Mithali 29 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 29:1-27

129:1 2Nya 36:16; Mit 6:15Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi,

ataangamia ghafula, wala hapati dawa.

229:2 2Fal 11:20; Es 8:15; Mit 28:12Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi;

waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.

329:3 1Fal 1:48; Mit 10:1; 23:15-16; 5:8-10; Lk 15:11-32Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake,

bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.

429:4 Mit 8:15-16Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti,

bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.

529:5 Ay 32:21; Mit 26:28Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili,

anautandaza wavu kuitega miguu yake.

629:6 Ay 5:13; Mhu 9:12Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe

bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.

729:7 Ay 29:16; Za 41:1; Isa 35:3-4Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini,

bali mwovu hajishughulishi na hilo.

829:8 Mit 11:11; 16:14Wenye mzaha huuchochea mji,

bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.

929:9 Mt 11:17Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu,

mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.

1029:10 Mwa 4:5-8; 1Yn 3:12Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu

na hutafuta kumuua mtu mnyofu.

1129:11 Ay 15:13; Mit 12:16Mpumbavu huonyesha hasira yake yote,

bali mwenye hekima hujizuia.

1229:12 2Fal 21:9; Ay 34:30Kama mtawala akisikiliza uongo,

maafisa wake wote huwa waovu.

1329:13 Mit 22:2; Mt 5:45Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili:

Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.

1429:14 Mit 29:4; Za 72:1-5; Mit 16:12Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki,

kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.

1529:15 Mit 29:17; 13:24Fimbo ya maonyo hutia hekima,

bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo

humwaibisha mama yake.

1629:16 Za 37:36; 58:10; 91:8Wakati waovu wanapostawi,

pia dhambi vivyo hivyo,

lakini wenye haki wataliona anguko lao.

1729:17 Mit 13:24; 29:15Mrudi mwanao, naye atakupa amani,

atakufurahisha nafsi yako.

1829:18 Za 19:11; Yn 13:17; Amo 8:11-12; 1Sam 3:1Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia,

bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.

19Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu,

ajapoelewa, hataitikia.

2029:20 Mit 14:17Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka?

Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.

21Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani,

atamletea sikitiko mwishoni.

2229:22 Mit 14:17Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,

naye mtu mwenye hasira ya haraka

hutenda dhambi nyingi.

2329:23 Isa 66:2; Mt 23:12; Yak 4:6Kiburi cha mtu humshusha,

bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu

hupata heshima.

2429:24 Law 5:1Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe;

huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.

2529:25 1Sam 15:24; Mit 28:25; 16:20Kuwaogopa watu huwa ni mtego,

bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.

2629:26 Mit 19:6; 16:33Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala,

bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.

2729:27 Mit 29:10Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu;

waovu huwachukia sana wenye haki.

Nueva Versión Internacional

Proverbios 29:1-27

1El que es reacio a las reprensiones

será destruido de repente y sin remedio.

2Cuando los justos prosperan, el pueblo se alegra;

cuando los impíos gobiernan, el pueblo gime.

3El que ama la sabiduría alegra a su padre;

el que frecuenta rameras pierde su fortuna.

4Con justicia el rey da estabilidad al país;

cuando lo abruma con tributos, lo destruye.

5El que adula a su prójimo

le tiende una trampa ante sus pies.

6Al malvado lo atrapa su propia maldad,

pero el justo puede cantar de alegría.

7El justo se ocupa de la causa del desvalido;

el malvado ni sabe de qué se trata.

8Los insolentes agitan la ciudad,

pero los sabios aplacan la ira.

9Cuando el sabio entabla pleito contra un necio,

aunque se enoje o se ría, no logrará la paz.

10Los asesinos aborrecen a los íntegros

y tratan de matar a los justos.

11El necio da rienda suelta a su ira,

pero el sabio sabe dominarla.

12Cuando un gobernante se deja llevar por mentiras,

todos sus oficiales se corrompen.

13Algo en común tienen el pobre y el opresor:

a los dos el Señor les ha dado la vista.

14El rey que juzga al pobre según la verdad

afirma su trono para siempre.

15La vara de la disciplina imparte sabiduría,

pero el joven malcriado avergüenza a su madre.

16Cuando aumentan los impíos, también aumenta el pecado,

pero los justos presenciarán su caída.

17Disciplina a tu hijo, y te traerá tranquilidad;

te dará muchas satisfacciones.

18Donde no hay visión, el pueblo se extravía;

¡dichosos los que son obedientes a la ley!

19No solo con palabras se corrige al siervo;

aunque entienda, no obedecerá.

20¿Te has fijado en los que hablan sin pensar?

¡Más se puede esperar de un necio que de gente así!

21El criado consentido desde niño

se convertirá en una persona insolente.

22El hombre iracundo provoca peleas;

el hombre violento multiplica sus crímenes.

23El altivo será humillado,

pero el de espíritu humilde será enaltecido.

24El cómplice del ladrón atenta contra sí mismo;

aunque esté bajo juramento,29:24 bajo juramento. Alt. bajo maldición. no testificará.

25Temer a los hombres resulta una trampa,

pero el que confía en el Señor sale bien librado.

26Muchos buscan el favor del gobernante,

pero solo el Señor hace justicia.

27Los justos aborrecen a los malvados

y los malvados aborrecen a los justos.