Mithali 21 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 21:1-31

121:1 Es 5:1; Yer 39:11-12Moyo wa mfalme uko katika mkono wa Bwana;

huuongoza kama mkondo wa maji, popote apendapo.

221:2 Mit 24:12; Lk 16:15; Yer 17:10; 1Sam 16:7Njia zote za mwanadamu huonekana sawa kwake,

bali Bwana huupima moyo.

321:3 Hos 6:6; Mik 6:6-8Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika

zaidi kwa Bwana kuliko dhabihu.

421:4 Ay 41:34; Mit 6:17Macho ya kudharau na moyo wa kiburi,

ambavyo ni taa ya waovu, vyote ni dhambi!

521:5 Mit 10:4Mipango ya mwenye bidii huelekeza kwenye faida,

kama vile kwa hakika pupa huelekeza kwenye umaskini.

621:6 Mit 10:2; 2Pet 2:3Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo

ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.

721:7 Mit 11:5Jeuri ya waovu itawaburuta mbali,

kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.

821:8 Mit 2:15Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu,

bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.

921:9 Mit 21:19; 19:13; 25:24Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba,

kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.

1021:10 Yak 4:5Mtu mwovu hutamani sana ubaya,

jirani yake hapati huruma kutoka kwake.

1121:11 Mit 19:25Wakati mwenye mzaha ameadhibiwa,

mjinga hupata hekima;

wakati mtu mwenye hekima afundishwapo,

hupata maarifa.

1221:12 1Kor 10:10; Rum 2:8; Mit 14:11Mwenye Haki huyajua yanayotendeka katika nyumba za waovu,

naye atawaangamiza waovu.

1321:13 Ay 29:12; Zek 7:11; Mdo 7:57; Yak 2:13Mtu akiziba masikio asisikie kilio cha maskini,

yeye pia atalia, wala hatajibiwa.

1421:14 Mwa 32:20; Mit 18:16Zawadi itolewayo kwa siri hutuliza hasira

na rushwa iliyofichwa kwenye nguo hutuliza ghadhabu kali.

1521:15 Mit 21:9Wakati haki imetendeka, huleta furaha kwa wenye haki,

bali kitisho kwa watenda mabaya.

1621:16 Za 49:14; Eze 18:24Mtu anayepotea kutoka mapito ya ufahamu,

hupumzika katika kundi la waliokufa.

1721:17 Mit 23:20-21, 29-35Mtu apendaye anasa atakuwa maskini,

yeyote apendaye mvinyo na mafuta kamwe hatakuwa tajiri.

1821:18 Isa 43:3-4; Mit 11:8Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki,

nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu.

1921:19 Mit 21:9Ni afadhali kuishi jangwani

kuliko kuishi na mke mgomvi na mkorofi.

2021:20 Za 112:3; Mit 10:22; Mt 25:3Katika nyumba ya mwenye hekima

kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta,

lakini mtu mpumbavu

hutafuna vyote alivyo navyo.

2121:21 1Kor 15:58; Za 25:13; Mt 5:6Yeye afuatiaye haki na upendo

hupata uzima, mafanikio na heshima.

2221:22 Mit 8:14; Mhu 9:15-16Mtu mwenye hekima huushambulia mji wa wenye nguvu,

na kuangusha ngome wanazozitegemea.

2321:23 Za 34:13; Yak 3:2; Mit 12:13Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake

hujilinda na maafa.

2421:24 Yer 43:2Mtu mwenye kiburi na majivuno, “Mdhihaki” ndilo jina lake;

hutenda mambo kwa kiburi kilichozidi.

2521:25 Mit 13:4Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake,

kwa sababu mikono yake haitaki kufanya kazi.

2621:26 Law 25:35; Mt 5:42Mchana kutwa hutamani zaidi,

lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.

2721:27 1Fal 14:24; Amo 5:22; Mit 15:8Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo,

si zaidi sana itolewapo kwa nia mbaya!

2821:28 Isa 29:21; Mit 19:5Shahidi wa uongo ataangamia,

bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.

2921:29 Mit 14:8Mtu mwovu ana uso wa ushupavu,

bali mtu mnyofu huzifikiria njia zake.

3021:30 Ay 12:13; Yer 9:23; 2Nya 13:12; Mdo 5:39Hakuna hekima, wala akili, wala mpango

unaoweza kufaulu dhidi ya Bwana.

3121:31 Isa 31:1; Za 3:8Farasi huandaliwa kwa ajili ya siku ya vita,

bali ushindi huwa kwa Bwana.

New International Version

Proverbs 21:1-31

1In the Lord’s hand the king’s heart is a stream of water

that he channels toward all who please him.

2A person may think their own ways are right,

but the Lord weighs the heart.

3To do what is right and just

is more acceptable to the Lord than sacrifice.

4Haughty eyes and a proud heart—

the unplowed field of the wicked—produce sin.

5The plans of the diligent lead to profit

as surely as haste leads to poverty.

6A fortune made by a lying tongue

is a fleeting vapor and a deadly snare.21:6 Some Hebrew manuscripts, Septuagint and Vulgate; most Hebrew manuscripts vapor for those who seek death

7The violence of the wicked will drag them away,

for they refuse to do what is right.

8The way of the guilty is devious,

but the conduct of the innocent is upright.

9Better to live on a corner of the roof

than share a house with a quarrelsome wife.

10The wicked crave evil;

their neighbors get no mercy from them.

11When a mocker is punished, the simple gain wisdom;

by paying attention to the wise they get knowledge.

12The Righteous One21:12 Or The righteous person takes note of the house of the wicked

and brings the wicked to ruin.

13Whoever shuts their ears to the cry of the poor

will also cry out and not be answered.

14A gift given in secret soothes anger,

and a bribe concealed in the cloak pacifies great wrath.

15When justice is done, it brings joy to the righteous

but terror to evildoers.

16Whoever strays from the path of prudence

comes to rest in the company of the dead.

17Whoever loves pleasure will become poor;

whoever loves wine and olive oil will never be rich.

18The wicked become a ransom for the righteous,

and the unfaithful for the upright.

19Better to live in a desert

than with a quarrelsome and nagging wife.

20The wise store up choice food and olive oil,

but fools gulp theirs down.

21Whoever pursues righteousness and love

finds life, prosperity21:21 Or righteousness and honor.

22One who is wise can go up against the city of the mighty

and pull down the stronghold in which they trust.

23Those who guard their mouths and their tongues

keep themselves from calamity.

24The proud and arrogant person—“Mocker” is his name—

behaves with insolent fury.

25The craving of a sluggard will be the death of him,

because his hands refuse to work.

26All day long he craves for more,

but the righteous give without sparing.

27The sacrifice of the wicked is detestable—

how much more so when brought with evil intent!

28A false witness will perish,

but a careful listener will testify successfully.

29The wicked put up a bold front,

but the upright give thought to their ways.

30There is no wisdom, no insight, no plan

that can succeed against the Lord.

31The horse is made ready for the day of battle,

but victory rests with the Lord.