Mhubiri 6 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mhubiri 6:1-12

1Nimeona ubaya mwingine chini ya jua, nao unalemea sana wanadamu: 26:2 Kum 8:7-10; Za 17:14; Amu 18:10; Mhu 5:13-19Mungu humpa mwanadamu utajiri, mali na heshima, hivyo hakukosa chochote moyo wake unachokitamani. Lakini Mungu hamwezeshi kuvifurahia, badala yake mgeni ndiye anayevifurahia. Hili ni ubatili, ni ubaya unaosikitisha.

36:3 Ay 3:3, 16; Es 7:10; Mhu 4:3Mtu anaweza kuwa na watoto mia moja naye akaishi miaka mingi, lakini haidhuru kuwa ataishi muda mrefu kiasi gani, kama hawezi kufurahia mafanikio yake na kwamba hapati mazishi ya heshima, ninasema afadhali mtoto aliyezaliwa akiwa amekufa kuliko yeye. 4Kuzaliwa kwake hakuna maana, huondokea gizani na gizani jina lake hufunikwa. 5Ingawa hakuwahi kuliona jua wala kujua kitu chochote, yeye ana pumziko zaidi kuliko mtu huyo, 66:6 Mhu 2:16Hata kama huyo mtu ataishi miaka elfu mara mbili na zaidi, lakini akashindwa kufurahia mafanikio yake, je, wote hawaendi sehemu moja?

76:7 Mit 16:26; 27:20; 1Tim 6:6-8Juhudi zote za binadamu ni kwa ajili ya kinywa chake,

hata hivyo hamu yake kamwe haitoshelezwi.

86:8 Mhu 2:15Mtu mwenye hekima ana faida gani

zaidi ya mpumbavu?

Mtu maskini anapata faida gani

kwa kujua jinsi ya kujistahi

mbele ya watu wengine?

9Ni bora kile ambacho jicho linakiona

kuliko hamu isiyotoshelezwa.

Hili nalo ni ubatili,

ni kukimbiza upepo.

106:10 Ay 9:32; Isa 45:9; Mhu 3:15Lolote lililopo limekwisha kupewa jina,

naye mwanadamu alivyo ameshajulikana;

hakuna mtu awezaye kushindana

na mwenye nguvu kuliko yeye.

11Maneno yanavyokuwa mengi,

ndivyo yanavyokosa maana,

Je, hilo linamfaidia vipi yeyote?

126:12 Yak 4:14; Ay 10:20; 20:8; 14:2; 1Nya 29:15; Za 39:6Kwa maana ni nani anayejua lililo jema kwa ajili ya maisha ya mwanadamu, katika siku chache na za ubatili anazopita kama kivuli? Ni nani awezaye kumwambia yatakayotokea chini ya jua baada ya yeye kuondoka?

Nueva Versión Internacional

Eclesiastés 6:1-12

¿Qué sentido tiene la vida?

1Hay un mal que he visto bajo el sol y que afecta a todos: 2a algunos Dios da abundancia, riquezas, honores y no les falta nada que pudieran desear. Sin embargo, es a otros a quienes concede disfrutar de todo ello. ¡Esto es vanidad, una penosa aflicción!

3Si un hombre tiene cien hijos y vive muchos años, no importa cuánto viva, si no se ha saciado de las cosas buenas ni llega a recibir sepultura, yo digo que un abortivo es mejor que él. 4Porque el abortivo vino de la nada, a las tinieblas va y en las tinieblas permanecerá oculto. 5Nunca llegará a ver el sol, ni sabrá nada; sin embargo, habrá tenido más reposo que aquel 6que pudo haber vivido dos mil años sin disfrutar jamás de lo bueno. ¿Y acaso no van todos a un mismo lugar?

7Mucho trabaja el hombre para comer,

pero nunca se sacia.

8¿Qué ventaja tiene el sabio sobre el necio?

¿Y qué gana el pobre

con saber enfrentarse a la vida?

9Vale más lo visible

que lo imaginario.

Y también esto es vanidad;

¡es correr tras el viento!

10Lo que ahora existe ya ha recibido nombre

y se sabe lo que es: humanidad.

Nadie puede luchar

contra alguien más fuerte.

11Donde abundan las palabras,

abunda la vanidad.

¿Y qué se gana con eso?

12En realidad, ¿quién sabe qué le conviene a una persona en esta breve y vana vida suya por donde pasa como una sombra? ¿Y quién puede decirle lo que sucederá bajo el sol después de su muerte?