Mithali 9 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 9:1-18

Makaribisho Ya Hekima Na Ya Upumbavu

19:1 Efe 2:20-22; 1Tim 3:15; 1Pet 3:5Hekima amejenga nyumba yake;

amechonga nguzo zake saba.

29:2 Lk 14:16-23; Isa 25:6; 62:8Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake;

pia ameandaa meza yake.

39:3 Mit 1:20; 8:1-3; Mt 22:3, 4, 9; Lk 14:17; Rum 10:15Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita

kutoka mahali pa juu sana pa mji.

49:4 Mit 1:22; 6:32; Mt 11:25Anawaambia wale wasio na akili,

“Wote ambao ni wajinga na waje hapa!

59:5 Za 42:2; Isa 44:3; Mt 26:26-28Njooni, mle chakula changu

na mnywe divai niliyoichanganya.

69:6 Mit 8:35; 3:1-2Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi;

tembeeni katika njia ya ufahamu.

79:7 Mit 23:9; Mt 7:6“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha

hukaribisha matukano;

yeyote anayekemea mtu mwovu

hupatwa na matusi.

8Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia;

mkemee mwenye hekima naye atakupenda.

99:9 Mit 15:31; 19:25; Mt 13:12Mfundishe mtu mwenye hekima

naye atakuwa na hekima zaidi;

mfundishe mtu mwadilifu

naye atazidi kufundishika.

109:10 Ay 28:28“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,

na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.

119:11 Mwa 15:15; Kum 11:21; Mit 10:27Kwa maana kwa msaada wangu

siku zako zitakuwa nyingi,

na miaka itaongezwa katika maisha yako.

129:12 Ay 35:6, 7Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo;

kama wewe ni mtu wa mzaha,

wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”

139:13 Mit 7:11; 5:6Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele;

hana adabu na hana maarifa.

149:14 Eze 16:25Huketi kwenye mlango wa nyumba yake,

juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,

159:15 Mit 1:20akiita wale wapitao karibu,

waendao moja kwa moja kwenye njia yao.

169:16 Mit 1:22Anawaambia wale wasio na akili,

“Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”

179:17 Mit 20:17“Maji yaliyoibiwa ni matamu;

chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”

189:18 Mit 2:18; 7:26-27Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo,

kwamba wageni wake huyo mwanamke

wako katika vilindi vya kuzimu.

La Bible du Semeur

Proverbes 9:1-18

Le festin de la Sagesse

1La Sagesse a bâti une maison,

et elle en a taillé ╵les sept colonnes.

2Elle a apprêté une bête ╵et elle a préparé son vin9.2 En Orient, on mélangeait diverses épices (cannelle, myrrhe) au vin pour lui donner plus de goût (Es 5.22)..

Déjà, elle a dressé sa table.

3Elle a envoyé ses servantes ╵pour lancer ses invitations,

elle appelle du haut des lieux ╵les plus élevés de la ville :

4« Approchez donc, ╵vous qui n’avez pas d’expérience ! »

A ceux qui manquent de bon sens, ╵elle déclare :

5« Venez et mangez de mon pain

et buvez du vin que j’ai préparé.

6Vous qui êtes inexpérimentés ╵détournez-vous de ce chemin ╵et vous vivrez9.6 Les versions anciennes ont : Ne restez pas dans l’inexpérience..

Dirigez-vous ╵sur la voie de l’intelligence.

Le moqueur et le sage

7Corriger un moqueur, ╵c’est s’attirer la confusion

et reprendre un méchant, ╵s’attirer un affront.

8Ne reprends donc pas le moqueur, ╵car il te haïra ;

si tu reprends un sage, ╵il t’en aimera davantage.

9Oui, donne des conseils au sage, ╵et il sera plus sage encore.

Instruis le juste, ╵il enrichira son savoir.

10La sagesse commence ╵par la crainte de l’Eternel9.10 Voir 1.7 et note.,

et la science des saints9.10 D’autres comprennent : et connaître le Dieu saint., ╵c’est le discernement.

11Grâce à moi, la Sagesse, ╵tes jours seront multipliés

et des années ╵seront ajoutées à ta vie9.11 Voir 3.18..

12Si tu es sage, ╵c’est toi qui en profiteras,

mais si tu es moqueur, ╵tu en supporteras ╵toi seul les conséquences. »

Le festin de la Folie

13Dame Folie est bien bruyante,

elle est sans expérience, ╵elle n’y connaît rien9.13 L’ancienne version grecque a lu : elle ne connaît pas la honte..

14Elle s’assied ╵à la porte de sa maison,

elle place son siège ╵aux points les plus élevés de la ville,

15pour interpeller les passants

qui vont droit leur chemin.

16« Approchez donc, ╵vous qui n’avez pas d’expérience ! »

A ceux qui manquent de bon sens, ╵elle déclare :

17« Les eaux dérobées sont plus douces,

et le pain mangé en secret ╵est savoureux. »

18Mais ils ne savent pas ╵que chez elle se rassemblent les morts

et que ses invités ╵sont déjà au séjour des morts.