Mithali 20 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 20:1-30

120:1 Law 10:9; Hab 2:5; 1Sam 25:36; 1Fal 20:16; Mit 31:4Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi;

yeyote apotoshwaye navyo hana hekima.

220:2 Mit 8:36; 19:12; Es 7:7Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba;

yeye amkasirishaye hupoteza uhai wake.

320:3 Mwa 13:8; Mit 17:14Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi,

bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.

420:4 Mit 6:6; Mhu 10:18Mvivu halimi kwa majira;

kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama

lakini hapati chochote.

520:5 Za 18:16Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina,

lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.

620:6 Za 12:1; Mt 6:2; Mhu 7:28; Lk 18:8Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma,

bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?

720:7 Za 26:1; 37:25-26; 112:2Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama,

wamebarikiwa watoto wake baada yake.

820:8 1Fal 7:7; Mit 25:4-5Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu,

hupepeta ubaya wote kwa macho yake.

920:9 Mhu 7:20; 1Fal 8:46; 1Yn 1:8Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi;

mimi ni safi na sina dhambi?”

1020:10 Mit 20:23; 11:1Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti,

Bwana huchukia vyote viwili.

1120:11 Za 39:1; Mt 7:16Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake,

kama tabia yake ni safi na adili.

1220:12 Kut 4:11; Rum 11:26; Za 94:9Masikio yasikiayo na macho yaonayo,

Bwana ndiye alivifanya vyote viwili.

1320:13 Mit 6:11; 19:15; Rum 12:11Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini,

uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.

14“Haifai, haifai!” asema mnunuzi,

kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.

1520:15 Ay 28:12, 16, 17, 18, 19Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi,

lakini midomo inenayo maarifa

ni kito cha thamani kilicho adimu.

1620:16 Kut 22:26; Mit 27:13Chukua vazi la yule awekaye dhamana

kwa ajili ya mgeni;

lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo

kwa ajili ya mwanamke mpotovu.

17Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu,

bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.

1820:18 Mit 11:14; 24:6Fanya mipango kwa kutafuta mashauri,

ukipigana vita, tafuta maelekezo.

1920:19 Mit 11:13Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika,

kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza kupita kiasi.

2020:20 Kut 21:17; Mit 30:11; Ay 18:5; Law 20:9Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake,

taa yake itazimwa katika giza nene.

2120:21 Mit 28:8; Hab 2:6Urithi upatikanao haraka mwanzoni,

hautabarikiwa mwishoni.

2220:22 Mit 24:29; Yer 42:11; Kum 32:35; Rum 12:17-19Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!”

Mngojee Bwana, naye atakuokoa.

2320:23 Kum 25:13Bwana anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu,

nazo mizani zisizo halali hazimpendezi.

2420:24 Mit 19:21; Yer 10:23; Rum 8:26Hatua za mtu huongozwa na Bwana.

Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe?

2520:25 Mhu 5:2-5; Yer 44:25Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa haraka

na baada ya kitambo kidogo kufikiria tena nadhiri zake.

2620:26 Mit 20:8Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu,

hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.

2720:27 Za 119:105; Mit 16:2Taa ya Bwana huchunguza roho ya mwanadamu,

huchunguza utu wake wa ndani.

2820:28 Mit 29:14; Isa 16:5Upendo na uaminifu humweka mfalme salama,

kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.

2920:29 Mit 16:31Utukufu wa vijana ni nguvu zao,

mvi ni fahari ya uzee.

3020:30 Za 51:2; Mit 22:15Mapigo na majeraha huusafisha ubaya,

nayo michapo hutakasa utu wa ndani.

New Russian Translation

Притчи 20:1-30

1Вино глумливо, хмельное питье неистово;

кто дает им себя обмануть, не мудр.

2Ярость царя подобна львиному реву;

досадивший ему поплатится жизнью.

3Честь для человека – удерживаться от раздоров,

а всякий глупец скор на ссору.

4Ленивый не пашет вовремя;

возьмется искать в пору жатвы – и нет ничего.

5Замыслы в человеческом сердце – глубокие воды,

но разумный сможет их вычерпать.

6Многие зовут себя преданными,

но где найти человека, кому бы довериться?

7Праведник живет беспорочной жизнью,

блаженны после него его дети.

8Когда царь садится на судейский престол,

он глазами способен все зло развеять.

9Кто может сказать: «Я очистил сердце,

я чист и безгрешен»?

10Неверные весы и неверные гири –

и то и другое мерзко для Господа.

11Даже ребенка узнают по его делам,

по тому, чисты ли поступки его, правильны ли.

12Уши, которые слышат, и глаза, которые видят, –

и то и другое создал Господь.

13Не люби спать, не то обнищаешь;

бодрствуй, и будешь досыта есть.

14«Плохо, плохо», – говорит покупатель,

а когда отойдет, то покупкой хвастает.

15Есть золото и много драгоценных камней,

но уста ученые – редкая драгоценность.

16Забери одежду20:16 Верхнюю одежду брали в залог у бедняков (см. Исх. 22:26-27; Втор. 24:10-13). у поручившегося за незнакомца,

удержи залог у ручавшегося за чужую жену.

17Сладка человеку пища, добытая обманом,

но после нее рот будет полон песка.

18Строй замыслы, обсуждая их с другими;

если ведешь войну, ищи мудрого совета.

19Сплетня доверие предает,

так что избегай человека, который болтлив.

20У проклинающего отца или мать

светильник погаснет во тьме кромешной.

21Наследство, поспешно захваченное вначале,

в конце не принесет благословения.

22Не говори: «Я отплачу за обиду!»

Положись на Господа – Он спасет тебя.

23Мерзость для Господа гири неправильные,

и весы нечестные Ему неугодны.

24Шаги человека направляет Господь.

Как же может человек путь свой постичь?

25Ловушка для человека – поспешно посвящать что-либо Богу

и только после обдумывать свой обет.

26Мудрый царь провеивает нечестивых;

он гонит по ним молотильное колесо.

27Дух человека – светильник Господень,

исследующий все глубины его существа.

28Любовь20:28 Или: «милость». и истина20:28 Или: «верность». хранят царя;

милостью он утверждает престол свой.

29Слава юношей в силе их,

седина – украшение старости.

30Удары, что ранят, очищают от зла,

и битье очищает глубины сердца.