Mithali 20 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 20:1-30

120:1 Law 10:9; Hab 2:5; 1Sam 25:36; 1Fal 20:16; Mit 31:4Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi;

yeyote apotoshwaye navyo hana hekima.

220:2 Mit 8:36; 19:12; Es 7:7Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba;

yeye amkasirishaye hupoteza uhai wake.

320:3 Mwa 13:8; Mit 17:14Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi,

bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.

420:4 Mit 6:6; Mhu 10:18Mvivu halimi kwa majira;

kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama

lakini hapati chochote.

520:5 Za 18:16Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina,

lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.

620:6 Za 12:1; Mt 6:2; Mhu 7:28; Lk 18:8Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma,

bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?

720:7 Za 26:1; 37:25-26; 112:2Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama,

wamebarikiwa watoto wake baada yake.

820:8 1Fal 7:7; Mit 25:4-5Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu,

hupepeta ubaya wote kwa macho yake.

920:9 Mhu 7:20; 1Fal 8:46; 1Yn 1:8Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi;

mimi ni safi na sina dhambi?”

1020:10 Mit 20:23; 11:1Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti,

Bwana huchukia vyote viwili.

1120:11 Za 39:1; Mt 7:16Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake,

kama tabia yake ni safi na adili.

1220:12 Kut 4:11; Rum 11:26; Za 94:9Masikio yasikiayo na macho yaonayo,

Bwana ndiye alivifanya vyote viwili.

1320:13 Mit 6:11; 19:15; Rum 12:11Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini,

uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.

14“Haifai, haifai!” asema mnunuzi,

kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.

1520:15 Ay 28:12, 16, 17, 18, 19Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi,

lakini midomo inenayo maarifa

ni kito cha thamani kilicho adimu.

1620:16 Kut 22:26; Mit 27:13Chukua vazi la yule awekaye dhamana

kwa ajili ya mgeni;

lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo

kwa ajili ya mwanamke mpotovu.

17Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu,

bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.

1820:18 Mit 11:14; 24:6Fanya mipango kwa kutafuta mashauri,

ukipigana vita, tafuta maelekezo.

1920:19 Mit 11:13Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika,

kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza kupita kiasi.

2020:20 Kut 21:17; Mit 30:11; Ay 18:5; Law 20:9Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake,

taa yake itazimwa katika giza nene.

2120:21 Mit 28:8; Hab 2:6Urithi upatikanao haraka mwanzoni,

hautabarikiwa mwishoni.

2220:22 Mit 24:29; Yer 42:11; Kum 32:35; Rum 12:17-19Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!”

Mngojee Bwana, naye atakuokoa.

2320:23 Kum 25:13Bwana anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu,

nazo mizani zisizo halali hazimpendezi.

2420:24 Mit 19:21; Yer 10:23; Rum 8:26Hatua za mtu huongozwa na Bwana.

Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe?

2520:25 Mhu 5:2-5; Yer 44:25Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa haraka

na baada ya kitambo kidogo kufikiria tena nadhiri zake.

2620:26 Mit 20:8Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu,

hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.

2720:27 Za 119:105; Mit 16:2Taa ya Bwana huchunguza roho ya mwanadamu,

huchunguza utu wake wa ndani.

2820:28 Mit 29:14; Isa 16:5Upendo na uaminifu humweka mfalme salama,

kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.

2920:29 Mit 16:31Utukufu wa vijana ni nguvu zao,

mvi ni fahari ya uzee.

3020:30 Za 51:2; Mit 22:15Mapigo na majeraha huusafisha ubaya,

nayo michapo hutakasa utu wa ndani.

La Bible du Semeur

Proverbes 20:1-30

1Le vin est plein d’insolence et l’alcool rempli de tapage,

qui s’en laisse griser ne pourra être sage.

2Tel le rugissement d’un jeune lion, le roi inspire la terreur :

qui le met en colère se nuit à lui-même.

3Se tenir à l’écart des querelles fait honneur à l’homme,

mais tout insensé s’y jette à corps perdu.

4A la saison froide20.4 Automne et hiver, l’époque des pluies et des semailles en Israël., le paresseux ne laboure pas,

au temps de la moisson, il cherche à récolter, mais ne trouve rien.

5Les projets que forme l’homme dans son cœur sont comme des eaux profondes,

mais l’homme intelligent sait y puiser.

6Beaucoup de gens font état de leur bonté,

mais où trouver un homme sincère ?

7Le juste vit de façon intègre ;

heureux sont ses enfants après lui !

8Lorsque le roi siège pour juger,

d’un coup d’œil, il dissipe tout ce qui est mal.

9Qui osera dire : « J’ai purifié mon cœur,

je suis pur de toute faute » ?

10Ceux qui ont deux poids différents, et ceux qui utilisent deux mesures différentes

sont l’un et l’autre en horreur à l’Eternel20.10 Voir 11.1 et note..

11Le jeune enfant manifeste qui il est par ses actes,

on voit si sa conduite sera pure et droite.

12L’Eternel nous a donné des oreilles pour entendre

et aussi des yeux pour voir.

13N’aime pas trop le sommeil, pour ne pas finir dans la pauvreté :

garde tes yeux ouverts, et tu auras de quoi te rassasier.

14L’acheteur dit toujours :

« C’est une bien mauvaise affaire »,

mais dès qu’il est parti, il se félicite de ce qu’il a obtenu.

15Si l’or et les perles précieuses abondent,

les joyaux les plus précieux sont des lèvres qui dispensent la connaissance.

16Si quelqu’un s’est porté garant des dettes d’un étranger, prends-lui son vêtement,

et s’il a cautionné des inconnus, exige qu’il te donne des gages.

17Au premier abord, le pain mal acquis est savoureux,

mais, par la suite, ta bouche se trouvera pleine de cailloux.

18Lorsque tu fais des projets, prends conseil,

et ne te lance pas dans une bataille sans une stratégie bien conçue.

19Qui divulgue des secrets finit par se répandre en calomnies ;

n’aie donc pas de relations avec un bavard.

20Si quelqu’un maudit son père ou sa mère,

sa vie s’éteindra en pleines ténèbres20.20 Crime puni de mort par la Loi (Ex 21.17 ; Lv 20.9 ; Dt 27.16)..

21Il n’y a pas de bénédiction durable

pour un patrimoine vite obtenu au début.

22Ne dis pas : « Je me vengerai ! »

Confie-toi en l’Eternel et il te délivrera.

23L’Eternel a horreur de l’usage de deux poids différents,

et il n’est pas bien d’employer des balances truquées20.23 Voir v. 10, et 11.1 et note..

24C’est l’Eternel qui trace la voie d’un homme ;

comment un humain pourrait-il comprendre par quel chemin il passe ?

25Il est dangereux pour l’homme de consacrer précipitamment quelque chose à l’Eternel

et de ne se mettre à réfléchir qu’après avoir fait son vœu20.25 Voir Ec 5.3-5..

26Un roi sage chasse au loin les méchants

et fait passer sur eux la roue.

27L’esprit de l’homme est une lampe que l’Eternel a donnée

et qui sonde les profondeurs de l’être.

28La bonté et la fidélité du roi assurent sa protection ;

oui, par sa bonté20.28 L’ancienne version grecque a : par sa justice., il affermit son autorité.

29La fierté des jeunes gens, c’est leur force,

mais l’honneur des vieillards, ce sont leurs cheveux blancs.

30Les plaies d’une blessure sont un remède contre le mal,

et les coups que l’on reçoit purgent l’être intérieur.