111:1 Law 19:36; Ay 6:2; Mit 16:11; Eze 45:10Bwana huchukia sana mizani za udanganyifu,
bali vipimo sahihi ni furaha yake.
211:2 Dan 4:30; Mit 16:18; 18:12Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu,
bali unyenyekevu huja na hekima.
311:3 Mit 13:6Uadilifu wa wenye haki huwaongoza,
bali wasio waaminifu huharibiwa na hila yao.
411:4 Ay 20:20; Eze 7:19; Sef 1:18Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu,
bali haki huokoa kutoka mautini.
511:5 1Fal 8:36; Mit 5:21-23; 13:6; 21:7Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea njia iliyonyooka,
bali waovu huangushwa kwa uovu wao wenyewe.
611:6 Es 7:9; 1Tim 4:8; Mhu 10:8Haki ya wanyofu huwaokoa,
bali wasio waaminifu hunaswa na tamaa mbaya.
711:7 Ay 8:13; Mit 10:28Wakati mtu mwovu anapokufa, matumaini yake hutoweka;
yote aliyoyatazamia kutokana na nguvu zake huwa si kitu.
811:8 Mit 21:8Mtu mwenye haki huokolewa kutoka taabu,
naye mtu mwovu huingia humo badala yake.
911:9 Mit 12:6; Yer 45:5; Ay 8:13Kwa kinywa chake mtu asiyemwamini Mungu
humwangamiza jirani yake,
bali kwa maarifa mwenye haki huokolewa.
1011:10 2Fal 11:20; Mit 28:12; Es 8:15Wakati mwenye haki anapofanikiwa, mji hufurahi;
mwovu atowekapo, kuna kelele za furaha.
1111:11 Mit 14:34; 29:8Kutokana na baraka ya mtu mnyofu mji hukwezwa,
bali kwa kinywa cha mwovu mji huharibiwa.
1211:12 Mit 14:21; Ay 6:24Mtu asiye na akili humdharau jirani yake,
bali mtu mwenye ufahamu huuzuia ulimi wake.
1311:13 Law 19:16; 1Tim 5:13; Mit 20:19; 10:14Masengenyo husaliti tumaini,
bali mtu mwaminifu hutunza siri.
1411:14 Mit 20:18; 24:6; 2Sam 15:34; 1Fal 12:1; Mit 20:18; 2Sam 15:34; Mit 15:22; 24:6; 1Fal 12:1Pasipo ushauri wa hekima taifa huanguka,
bali washauri wengi hufanya ushindi uwe wa hakika.
1511:15 Mit 6:1; 17:18; 22:26-27Yeye amdhaminiye mgeni hakika atateseka,
bali yeyote akataaye kuunga mkono dhamana ni salama.
1611:16 Mit 31:31Mwanamke mwenye moyo wa huruma hupata heshima,
bali wanaume wakorofi hupata mali tu.
1711:17 Mt 25:34Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe,
bali mkatili hujiletea taabu mwenyewe.
1811:18 Hos 10:12; Kut 1:20; Ay 4:8Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu,
bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika.
1911:19 Kum 30:15; Mit 10:2; 1Sam 2:6; Za 89:48; Mit 1:18-19; Mhu 7:2; Yer 43:1Mtu mwenye haki kweli kweli hupata uzima,
bali yeye afuatiliaye ubaya huendea kifo chake.
2011:20 1Nya 29:17; Za 52:7Bwana huwachukia sana watu wenye moyo wa upotovu,
bali hupendezwa na wale ambao njia zao hazina lawama.
2111:21 Mit 16:5; Za 112:2Uwe na hakika na hili: Waovu hawataepuka kuadhibiwa,
bali wenye haki watakuwa huru.
22Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe
ndivyo alivyo mwanamke mzuri ambaye hana busara.
2311:23 Rum 2:8, 9Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema,
bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu.
2411:24 Za 112:9Kuna mtu atoaye kwa ukarimu, hata hivyo hupata zaidi,
mwingine huzuia, lakini huwa maskini.
2511:25 Mit 22:9; 2Kor 9:6-9; Mt 5:7Mtu mkarimu atastawi;
yeye awaburudishaye wengine
ataburudishwa mwenyewe.
2611:26 Amo 8:5; Ay 29:13Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka,
bali baraka itamkalia kichwani kama taji
yeye aliye radhi kuiuza.
2711:27 Es 7:10; Za 7:15-16Yeye atafutaye mema hupata ukarimu,
bali ubaya huja kwake yeye autafutaye.
2811:28 Yer 9:23; 17:8; Mk 10:25; Za 52:8Yeyote ategemeaye utajiri wake ataanguka,
bali mwenye haki atastawi kama jani bichi.
2911:29 Mhu 5:16; Mit 14:19Yeye aletaye taabu kwa jamaa yake atarithi tu upepo,
naye mpumbavu atakuwa mtumishi wa wenye hekima.
3011:30 Mwa 2:9; Yak 5:20Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima,
naye mwenye hekima huvuta roho za watu.
3111:31 Yer 25:29; 49:12; 1Pet 4:18Kama wenye haki watapokea ujira wao duniani,
si zaidi sana yule asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?
1O Senhor repudia a balança desonesta,
mas tem grande prazer no peso correto.
2A gente soberba acaba sempre por cair na vergonha;
a sabedoria está do lado dos mansos.
3As pessoas íntegras são conduzidas pela sua própria honestidade;
as desonestas serão arruinadas pela sua maldade.
4As riquezas de nada servem no dia do juízo;
só a justiça livra da morte.
5A justiça das pessoas íntegras torna reta a sua conduta,
mas o pecador cairá com o peso dos seus pecados.
6A justiça dos retos os livrará,
mas os maus serão apanhados pelos seus próprios apetites.
7Quando o pecador morre, morrem com ele as suas esperanças,
porque se baseiam unicamente nas coisas materiais.
8Deus livra os retos da angústia,
mas aos homens maus deixa-os passar por ela.
9O hipócrita destrói o seu próximo com a língua,
mas os justos hão de livrar-se, por meio do conhecimento.
10Todo o cidadão se regozija com o sucesso de um homem justo,
assim como também com a queda dos homens maus.
11Com a bênção dos justos a cidade prosperará,
mas será destruída pelas palavras dos perversos.
12Quem despreza o seu próximo carece de bom senso;
aquele que tem entendimento sabe dominar-se.
13Quem anda metido em mexericos só espalha intrigas,
mas a pessoa de confiança sabe quando deve calar-se.
14Sem uma direção sábia, o povo perturba-se,
mas com bons conselheiros há segurança.
15Quem ficar por fiador de um estranho, certamente virá a sofrer;
vale mais recusar sê-lo e ficar seguro.
16A honra é própria de uma mulher graciosa;
mas os homens violentos só adquirem riquezas.
17Uma pessoa bondosa faz bem, até à sua própria alma,
mas destrói-a, quando se torna cruel.
18Os lucros que os maus obtêm não lhes rendem nada;
os que semeiam a justiça terão uma recompensa garantida.
19Tal como a justiça conduz à vida,
assim também o que segue o mal fá-lo para a sua própria morte.
20O Senhor aborrece profundamente os que têm um coração tortuoso,
mas tem prazer nos que andam em retidão.
21O indivíduo mau nunca virá a ficar sem castigo,
mas os filhos dos justos escaparão.
22Como uma joia de ouro no focinho dum porco,
assim é uma mulher bonita, mas insensata.
23Os que vivem com justiça podem contar com a felicidade,
mas os que se afastam de Deus só podem esperar a condenação.
24Alguns há que distribuem o que têm e ainda se tornam ricos;
outros retêm, com avareza, o que possuem e acabam por perder tudo.
25Sim, os que são generosos engordarão;
os que dão a beber aos outros serão saciados.
26O povo amaldiçoa quem açambarca alimentos para especular,
mas aqueles que vendem o que faz falta serão abençoados.
27O que procura ansiosamente o bem, virá a encontrar favor;
àquele que só sabe seguir o mal, o mal acabará por destruí-lo.
28Confia nas tuas riquezas e cairás;
mas os justos crescerão como uma planta viçosa.
29O louco que provoca zangas em família verá o vento levar-lhe tudo;
virá a ser servo de outros que têm mais entendimento do que ele.
30Os justos são como uma árvore de vida;
aquele que ganha almas sábio é.
31Se até mesmo os justos terão a sua retribuição nesta Terra,
quanto mais os perversos e os pecadores!