Mithali 29 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 29:1-27

129:1 2Nya 36:16; Mit 6:15Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi,

ataangamia ghafula, wala hapati dawa.

229:2 2Fal 11:20; Es 8:15; Mit 28:12Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi;

waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.

329:3 1Fal 1:48; Mit 10:1; 23:15-16; 5:8-10; Lk 15:11-32Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake,

bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.

429:4 Mit 8:15-16Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti,

bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.

529:5 Ay 32:21; Mit 26:28Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili,

anautandaza wavu kuitega miguu yake.

629:6 Ay 5:13; Mhu 9:12Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe

bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.

729:7 Ay 29:16; Za 41:1; Isa 35:3-4Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini,

bali mwovu hajishughulishi na hilo.

829:8 Mit 11:11; 16:14Wenye mzaha huuchochea mji,

bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.

929:9 Mt 11:17Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu,

mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.

1029:10 Mwa 4:5-8; 1Yn 3:12Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu

na hutafuta kumuua mtu mnyofu.

1129:11 Ay 15:13; Mit 12:16Mpumbavu huonyesha hasira yake yote,

bali mwenye hekima hujizuia.

1229:12 2Fal 21:9; Ay 34:30Kama mtawala akisikiliza uongo,

maafisa wake wote huwa waovu.

1329:13 Mit 22:2; Mt 5:45Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili:

Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.

1429:14 Mit 29:4; Za 72:1-5; Mit 16:12Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki,

kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.

1529:15 Mit 29:17; 13:24Fimbo ya maonyo hutia hekima,

bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo

humwaibisha mama yake.

1629:16 Za 37:36; 58:10; 91:8Wakati waovu wanapostawi,

pia dhambi vivyo hivyo,

lakini wenye haki wataliona anguko lao.

1729:17 Mit 13:24; 29:15Mrudi mwanao, naye atakupa amani,

atakufurahisha nafsi yako.

1829:18 Za 19:11; Yn 13:17; Amo 8:11-12; 1Sam 3:1Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia,

bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.

19Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu,

ajapoelewa, hataitikia.

2029:20 Mit 14:17Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka?

Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.

21Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani,

atamletea sikitiko mwishoni.

2229:22 Mit 14:17Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,

naye mtu mwenye hasira ya haraka

hutenda dhambi nyingi.

2329:23 Isa 66:2; Mt 23:12; Yak 4:6Kiburi cha mtu humshusha,

bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu

hupata heshima.

2429:24 Law 5:1Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe;

huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.

2529:25 1Sam 15:24; Mit 28:25; 16:20Kuwaogopa watu huwa ni mtego,

bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.

2629:26 Mit 19:6; 16:33Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala,

bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.

2729:27 Mit 29:10Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu;

waovu huwachukia sana wenye haki.

Bibelen på hverdagsdansk

Ordsprogenes Bog 29:1-27

1Den, der aldrig tager en irettesættelse alvorligt,

vil en dag opdage, at nu er det for sent.

2Folk er glade, når de har gode ledere,

men de stønner, når ondskaben hersker.

3Den søn, der værdsætter visdom, glæder sin far,

men den, der omgås løsagtige piger, mister sin formue.

4En retfærdig konge styrker sit land,

men den, der tager imod bestikkelse, ødelægger det.

5Den, der lefler for andre,

spreder et net for sine29,5 Eller: „deres fødder”. fødder.

6Den onde bliver straffet for sine synder,

men de retskafne synger af glæde.

7Den retsindige beskytter de svages rettigheder,

den onde er ligeglad.

8Hån og spot kan sætte en hel by i oprør,

men den vise beroliger gemytterne.

9Man kan ikke diskutere med en tåbe,

han vil enten blive vred eller fornærmet.

10Voldsmænd hader en ærlig mand

og prøver at gøre det af med ham.

11En tåbe giver luft for sin vrede,

den vise behersker sig.

12En leder, der accepterer løgn,

tiltrækker uærlige rådgivere.

13Den undertrykte og undertrykkeren har én ting tilfælles:

Herren gav dem begge øjne at se med.

14Den konge, der forsvarer de svages ret,

får lov at regere længe.

15Et barn opdrages ved vejledning og irettesættelse,

en uopdragen unge bringer skam over sin mor.

16Hvis landets ledere er onde, sker der mange forbrydelser,

men de retskafne holder ud og vil opleve regimets fald.

17Opdrag dine børn godt,

så vil de bringe dig glæde og fred.

18Uden Guds ledelse vil et folk fare vild,

velsignet er den, der følger hans vejledning.

19Ord er ikke nok over for en modvillig slave,

han retter sig ikke efter dem, selvom han forstår dem.

20En tåbe er bedre stillet

end den, der taler uden at tænke.

21Giver du din slave, hvad han peger på, mens han er barn,

vil han give dig store problemer, når han bliver voksen.

22En ilter person kommer let i klammeri,

hidsighed fører til meget ondt.

23Hovmod fører et menneske til fald,

ydmyghed fører til hæder og ære.

24Er du medskyldig i en forbrydelse, er det værst for dig selv,

når du indkaldes som vidne, tør du ikke røbe sandheden.

25Menneskefrygt lukker dig inde i et bur,

men at sætte sin lid til Herren giver tryghed.

26Mange søger medhold hos dem, der har magten,

men den fuldkomne retfærdighed finder du hos Herren.

27De retskafne tager afstand fra de uærlige,

og de onde foragter de gode.