127:1 Lk 12:19-20; Yak 4:13; Mt 6:34; 1Fal 20:11Usijisifu kwa ajili ya kesho,
kwa kuwa hujui ni nini kitakachozaliwa kwa siku moja.
227:2 Mit 25:27Mwache mwingine akusifu,
wala si kinywa chako mwenyewe;
mtu mwingine afanye hivyo
na si midomo yako mwenyewe.
327:3 Ay 6:3; Es 1:12Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo,
lakini kukasirishwa na mpumbavu ni kuzito kuliko vyote viwili.
427:4 1Yn 3:12Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika,
lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu?
527:5 Gal 2:14Afadhali karipio la wazi
kuliko upendo uliofichika.
627:6 Za 141:5; Mit 28:23Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu,
bali kubusu kwa adui ni kwingi sana.
727:7 Ay 6:7Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali,
bali kwa mwenye njaa
hata kile kilicho kichungu
kwake ni kitamu.
827:8 Isa 16:2; Ay 39:14Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake,
ndivyo alivyo mtu atangatangaye
mbali na nyumbani mwake.
927:9 Es 2:12; Za 45:8Manukato na uvumba huleta furaha moyoni,
nao uzuri wa rafiki huchipuka
kutoka kwenye ushauri wake wa uaminifu.
1027:10 Mit 17:17Usimwache rafiki yako wala rafiki wa baba yako,
tena usiende nyumbani mwa ndugu yako
wakati umepatwa na maafa.
Bora jirani wa karibu
kuliko ndugu aliye mbali.
1127:11 Mit 10:1; 23:15-16; Mwa 24:60Mwanangu, uwe na hekima,
nawe ulete furaha moyoni mwangu,
ndipo nitakapoweza kumjibu yeyote
anitendaye kwa dharau.
1227:12 Mit 22:3Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,
bali mjinga huendelea mbele nayo ikamtesa.
1327:13 Mit 20:16Chukua vazi la yule awekaye dhamana
kwa ajili ya mgeni;
lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo
kwa ajili ya mwanamke mpotovu.
1427:14 Za 12:2Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu
asubuhi na mapema,
itahesabiwa kama ni laana.
1527:15 Es 1:18; Mit 19:13Mke mgomvi ni kama
matone yasiyokoma ya siku ya mvua.
16Kumzuia yeye ni kama kuuzuia upepo
au kukamata mafuta kwa kiganja cha mkono.
17Kama vile chuma kinoavyo chuma,
ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.
1827:18 1Kor 9:7; Lk 19:12-27; Kum 20:6Yeye autunzaye mtini atakula tunda lake,
naye amtunzaye bwana wake ataheshimiwa.
19Kama uso uonekanavyo kwenye maji,
ndivyo hivyo moyo wa mtu humwonyesha alivyo.
2027:20 Mit 30:15-16; Hab 2:5; Mhu 6:7Kuzimu na Uharibifu havishibi
kadhalika macho ya mwanadamu.
2127:21 Mit 17:3Kalibu ni kwa ajili ya fedha
na tanuru kwa ajili ya dhahabu,
bali mtu hupimwa kwa sifa azipokeazo.
2227:22 Isa 1:5; Yer 5:3; Mit 23:35Hata ukimtwanga mpumbavu kwenye kinu,
ukimtwanga kama nafaka kwa mchi,
hutauondoa upumbavu wake.
2327:23 Mit 12:10; Yer 5:3Hakikisha kuwa unajua hali ya makundi yako
ya kondoo na mbuzi,
angalia kwa bidii ngʼombe zako.
2427:24 Mit 23:5Kwa kuwa utajiri haudumu milele,
nayo taji haidumu vizazi vyote.
2527:25 Za 104:14Wakati majani makavu yameondolewa
na mapya yamechipua,
nayo majani toka milimani yamekusanywa,
26wana-kondoo watakupatia mavazi
na mbuzi thamani ya shamba.
27Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi
kukulisha wewe na jamaa yako,
na kuwalisha watumishi wako wa kike.
1Mfa ɔkyena nhoahoa wo ho,
na wunnim nea ɛda bi de bɛba.
2Ma ɔfoforo nkamfo wo; na ɛnyɛ wo ankasa;
ma emfi ɔfoforo anom na ɛnyɛ wo.
3Ɔbo mu yɛ duru, na nwea yɛ adesoa,
nanso ɔkwasea abufuwhyew yɛ duru sen emu biara.
4Abufuw tirim yɛ den, na abufuwhyew sɛe ade,
na hena na obetumi agyina ninkutwe ano?
5Animka a ɛda gua
ye sen ɔdɔ a asuma.
6Apirakuru a efi adamfo nkyɛn no ye
sen ɔtamfo mfewano bebrebe.
7Ɛwo nyɛ nea wamee akɔnnɔ,
nanso nea ɛyɛ nwen mpo yɛ nea ɔkɔm de no no nʼanom dɛ.
8Onipa a wayera ne fi kwan,
te sɛ anomaa a wafi ne berebuw mu rekyinkyin.
9Ngo ne aduhuam ma koma ani gye,
adamfo ho anigye fi nʼafotu pa a ɔma.
10Nnyaa wʼadamfo ne wʼagya adamfo mu,
nkɔ wo nuabarima fi bere a ɔhaw ato wo,
na ɔyɔnko a ɔbɛn wo no ye sen onuabarima a ɔwɔ akyirikyiri.
11Me ba, hu nyansa na ma me koma ani nnye;
ɛno na ɛbɛma manya mmuae ama obiara a obu me animtiaa.
12Mmadwemma hu asiane na wohintaw,
nanso ntetekwaafo kɔ wɔn anim kɔtɔ mu.
13Fa atade a ɛhyɛ obi a odi ɔhɔho akagyinamu;
sɛ ɔregyina ɔbea huhufo akyi a, fa si awowa.
14Sɛ obi teɛ mu hyira ne yɔnko anɔpahema a,
wɔbɛfa no sɛ ɛyɛ nnome.
15Ɔyere tɔkwapɛfo te sɛ
ahumtuda nsusosɔ wɔ ɔdan a enwin so;
16sɛ wopata no a, ɛte sɛ nea wopata mframa
anaa wode wo nsa beso ngo mu.
17Dade sew dade,
saa ara na onipa sew ɔfoforo.
18Nea ɔhwɛ borɔdɔma dua so no bedi so aba,
na nea ɔsom ne wura no, wɔbɛhyɛ no anuonyam.
19Sɛnea nsu yi animdua kyerɛ no,
saa ara na onipa koma da onipa no adi.
20Sɛnea Owu ne Ɔsɛe bo ntɔ da no,
saa ara, na onipa ani nso bo ntɔ da.
21Kyɛmfɛre wɔ hɔ ma dwetɛ na fononoo wɔ hɔ ma sikakɔkɔɔ,
nanso wɔnam nkamfo a onipa nya so na ɛsɔ no hwɛ.
22Sɛ wowɔw ɔkwasea wɔ ɔwaduru mu,
sɛ wode ɔwɔma wɔw no te sɛnea wusiw aburow a,
worentumi nyi agyimisɛm mfi ne ho.
23Ma ɛnyɛ wo asɛnhia sɛ wubehu wo nguankuw tebea,
na ma wʼani nkɔ wo anantwikuw so;
24efisɛ, ahonya ntena hɔ daa,
na ahenkyɛw ntena hɔ mma awo ntoantoaso nyinaa.
25Sɛ wotwa sare no na foforo fifi,
na wɔboaboa nkoko so sare no ano a,
26ɛno de, nguantenmma no bɛma wo ntama,
na mmirekyi ama sika a ɛtɔ mfuw.
27Wubenya mmirekyi nufusu bebree
ama wo ne wʼabusuafo adi
ne aduan ama wo mmaawa.