Mhubiri 11 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mhubiri 11:1-10

Mkate Juu Ya Maji

111:1 Kum 15:10; 24:19; Hos 10:12; Mt 10:42; Isa 32:20; Mit 19:17Tupa mkate wako juu ya maji,

kwa maana baada ya siku nyingi

utaupata tena.

211:2 Mik 5:5; Efe 5:16; Za 112:9Wape sehemu watu saba, naam hata wanane,

kwa maana hujui ni baa gani

litakalokuwa juu ya nchi.

3Kama mawingu yamejaa maji,

hunyesha mvua juu ya nchi.

Kama mti ukianguka kuelekea kusini

au kuelekea kaskazini,

mahali ulipoangukia,

hapo ndipo utakapolala.

4Yeyote atazamaye upepo hatapanda,

yeyote aangaliaye mawingu hatavuna.

511:5 Za 139:14-16; Yn 3:8-10Kama vile usivyofahamu njia ya upepo,

au jinsi mwili uumbwavyo

ndani ya tumbo la mama,

vivyo hivyo huwezi kufahamu kazi ya Mungu,

Muumba wa vitu vyote.

611:6 Mhu 9:10Panda mbegu yako asubuhi,

nako jioni usiruhusu mikono yako ilegee,

kwa maana hujui ni ipi itakayofanikiwa,

kwamba ni hii au ni ile,

au kwamba zote zitafanikiwa sawasawa.

Mkumbuke Muumba Wako Ukiwa Bado Kijana

711:7 Mhu 7:11Nuru ni tamu,

tena inafurahisha macho kuona jua.

8Hata kama mtu ataishi miaka mingi kiasi gani,

na aifurahie yote.

Lakini na akumbuke siku za giza,

kwa maana zitakuwa nyingi.

Kila kitu kitakachokuja ni ubatili.

911:9 Ay 19:29; Kum 29:19; Mdo 14:16; Rum 14:10; Mhu 2:24; 3:17Furahi ewe kijana, wakati ungali kijana,

moyo wako na ukupe furaha

katika siku za ujana wako.

Fuata njia za moyo wako

na chochote macho yako yaonayo,

lakini ujue kwamba kwa ajili ya haya yote

Mungu atakuleta hukumuni.

1011:10 2Kor 7:1; Za 94:19; Mhu 2:24Kwa hiyo basi, ondoa wasiwasi moyoni mwako

na utupilie mbali masumbufu ya mwili wako,

kwa kuwa ujana na nguvu ni ubatili.

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Eclesiastés 11:1-10

1Lanza tu pan sobre el agua;

después de algún tiempo volverás a encontrarlo.

2Comparte lo que tienes entre siete,

y aun entre ocho,

pues no sabes qué calamidad

pueda venir sobre la tierra.

3Cuando las nubes están cargadas,

derraman su lluvia sobre la tierra.

Si el árbol cae hacia el sur,

o cae hacia el norte,

donde cae allí se queda.

4Quien vigila al viento no siembra;

quien contempla las nubes no cosecha.

5Así como no sabes por dónde va el viento ni cómo se forma el niño en el vientre de la madre, tampoco entiendes la obra de Dios, creador de todas las cosas.

6Siembra tu semilla por la mañana, y no te des reposo por la tarde, pues nunca sabes cuál siembra saldrá mejor, si esta o aquella, o si ambas serán igual de buenas.

7Grata es la luz, y qué bueno que los ojos disfruten del sol. 8Mas si el hombre vive muchos años, y todos ellos los disfruta, debe recordar que los días tenebrosos serán muchos y que lo venidero será un absurdo.

Acuérdate de tu creador

9Alégrate, joven, en tu juventud; deja que tu corazón disfrute de la adolescencia. Sigue los impulsos de tu corazón y responde al estímulo de tus ojos, pero ten en cuenta que Dios te juzgará por todo esto. 10Aleja de tu corazón el enojo, y echa fuera de tu ser la maldad, porque confiar en la juventud y en la flor de la vida es un absurdo.