Mhubiri 7 – NEN & OL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mhubiri 7:1-29

Hekima

17:1 Ufu 14:13; Wim 1:3; Mit 22:1; Ay 10:18Afadhali sifa nzuri kuliko manukato safi,

nayo siku ya kufa kuliko ya kuzaliwa.

27:2 Za 90:12; Mit 11:19; Mhu 2:14Afadhali kwenda kwenye nyumba ya msiba

kuliko kwenda kwenye nyumba ya karamu,

kwa kuwa kifo ni hatima ya kila mwanadamu,

imewapasa walio hai kuliweka hili mioyoni mwao.

37:3 2Kor 7:10; Mit 14:13Huzuni ni afadhali kuliko kicheko,

kwa sababu uso wenye huzuni wafaa kwa moyo.

47:4 Mhu 2:1; Yer 16:8Moyo wa wenye hekima uko katika nyumba ya msiba,

lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya anasa.

57:5 Za 141:5; Mit 13:18; 15:31-32Afadhali kusikia karipio la mtu mwenye hekima,

kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu.

67:6 Za 58:9; Mhu 2:2; Mit 14:13Kama ilivyo kuvunjika kwa miiba chini ya sufuria,

ndivyo kilivyo kicheko cha wapumbavu.

Hili nalo pia ni ubatili.

77:7 Kut 18:21; 23:8; Kum 16:19Dhuluma humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu,

nayo rushwa huuharibu moyo.

87:8 Mit 14:29; Gal 5:22Mwisho wa jambo ni bora kuliko mwanzo wake,

uvumilivu ni bora kuliko kiburi.

97:9 Mit 16:32; 14:17, 29; Mt 5:22Usiwe mwepesi kukasirika rohoni mwako,

kwa kuwa hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.

10Usiseme, “Kwa nini siku za kale zilikuwa bora kuliko siku hizi?”

Kwa maana si hekima kuuliza maswali kama hayo.

117:11 Mit 8:10-11; Mhu 2:13; 11:7Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema

na huwafaidia wale walionalo jua.

12Hekima ni ulinzi kama fedha ilivyo ulinzi,

lakini faida ya maarifa ni hii:

kwamba hekima huhifadhi maisha ya aliye nayo.

137:13 Isa 14:27; Mhu 2:24; 1:15Tafakari kile Mungu alichokitenda:

Nani awezaye kunyoosha

kile ambacho yeye amekipinda?

147:14 Ay 1:21; Mhu 2:24Nyakati zikiwa nzuri, ufurahi,

lakini nyakati zikiwa mbaya, tafakari:

Mungu amefanya hiyo moja,

naam, sanjari7:14 Sanjari hapa maana yake mwandamano wa vitu, wanyama au watu. na hiyo nyingine.

Kwa hiyo, mwanadamu hawezi kugundua

kitu chochote kuhusu maisha yake ya baadaye.

157:15 Mhu 8:14; Yer 12:1; Ay 21:7; 7:7Katika maisha haya yangu ya ubatili nimeshaona haya mawili:

mtu mwadilifu akiangamia katika uadilifu wake,

naye mtu mwovu akiishi maisha marefu katika uovu wake.

16Usiwe mwenye haki kupita kiasi,

wala usiwe na hekima kupita kiasi:

kwa nini kujiangamiza mwenyewe?

177:17 Ay 15:32; Za 55:23Usiwe mwovu kupita kiasi,

wala usiwe mpumbavu:

kwa nini kufa kabla ya wakati wako?

187:18 Mhu 3:14Ni vyema kushika hilo moja

na wala usiache hilo jingine likupite.

Mtu amchaye Mungu ataepuka huko kupita kiasi.7:18 Au: atafuata hayo yote mawili.

197:19 Mhu 2:13; 9:13-18; Mit 8:14Hekima humfanya yeye aliye nayo kuwa na uwezo zaidi

kuliko watawala kumi katika mji.

207:20 1Fal 8:46; Rum 3:12, 23; Gal 3:22; Za 14:3; Mit 20:9; Ay 4:17Hakuna mtu mwenye haki duniani

ambaye hufanya mambo ya haki

na kamwe asitende dhambi.

217:21 Mit 30:10Usitie maanani kila neno linalosemwa na watu,

la sivyo, waweza kumsikia

mtumishi wako akikulaani:

22kwa kuwa unafahamu moyoni mwako

kwamba wewe mwenyewe mara nyingi

umewalaani wengine.

237:23 Mhu 1:17; Rum 1:22Yote haya niliyajaribu kwa hekima, nikasema,

“Nimeamua kuwa na hekima”:

lakini hii ilikuwa nje ya uwezo wangu.

247:24 Ay 28:12; 11:12; Isa 55:8-9Vyovyote hekima ilivyo,

hekima iko mbali sana na imejificha,

ni nani awezaye kuigundua?

257:25 Ay 28:3; Mhu 1:17Nikageuza fikira zangu ili kuelewa,

kuchunguza na kuitafuta hekima

na kusudi la mambo,

na ili kuelewa ujinga wa uovu,

na wazimu wa upumbavu.

267:26 Kut 10:7; Amu 14:15; Mit 7:23; 22:14; 2:16-19; 5:3-5Nimeona jambo lililo chungu kuliko mauti,

mwanamke ambaye ni mtego,

ambaye moyo wake ni wavu wa kutegea

na mikono yake ni minyororo.

Mtu ampendezaye Mungu atamkwepa,

bali mwenye dhambi atanaswa naye.

27Mhubiri anasema, “Tazama, hili ndilo nililogundua:

“Nimegundua kitu kimoja baada ya kingine nilipokuwa katika kusudi la mambo:

287:28 1Fal 11:3ningali natafiti

lakini sipati:

nilimpata mwanaume mmoja mnyofu miongoni mwa elfu,

lakini hakuna mwanamke mmoja mnyofu miongoni mwao.

29Hili ndilo peke yake nililolipata:

Mungu amemuumba mwanadamu mnyofu,

lakini mwanadamu amebuni mambo mengi.”

O Livro

Eclesiastes 7:1-29

A sabedoria

1Uma boa reputação vale muito mais do que um bom perfume.

O dia em que alguém morre é melhor do que aquele em que nasceu.

2É mais útil ir a funerais do que a festas,

porque todos teremos de morrer,

e é uma boa coisa pensar nisso enquanto é tempo.

3A tristeza tem mais valor do que o riso,

pois a tristeza exerce sobre nós um efeito depurador.

4Sim, uma pessoa sábia pensa muito na morte,

enquanto o insensato só pensa em gozar bem o presente.

5Vale mais ser criticado por alguém

que tem sabedoria do que ser louvado por um tolo!

6O cumprimento dum tolo vale tanto como um papel a arder;

seria ridículo alguém deixar-se impressionar por ele.

7A opressão faz endoidecer, até as pessoas com entendimento;

é coisa que corrompe as capacidades mentais.

8Acabar é melhor do que começar!

Ser paciente tem mais valor do que ser orgulhoso!

9Não sejas precipitado,

isso é comportamento de insensatos.

10Não andes sempre com saudade dos bons velhos tempos,

porque também é uma maneira de pensar inútil.

11A sabedoria é tão boa quanto uma valiosa herança

e é uma bênção para todos quantos vivem debaixo do Sol.

12A sabedoria é uma proteção,

tal como as muitas riquezas,

mas a sabedoria tem a vantagem

de preservar a vida de quem a possui.

13Atenta para a forma como Deus fez as coisas;

quem poderá endireitar o que ele torceu?

14Goza da prosperidade, sempre que puderes e,

quando vierem os tempos difíceis,

lembra-te que Deus dá tanto uma coisa como a outra,

a fim de que cada um se dê conta de que nada é certo na vida.

15Nesta vida de ilusão tenho visto de tudo,

incluindo o facto de muitos dos que são bons morrerem novos

e muitos dos que são maus continuarem a viver.

16Por isso, não sejas nem excessivamente bom nem excessivamente sábio!

Por que razão te destruirias a ti mesmo?

17Por outro lado, não sejas demasiado perverso,

não sejas louco! Porque haverias de morrer antes do tempo próprio?

18É bom que prestes atenção a uma coisa,

sem descuidar a outra,

pois aquele que ama e teme a Deus saberá encontrar o melhor de ambas.

19Um sábio é mais poderoso

do que uma fortaleza guardada por dez valentes!

20Não há um só homem, em toda a Terra,

que tenha sido sempre justo e nunca tenha pecado.

21Não escutes às portas!

Pode acontecer que ouças o teu servo dizer mal de ti!

22Sabes bem, quantas vezes tens dito mal de outros.

23Tentei tudo para ser sábio, fiz mesmo esta afirmação:

“Serei sábio!”, mas de nada serviu.

24A sabedoria é coisa difícil de obter,

não se encontra facilmente.

25Pus-me a investigar bem a fundo

e procurei por toda a parte,

determinado a encontrar não só a sabedoria como a verdadeira razão das coisas,

decidido a provar, a mim próprio, qual a pior das ignorâncias e a maior insensatez.

26Uma mulher que se vende, que enreda e arma laços a um homem, é coisa pior do que a morte. Aquele que agrada a Deus evita-a, mas os pecadores caem nos seus laços. 27E esta é a minha conclusão, diz o pregador, pouco a pouco fui chegando a este resultado. 28Depois de ter inquirido em todas as direções, descobri que é possível encontrar-se um homem, entre mil, que seja sábio; mas mulheres, que sejam sábias, nem uma! 29Também descobri que ainda que Deus tenha feito os seres humanos com perfeição, cada um se desvia para seguir as suas próprias inclinações.