Mithali 9 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 9:1-18

Makaribisho Ya Hekima Na Ya Upumbavu

19:1 Efe 2:20-22; 1Tim 3:15; 1Pet 3:5Hekima amejenga nyumba yake;

amechonga nguzo zake saba.

29:2 Lk 14:16-23; Isa 25:6; 62:8Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake;

pia ameandaa meza yake.

39:3 Mit 1:20; 8:1-3; Mt 22:3, 4, 9; Lk 14:17; Rum 10:15Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita

kutoka mahali pa juu sana pa mji.

49:4 Mit 1:22; 6:32; Mt 11:25Anawaambia wale wasio na akili,

“Wote ambao ni wajinga na waje hapa!

59:5 Za 42:2; Isa 44:3; Mt 26:26-28Njooni, mle chakula changu

na mnywe divai niliyoichanganya.

69:6 Mit 8:35; 3:1-2Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi;

tembeeni katika njia ya ufahamu.

79:7 Mit 23:9; Mt 7:6“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha

hukaribisha matukano;

yeyote anayekemea mtu mwovu

hupatwa na matusi.

8Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia;

mkemee mwenye hekima naye atakupenda.

99:9 Mit 15:31; 19:25; Mt 13:12Mfundishe mtu mwenye hekima

naye atakuwa na hekima zaidi;

mfundishe mtu mwadilifu

naye atazidi kufundishika.

109:10 Ay 28:28“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,

na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.

119:11 Mwa 15:15; Kum 11:21; Mit 10:27Kwa maana kwa msaada wangu

siku zako zitakuwa nyingi,

na miaka itaongezwa katika maisha yako.

129:12 Ay 35:6, 7Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo;

kama wewe ni mtu wa mzaha,

wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”

139:13 Mit 7:11; 5:6Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele;

hana adabu na hana maarifa.

149:14 Eze 16:25Huketi kwenye mlango wa nyumba yake,

juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,

159:15 Mit 1:20akiita wale wapitao karibu,

waendao moja kwa moja kwenye njia yao.

169:16 Mit 1:22Anawaambia wale wasio na akili,

“Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”

179:17 Mit 20:17“Maji yaliyoibiwa ni matamu;

chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”

189:18 Mit 2:18; 7:26-27Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo,

kwamba wageni wake huyo mwanamke

wako katika vilindi vya kuzimu.

Nova Versão Internacional

Provérbios 9:1-18

Os Convites da Sabedoria e da Insensatez

1A sabedoria construiu sua casa;

ergueu suas sete colunas.

2Matou animais para a refeição,

preparou seu vinho e arrumou sua mesa.

3Enviou suas servas para fazerem convites

desde o ponto mais alto da cidade, clamando:

4“Venham todos os inexperientes!”

Aos que não têm bom senso ela diz:

5“Venham comer a minha comida

e beber o vinho que preparei.

6Deixem a insensatez, e vocês terão vida;

andem pelo caminho do entendimento.

7“Quem corrige o zombador traz sobre si o insulto;

quem repreende o ímpio mancha o próprio nome.

8Não repreenda o zombador,

caso contrário ele o odiará;

repreenda o sábio, e ele o amará.

9Instrua o homem sábio, e ele será ainda mais sábio;

ensine o homem justo, e ele aumentará o seu saber.

10“O temor do Senhor é o princípio9.10 Ou a chave da sabedoria,

e o conhecimento do Santo é entendimento.

11Pois por meu intermédio os seus dias serão multiplicados,

e o tempo da sua vida se prolongará.

12Se você for sábio, o benefício será seu;

se for zombador, sofrerá as consequências”.

13A insensatez é pura exibição,

sedução e ignorância.

14Sentada à porta de sua casa,

no ponto mais alto da cidade,

15clama aos que passam por ali

seguindo o seu caminho:

16“Venham todos os inexperientes!”

Aos que não têm bom senso ela diz:

17“A água roubada é doce,

e o pão que se come escondido é saboroso!”

18Mas eles nem imaginam que ali estão os espíritos dos mortos9.18 Ou as sombras,

que os seus convidados estão nas profundezas da sepultura.