Mithali 29 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 29:1-27

129:1 2Nya 36:16; Mit 6:15Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi,

ataangamia ghafula, wala hapati dawa.

229:2 2Fal 11:20; Es 8:15; Mit 28:12Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi;

waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.

329:3 1Fal 1:48; Mit 10:1; 23:15-16; 5:8-10; Lk 15:11-32Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake,

bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.

429:4 Mit 8:15-16Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti,

bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.

529:5 Ay 32:21; Mit 26:28Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili,

anautandaza wavu kuitega miguu yake.

629:6 Ay 5:13; Mhu 9:12Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe

bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.

729:7 Ay 29:16; Za 41:1; Isa 35:3-4Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini,

bali mwovu hajishughulishi na hilo.

829:8 Mit 11:11; 16:14Wenye mzaha huuchochea mji,

bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.

929:9 Mt 11:17Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu,

mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.

1029:10 Mwa 4:5-8; 1Yn 3:12Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu

na hutafuta kumuua mtu mnyofu.

1129:11 Ay 15:13; Mit 12:16Mpumbavu huonyesha hasira yake yote,

bali mwenye hekima hujizuia.

1229:12 2Fal 21:9; Ay 34:30Kama mtawala akisikiliza uongo,

maafisa wake wote huwa waovu.

1329:13 Mit 22:2; Mt 5:45Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili:

Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.

1429:14 Mit 29:4; Za 72:1-5; Mit 16:12Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki,

kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.

1529:15 Mit 29:17; 13:24Fimbo ya maonyo hutia hekima,

bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo

humwaibisha mama yake.

1629:16 Za 37:36; 58:10; 91:8Wakati waovu wanapostawi,

pia dhambi vivyo hivyo,

lakini wenye haki wataliona anguko lao.

1729:17 Mit 13:24; 29:15Mrudi mwanao, naye atakupa amani,

atakufurahisha nafsi yako.

1829:18 Za 19:11; Yn 13:17; Amo 8:11-12; 1Sam 3:1Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia,

bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.

19Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu,

ajapoelewa, hataitikia.

2029:20 Mit 14:17Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka?

Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.

21Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani,

atamletea sikitiko mwishoni.

2229:22 Mit 14:17Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,

naye mtu mwenye hasira ya haraka

hutenda dhambi nyingi.

2329:23 Isa 66:2; Mt 23:12; Yak 4:6Kiburi cha mtu humshusha,

bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu

hupata heshima.

2429:24 Law 5:1Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe;

huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.

2529:25 1Sam 15:24; Mit 28:25; 16:20Kuwaogopa watu huwa ni mtego,

bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.

2629:26 Mit 19:6; 16:33Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala,

bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.

2729:27 Mit 29:10Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu;

waovu huwachukia sana wenye haki.

Japanese Contemporary Bible

箴言 知恵の泉 29:1-27

29

1何度しかられても言うことを聞かない者は、

突然倒れて二度と立ち直れません。

2正しい人が治めると国民は喜び、

悪者が権力を握ると嘆きます。

3知恵のある子は父親を幸せにしますが、

悪い女とつき合う者は財産を使い果たして、

親に恥をかかせます。

4正しいことをする王は国をしっかり治め、

わいろを要求する王は国を滅ぼします。

5-6調子のいいお世辞は罠です。

悪人はそれに足をとられて転びますが、

正しい人は近寄ろうともしないので安全です。

7正しい人は貧しい人の権利も認めますが、

神を信じない者は気にもかけません。

8愚か者はけんかの種をまき散らし、

知恵のある人は事を丸く収めます。

9愚か者と言い争っても無駄です。

相手はかっとなり、感情をむき出しにして、

こちらをさげすむだけです。

10神を恐れる人は、

いのちをつけねらう者のためにも祈ります。

11神に逆らう者は頭にくるとすぐにどなり、

知恵のある人はじっと我慢します。

12悪い指導者の回りには、悪い部下が集まるものです。

13金持ちも貧しい人も、

主の前では全く同じように太陽の恵みを受けます。

14貧しい人を差別せずに正しく裁く王は、

長く国を治めます。

15子どもは、しかられ懲らしめられることで、

何が悪いことなのかを知ります。

わがままいっぱいに育てると、

あとで母親が恥をかきます。

16支配者が悪いと国民も悪くなりますが、

正しい人は必ず彼らの滅びを見届けます。

17子どもをきびしくしつければ、

老後は幸せに過ごせます。

18神を知らない民は好き勝手に振る舞い、

手がつけられませんが、

国中の人が神の教えを守ろうとする国は幸いです。

19右から左に聞き流す者は、しかるだけでなく、

懲らしめなければ言うことを聞きません。

20短気な者に比べたら、愚か者のほうがまだましです。

21使用人を子どものころから甘やかすと、

息子のように大きな顔をするようになります。

22短気な者は争いの種をまき散らし、

いつもめんどうに巻き込まれます。

23自分を鼻にかけすぎるとたたかれ、

謙遜にしているとほめられます。

24悪いとわかっていながら、どろぼうに手を貸す者は、

いつかは自分にいや気がさします。

25人を恐れることは危険な罠ですが、

主に頼れば安心です。

26正しい裁判をしてほしかったら、

裁判官に取り入ろうとせず、主に任せなさい。

27正しい人は悪者のすることが、

悪者は正しい人のすることが大きらいです。