Mithali 6 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 6:1-35

Maonyo Dhidi Ya Upumbavu

16:1 Mwa 43:9; Ebr 7:22; Ezr 10:27; Mit 17:18Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa jirani yako,

ikiwa umeshika mikono kwa kuweka ahadi

kwa ajili ya mwingine,

2kama umetegwa na ulichosema,

umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,

3basi fanya hivi mwanangu, ili ujiweke huru,

kwa kuwa umeanguka mikononi mwa jirani yako:

Nenda ukajinyenyekeshe kwake;

msihi jirani yako!

46:4 Rut 3:18; Za 132:4Usiruhusu usingizi machoni pako,

usiruhusu kope zako zisinzie.

56:5 Za 91:3; 2Sam 2:18; Isa 13:14; Za 91:3Jiweke huru, kama swala mkononi mwa mwindaji,

kama ndege kutoka kwenye mtego wa mwindaji.

66:6 Mit 6:11Ewe mvivu, mwendee mchwa;

zitafakari njia zake ukapate hekima!

7Kwa maana yeye hana msimamizi,

wala mwangalizi, au mtawala,

86:8 Mit 30:24-25; 10:4lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi

na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

96:9 Mit 24:30-34; 26:13-16Ewe mvivu, utalala hata lini?

Utaamka lini kutoka usingizi wako?

106:10 Mit 24:33; Mhu 4:5Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,

bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:

116:11 Mit 6:10-11; 20:13; 24:30-34hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi,

na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

12Mtu mbaya sana na mlaghai,

ambaye huzungukazunguka

na maneno ya upotovu,

136:13 Za 35:19; Mit 16:30ambaye anakonyeza kwa jicho lake,

anayetoa ishara kwa miguu yake

na kuashiria kwa vidole vyake,

146:14 Za 36:4; 140:2; Mik 2:1; Isa 32:7ambaye hupanga ubaya

kwa udanganyifu moyoni mwake:

daima huchochea fitina.

15Kwa hiyo maafa yatamkumba ghafula;

ataangamizwa mara, pasipo msaada.

166:16 Mit 3:32; 8:13; 15:8, 9, 26; 16:5Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana,

naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:

176:17 Za 120:2; Mit 12:22; Yer 2:34; Mik 7:2; Hos 4:1-2macho ya kiburi,

ulimi udanganyao,

mikono imwagayo damu isiyo na hatia,

186:18 Mwa 6:5; Ay 15:31; Rum 3:15moyo uwazao mipango miovu,

miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,

196:19 Kum 19:16; Za 27:12; Mit 15:18; Zek 8:17shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo,

na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.

Onyo Dhidi Ya Uasherati

206:20 Mit 3:21; 1:8Mwanangu, zishike amri za baba yako,

wala usiyaache mafundisho ya mama yako.

216:21 Kum 6:8; Mit 3:3Yafunge katika moyo wako daima,

yakaze kuizunguka shingo yako.

226:22 Mit 3:23; 2:11Wakati utembeapo, yatakuongoza;

wakati ulalapo, yatakulinda;

wakati uamkapo, yatazungumza nawe.

236:23 Za 19:8; 10:17Kwa maana amri hizi ni taa,

mafundisho haya ni mwanga

na maonyo ya maadili ni njia ya uzima,

246:24 Mwa 39:8; Za 55:21yakikulinda na mwanamke aliyepotoka,

kutokana na maneno laini ya mwanamke aliyepotoka.

256:25 2Sam 11:2-5; Mt 5:28Moyo wako usitamani uzuri wake

wala macho yake yasikuteke,

266:26 Mit 27:22-23; 29:3; Eze 13:18kwa maana kahaba atakufanya uwe maskini,

hata ukose kipande cha mkate,

naye mwanamke mzinzi huwinda maisha yako hasa.

27Je, mtu aweza kuchotea moto kwenye paja lake

bila nguo zake kuungua?

28Je, mtu aweza kutembea juu ya makaa ya moto yanayowaka

bila miguu yake kuungua?

296:29 Kut 20:14; Mit 2:16-19Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa mwanaume mwingine;

hakuna yeyote amgusaye huyo mwanamke ambaye hataadhibiwa.

30Watu hawamdharau mwizi kama akiiba

kukidhi njaa yake wakati ana njaa.

316:31 Kut 22:1-14Pamoja na hayo, kama akikamatwa,

lazima alipe mara saba,

ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba yake.

326:32 Kut 20:14; Mit 7:7; 9:4, 16Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa;

yeyote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.

336:33 Mit 5:9-14Mapigo na aibu ni fungu lake

na aibu yake haitafutika kamwe;

346:34 Hes 5:14; Mwa 34:7kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume,

naye hataonyesha huruma alipizapo kisasi.

356:35 Ay 31:9-11; Wim 8:7Hatakubali fidia yoyote;

atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.

Nueva Versión Internacional

Proverbios 6:1-35

Advertencia contra la insensatez

1Hijo mío, si has salido fiador de tu vecino,

si has hecho tratos para responder por un extraño,

2si te has comprometido verbalmente,

enredándote con tus propias palabras,

3entonces has caído en manos de tu prójimo.

Si quieres librarte, hijo mío, este es el camino:

Ve corriendo y humíllate ante él;

procura deshacer tu compromiso.

4No permitas que se duerman tus ojos;

no dejes que tus párpados se cierren.

5Líbrate, como se libra del cazador6:5 del cazador (LXX y otras versiones antiguas); de la mano (TM). la gacela,

como se libra de la trampa6:5 de la trampa (LXX y otras versiones antiguas); de la mano del trampero (TM). el ave.

6¡Anda, perezoso, fíjate en la hormiga!

¡Fíjate en lo que hace y adquiere sabiduría!

7No tiene quien la mande

ni quien la vigile ni gobierne;

8con todo, en el verano almacena provisiones

y durante la cosecha recoge alimentos.

9Perezoso, ¿cuánto tiempo más seguirás acostado?

¿Cuándo despertarás de tu sueño?

10Un corto sueño, una breve siesta,

un pequeño descanso, cruzado de brazos…

11¡y te asaltará la pobreza como un bandido,

y la escasez como un hombre armado!6:11 como un hombre armado. Alt. como un limosnero.

12El perverso y el malvado,

el vagabundo de boca corrupta,

13hace guiños con los ojos

y señas con los pies y con los dedos.

14Él trama el mal en su corazón6:14 corazón. En la Biblia se usa para designar el asiento de las emociones, pensamientos y voluntad, es decir, el proceso de toma de decisiones del ser humano.

y siempre anda provocando pleitos.

15Por eso le sobrevendrá la ruina;

¡de repente será destruido y no podrá evitarlo!

16Hay seis cosas que el Señor aborrece

y siete que le son detestables:

17los ojos que se enaltecen,

la lengua que miente,

las manos que derraman sangre inocente,

18el corazón que trama planes perversos,

los pies que corren a hacer lo malo,

19el testigo falso que propaga mentiras

y el que siembra discordia entre hermanos.

Advertencia contra el adulterio

20Hijo mío, obedece el mandamiento de tu padre

y no abandones la enseñanza de tu madre.

21Grábatelos en tu corazón;

cuélgatelos al cuello.

22Cuando camines, te servirán de guía;

cuando duermas, vigilarán tu sueño;

cuando despiertes, hablarán contigo.

23El mandamiento es una lámpara,

la enseñanza es una luz

y la disciplina es

el camino a la vida.

24Te protegerán de la mujer malvada,

de la mujer ajena y de su lengua seductora.

25No abrigues en tu corazón deseos por su belleza

ni te dejes cautivar por sus ojos.

26Pues la ramera va tras un pedazo de pan,

pero la mujer ajena busca tu valiosa vida.

27¿Puede alguien echarse brasas en el pecho

sin quemarse la ropa?

28¿Puede alguien caminar sobre las brasas

sin quemarse los pies?

29Pues tampoco quien se acuesta con la mujer ajena

puede tocarla y quedar impune.

30No se desprecia al ladrón

que roba para mitigar su hambre;

31pero si lo atrapan, deberá devolver

siete tantos lo robado,

aun cuando eso le cueste todas sus posesiones.

32Pero el que comete adulterio es falto de juicio;

el que así actúa se destruye a sí mismo.

33No sacará más que golpes y vergüenzas,

y no podrá borrar su humillación.

34Porque los celos desatan la furia del esposo

y este no perdonará en el día de la venganza.

35No aceptará nada en desagravio

ni se contentará con muchos regalos.