129:1 2Nya 36:16; Mit 6:15Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi,
ataangamia ghafula, wala hapati dawa.
229:2 2Fal 11:20; Es 8:15; Mit 28:12Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi;
waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
329:3 1Fal 1:48; Mit 10:1; 23:15-16; 5:8-10; Lk 15:11-32Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake,
bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.
429:4 Mit 8:15-16Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti,
bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.
529:5 Ay 32:21; Mit 26:28Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili,
anautandaza wavu kuitega miguu yake.
629:6 Ay 5:13; Mhu 9:12Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe
bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.
729:7 Ay 29:16; Za 41:1; Isa 35:3-4Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini,
bali mwovu hajishughulishi na hilo.
829:8 Mit 11:11; 16:14Wenye mzaha huuchochea mji,
bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.
929:9 Mt 11:17Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu,
mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.
1029:10 Mwa 4:5-8; 1Yn 3:12Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu
na hutafuta kumuua mtu mnyofu.
1129:11 Ay 15:13; Mit 12:16Mpumbavu huonyesha hasira yake yote,
bali mwenye hekima hujizuia.
1229:12 2Fal 21:9; Ay 34:30Kama mtawala akisikiliza uongo,
maafisa wake wote huwa waovu.
1329:13 Mit 22:2; Mt 5:45Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili:
Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.
1429:14 Mit 29:4; Za 72:1-5; Mit 16:12Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki,
kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.
1529:15 Mit 29:17; 13:24Fimbo ya maonyo hutia hekima,
bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo
humwaibisha mama yake.
1629:16 Za 37:36; 58:10; 91:8Wakati waovu wanapostawi,
pia dhambi vivyo hivyo,
lakini wenye haki wataliona anguko lao.
1729:17 Mit 13:24; 29:15Mrudi mwanao, naye atakupa amani,
atakufurahisha nafsi yako.
1829:18 Za 19:11; Yn 13:17; Amo 8:11-12; 1Sam 3:1Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia,
bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
19Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu,
ajapoelewa, hataitikia.
2029:20 Mit 14:17Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka?
Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.
21Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani,
atamletea sikitiko mwishoni.
2229:22 Mit 14:17Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,
naye mtu mwenye hasira ya haraka
hutenda dhambi nyingi.
2329:23 Isa 66:2; Mt 23:12; Yak 4:6Kiburi cha mtu humshusha,
bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu
hupata heshima.
2429:24 Law 5:1Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe;
huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.
2529:25 1Sam 15:24; Mit 28:25; 16:20Kuwaogopa watu huwa ni mtego,
bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.
2629:26 Mit 19:6; 16:33Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala,
bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.
2729:27 Mit 29:10Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu;
waovu huwachukia sana wenye haki.
29
1何度しかられても言うことを聞かない者は、
突然倒れて二度と立ち直れません。
2正しい人が治めると国民は喜び、
悪者が権力を握ると嘆きます。
3知恵のある子は父親を幸せにしますが、
悪い女とつき合う者は財産を使い果たして、
親に恥をかかせます。
4正しいことをする王は国をしっかり治め、
わいろを要求する王は国を滅ぼします。
5-6調子のいいお世辞は罠です。
悪人はそれに足をとられて転びますが、
正しい人は近寄ろうともしないので安全です。
7正しい人は貧しい人の権利も認めますが、
神を信じない者は気にもかけません。
8愚か者はけんかの種をまき散らし、
知恵のある人は事を丸く収めます。
9愚か者と言い争っても無駄です。
相手はかっとなり、感情をむき出しにして、
こちらをさげすむだけです。
10神を恐れる人は、
いのちをつけねらう者のためにも祈ります。
11神に逆らう者は頭にくるとすぐにどなり、
知恵のある人はじっと我慢します。
12悪い指導者の回りには、悪い部下が集まるものです。
13金持ちも貧しい人も、
主の前では全く同じように太陽の恵みを受けます。
14貧しい人を差別せずに正しく裁く王は、
長く国を治めます。
15子どもは、しかられ懲らしめられることで、
何が悪いことなのかを知ります。
わがままいっぱいに育てると、
あとで母親が恥をかきます。
16支配者が悪いと国民も悪くなりますが、
正しい人は必ず彼らの滅びを見届けます。
17子どもをきびしくしつければ、
老後は幸せに過ごせます。
18神を知らない民は好き勝手に振る舞い、
手がつけられませんが、
国中の人が神の教えを守ろうとする国は幸いです。
19右から左に聞き流す者は、しかるだけでなく、
懲らしめなければ言うことを聞きません。
20短気な者に比べたら、愚か者のほうがまだましです。
21使用人を子どものころから甘やかすと、
息子のように大きな顔をするようになります。
22短気な者は争いの種をまき散らし、
いつもめんどうに巻き込まれます。
23自分を鼻にかけすぎるとたたかれ、
謙遜にしているとほめられます。
24悪いとわかっていながら、どろぼうに手を貸す者は、
いつかは自分にいや気がさします。
25人を恐れることは危険な罠ですが、
主に頼れば安心です。
26正しい裁判をしてほしかったら、
裁判官に取り入ろうとせず、主に任せなさい。
27正しい人は悪者のすることが、
悪者は正しい人のすることが大きらいです。