Mwanzo 10 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 10:1-32

Mataifa Yaliyotokana Na Noa

(1 Nyakati 1:5-23)

110:1 Mwa 2:4; 5:32; 1Nya 1:4Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.

Wazao Wa Yafethi

210:2 Eze 38:6; 39:1, 6; 27:13-19; 33:26; Ufu 20:8; Isa 66:19Wana wa Yafethi walikuwa:

Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.

310:3 Yer 51:27; Eze 27:13-14; 38:6Wana wa Gomeri walikuwa:

Ashkenazi, Rifathi na Togarma.

410:4 Eze 27:7, 10, 12, 25; 38:13; Za 48:7; 72:10; Isa 2:16; 23:1-6, 12; 66:19; Yer 2:10; 10:9; Yon 1:3; Hes 24:24; Dan 11:30Wana wa Yavani walikuwa:

Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu. 5(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)

Wazao Wa Hamu

610:6 2Fal 19:9; Nah 3:9; 2Nya 12:3; 16:8; Isa 11:11; 18:1; 20:3; 43:3; Yer 46:9; Eze 27:10; 30:4-9; 38:5; Mwa 9:18; Sef 2:12; 3:10Wana wa Hamu walikuwa:

Kushi, Misraimu,10:6 Yaani Misri. Putu na Kanaani.

710:7 Isa 21:13; 43:3; 60:6; Mwa 2:11; 25:3; Eze 38:13; 27:15, 20, 22; 1Fal 10:1; 2Nya 9:1; Ay 1:15; 6:19; 16:11; Za 72:10; Yer 25:23-24; 6:20; 49:8; Yoe 3:8; 1Nya 1:32Wana wa Kushi walikuwa:

Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.

Wana wa Raama walikuwa:

Sheba na Dedani.

810:8 Mik 5:6Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani. 910:9 2Nya 14:9; 16:8; Isa 18:2; Mwa 25:27; 27:3Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.” 1010:10 Mwa 11:2, 9; 14:1; 2Nya 36:17; Isa 10:9; 13:1; Yer 21:2; 25:12; 50:1; Ezr 4:9; Amo 6:2; Zek 5:11Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari. 1110:11 Za 83:8; Isa 37:37; Mik 5:6; Sef 2:13; 2Fal 19:36; Yon 1:2; 3:2-3Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala, 12na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.

13Misraimu alikuwa baba wa:

Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi, 1410:14 Mwa 21:32-34; 26:1, 8; Yos 13:2; Amu 3:3; Isa 14:31; Yer 47:1-4; Amo 9:7; Kum 2:23; 1Nya 1:12Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.

1510:15 Mwa 9:18; 5:20; 23:3; 25:10; 26:34; 27:46; 49:32; Yos 1:4; 11:8; Amu 10:6; Isa 23:2-4; Yer 25:22; 27:3; 47:4; Eze 16:3; 28:21; 32:30; Yoe 3:4; Zek 9:2; Kut 4:22; Hes 1:20; 3:2; 13:29; 18:15; 33:4; 1Sam 26:6Kanaani alikuwa baba wa:

Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi, 1610:16 Amu 19:10; 1Nya 11:4; Ezr 9:1; Kut 3:8; 2Nya 8:7; Hes 13:29; 21:13; 32:39; Yos 2:10; Kum 1:4; 7:1; Yos 2:10; Mwa 15:18-21Wayebusi, Waamori, Wagirgashi, 1710:17 Mwa 34:2; 36:2; Kut 3:8; Kum 7:1; Amu 3:3Wahivi, Waariki, Wasini, 1810:18 Eze 27:8; 1Nya 18:3; Mwa 12:6; 13:17; 50:11; Kut 13:11; Hes 13:29; 14:25; 21:3; 33:40; Kum 7:1; Amu 1:1Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.

Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika, 1910:19 Mwa 11:31; 12:1; 13:12; 14:2; 17:8; 24:3; 26:34; 37:1; 27:46; 28:1-8; 31:18; 35:6; 49:13; Law 25:38; Yos 19:28; Amu 1:18, 31; 18:28; 6:4; 16:1, 21; 2Nya 24:6; 14:13; Kum 2:23; 29:23; Yos 10:41; 11:22; 15:47; 1Sam 6:17; Yer 25:20; 47:1; Amo 1:6; Sef 2:4na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.

20Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.

Wazao Wa Shemu

2110:21 Hes 24:24Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.

2210:22 Mwa 14:1; Isa 11:11; 21:2; Yer 25:25; 49:34; Eze 27:23; 32:24; Dan 8:2; Lk 3:36; Hes 24:22-24; Amu 3:10; 1Fal 11:25; 19:15; 20:34; 22:31; 2Fal 5:1; 8:7Wana wa Shemu walikuwa:

Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.

2310:23 Mwa 22:21; Ay 1:1; Yer 25:20; Mao 4:21Wana wa Aramu walikuwa:

Usi, Huli, Getheri na Mesheki.

2410:24 Lk 3:35Arfaksadi alikuwa baba wa Shela,

naye Shela akamzaa Eberi.

25Eberi akapata wana wawili:

Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.

26Yoktani alikuwa baba wa:

Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera, 2710:27 Eze 27:19Hadoramu, Uzali, Dikla, 2810:28 1Fal 10:1; Ay 6:11; Za 72:10, 15; Isa 60:6; Eze 27:22Obali, Abimaeli, Sheba, 2910:29 1Fal 9:28; 1Nya 29:4; Ay 22:24; 28:16; Za 45:9; Isa 13:12; 10:32; Mwa 9:19Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.

30Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.

31Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.

32Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.

Nueva Versión Internacional

Génesis 10:1-32

Las naciones de la tierra

10:2-311Cr 1:5-27

10:21-31Gn 11:10-27

1Esta es la lista de los descendientes de Sem, Cam y Jafet, hijos de Noé, quienes después del diluvio tuvieron sus propios hijos.

2Los hijos10:2 En este contexto hijos puede significar descendientes; así en el resto de este capítulo. de Jafet:

Gómer, Magog, Maday, Javán, Tubal, Mésec y Tirás.

3Hijos de Gómer:

Asquenaz, Rifat y Togarma.

4Hijos de Javán:

Elisá, Tarsis, Quitín y Rodanín.10:4 Rodanín (varios mss. hebreos y 1Cr 1:7); Dodanín (TM). 5Algunos de ellos se esparcieron por las costas. Formaron naciones y clanes en sus respectivos territorios y con sus propios idiomas.

6Hijos de Cam:

Cus, Misrayin, Fut y Canaán.

7Hijos de Cus:

Seba, Javilá, Sabtá, Ragama y Sabteca.

Hijos de Ragama:

Sabá y Dedán.

8Cus fue el padre de Nimrod, conocido como el primer gran guerrero en la tierra, 9quien llegó a ser un valiente cazador ante el Señor. Por eso se dice: «Como Nimrod, valiente cazador ante el Señor». 10Las principales ciudades de su reino fueron Babel, Érec, Acad y Calné, en la región de Sinar.10:10 Sinar. Es decir, Babilonia. 11Desde esa región Nimrod salió hacia Asiria, donde construyó10:11 Desde … donde construyó. Alt. Desde esa región salió Asur, quien construyó. las ciudades de Nínive, Rejobot Ir,10:11 Rejobot Ir. Alt. con sus plazas urbanas. Cala 12y Resén, la gran ciudad que está entre Nínive y Cala.

13Misrayin fue el antepasado de

los ludeos, los anameos, los leabitas, los naftuitas, 14los patruseos, los caslujitas —de quienes descienden los filisteos— y los caftoritas.

15Canaán fue el padre de

Sidón, su primogénito, y de Het, 16y el antepasado de los jebuseos, los amorreos, los gergeseos, 17los heveos, los araceos, los sineos, 18los arvadeos, los zemareos y los jamatitas.

Luego, estos clanes cananeos se dispersaron, 19y su territorio se extendió desde Sidón hasta Guerar y Gaza, y en dirección de Sodoma, Gomorra, Admá y Zeboyín, hasta Lasa.

20Estos fueron los descendientes de Cam, según sus clanes e idiomas, territorios y naciones.

21Sem, antepasado de todos los hijos de Éber y hermano mayor de10:21 O y cuyo hermano mayor era Jafet. Jafet, también tuvo hijos.

22Hijos de Sem:

Elam, Asur, Arfaxad, Lud y Aram.

23Hijos de Aram:

Uz, Hul, Guéter y Mas.

24Arfaxad fue el padre de Selaj.

Selaj fue el padre de Éber.

25Éber tuvo dos hijos:

El primero se llamó Péleg10:25 En hebreo, Péleg significa división. porque en su tiempo se dividió la tierra; su hermano se llamó Joctán.

26Joctán fue el padre de

Almodad, Sélef, Jazar Mávet, Yeraj, 27Hadorán, Uzal, Diclá, 28Obal, Abimael, Sabá, 29Ofir, Javilá y Jobab. Todos estos fueron hijos de Joctán.

30Ellos vivieron en la región que va desde Mesá hasta Sefar, en la región montañosa oriental.

31Estos fueron los hijos de Sem, según sus clanes y sus idiomas, sus territorios y naciones.

32Estos son los clanes de los hijos de Noé, según sus genealogías y sus naciones. A partir de estos clanes, las naciones se extendieron sobre la tierra después del diluvio.