Mwanzo 11 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 11:1-32

Mnara Wa Babeli

1Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja. 211:2 Mwa 10:10Watu walipoelekea upande wa mashariki, wakafika kwenye tambarare katika nchi ya Shinari11:2 Shinari ndio Babeli. nao wakaishi huko.

311:3 Kut 1:14; 5:7; Yer 43:9; Isa 9:10; Amo 5:11; Mwa 14:10Wakasemezana wao kwa wao, “Njooni, tufyatue matofali na tuyachome vizuri kwa moto.” Walitumia matofali badala ya mawe, na lami kwa ajili ya kushikamanishia hayo matofali. 411:4 Kum 1:28; 6:10; 9:1; Ay 20:6; Yer 51:53; 31:10; 40:15; Mwa 6:4; 9:19; Kum 30:3; 4:27; 1Fal 22:17; Es 3:8; Za 44:11; Eze 6:8; Yoe 3:2Ndipo wakasema, “Njooni, tujijengee mji wenye mnara ambao utafika hadi mbinguni, ili tujipatie jina tusije tukatawanyika usoni pa dunia yote.”

511:5 Mwa 18:21; Kut 3:6-8; 19:11, 18-20; Za 18:9; 144:5Lakini Bwana akashuka ili auone mji na mnara ambao wanadamu waliokuwa wanaujenga. 6Bwana akasema, “Ikiwa kama taifa moja wanaozungumza lugha moja wameanza kufanya hili, basi hakuna lolote watakalopanga kufanya ambalo halitawezekana kwao. 711:7 Mwa 1:26; 42:23; Kum 28:49; Isa 28:11; 33:19; Yer 5:15; 1Kor 2:11Njooni, tushuke tuvuruge lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.”

811:8 Mwa 9:19; Kum 32:8; Lk 1:51Hivyo Bwana akawatawanya kutoka mahali pale kwenda katika dunia yote, nao wakaacha kuujenga huo mji. 911:9 Mwa 10:10; Za 55:9; Mdo 2:5-11; Isa 2:10, 21; 13:14; 24:1Ndiyo maana pakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipo Bwana alipoivuruga lugha ya dunia nzima. Kutoka hapo Bwana akawatawanya katika uso wa dunia yote.

Shemu Hadi Abramu

(1 Nyakati 1:24-27)

1011:10 Mwa 2:4; Lk 3:36Hivi ndivyo vizazi vya Shemu.

Miaka miwili baada ya gharika, Shemu alipokuwa na miaka 100, akamzaa Arfaksadi. 11Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

1211:12 Lk 3:35Wakati Arfaksadi alipokuwa na miaka thelathini na mitano, akamzaa Shela. 13Baada ya Arfaksadi kumzaa Shela, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

14Shela alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Eberi. 15Shela baada ya kumzaa Eberi, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

16Eberi alipokuwa na miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi. 17Baada ya Eberi kumzaa Pelegi, aliishi miaka 430, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

18Pelegi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Reu. 19Baada ya Pelegi kumzaa Reu, aliishi miaka 209, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

2011:20 Lk 3:35Reu alipokuwa na miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi. 21Baada ya Reu kumzaa Serugi, aliishi miaka 207, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

2211:22 Lk 3:34Serugi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Nahori. 23Baada ya Serugi kumzaa Nahori, aliishi miaka 200, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

2411:24 Lk 3:34Nahori alipokuwa na miaka ishirini na tisa, akamzaa Tera. 25Baada ya Nahori kumzaa Tera, aliishi miaka 119, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

2611:26 Lk 3:34; Yos 24:2; 2Fal 19:12; Isa 37:12; Eze 27:23Tera alipokuwa na miaka sabini, akamzaa Abramu, Nahori na Harani.

Wazao Wa Tera

2711:27 Mwa 2:4; 31:53; 12:4; 13:1-5, 8, 12; 14:12; 19:1; Lk 17:28; 2Pet 2:5-7Hawa ndio wazao wa Tera.

Tera aliwazaa Abramu, Nahori na Harani. Harani akamzaa Loti. 2811:28 Mwa 15:7; Neh 9:7; Ay 1:17; 16:11; Eze 23:23; Mdo 7:4Tera alipokuwa bado hai, Harani akafa huko Uru ya Wakaldayo, nchi alimozaliwa. 2911:29 Mwa 22:20-23; 24:10-24; 29:5; 12:5; 16:1; 17:15Abramu na Nahori walioa. Mke wa Abramu aliitwa Sarai, na mke wa Nahori aliitwa Milka; Milka na Iska walikuwa watoto wa Harani. 3011:30 Mwa 16:1; 18:11; 25:21; 29:31; 30:1, 22; Amu 13:2; 1Sam 1:5; Za 113:9Sarai alikuwa tasa, hakuwa na watoto.

3111:31 Mwa 38:11; 10:19; 12:4; 27:43; 28:5-10; 29:4; Law 18:15; 20:21; Rut 1:6, 22; 2:20; 4:15; 1Sam 4:19; 1Nya 2:4; Mik 7:6; Eze 22:11; 27:23; Mdo 7:4; 2Fal 19:12Tera akamchukua Abramu mwanawe, Loti mwana wa Harani mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka kwa pamoja katika Uru ya Wakaldayo kwenda nchi ya Kanaani. Lakini walipofika Harani, wakaishi huko.

3211:32 Yos 24:2Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka 205.

New International Reader’s Version

Genesis 11:1-32

The Tower of Babel

1The whole world had only one language, and everyone spoke it. 2They moved to the east and found a broad valley in Babylon. There they made their home.

3They said to one another, “Come on! Let’s make bricks and bake them well.” They used bricks instead of stones. They used tar to hold the bricks together. 4Then they said, “Come on! Let’s build a city for ourselves. Let’s build a tower that reaches to the sky. We’ll make a name for ourselves. Then we won’t be scattered over the whole earth.”

5But the Lord came down to see the city and the tower the people were building. 6He said, “All these people are united and speak the same language. That is why they can do all this. Now they will be able to do anything they plan. 7Come on! Let us go down and mix up their language. Then they will not be able to understand one another.”

8So the Lord scattered them from there over the whole earth. And they stopped building the city. 9There the Lord mixed up the language of the whole world. That’s why the city was called Babel. From there the Lord scattered them over the whole earth.

The Family Line of Shem

10Here is the story of Shem’s family line.

It was two years after the flood. When Shem was 100 years old, he became the father of Arphaxad. 11After Arphaxad was born, Shem lived 500 years and had other sons and daughters.

12When Arphaxad had lived 35 years, he became the father of Shelah. 13After Shelah was born, Arphaxad lived 403 years and had other sons and daughters.

14When Shelah had lived 30 years, he became the father of Eber. 15After Eber was born, Shelah lived 403 years and had other sons and daughters.

16When Eber had lived 34 years, he became the father of Peleg. 17After Peleg was born, Eber lived 430 years and had other sons and daughters.

18When Peleg had lived 30 years, he became the father of Reu. 19After Reu was born, Peleg lived 209 years and had other sons and daughters.

20When Reu had lived 32 years, he became the father of Serug. 21After Serug was born, Reu lived 207 years and had other sons and daughters.

22When Serug had lived 30 years, he became the father of Nahor. 23After Nahor was born, Serug lived 200 years and had other sons and daughters.

24When Nahor had lived 29 years, he became the father of Terah. 25After Terah was born, Nahor lived 119 years and had other sons and daughters.

26After Terah was 70 years old, he became the father of Abram, Nahor and Haran.

The Family Line of Abram

27Here is the story of Terah’s family line.

Terah became the father of Abram, Nahor and Haran. And Haran became the father of Lot. 28Haran died in the city of Ur in Babylonia, the land where he was born. Haran died while his father Terah was still alive. 29Abram and Nahor both got married. The name of Abram’s wife was Sarai. The name of Nahor’s wife was Milkah, the daughter of Haran. Haran was the father of Milkah and Iscah. 30But Sarai wasn’t able to have children.

31Terah left Ur in Babylon. He took with him his son Abram and his grandson Lot, the son of Haran. Terah also took his daughter-in-law Sarai, the wife of his son Abram. All of them left together to go to Canaan. But when they came to Harran, they made their home there.

32Terah lived for 205 years. And then he died in Harran.