Makaribisho Ya Hekima Na Ya Upumbavu
19:1 Efe 2:20-22; 1Tim 3:15; 1Pet 3:5Hekima amejenga nyumba yake;
amechonga nguzo zake saba.
29:2 Lk 14:16-23; Isa 25:6; 62:8Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake;
pia ameandaa meza yake.
39:3 Mit 1:20; 8:1-3; Mt 22:3, 4, 9; Lk 14:17; Rum 10:15Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita
kutoka mahali pa juu sana pa mji.
49:4 Mit 1:22; 6:32; Mt 11:25Anawaambia wale wasio na akili,
“Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
59:5 Za 42:2; Isa 44:3; Mt 26:26-28Njooni, mle chakula changu
na mnywe divai niliyoichanganya.
69:6 Mit 8:35; 3:1-2Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi;
tembeeni katika njia ya ufahamu.
79:7 Mit 23:9; Mt 7:6“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha
hukaribisha matukano;
yeyote anayekemea mtu mwovu
hupatwa na matusi.
8Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia;
mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
99:9 Mit 15:31; 19:25; Mt 13:12Mfundishe mtu mwenye hekima
naye atakuwa na hekima zaidi;
mfundishe mtu mwadilifu
naye atazidi kufundishika.
109:10 Ay 28:28“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,
na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
119:11 Mwa 15:15; Kum 11:21; Mit 10:27Kwa maana kwa msaada wangu
siku zako zitakuwa nyingi,
na miaka itaongezwa katika maisha yako.
129:12 Ay 35:6, 7Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo;
kama wewe ni mtu wa mzaha,
wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
139:13 Mit 7:11; 5:6Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele;
hana adabu na hana maarifa.
149:14 Eze 16:25Huketi kwenye mlango wa nyumba yake,
juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
159:15 Mit 1:20akiita wale wapitao karibu,
waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
169:16 Mit 1:22Anawaambia wale wasio na akili,
“Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
179:17 Mit 20:17“Maji yaliyoibiwa ni matamu;
chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
189:18 Mit 2:18; 7:26-27Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo,
kwamba wageni wake huyo mwanamke
wako katika vilindi vya kuzimu.
Os Convites da Sabedoria e da Insensatez
1A sabedoria construiu sua casa;
ergueu suas sete colunas.
2Matou animais para a refeição,
preparou seu vinho e arrumou sua mesa.
3Enviou suas servas para fazerem convites
desde o ponto mais alto da cidade, clamando:
4“Venham todos os inexperientes!”
Aos que não têm bom senso ela diz:
5“Venham comer a minha comida
e beber o vinho que preparei.
6Deixem a insensatez, e vocês terão vida;
andem pelo caminho do entendimento.
7“Quem corrige o zombador traz sobre si o insulto;
quem repreende o ímpio mancha o próprio nome.
8Não repreenda o zombador,
caso contrário ele o odiará;
repreenda o sábio, e ele o amará.
9Instrua o homem sábio, e ele será ainda mais sábio;
ensine o homem justo, e ele aumentará o seu saber.
10“O temor do Senhor é o princípio9.10 Ou a chave da sabedoria,
e o conhecimento do Santo é entendimento.
11Pois por meu intermédio os seus dias serão multiplicados,
e o tempo da sua vida se prolongará.
12Se você for sábio, o benefício será seu;
se for zombador, sofrerá as consequências”.
13A insensatez é pura exibição,
sedução e ignorância.
14Sentada à porta de sua casa,
no ponto mais alto da cidade,
15clama aos que passam por ali
seguindo o seu caminho:
16“Venham todos os inexperientes!”
Aos que não têm bom senso ela diz:
17“A água roubada é doce,
e o pão que se come escondido é saboroso!”
18Mas eles nem imaginam que ali estão os espíritos dos mortos9.18 Ou as sombras,
que os seus convidados estão nas profundezas da sepultura.