117:1 Mit 15:16, 17; 16:8Afadhali kula ukoko mkavu ukiwa na amani na utulivu
kuliko kukaa kwenye nyumba ya karamu kukiwa na magomvi.
217:2 Mit 10:5; 19:26Mtumishi mwenye hekima atatawala juu ya mwana aaibishaye,
naye atashirikiana katika urithi kama mmoja wa hao ndugu.
317:3 Mit 27:21; Yer 17:10; 1Pet 1:7; Za 26:2Kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,
bali Bwana huujaribu moyo.
4Mtu mwovu husikiliza midomo mibaya;
mwongo husikiliza kwa makini ulimi wa madhara.
517:5 Mit 14:31; Ay 31:39; Eze 25:3; Oba 1:12Yeye anaye mdhihaki maskini huonyesha dharau kwa Muumba wake;
yeyote afurahiaye maafa hataepuka kuadhibiwa.
617:6 Za 125:5; Mit 13:22Wana wa wana ni taji la wazee,
nao wazazi ni fahari ya watoto wao.
717:7 Mit 16:10Midomo yenye uwezo wa ushawishi haimfai mpumbavu:
je, ni mibaya kiasi gani zaidi midomo ya uongo kwa mtawala!
817:8 Mwa 39:21; Dan 6:3Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho;
kokote kigeukiapo, hufanikiwa.
917:9 Mit 10:12; 16:28Yeye anayesamehe kosa hudumisha upendo,
bali yeyote arudiaye jambo hutenganisha marafiki wa karibu.
10Karipio humwingia sana mtu mwenye kutambua
kuliko mapigo mia kwa mpumbavu.
11Mtu mbaya hupenda kuasi tu;
mjumbe asiye na huruma atatumwa dhidi yake.
1217:12 1Sam 25:25Ni afadhali ukutane na dubu aliyenyangʼanywa watoto wake,
kuliko mpumbavu katika upumbavu wake.
1317:13 Yer 18:20; 1Sam 19:4; Rum 12:17; Za 109:4-5Ikiwa mtu atalipa baya kwa jema,
kamwe ubaya hautaondoka katika nyumba yake.
1417:14 Mit 20:3; Mt 5:25-26; Mdo 6:1Kuanzisha ugomvi ni kama kutoboa bwawa la maji;
kwa hiyo acha jambo hilo kabla mabishano hayajaanza.
1517:15 Za 94:21; Kut 23:6-7; Mit 18:5; Mao 3:34-36; Isa 5:23Yeye asemaye kuwa asiye na haki ana haki,
naye asemaye kuwa mwenye haki hana haki:
Bwana huwachukia sana wote wawili.
1617:16 Mit 23:23Fedha ina faida gani mikononi mwa mpumbavu,
wakati yeye hana haja ya kupata hekima?
1717:17 2Sam 15:21; Mit 27:10Rafiki hupenda wakati wote
naye ndugu amezaliwa kwa ajili ya wakati wa shida.
1817:18 Mit 6:1-5; 11:5Mtu mjinga hupana mkono ili kuweka rehani,
naye huweka dhamana kwa jirani yake.
19Yeye apendaye ugomvi apenda dhambi;
naye ainuaye sana lango lake17:19 Kuinua lango maana yake ni kusema kwa majivuno. hutafuta uharibifu.
20Mtu mwenye moyo mpotovu hawezi kufanikiwa;
naye ambaye ulimi wake ni mdanganyifu huanguka kwenye taabu.
2117:21 Mit 10:1Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni;
hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.
2217:22 Kut 12:46; Za 22:15Moyo wenye furaha ni dawa nzuri,
bali roho iliyopondeka hukausha mifupa.
2317:23 Kut 18:21; 1Sam 8:3Mtu mwovu hukubali rushwa kwa siri
ili kupotosha njia ya haki.
2417:24 Ay 31:1; Mhu 2:14Mtu wa ufahamu huitazama hekima,
lakini macho ya mpumbavu huhangaika
hadi kwenye miisho ya dunia.
2517:25 Mit 10:1Mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba yake
na uchungu kwa yeye aliyemzaa.
2617:26 Za 94:21; Mit 18:5Si vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia,
au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya uadilifu wao.
2717:27 Ay 6:24; Mit 14:29Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa kujizuia,
naye mtu mwenye ufahamu ana moyo wa utulivu.
2817:28 Ay 2:13; Mit 10:19Hata mtu mpumbavu hudhaniwa kuwa na hekima kama akinyamaza,
na mwenye ufahamu kama akiuzuia ulimi wake.
1Melhor é um pedaço de pão seco com paz e tranquilidade
do que uma casa onde há banquetes17.1 Hebraico: sacrifícios. e muitas brigas.
2O servo sábio dominará sobre o filho de conduta vergonhosa
e participará da herança como um dos irmãos.
3O crisol é para a prata e o forno é para o ouro,
mas o Senhor prova o coração.
4O ímpio dá atenção aos lábios maus;
o mentiroso dá ouvidos à língua destruidora.
5Quem zomba dos pobres mostra desprezo pelo Criador deles;
quem se alegra com a desgraça não ficará sem castigo.
6Os filhos dos filhos são uma coroa para os idosos,
e os pais são o orgulho dos seus filhos.
7Os lábios arrogantes17.7 Ou eloquentes não ficam bem ao insensato;
muito menos os lábios mentirosos ao governante!
8O suborno é um recurso fascinante para aquele que o oferece;
aonde quer que vá, ele tem sucesso.
9Aquele que cobre uma ofensa promove amor,
mas quem a lança em rosto separa bons amigos.
10A repreensão faz marca mais profunda no homem de entendimento
do que cem açoites no tolo.
11O homem mau só pende para a rebeldia;
por isso um oficial impiedoso será enviado contra ele.
12Melhor é encontrar uma ursa da qual roubaram os filhotes
do que um tolo em sua insensatez.
13Quem retribui o bem com o mal
jamais deixará de ter mal no seu lar.
14Começar uma discussão é como abrir brecha num dique;
por isso resolva a questão antes que surja a contenda.
15Absolver o ímpio e condenar o justo
são coisas que o Senhor odeia.
16De que serve o dinheiro na mão do tolo,
já que ele não quer obter sabedoria?
17O amigo ama em todos os momentos;
é um irmão na adversidade.
18O homem sem juízo com um aperto de mãos se compromete
e se torna fiador do seu próximo.
19Quem ama a discussão ama o pecado;
quem constrói portas altas17.19 Ou quem se orgulha está procurando a sua ruína.
20O homem de coração perverso não prospera,
e o de língua enganosa cai na desgraça.
21O filho tolo só dá tristeza,
e nenhuma alegria tem o pai do insensato.
22O coração bem disposto é remédio eficiente,
mas o espírito oprimido resseca os ossos.
23O ímpio aceita às escondidas o suborno
para desviar o curso da justiça.
24O homem de discernimento mantém a sabedoria em vista,
mas os olhos do tolo vagueiam até os confins da terra.
25O filho tolo é a tristeza do seu pai
e a amargura daquela que o deu à luz.
26Não é bom castigar o inocente,
nem açoitar quem merece ser honrado.
27Quem tem conhecimento é comedido no falar,
e quem tem entendimento é de espírito sereno.
28Até o insensato passará por sábio se ficar quieto
e, se contiver a língua, parecerá que tem discernimento.