Mithali 11 – NEN & OL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 11:1-31

111:1 Law 19:36; Ay 6:2; Mit 16:11; Eze 45:10Bwana huchukia sana mizani za udanganyifu,

bali vipimo sahihi ni furaha yake.

211:2 Dan 4:30; Mit 16:18; 18:12Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu,

bali unyenyekevu huja na hekima.

311:3 Mit 13:6Uadilifu wa wenye haki huwaongoza,

bali wasio waaminifu huharibiwa na hila yao.

411:4 Ay 20:20; Eze 7:19; Sef 1:18Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu,

bali haki huokoa kutoka mautini.

511:5 1Fal 8:36; Mit 5:21-23; 13:6; 21:7Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea njia iliyonyooka,

bali waovu huangushwa kwa uovu wao wenyewe.

611:6 Es 7:9; 1Tim 4:8; Mhu 10:8Haki ya wanyofu huwaokoa,

bali wasio waaminifu hunaswa na tamaa mbaya.

711:7 Ay 8:13; Mit 10:28Wakati mtu mwovu anapokufa, matumaini yake hutoweka;

yote aliyoyatazamia kutokana na nguvu zake huwa si kitu.

811:8 Mit 21:8Mtu mwenye haki huokolewa kutoka taabu,

naye mtu mwovu huingia humo badala yake.

911:9 Mit 12:6; Yer 45:5; Ay 8:13Kwa kinywa chake mtu asiyemwamini Mungu

humwangamiza jirani yake,

bali kwa maarifa mwenye haki huokolewa.

1011:10 2Fal 11:20; Mit 28:12; Es 8:15Wakati mwenye haki anapofanikiwa, mji hufurahi;

mwovu atowekapo, kuna kelele za furaha.

1111:11 Mit 14:34; 29:8Kutokana na baraka ya mtu mnyofu mji hukwezwa,

bali kwa kinywa cha mwovu mji huharibiwa.

1211:12 Mit 14:21; Ay 6:24Mtu asiye na akili humdharau jirani yake,

bali mtu mwenye ufahamu huuzuia ulimi wake.

1311:13 Law 19:16; 1Tim 5:13; Mit 20:19; 10:14Masengenyo husaliti tumaini,

bali mtu mwaminifu hutunza siri.

1411:14 Mit 20:18; 24:6; 2Sam 15:34; 1Fal 12:1; Mit 20:18; 2Sam 15:34; Mit 15:22; 24:6; 1Fal 12:1Pasipo ushauri wa hekima taifa huanguka,

bali washauri wengi hufanya ushindi uwe wa hakika.

1511:15 Mit 6:1; 17:18; 22:26-27Yeye amdhaminiye mgeni hakika atateseka,

bali yeyote akataaye kuunga mkono dhamana ni salama.

1611:16 Mit 31:31Mwanamke mwenye moyo wa huruma hupata heshima,

bali wanaume wakorofi hupata mali tu.

1711:17 Mt 25:34Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe,

bali mkatili hujiletea taabu mwenyewe.

1811:18 Hos 10:12; Kut 1:20; Ay 4:8Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu,

bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika.

1911:19 Kum 30:15; Mit 10:2; 1Sam 2:6; Za 89:48; Mit 1:18-19; Mhu 7:2; Yer 43:1Mtu mwenye haki kweli kweli hupata uzima,

bali yeye afuatiliaye ubaya huendea kifo chake.

2011:20 1Nya 29:17; Za 52:7Bwana huwachukia sana watu wenye moyo wa upotovu,

bali hupendezwa na wale ambao njia zao hazina lawama.

2111:21 Mit 16:5; Za 112:2Uwe na hakika na hili: Waovu hawataepuka kuadhibiwa,

bali wenye haki watakuwa huru.

22Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe

ndivyo alivyo mwanamke mzuri ambaye hana busara.

2311:23 Rum 2:8, 9Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema,

bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu.

2411:24 Za 112:9Kuna mtu atoaye kwa ukarimu, hata hivyo hupata zaidi,

mwingine huzuia, lakini huwa maskini.

2511:25 Mit 22:9; 2Kor 9:6-9; Mt 5:7Mtu mkarimu atastawi;

yeye awaburudishaye wengine

ataburudishwa mwenyewe.

2611:26 Amo 8:5; Ay 29:13Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka,

bali baraka itamkalia kichwani kama taji

yeye aliye radhi kuiuza.

2711:27 Es 7:10; Za 7:15-16Yeye atafutaye mema hupata ukarimu,

bali ubaya huja kwake yeye autafutaye.

2811:28 Yer 9:23; 17:8; Mk 10:25; Za 52:8Yeyote ategemeaye utajiri wake ataanguka,

bali mwenye haki atastawi kama jani bichi.

2911:29 Mhu 5:16; Mit 14:19Yeye aletaye taabu kwa jamaa yake atarithi tu upepo,

naye mpumbavu atakuwa mtumishi wa wenye hekima.

3011:30 Mwa 2:9; Yak 5:20Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima,

naye mwenye hekima huvuta roho za watu.

3111:31 Yer 25:29; 49:12; 1Pet 4:18Kama wenye haki watapokea ujira wao duniani,

si zaidi sana yule asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?

O Livro

Provérbios 11:1-31

1O Senhor repudia a balança desonesta,

mas tem grande prazer no peso correto.

2A gente soberba acaba sempre por cair na vergonha;

a sabedoria está do lado dos mansos.

3As pessoas íntegras são conduzidas pela sua própria honestidade;

as desonestas serão arruinadas pela sua maldade.

4As riquezas de nada servem no dia do juízo;

só a justiça livra da morte.

5A justiça das pessoas íntegras torna reta a sua conduta,

mas o pecador cairá com o peso dos seus pecados.

6A justiça dos retos os livrará,

mas os maus serão apanhados pelos seus próprios apetites.

7Quando o pecador morre, morrem com ele as suas esperanças,

porque se baseiam unicamente nas coisas materiais.

8Deus livra os retos da angústia,

mas aos homens maus deixa-os passar por ela.

9O hipócrita destrói o seu próximo com a língua,

mas os justos hão de livrar-se, por meio do conhecimento.

10Todo o cidadão se regozija com o sucesso de um homem justo,

assim como também com a queda dos homens maus.

11Com a bênção dos justos a cidade prosperará,

mas será destruída pelas palavras dos perversos.

12Quem despreza o seu próximo carece de bom senso;

aquele que tem entendimento sabe dominar-se.

13Quem anda metido em mexericos só espalha intrigas,

mas a pessoa de confiança sabe quando deve calar-se.

14Sem uma direção sábia, o povo perturba-se,

mas com bons conselheiros há segurança.

15Quem ficar por fiador de um estranho, certamente virá a sofrer;

vale mais recusar sê-lo e ficar seguro.

16A honra é própria de uma mulher graciosa;

mas os homens violentos só adquirem riquezas.

17Uma pessoa bondosa faz bem, até à sua própria alma,

mas destrói-a, quando se torna cruel.

18Os lucros que os maus obtêm não lhes rendem nada;

os que semeiam a justiça terão uma recompensa garantida.

19Tal como a justiça conduz à vida,

assim também o que segue o mal fá-lo para a sua própria morte.

20O Senhor aborrece profundamente os que têm um coração tortuoso,

mas tem prazer nos que andam em retidão.

21O indivíduo mau nunca virá a ficar sem castigo,

mas os filhos dos justos escaparão.

22Como uma joia de ouro no focinho dum porco,

assim é uma mulher bonita, mas insensata.

23Os que vivem com justiça podem contar com a felicidade,

mas os que se afastam de Deus só podem esperar a condenação.

24Alguns há que distribuem o que têm e ainda se tornam ricos;

outros retêm, com avareza, o que possuem e acabam por perder tudo.

25Sim, os que são generosos engordarão;

os que dão a beber aos outros serão saciados.

26O povo amaldiçoa quem açambarca alimentos para especular,

mas aqueles que vendem o que faz falta serão abençoados.

27O que procura ansiosamente o bem, virá a encontrar favor;

àquele que só sabe seguir o mal, o mal acabará por destruí-lo.

28Confia nas tuas riquezas e cairás;

mas os justos crescerão como uma planta viçosa.

29O louco que provoca zangas em família verá o vento levar-lhe tudo;

virá a ser servo de outros que têm mais entendimento do que ele.

30Os justos são como uma árvore de vida;

aquele que ganha almas sábio é.

31Se até mesmo os justos terão a sua retribuição nesta Terra,

quanto mais os perversos e os pecadores!