Mithali 2 – NEN & NIVUK

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 2:1-22

Faida Za Hekima

12:1 Mit 1:8Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu

na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,

22:2 Mit 22:17kutega sikio lako kwenye hekima

na kuweka moyo wako katika ufahamu,

32:3 Yak 1:5na kama ukiita busara

na kuita kwa sauti ufahamu,

42:4 Ay 3:21; Mt 13:44; 6:19-21na kama utaitafuta kama fedha

na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,

52:5 Kum 4:6ndipo utakapoelewa kumcha Bwana

na kupata maarifa ya Mungu.

62:6 Ay 12:13; Lk 21:15; Yak 1:5Kwa maana Bwana hutoa hekima,

na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.

72:7 Mwa 6:9; 15:1; Mit 30:5-6; Za 84:11Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,

yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,

82:8 1Sam 2:9; Za 18:25kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki

na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.

92:9 Kum 1:16Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki

na sawa: yaani kila njia nzuri.

102:10 Mit 14:33Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako,

nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.

112:11 Mit 4:6Busara itakuhifadhi

na ufahamu utakulinda.

122:12 Mit 2:16; 3:13-18; 4:5Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,

kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,

132:13 Mit 4:19; Yn 3:19; Efe 4:18wale waachao mapito yaliyonyooka

wakatembea katika njia za giza,

142:14 Mit 15:21; Yer 11:15wale wapendao kutenda mabaya

na kufurahia upotovu wa ubaya,

152:15 Za 125:5; Mit 21:8ambao mapito yao yamepotoka

na ambao ni wapotovu katika njia zao.

162:16 Mit 6:20-29; 7:5-27Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba,

kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno

ya kushawishi kutenda ubaya,

172:17 Mal 2:14; Mwa 2:24aliyemwacha mwenzi wa ujana wake

na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.

182:18 Mit 5:5; 7:27; 9:18Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo

na mapito yake kwenye roho za waliokufa.

192:19 Mit 5:8; Mhu 7:26; Ebr 13:4Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi,

au kufikia mapito ya uzima.

202:20 Ebr 6:12Hivyo utatembea katika njia za watu wema

na kushikamana na mapito ya wenye haki.

212:21 Za 37:29Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi,

nao wasio na lawama watabakia ndani yake.

222:22 Ay 18:17; Za 37:38; Kum 29:28Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi,

nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.

New International Version – UK

Proverbs 2:1-22

Moral benefits of wisdom

1My son, if you accept my words

and store up my commands within you,

2turning your ear to wisdom

and applying your heart to understanding –

3indeed, if you call out for insight

and cry aloud for understanding,

4and if you look for it as for silver

and search for it as for hidden treasure,

5then you will understand the fear of the Lord

and find the knowledge of God.

6For the Lord gives wisdom;

from his mouth come knowledge and understanding.

7He holds success in store for the upright,

he is a shield to those whose way of life is blameless,

8for he guards the course of the just

and protects the way of his faithful ones.

9Then you will understand what is right and just

and fair – every good path.

10For wisdom will enter your heart,

and knowledge will be pleasant to your soul.

11Discretion will protect you,

and understanding will guard you.

12Wisdom will save you from the ways of wicked men,

from men whose words are perverse,

13who have left the straight paths

to walk in dark ways,

14who delight in doing wrong

and rejoice in the perverseness of evil,

15whose paths are crooked

and who are devious in their ways.

16Wisdom will save you also from the adulterous woman,

from the wayward woman with her seductive words,

17who has left the partner of her youth

and ignored the covenant she made before God.2:17 Or covenant of her God

18Surely her house leads down to death

and her paths to the spirits of the dead.

19None who go to her return

or attain the paths of life.

20Thus you will walk in the ways of the good

and keep to the paths of the righteous.

21For the upright will live in the land,

and the blameless will remain in it;

22but the wicked will be cut off from the land,

and the unfaithful will be torn from it.