Mwanzo 11 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 11:1-32

Mnara Wa Babeli

1Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja. 211:2 Mwa 10:10Watu walipoelekea upande wa mashariki, wakafika kwenye tambarare katika nchi ya Shinari11:2 Shinari ndio Babeli. nao wakaishi huko.

311:3 Kut 1:14; 5:7; Yer 43:9; Isa 9:10; Amo 5:11; Mwa 14:10Wakasemezana wao kwa wao, “Njooni, tufyatue matofali na tuyachome vizuri kwa moto.” Walitumia matofali badala ya mawe, na lami kwa ajili ya kushikamanishia hayo matofali. 411:4 Kum 1:28; 6:10; 9:1; Ay 20:6; Yer 51:53; 31:10; 40:15; Mwa 6:4; 9:19; Kum 30:3; 4:27; 1Fal 22:17; Es 3:8; Za 44:11; Eze 6:8; Yoe 3:2Ndipo wakasema, “Njooni, tujijengee mji wenye mnara ambao utafika hadi mbinguni, ili tujipatie jina tusije tukatawanyika usoni pa dunia yote.”

511:5 Mwa 18:21; Kut 3:6-8; 19:11, 18-20; Za 18:9; 144:5Lakini Bwana akashuka ili auone mji na mnara ambao wanadamu waliokuwa wanaujenga. 6Bwana akasema, “Ikiwa kama taifa moja wanaozungumza lugha moja wameanza kufanya hili, basi hakuna lolote watakalopanga kufanya ambalo halitawezekana kwao. 711:7 Mwa 1:26; 42:23; Kum 28:49; Isa 28:11; 33:19; Yer 5:15; 1Kor 2:11Njooni, tushuke tuvuruge lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.”

811:8 Mwa 9:19; Kum 32:8; Lk 1:51Hivyo Bwana akawatawanya kutoka mahali pale kwenda katika dunia yote, nao wakaacha kuujenga huo mji. 911:9 Mwa 10:10; Za 55:9; Mdo 2:5-11; Isa 2:10, 21; 13:14; 24:1Ndiyo maana pakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipo Bwana alipoivuruga lugha ya dunia nzima. Kutoka hapo Bwana akawatawanya katika uso wa dunia yote.

Shemu Hadi Abramu

(1 Nyakati 1:24-27)

1011:10 Mwa 2:4; Lk 3:36Hivi ndivyo vizazi vya Shemu.

Miaka miwili baada ya gharika, Shemu alipokuwa na miaka 100, akamzaa Arfaksadi. 11Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

1211:12 Lk 3:35Wakati Arfaksadi alipokuwa na miaka thelathini na mitano, akamzaa Shela. 13Baada ya Arfaksadi kumzaa Shela, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

14Shela alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Eberi. 15Shela baada ya kumzaa Eberi, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

16Eberi alipokuwa na miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi. 17Baada ya Eberi kumzaa Pelegi, aliishi miaka 430, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

18Pelegi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Reu. 19Baada ya Pelegi kumzaa Reu, aliishi miaka 209, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

2011:20 Lk 3:35Reu alipokuwa na miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi. 21Baada ya Reu kumzaa Serugi, aliishi miaka 207, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

2211:22 Lk 3:34Serugi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Nahori. 23Baada ya Serugi kumzaa Nahori, aliishi miaka 200, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

2411:24 Lk 3:34Nahori alipokuwa na miaka ishirini na tisa, akamzaa Tera. 25Baada ya Nahori kumzaa Tera, aliishi miaka 119, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

2611:26 Lk 3:34; Yos 24:2; 2Fal 19:12; Isa 37:12; Eze 27:23Tera alipokuwa na miaka sabini, akamzaa Abramu, Nahori na Harani.

Wazao Wa Tera

2711:27 Mwa 2:4; 31:53; 12:4; 13:1-5, 8, 12; 14:12; 19:1; Lk 17:28; 2Pet 2:5-7Hawa ndio wazao wa Tera.

Tera aliwazaa Abramu, Nahori na Harani. Harani akamzaa Loti. 2811:28 Mwa 15:7; Neh 9:7; Ay 1:17; 16:11; Eze 23:23; Mdo 7:4Tera alipokuwa bado hai, Harani akafa huko Uru ya Wakaldayo, nchi alimozaliwa. 2911:29 Mwa 22:20-23; 24:10-24; 29:5; 12:5; 16:1; 17:15Abramu na Nahori walioa. Mke wa Abramu aliitwa Sarai, na mke wa Nahori aliitwa Milka; Milka na Iska walikuwa watoto wa Harani. 3011:30 Mwa 16:1; 18:11; 25:21; 29:31; 30:1, 22; Amu 13:2; 1Sam 1:5; Za 113:9Sarai alikuwa tasa, hakuwa na watoto.

3111:31 Mwa 38:11; 10:19; 12:4; 27:43; 28:5-10; 29:4; Law 18:15; 20:21; Rut 1:6, 22; 2:20; 4:15; 1Sam 4:19; 1Nya 2:4; Mik 7:6; Eze 22:11; 27:23; Mdo 7:4; 2Fal 19:12Tera akamchukua Abramu mwanawe, Loti mwana wa Harani mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka kwa pamoja katika Uru ya Wakaldayo kwenda nchi ya Kanaani. Lakini walipofika Harani, wakaishi huko.

3211:32 Yos 24:2Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka 205.

La Bible du Semeur

Genèse 11:1-32

La tour de Babel

1A cette époque-là11.1 Les v. 1-9 doivent se situer chronologiquement avant le chap. 10., tous les hommes parlaient la même langue et tenaient le même langage. 2Lors de leurs migrations depuis l’est, ils découvrirent une vaste plaine dans le pays de Shinéar et ils s’y établirent. 3Ils se dirent les uns aux autres : Allons, moulons des briques et cuisons-les au four.

Ainsi ils employèrent les briques comme pierres et le bitume leur servit de mortier.

4Puis ils dirent : Allons, construisons-nous une ville et une tour dont le sommet atteindra le ciel, alors notre nom deviendra célèbre et nous ne serons pas disséminés sur l’ensemble de la terre.

5L’Eternel descendit pour voir la ville et la tour que les hommes construisaient. 6Il dit alors : Ils forment un seul peuple parlant tous la même langue, et voilà ce qu’ils ont entrepris de faire ! Maintenant, quels que soient leurs projets, rien ne les empêchera de les réaliser. 7Allons, descendons et brouillons là leur langage pour qu’ils ne se comprennent plus entre eux !

8Et l’Eternel les dissémina loin de là sur toute la terre ; ils cessèrent donc la construction de la ville. 9C’est pourquoi on l’appela Babel11.9 Le nom Babel évoque en hébreu le verbe Balal qui signifie « confondre, brouiller, troubler ». parce que là, l’Eternel avait confondu le langage des hommes de toute la terre, et c’est de là qu’il les a dispersés sur toute la terre.

L’histoire de la famille de Sem

10Voici la généalogie de Sem. Deux ans après le déluge, alors qu’il était âgé de cent ans, il eut pour fils Arpakshad. 11Après cela, Sem vécut encore 500 ans et eut d’autres enfants.

12Arpakshad, âgé de 35 ans, eut pour fils Shélah. 13Après cela, il vécut encore 403 ans et eut d’autres enfants11.13 L’ancienne version grecque a, aux v. 12-13 : …35 ans, eut pour fils Caïnan. 13 Après cela… d’autres enfants et il mourut. Caïnan, âgé de 130 ans, eut pour fils Shélah. Après cela, il vécut 330 ans et eut d’autres fils..

14Shélah, âgé de 30 ans, eut pour fils Héber. 15Puis il vécut encore 403 ans et eut d’autres enfants.

16Héber, âgé de 34 ans, eut pour fils Péleg. 17Après cela, Héber vécut 430 ans et eut d’autres enfants.

18Péleg, âgé de 30 ans, eut pour fils Reou. 19Après cela, il vécut 209 ans et eut d’autres enfants.

20Reou, âgé de 32 ans, eut pour fils Seroug. 21Après cela, il vécut 207 ans et eut d’autres enfants.

22Seroug, âgé de 30 ans, eut pour fils Nahor. 23Après cela, Seroug vécut 200 ans et eut d’autres enfants.

24Nahor, âgé de 29 ans, eut pour fils Térah. 25Après cela, il vécut encore 119 ans et eut d’autres enfants.

26Térah, âgé de 70 ans, eut pour fils Abram, Nahor et Harân.

L’histoire de la famille de Téra : le cycle d’Abraham

D’Our à Harân

27Voici l’histoire de la famille de Térah : il eut pour fils Abram, Nahor et Harân ; ce dernier fut le père de Loth. 28Harân mourut du vivant de son père Térah, dans son pays natal, à Our des Chaldéens. 29Abram et Nahor se marièrent. La femme d’Abram s’appelait Saraï et celle de Nahor Milka. Milka était la fille de Harân, qui, outre Milka, avait eu une autre fille du nom de Yiska. 30Saraï était stérile, elle ne pouvait pas avoir d’enfant. 31Térah partit d’Our des Chaldéens, emmenant avec lui son fils Abram, son petit-fils Loth, le fils de Harân, et Saraï, sa belle-fille, la femme d’Abram, pour se rendre au pays de Canaan, mais arrivés à Harân11.31 Ville de la Mésopotamie, centre de culte lunaire (comme Our). En hébreu le nom se distingue de Harân, le fils de Térah., ils s’y établirent. 32Térah vécut 205 ans, puis il mourut à Harân.