. Mchukue uende zako!” 20Kisha Farao akawapa watu wake amri kuhusu Abramu, wakamsindikiza pamoja na mke wake na kila alichokuwa nacho.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

創世記 12:1-20

上帝呼召亞伯蘭

1耶和華對亞伯蘭說:「你要離開家鄉、親族和父親的家,到我要指示你的地方去。 2我必使你成為大國,我必賜福給你,使你聲名遠播。你必成為別人的祝福。 3我必賜福給那些祝福你的人,咒詛那些咒詛你的人。世上萬族必因你而蒙福。」

4亞伯蘭就照耶和華的吩咐離開哈蘭,侄兒羅得與他同行。那時亞伯蘭七十五歲。 5亞伯蘭帶著妻子撒萊、侄兒羅得以及在哈蘭積攢的財物和所得的奴僕啟程來到迦南。到了迦南以後, 6亞伯蘭繼續前行,來到示劍摩利橡樹12·6 橡樹」希伯來文是「大樹」,也可能指靈樹或聖樹,下同13·1814·1318·135·435·8那裡。當時迦南人住在那地方。 7耶和華向亞伯蘭顯現,對他說:「我要把這片土地賜給你的後裔。」亞伯蘭就在那裡為向他顯現的耶和華築了一座壇。 8然後,他們又啟程前往伯特利東面的山區,在那裡搭起帳篷。他們的西面是伯特利,東面是亞伯蘭又在那裡築了一座壇,求告耶和華。 9之後,亞伯蘭繼續前往南地。

亞伯蘭逃荒到埃及

10當時,那地方鬧饑荒,災情非常嚴重,亞伯蘭便下到埃及暫住。 11快要到埃及的時候,他對妻子撒萊說:「我知道你是個美貌的女子, 12埃及人看見你,一定會因為你是我的妻子而殺了我,讓你活著。 13所以,請你說你是我的妹妹,這樣他們會因為你而善待我,留我一命。」 14亞伯蘭一行到了埃及撒萊的美貌引起了埃及人的注意。 15法老的官員見了撒萊,就在法老面前稱讚她的美貌,她便被帶進法老的王宮。 16因為撒萊的緣故,法老厚待亞伯蘭,賞給他許多牛、羊、驢、駱駝和僕婢。

17耶和華因亞伯蘭妻子撒萊的緣故使法老和他全家患重病。 18法老便召見亞伯蘭,說:「你做的是什麼事?為什麼不告訴我她是你妻子? 19為什麼說她是你妹妹,以致我娶她為妻呢?現在你妻子在這裡,帶她走吧!」 20法老就吩咐人把亞伯蘭、他妻子以及他所有的一切都送走了。