Mithali 24 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 24:1-34

124:1 Mit 3:31-32; 23:17-18Usiwaonee wivu watu waovu,

usitamani ushirika nao;

224:2 Za 2:1; 10:7; Isa 32:6; 55:7-8; 59:7; 65:2; Hos 4:1kwa maana mioyo yao hupanga mambo ya jeuri,

nayo midomo yao husema juu ya kuleta madhara.

324:3 Mit 14:1Kwa hekima nyumba hujengwa,

nayo kwa njia ya ufahamu huimarishwa

424:4 Mit 8:21kwa njia ya maarifa vyumba vyake hujazwa

vitu vya thamani na vya kupendeza.

524:5 Mit 21:22Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa,

naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,

624:6 Mit 11:14; Lk 14:31kwa kufanya vita unahitaji uongozi

na kwa ushindi washauri wengi.

724:7 Za 10:5; Mit 14:6Hekima i juu mno kwa mpumbavu,

katika kusanyiko langoni

hana lolote la kusema.

824:8 Rum 1:30Yeye apangaye mabaya

atajulikana kama mtu wa hila.

924:9 Mwa 6:5; Za 119:113; Mt 9:4; Mdo 8:22; 2Kor 10:524:9 Mwa 6:5; Mdo 8:22; 2Kor 10:5Mipango ya upumbavu ni dhambi,

watu huchukizwa na mwenye dhihaka.

1024:10 Yer 51:46; Ebr 12:3Ukikata tamaa wakati wa taabu,

jinsi gani nguvu zako ni kidogo!

1124:11 Isa 58:6-7; 1Yn 3:16; Za 82:4Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo;

wazuie wote wanaojikokota

kuelekea machinjoni.

1224:12 Za 139:2; Mit 16:24; 21:2; Yer 32:19; Mt 16:24Kama mkisema, “Lakini hatukujua lolote kuhusu hili,”

je, yule apimaye mioyo halitambui hili?

Je, yule awalindaye maisha yenu halijui hili?

Je, hatamlipa kila mtu kulingana na aliyotenda?

1324:13 Wim 5:1Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri;

asali kutoka kwenye sega ni tamu kwa kuonja.

1424:14 Za 119:103; Mit 16:24; 23:18Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako,

kama ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo,

nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.

1524:15 Za 10:9, 10Usivizie kama haramia afanyavyo ili kuyashambulia

makao ya mwenye haki,

wala usiyavamie makazi yake,

1624:16 Ay 5:19; Mik 7:8; Za 34:19Kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena,

lakini waovu huangushwa chini na maafa.

1724:17 Oba 1:12; Ay 31:29Usitazame kwa kufurahia adui yako aangukapo;

wakati ajikwaapo,

usiruhusu moyo wako ushangilie.

1824:18 Ay 31:29Bwana asije akaona na kuchukia

akaiondoa ghadhabu yake mbali naye.

1924:19 Za 37:1Usikasirike kwa sababu ya watu wabaya

wala usiwaonee wivu waovu,

2024:20 Ay 18:5; Mit 13:9; Isa 3:11kwa maana mtu mbaya hana tumaini la siku zijazo,

nayo taa ya waovu itazimwa.

2124:21 Rum 13:1-7; 1Pet 2:17Mwanangu, mche Bwana na mfalme,

wala usijiunge na waasi,

2224:22 Za 73:19kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao,

naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?

Misemo Zaidi Ya Wenye Hekima

2324:23 Kut 18:16; Law 19:15; 2Nya 19:7; Za 72:2; Yer 22:16; Yn 7:24Hii pia ni misemo ya wenye hekima:

Kuonyesha upendeleo katika hukumu si vyema:

2424:24 Isa 5:23; Mit 17:15Yeyote amwambiaye mwenye hatia,

“Wewe huna hatia,”

Kabila zitamlaani

na mataifa yatamkana.

25Bali itakuwa vyema kwa wale watakaowatia hatiani wenye hatia,

nazo baraka tele zitawajilia juu yao.

26Jawabu la uaminifu

ni kama busu la midomoni.

2724:27 1Fal 5:17, 18; Lk 14:28Maliza kazi zako za nje,

nawe uweke mashamba yako tayari,

baada ya hayo, jenga nyumba yako.

2824:28 Za 7:4; Efe 4:25Usishuhudie dhidi ya jirani yako bila sababu,

au kutumia midomo yako kudanganya.

2924:29 Mit 20:22; Rum 12:17; Mt 5:39Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda mimi;

nitamlipiza mtu yule kwa kile alichonitendea.”

3024:30 Mit 6:6-11; 26:13-16Nilipita karibu na shamba la mvivu,

karibu na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili,

3124:31 Yer 4:3; Ebr 6:8miiba ilikuwa imeota kila mahali,

ardhi ilikuwa imefunikwa na magugu, na

ukuta wa mawe ulikuwa umebomoka.

32Nikatafakari moyoni mwangu lile nililoliona,

nami nikajifunza somo kutokana na niliyoyaona:

3324:33 Mit 6:10Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,

bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:

3424:34 Mit 10:4; Mhu 10:18hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi,

na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

Hoffnung für Alle

Sprüche 24:1-34

19.

1Sei nicht neidisch auf böse Menschen und bemühe dich nicht um ihre Freundschaft! 2Denn sie trachten nur nach Gewalt, ihre Worte verletzen und richten Schaden an.

20.

3Wer ein Haus baut, braucht Weisheit und Verstand; 4wer dazu noch Geschick besitzt, kann es mit wertvollen und schönen Dingen füllen.

21.

5Ein weiser Mann verfügt über große Macht, und ein verständiger gewinnt immer mehr an Stärke hinzu. 6Denn nur mit Strategie gewinnt man einen Kampf, und wo viele Ratgeber sind, da stellt sich der Sieg ein.

22.

7Für den Dummkopf ist Weisheit unerreichbar; wenn man im Rat der Stadt wichtige Dinge bespricht, dann muss er den Mund halten!

23.

8Wer nur darauf aus ist, Böses zu tun, der ist bald als Lump verschrien. 9Wer Gemeines plant und sich nicht ermahnen lässt, macht sich schuldig; und wer für alles nur Spott übrig hat, zieht sich den Hass der Menschen zu.

24.

10Wenn du schwach und mutlos bist, sobald du unter Druck gerätst, dann bist du es auch sonst!

25.

11Greif ein, wenn das Leben eines Menschen in Gefahr ist; tu, was du kannst, um ihn vor dem Tod zu retten! 12Vielleicht sagst du: »Wir wussten doch nichts davon!« – aber du kannst sicher sein: Gott weiß Bescheid! Er sieht dir ins Herz! Jedem gibt er das, was er verdient.

26.

13Mein Sohn, iss Honig, denn das ist gut! So süß wie Honig für deinen Gaumen, 14so wertvoll ist Weisheit für dein Leben. Suche sie, dann hast du eine sichere Zukunft, und deine Hoffnung wird nicht enttäuscht!

27.

15Lauere einem ehrlichen Menschen nicht wie ein Gottloser auf und versuche nicht, seinen Grund und Boden mit Gewalt an dich zu reißen! 16Denn der Aufrichtige mag zwar vom Unglück verfolgt werden, aber er steht immer wieder auf. Der Gottlose dagegen kommt darin um.

28.

17Freue dich nicht über das Unglück deines Feindes; juble nicht über seinen Sturz! 18Denn der Herr sieht alles, und Schadenfreude missfällt ihm – er könnte deshalb sogar deinen Feind verschonen!

29.

19Sei nicht entrüstet über die Gottlosen und beneide sie nicht! 20Denn sie haben keine Zukunft; ihr Leben gleicht einer Lampe, die erlischt.

30.

21Mein Sohn, hab Ehrfurcht vor dem Herrn und achte den König! Lass dich nicht mit Aufrührern ein, die gegen sie rebellieren! 22Denn ganz plötzlich kann Gott oder der König sie alle zusammen ins Verderben stürzen!

Weitere Sprüche weiser Männer

23Auch die folgenden Sprüche stammen von weisen Männern:

Vor Gericht soll es gerecht zugehen und keine Parteilichkeit herrschen! 24Wenn jemand den Schuldigen für unschuldig erklärt, wird er vom Volk verachtet und gehasst. 25Wenn er sich aber für das Recht einsetzt, dann genießt er Ansehen und Glück.

26Eine aufrichtige Antwort ist ein Zeichen echter Freundschaft24,26 Wörtlich: ist ein Kuss auf die Lippen.!

27Bestelle erst dein Feld und sorge für deinen Lebensunterhalt, bevor du eine Familie gründest!

28Sag nicht ohne Grund als Zeuge gegen jemanden aus, betrüge nicht mit deinen Worten!

29Sprich nicht: »Wie du mir, so ich dir! Ich zahle jedem heim, was er mir angetan hat!«

30Ich ging am Feld und am Weinberg eines Mannes vorbei, der nicht nur dumm, sondern dazu noch faul war. 31Der Boden war mit Dornengestrüpp übersät, und überall wucherte Unkraut. Die Schutzmauer ringsum war schon verfallen. 32Als ich das sah, dachte ich nach und zog eine Lehre daraus:

33»Lass mich noch ein bisschen schlafen«, sagst du,

»ich will nur noch ein Weilchen die Augen zumachen

und kurz verschnaufen!« –

34und während du dich ausruhst,

ist die Armut plötzlich da,

und die Not überfällt dich wie ein Räuber.