Mhubiri 11 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mhubiri 11:1-10

Mkate Juu Ya Maji

111:1 Kum 15:10; 24:19; Hos 10:12; Mt 10:42; Isa 32:20; Mit 19:17Tupa mkate wako juu ya maji,

kwa maana baada ya siku nyingi

utaupata tena.

211:2 Mik 5:5; Efe 5:16; Za 112:9Wape sehemu watu saba, naam hata wanane,

kwa maana hujui ni baa gani

litakalokuwa juu ya nchi.

3Kama mawingu yamejaa maji,

hunyesha mvua juu ya nchi.

Kama mti ukianguka kuelekea kusini

au kuelekea kaskazini,

mahali ulipoangukia,

hapo ndipo utakapolala.

4Yeyote atazamaye upepo hatapanda,

yeyote aangaliaye mawingu hatavuna.

511:5 Za 139:14-16; Yn 3:8-10Kama vile usivyofahamu njia ya upepo,

au jinsi mwili uumbwavyo

ndani ya tumbo la mama,

vivyo hivyo huwezi kufahamu kazi ya Mungu,

Muumba wa vitu vyote.

611:6 Mhu 9:10Panda mbegu yako asubuhi,

nako jioni usiruhusu mikono yako ilegee,

kwa maana hujui ni ipi itakayofanikiwa,

kwamba ni hii au ni ile,

au kwamba zote zitafanikiwa sawasawa.

Mkumbuke Muumba Wako Ukiwa Bado Kijana

711:7 Mhu 7:11Nuru ni tamu,

tena inafurahisha macho kuona jua.

8Hata kama mtu ataishi miaka mingi kiasi gani,

na aifurahie yote.

Lakini na akumbuke siku za giza,

kwa maana zitakuwa nyingi.

Kila kitu kitakachokuja ni ubatili.

911:9 Ay 19:29; Kum 29:19; Mdo 14:16; Rum 14:10; Mhu 2:24; 3:17Furahi ewe kijana, wakati ungali kijana,

moyo wako na ukupe furaha

katika siku za ujana wako.

Fuata njia za moyo wako

na chochote macho yako yaonayo,

lakini ujue kwamba kwa ajili ya haya yote

Mungu atakuleta hukumuni.

1011:10 2Kor 7:1; Za 94:19; Mhu 2:24Kwa hiyo basi, ondoa wasiwasi moyoni mwako

na utupilie mbali masumbufu ya mwili wako,

kwa kuwa ujana na nguvu ni ubatili.

La Bible du Semeur

Ecclésiaste 11:1-10

Entreprendre et agir tant qu’il fait jour

1Lance ton pain à la surface de l’eau car, avec le temps, tu le retrouveras.

2Répartis ton bien en sept ou huit parts11.2 Autre traduction : Partage ton bien avec sept ou huit autres personnes., car tu ne sais pas quel malheur peut arriver sur la terre.

3Quand les nuages sont pleins, il va pleuvoir à verse sur la terre, et l’arbre reste à l’endroit où il est tombé, que ce soit vers le sud ou vers le nord.

4Celui qui prête trop attention au vent ne sèmera jamais et celui qui observe toujours les nuages ne moissonnera pas.

5Tu ignores quel est le chemin du vent, et tu ne sais pas comment se forment les os de l’embryon dans le sein de sa mère ; de même, tu ne connais pas l’œuvre du Dieu qui fait toutes choses.

6Dès le matin, répands ta semence et, jusqu’au soir, ne t’accorde pas de repos, car tu ne sais pas de l’une ou l’autre activité, laquelle réussira, ou si les deux s’avéreront aussi bonnes l’une que l’autre.

Jouir de la vie

7Agréable est la lumière, et il fait bon de voir le soleil. 8C’est pourquoi, si quelqu’un vit de nombreuses années, qu’il les passe toutes dans la joie, mais qu’il n’oublie pas que les jours sombres seront nombreux et que tout ce qui est à venir est dérisoire.

La perspective de la vieillesse

9Jeune homme, réjouis-toi ╵au cours de tes jeunes années,

et que ton cœur ╵se fasse du bien pendant ta jeunesse ;

marche sur les chemins ╵où tu voudras aller ╵et va vers ce que tu désires,

en sachant que pour tout cela ╵Dieu te fera venir en jugement.

10Bannis le chagrin de ton cœur,

garde-toi de ce qui te causerait ╵de la souffrance,

car la jeunesse, ╵le printemps de la vie ╵sont dérisoires.