Mithali 9 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 9:1-18

Makaribisho Ya Hekima Na Ya Upumbavu

19:1 Efe 2:20-22; 1Tim 3:15; 1Pet 3:5Hekima amejenga nyumba yake;

amechonga nguzo zake saba.

29:2 Lk 14:16-23; Isa 25:6; 62:8Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake;

pia ameandaa meza yake.

39:3 Mit 1:20; 8:1-3; Mt 22:3, 4, 9; Lk 14:17; Rum 10:15Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita

kutoka mahali pa juu sana pa mji.

49:4 Mit 1:22; 6:32; Mt 11:25Anawaambia wale wasio na akili,

“Wote ambao ni wajinga na waje hapa!

59:5 Za 42:2; Isa 44:3; Mt 26:26-28Njooni, mle chakula changu

na mnywe divai niliyoichanganya.

69:6 Mit 8:35; 3:1-2Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi;

tembeeni katika njia ya ufahamu.

79:7 Mit 23:9; Mt 7:6“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha

hukaribisha matukano;

yeyote anayekemea mtu mwovu

hupatwa na matusi.

8Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia;

mkemee mwenye hekima naye atakupenda.

99:9 Mit 15:31; 19:25; Mt 13:12Mfundishe mtu mwenye hekima

naye atakuwa na hekima zaidi;

mfundishe mtu mwadilifu

naye atazidi kufundishika.

109:10 Ay 28:28“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,

na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.

119:11 Mwa 15:15; Kum 11:21; Mit 10:27Kwa maana kwa msaada wangu

siku zako zitakuwa nyingi,

na miaka itaongezwa katika maisha yako.

129:12 Ay 35:6, 7Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo;

kama wewe ni mtu wa mzaha,

wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”

139:13 Mit 7:11; 5:6Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele;

hana adabu na hana maarifa.

149:14 Eze 16:25Huketi kwenye mlango wa nyumba yake,

juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,

159:15 Mit 1:20akiita wale wapitao karibu,

waendao moja kwa moja kwenye njia yao.

169:16 Mit 1:22Anawaambia wale wasio na akili,

“Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”

179:17 Mit 20:17“Maji yaliyoibiwa ni matamu;

chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”

189:18 Mit 2:18; 7:26-27Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo,

kwamba wageni wake huyo mwanamke

wako katika vilindi vya kuzimu.

Nueva Versión Internacional

Proverbios 9:1-18

Invitación de la sabiduría y de la necedad

1La sabiduría construyó su casa

y labró sus siete pilares.

2Preparó la carne, mezcló su vino

y también tendió la mesa.

3Envió a sus doncellas y ahora clama

desde lo más alto de la ciudad.

4«¡Vengan conmigo los inexpertos!

—dice a los faltos de juicio—.

5Vengan, disfruten de mi pan

y beban del vino que he mezclado.

6Dejen su insensatez y vivirán;

anden por el camino del discernimiento.

7»El que corrige al insolente se gana que lo insulten;

el que reprende al malvado se gana su desprecio.

8No reprendas al insolente, no sea que acabe por odiarte;

reprende al sabio y te amará.

9Instruye al sabio, y se hará más sabio;

enseña al justo, y aumentará su saber.

10»El comienzo de la sabiduría es el temor del Señor;

conocer al Santo es tener entendimiento.

11Por mí aumentarán tus días;

años de vida te serán añadidos.

12Si eres sabio, tu premio será tu sabiduría;

si eres insolente, solo tú lo sufrirás».

13La mujer necia es escandalosa,

frívola y desvergonzada.

14Se sienta a las puertas de su casa,

en lo más alto de la ciudad

15y llama a los que van por el camino,

a los que no se apartan de su senda.

16«¡Vengan conmigo los inexpertos!

—dice a los faltos de juicio—

17¡Las aguas robadas saben a gloria!

¡El pan sabe a miel si se come a escondidas!».

18Pero estos ignoran que allí están los muertos,

que sus invitados están en lo profundo de los dominios de la muerte.9:18 de los dominios de la muerte. Lit. del Seol.