Mwanzo 10 – NEN & TCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 10:1-32

Mataifa Yaliyotokana Na Noa

(1 Nyakati 1:5-23)

110:1 Mwa 2:4; 5:32; 1Nya 1:4Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.

Wazao Wa Yafethi

210:2 Eze 38:6; 39:1, 6; 27:13-19; 33:26; Ufu 20:8; Isa 66:19Wana wa Yafethi walikuwa:

Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.

310:3 Yer 51:27; Eze 27:13-14; 38:6Wana wa Gomeri walikuwa:

Ashkenazi, Rifathi na Togarma.

410:4 Eze 27:7, 10, 12, 25; 38:13; Za 48:7; 72:10; Isa 2:16; 23:1-6, 12; 66:19; Yer 2:10; 10:9; Yon 1:3; Hes 24:24; Dan 11:30Wana wa Yavani walikuwa:

Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu. 5(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)

Wazao Wa Hamu

610:6 2Fal 19:9; Nah 3:9; 2Nya 12:3; 16:8; Isa 11:11; 18:1; 20:3; 43:3; Yer 46:9; Eze 27:10; 30:4-9; 38:5; Mwa 9:18; Sef 2:12; 3:10Wana wa Hamu walikuwa:

Kushi, Misraimu,10:6 Yaani Misri. Putu na Kanaani.

710:7 Isa 21:13; 43:3; 60:6; Mwa 2:11; 25:3; Eze 38:13; 27:15, 20, 22; 1Fal 10:1; 2Nya 9:1; Ay 1:15; 6:19; 16:11; Za 72:10; Yer 25:23-24; 6:20; 49:8; Yoe 3:8; 1Nya 1:32Wana wa Kushi walikuwa:

Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.

Wana wa Raama walikuwa:

Sheba na Dedani.

810:8 Mik 5:6Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani. 910:9 2Nya 14:9; 16:8; Isa 18:2; Mwa 25:27; 27:3Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.” 1010:10 Mwa 11:2, 9; 14:1; 2Nya 36:17; Isa 10:9; 13:1; Yer 21:2; 25:12; 50:1; Ezr 4:9; Amo 6:2; Zek 5:11Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari. 1110:11 Za 83:8; Isa 37:37; Mik 5:6; Sef 2:13; 2Fal 19:36; Yon 1:2; 3:2-3Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala, 12na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.

13Misraimu alikuwa baba wa:

Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi, 1410:14 Mwa 21:32-34; 26:1, 8; Yos 13:2; Amu 3:3; Isa 14:31; Yer 47:1-4; Amo 9:7; Kum 2:23; 1Nya 1:12Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.

1510:15 Mwa 9:18; 5:20; 23:3; 25:10; 26:34; 27:46; 49:32; Yos 1:4; 11:8; Amu 10:6; Isa 23:2-4; Yer 25:22; 27:3; 47:4; Eze 16:3; 28:21; 32:30; Yoe 3:4; Zek 9:2; Kut 4:22; Hes 1:20; 3:2; 13:29; 18:15; 33:4; 1Sam 26:6Kanaani alikuwa baba wa:

Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi, 1610:16 Amu 19:10; 1Nya 11:4; Ezr 9:1; Kut 3:8; 2Nya 8:7; Hes 13:29; 21:13; 32:39; Yos 2:10; Kum 1:4; 7:1; Yos 2:10; Mwa 15:18-21Wayebusi, Waamori, Wagirgashi, 1710:17 Mwa 34:2; 36:2; Kut 3:8; Kum 7:1; Amu 3:3Wahivi, Waariki, Wasini, 1810:18 Eze 27:8; 1Nya 18:3; Mwa 12:6; 13:17; 50:11; Kut 13:11; Hes 13:29; 14:25; 21:3; 33:40; Kum 7:1; Amu 1:1Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.

Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika, 1910:19 Mwa 11:31; 12:1; 13:12; 14:2; 17:8; 24:3; 26:34; 37:1; 27:46; 28:1-8; 31:18; 35:6; 49:13; Law 25:38; Yos 19:28; Amu 1:18, 31; 18:28; 6:4; 16:1, 21; 2Nya 24:6; 14:13; Kum 2:23; 29:23; Yos 10:41; 11:22; 15:47; 1Sam 6:17; Yer 25:20; 47:1; Amo 1:6; Sef 2:4na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.

20Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.

Wazao Wa Shemu

2110:21 Hes 24:24Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.

2210:22 Mwa 14:1; Isa 11:11; 21:2; Yer 25:25; 49:34; Eze 27:23; 32:24; Dan 8:2; Lk 3:36; Hes 24:22-24; Amu 3:10; 1Fal 11:25; 19:15; 20:34; 22:31; 2Fal 5:1; 8:7Wana wa Shemu walikuwa:

Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.

2310:23 Mwa 22:21; Ay 1:1; Yer 25:20; Mao 4:21Wana wa Aramu walikuwa:

Usi, Huli, Getheri na Mesheki.

2410:24 Lk 3:35Arfaksadi alikuwa baba wa Shela,

naye Shela akamzaa Eberi.

25Eberi akapata wana wawili:

Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.

26Yoktani alikuwa baba wa:

Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera, 2710:27 Eze 27:19Hadoramu, Uzali, Dikla, 2810:28 1Fal 10:1; Ay 6:11; Za 72:10, 15; Isa 60:6; Eze 27:22Obali, Abimaeli, Sheba, 2910:29 1Fal 9:28; 1Nya 29:4; Ay 22:24; 28:16; Za 45:9; Isa 13:12; 10:32; Mwa 9:19Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.

30Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.

31Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.

32Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.

Tagalog Contemporary Bible

Genesis 10:1-32

Ang mga Lahi ng mga Anak ni Noe

(1 Cro. 1:5-23)

1Ito ang salaysay tungkol sa mga pamilya ng mga anak ni Noe na sina Shem, Ham at Jafet. Nagkaroon sila ng mga anak pagkatapos ng baha.

2Ang mga anak ni Jafet na lalaki ay sina Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meshec at Tiras.

3Si Gomer ay may mga anak din na lalaki na sina Ashkenaz, Rifat at Togarma.

4Ang mga anak naman ni Javan ay sina Elisha, Tarshish, Kitim at Dodanim.10:4 Dodanim: o, Rodanim. 5Ito ang mga lahi ni Jafet. Sila ang pinagmulan ng mga tao na nakatira sa mga dalampasigan at mga isla. Ang bawat pamilya nila ay nakatira sa sarili nilang lugar na sakop ng bansa nila, at may sarili silang wika.

6Ang mga anak ni Ham na lalaki ay sina Cush, Mizraim10:6 Mizraim: o, Egipto., Put at Canaan.

7Si Cush ay may mga anak din na lalaki na sina Sheba, Havila, Sabta, Raama at Sabteca. Ang mga anak ni Raama ay sina Sheba at Dedan.

8May isa pang anak si Cush na ang pangalan ay Nimrod. Si Nimrod ay naging magiting na sundalo sa mundo. 9Alam ng Panginoon10:9 Alam ng Panginoon: sa literal, sa harapan ng Panginoon. Maaaring ang ibig sabihin, tanyag siyang lubos. na mahusay siyang mangangaso; dito nanggaling ang kasabihang, “Katulad ka ni Nimrod na alam ng Panginoon na mahusay na mangangaso.” 10Ang unang kaharian na pinamahalaan ni Nimrod ay ang Babilonia, Erec, Akad. Ang lahat ng ito10:10 Ang lahat ng ito: o, lugar na Calne. ay sakop ng Shinar. 11Mula sa mga lugar na iyon, pumunta siya sa Asiria at itinayo ang Nineve, Rehobot Ir, Cala, 12at Resen na nasa gitna ng Nineve at ng Cala na isang tanyag na lungsod.

13Si Mizraim10:13 Mizraim: na siyang Egipto. ang pinagmulan ng mga Ludeo, Anameo, Lehabeo, Naftu, 14Patruseo, Caslu at ng Caftoreo na siyang pinagmulan ng mga Filisteo.

15Si Canaan ang ama nina Sidon at Het. Si Sidon ang kanyang panganay. 16Si Canaan ang siya ring pinagmulan ng mga Jebuseo, Amoreo, Gergaseo, 17Hiveo, Arkeo, Sineo, 18Arvadeo, Zemareo, at Hamateo.

Sa bandang huli, nangalat ang mga lahi ni Canaan. 19Ang hangganan ng lupain nila ay mula sa Sidon papuntang Gerar hanggang sa Gaza, at umabot sa Sodom, Gomora, Adma, Zeboyim at hanggang sa Lasha.

20Ito ang mga lahi ni Ham. Ang bawat pamilya nila ay nakatira sa kanilang sariling lupain na sakop ng kanilang bansa, at may sarili silang wika.

21Si Shem na nakatatandang kapatid ni Jafet ang pinagmulan ng lahat ng Eber.

22Ang mga anak na lalaki ni Shem:

sina Elam, Ashur, Arfaxad, Lud at Aram.

23Ang mga anak ni Aram:

sina Uz, Hul, Geter at Meshec.

24Si Arfaxad ang ama ni Shela, at si Shela ang ama ni Eber.

25May dalawang anak na lalaki si Eber: ang isa ay pinangalanang Peleg, dahil noong panahon niya, ang mga tao sa mundo ay nagkahati-hati; ang pangalan naman ng kanyang kapatid ay Joktan.

26Si Joktan ang ama nina Almodad, Shelef, Hazarmavet, Jera, 27Hadoram, Uzal, Dikla, 28Obal, Abimael, Sheba, 29Ofir, Havila at Jobab. Silang lahat ang anak ni Joktan.

30Ang lupaing tinitirhan nila ay mula sa Mesha at papunta sa Sefar, sa kabundukan sa silangan.

31Ito ang mga lahi ni Shem. Ang bawat pamilya nila ay nakatira sa sarili nilang lupain na sakop ng kanilang bansa, at may sarili silang wika.

32Ito ang lahat ng lahi ng mga anak ni Noe, na nasa ibaʼt ibang bansa. Sa kanila nagmula ang mga bansa sa buong mundo pagkatapos ng baha.