Mithali 14 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 14:1-35

114:1 Rut 3:11; Mit 24:3Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake,

bali mpumbavu huibomoa nyumba yake

kwa mikono yake mwenyewe.

214:2 Ay 12:4Yeye ambaye njia zake ni nyofu humcha Bwana,

bali yeye ambaye njia zake zimepotoka humdharau Mungu.

314:3 Mit 12:6; 10:13Mazungumzo ya mpumbavu huleta fimbo mgongoni mwake,

bali mwenye hekima hulindwa na maneno ya midomo yake.

414:4 Za 12:2; Mit 12:17Pale ambapo hakuna mafahali, hori ni tupu,

bali kutokana na nguvu za fahali huja mavuno mengi.

514:5 Kut 20:16; Za 12:2; Mit 6:19Shahidi mwaminifu hadanganyi,

bali shahidi wa uongo humimina uongo.

614:6 Mit 9:9; 17:24Mwenye mzaha huitafuta hekima na haipati,

bali maarifa huja kwa urahisi kwa anayepambanua.

7Kaa mbali na mtu mpumbavu,

kwa maana hutapata maarifa katika midomo yake.

814:8 Lk 12:20; 1Kor 3:19; Mit 15:28; 21:29Hekima ya mwenye busara ni kufikiria njia zake,

bali upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.

914:9 Mit 1:22; 10:23Wapumbavu hudhihaki kujirekebisha kutoka dhambi,

bali wema hupatikana miongoni mwa wanyofu.

10Kila moyo hujua uchungu wake wenyewe,

wala hakuna yeyote awezaye kushiriki furaha yake.

1114:11 Za 72:7; Ay 8:15; Mit 3:33Nyumba ya mwovu itaangamizwa,

bali hema la mnyofu litastawi.

1214:12 Rum 6:21; Mit 12:15; 16:25Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu,

bali mwisho wake huelekeza mautini.

1314:13 Mhu 2:2; 7:3-6Hata katika kicheko moyo waweza kuuma,

nayo furaha yaweza kuishia katika majonzi.

1414:14 2Nya 15:7; Mit 12:14Wasio na imani watapatilizwa kikamilifu kwa ajili ya njia zao,

naye mtu mwema atapewa thawabu kwa ajili ya njia yake.

1514:15 Mit 14:8Mtu mjinga huamini kila kitu,

bali mwenye busara hufikiria hatua zake.

1614:16 Kut 20:20; Mit 22:3Mtu mwenye hekima humcha Bwana na kuepuka mabaya,

bali mpumbavu hukasirika kwa hamaki na uzembe.

1714:17 Mit 28:25; 29:22Mtu anayekasirika kwa haraka hufanya mambo ya upumbavu,

naye mtu wa hila huchukiwa.

18Mjinga hurithi upumbavu,

bali wenye busara huvikwa maarifa kichwani kama taji.

1914:19 Mit 11:29Watu wabaya watasujudu mbele ya watu wema,

nao waovu kwenye malango ya wenye haki.

2014:20 Mit 19:4, 7Maskini huepukwa hata na majirani zao,

bali matajiri wana marafiki wengi.

2114:21 Mit 11:12; 19:17; Za 41:1Yeye anayemdharau jirani yake hutenda dhambi,

bali amebarikiwa yeye aliye na huruma kwa mhitaji.

2214:22 Mit 4:16-17Je, wale wanaopanga ubaya hawapotoki?

Bali wale wanaopanga kilicho chema

hupata upendo na uaminifu.

23Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida,

bali mazungumzo matupu huelekea umaskini tu.

2414:24 Mit 14:8Utajiri wa wenye hekima ni taji yao,

bali upumbavu wa wapumbavu huzaa upumbavu.

2514:25 Mit 12:17Shahidi wa kweli huokoa maisha,

bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.

2614:26 Mit 19:23; Isa 33:6Yeye amchaye Bwana ana ngome salama,

na kwa watoto wake itakuwa kimbilio.

2714:27 Za 18:5; Mit 13:14Kumcha Bwana ni chemchemi ya uzima,

ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.

2814:28 2Sam 19:7Wingi wa watu ni utukufu wa mfalme,

bali pasipo watu mkuu huangamia.

2914:29 Mhu 7:8-9; Mit 15:18; Yak 1:19Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi,

bali anayekasirika haraka huonyesha upumbavu.

3014:30 Ay 5:2; Mdo 7:9; Mit 12:4Moyo wenye amani huupa mwili uzima,

bali wivu huozesha mifupa.

3114:31 Ay 31:15-16; Mit 17:5Yeye amwoneaye maskini huonyesha dharau kwa Muumba wao,

bali yeyote anayemhurumia mhitaji humheshimu Mungu.

3214:32 Za 34:21; Mit 6:15; Ay 13:15; 2Tim 4:18Waovu huangamizwa kwa matendo yao maovu,

bali hata katika kifo wenye haki hupata kimbilio.

3314:33 Mit 2:6-10Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu

bali haijulikani miongoni mwa wapumbavu.

3414:34 Mit 11:11Haki huinua taifa,

bali dhambi ni aibu kwa watu wote.

3514:35 Es 8:2; Mt 25:14-30Mfalme hupendezwa na mtumishi mwenye hekima,

bali ghadhabu yake humwangukia

mtumishi mwenye kuaibisha.

Thai New Contemporary Bible

สุภาษิต 14:1-35

1หญิงฉลาดสร้างเรือนของตนขึ้น

ส่วนหญิงโง่รื้อมันลงด้วยมือของตน

2คนที่ยำเกรงองค์พระผู้เป็นเจ้าก็เดินอย่างเที่ยงตรง

แต่คนที่ดูหมิ่นพระองค์ก็เดินในทางคดเคี้ยวของตน

3วาจายโสของคนโง่นำโทษทัณฑ์มาสู่ตนเอง

แต่คำพูดของคนฉลาดจะปกป้องเขาไว้

4ที่ไหนไม่มีวัว ยุ้งฉางก็ว่างเปล่า

แต่แรงวัวให้ผลผลิตอุดมสมบูรณ์

5พยานซื่อสัตย์ไม่โกหก

แต่พยานเท็จโกหกอยู่เรื่อย

6คนชอบเยาะเย้ยแสวงหาปัญญาแต่ไม่เคยพบ

แต่ผู้ที่มีความเข้าใจก็พบความรู้ได้อย่างง่ายดาย

7อย่าเฉียดใกล้คนโง่

เพราะเจ้าจะไม่พบความรู้จากปากของเขา

8ปัญญาของคนฉลาดหลักแหลมคือการเข้าใจทางของตน

แต่ความโง่ของคนโง่คือการหลอกตัวเอง

9คนโง่ล้อเล่นกับความผิดบาป

แต่ในหมู่คนเที่ยงธรรมมีแต่ความปรารถนาดี

10มีแต่ใจตนเองที่รู้ถึงความขมขื่น

และไม่มีใครร่วมรับรู้สันติสุขในใจ

11บ้านของคนชั่วจะถูกทำลายราบคาบ

แต่เพิงของคนเที่ยงธรรมจะเจริญขึ้น

12มีทางหนึ่งซึ่งคนเราคิดว่าถูกต้อง

แต่จุดจบของทางเหล่านี้คือความตาย

13แม้ขณะหัวเราะ จิตใจอาจปวดร้าว

และความชื่นชมยินดีอาจจบลงด้วยความโศกเศร้า

14คนละทิ้งความเชื่อจะถูกลงโทษอย่างสาสมเพราะทางของเขา

แต่คนดีก็ได้รับบำเหน็จของตน

15คนอ่อนต่อโลกเชื่อไปหมดทุกอย่าง

แต่คนสุขุมรอบคอบรู้จักยั้งคิดในแต่ละย่างก้าว

16คนฉลาดยำเกรงองค์พระผู้เป็นเจ้าและหลีกห่างจากความชั่ว

ส่วนคนโง่หุนหันพลันแล่นแต่หลงคิดว่าตนเองมั่นคงปลอดภัย

17คนวู่วามทำอะไรโง่ๆ

และคนเจ้าเล่ห์เป็นที่เกลียดชัง

18คนอ่อนต่อโลกรับความโง่เป็นมรดก

แต่คนสุขุมรอบคอบรับความรู้เป็นมงกุฎ

19คนชั่วจะก้มกราบลงต่อหน้าคนดี

และคนเลวจะกราบลงที่ประตูรั้วของคนชอบธรรม

20คนจนนั้นแม้แต่เพื่อนบ้านก็ยังเมินหนี

แต่คนร่ำรวยมีเพื่อนฝูงมากมาย

21ผู้ที่ดูถูกเพื่อนบ้านก็บาป

ความสุขมีแก่ผู้ที่ช่วยเหลือคนยากไร้

22ผู้วางแผนชั่วร้ายก็หลงเตลิดไม่ใช่หรือ?

แต่คนที่คิดอ่านการดีก็พบ14:22 หรือแสดงความเมตตากรุณาและความซื่อสัตย์

23การพากเพียรทำงานล้วนให้ผลกำไร

ถ้าดีแต่พูดก็ยากจน

24ความมั่งคั่งเป็นมงกุฎของคนฉลาด

แต่ความโง่ของคนโง่ก็คือความโง่

25พยานที่พูดความจริงช่วยชีวิตคน

แต่พยานเท็จใส่ร้ายป้ายสี

26ผู้ที่ยำเกรงองค์พระผู้เป็นเจ้ามีป้อมปราการมั่นคง

ซึ่งจะเป็นที่ลี้ภัยให้แก่ลูกหลานของเขา

27ความยำเกรงองค์พระผู้เป็นเจ้าเป็นน้ำพุแห่งชีวิต

ช่วยให้คนพ้นจากบ่วงความตาย

28ศักดิ์ศรีของกษัตริย์อยู่ที่จำนวนประชากรที่จงรักภักดี

ถ้าไม่มีประชาชน เจ้านายก็อยู่ไม่ได้

29ความใจเย็นเป็นคุณลักษณะที่ยิ่งใหญ่

ความใจร้อนส่งเสริมความโง่เขลา

30ใจสงบเยือกเย็นให้ชีวิตกับร่างกาย

แต่ความอิจฉาริษยากัดกร่อนกระดูก

31ผู้ที่รังแกคนยากจนก็หมิ่นประมาทพระผู้สร้างของพวกเขา

แต่ผู้ที่เมตตาคนขัดสนก็ถวายเกียรติแด่พระเจ้า

32เมื่อภัยพิบัติมาถึง คนชั่วก็ถูกโค่นล้ม

แต่คนชอบธรรมลี้ภัยในพระเจ้าแม้ในความตาย

33สติปัญญาพักอยู่ในใจของคนที่มีวิจารณญาณ

และเป็นที่ประจักษ์แจ้งแม้ในหมู่คนโง่14:33 ฉบับ LXX. และ Syr. ว่าแต่ในใจของคนโง่ไร้สติปัญญา

34ความชอบธรรมเชิดชูชาติ

แต่บาปทำให้ชนชาติต่างๆ ถูกพิพากษา

35กษัตริย์โปรดปรานคนรับใช้ที่ฉลาด

แต่ทรงพระพิโรธคนรับใช้ที่ไม่ได้ความ