Mathayo 4 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mathayo 4:1-25

Kujaribiwa Kwa Yesu

(Marko 1:12-13; Luka 4:1-13)

14:1 Kut 34:28; 1Fal 19:8Kisha Yesu akaongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani ili akajaribiwe na ibilisi. 24:2 Kut 34:28; 1Fal 19:8Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa. 34:3 1The 3:5; Mk 3:11; Ufu 2:18Mjaribu akamjia na kumwambia, “Ikiwa wewe ndiye Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.”

44:4 Kum 8:3; Yn 4:34Lakini Yesu akajibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.’ ”

54:5 Neh 11:1; Mt 27:5Ndipo ibilisi akamchukua Yesu mpaka mji mtakatifu na kumweka juu ya mnara mrefu wa Hekalu, 64:6 Za 91:11-12; Mt 4:3akamwambia, “Kama wewe ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini. Kwa kuwa imeandikwa:

“ ‘Atakuagizia malaika zake,

nao watakuchukua mikononi mwao

ili usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.’ ”

74:7 Kum 6:16Yesu akamjibu, “Pia imeandikwa: ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’ ”

8Kwa mara nyingine, ibilisi akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu na kumwonyesha falme zote za dunia na fahari zake, 9kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.”

104:10 Ay 1:6-9; Rum 16:20; 6:13Yesu akamwambia, “Ondoka mbele yangu, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.’ ”

114:11 Lk 22:43; Ebr 1:14Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika wakaja na kumhudumia.

Yesu Aanza Kuhubiri

(Marko 1:14-15; Luka 4:14-15)

124:12 Mt 14:3; Mk 1:14Yesu aliposikia kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa ametiwa gerezani, alirudi Galilaya. 134:13 Mk 9:33; Yn 2:12Akaondoka Nazareti akaenda kuishi Kapernaumu, mji ulioko karibu na bahari, katika mipaka ya nchi ya Zabuloni na Naftali, 144:14 Isa 9:1, 2; 9:1; Mt 1:22ili kutimiza unabii wa nabii Isaya, kama alivyosema:

154:15 Isa 9:1, 2“Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali,

kwenye njia ya kuelekea baharini,

ngʼambo ya Yordani,

Galilaya ya watu wa Mataifa:

164:16 Isa 9:1-2; Yn 1:4-9watu wale waliokaa gizani

wameona nuru kuu;

nao wale walioishi katika nchi ya uvuli wa mauti,

nuru imewazukia.”

174:17 Mt 3:2; Mk 1:14, 15Tangu wakati huo, Yesu alianza kuhubiri akisema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni umekaribia.”

Yesu Awaita Wanafunzi Wake Wa Kwanza

(Marko 1:16-20; Luka 5:1-11)

184:18 Mk 7:31; Yn 6:1; Mt 16:17-18Yesu alipokuwa anatembea kando ya Bahari ya Galilaya, aliwaona ndugu wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea ndugu yake. Walikuwa wakizitupa nyavu zao baharini kwa kuwa wao walikuwa wavuvi. 194:19 Lk 5:28; Yn 1:43Yesu akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.” 204:20 Mk 10:28; Lk 18:28; Mt 19:27Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

214:21 Mk 3:17; Lk 8:51Alipoendelea mbele kutoka pale, akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana nduguye, wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo, wakizitengeneza nyavu zao. Yesu akawaita. 224:22 Mt 4:19Nao mara wakaiacha mashua yao, pamoja na baba yao, wakamfuata.

Yesu Ahubiri Na Kuponya Wagonjwa

(Luka 6:17-19)

234:23 Mk 1:39; Lk 4:15, 44; 7:22; Yn 18:20; 3:10; Mk 1:14; Mdo 20; 25; 28:23, 31Yesu akapita katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, akihubiri habari njema za Ufalme, na akiponya kila ugonjwa na kila aina ya maradhi miongoni mwa watu. 244:24 Lk 2:2; Mk 1:32; 5:15-18; Mt 17:15; Mk 2:3Kwa hiyo sifa zake zikaenea sehemu zote za Shamu, nao watu wakamletea wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na maumivu, waliopagawa na pepo wachafu, wenye kifafa na waliopooza, naye akawaponya. 254:25 Mk 3:7-8; Lk 6:17Makutano makubwa ya watu yakawa yanamjia kutoka Galilaya, Dekapoli,4:25 Yaani Miji Kumi. Yerusalemu, Uyahudi na kutoka ngʼambo ya Mto Yordani.

Nueva Versión Internacional

Mateo 4:1-25

Tentación de Jesús

4:1-11Mr 1:12-13; Lc 4:1-13

1Luego el Espíritu llevó a Jesús al desierto para ser tentado por el diablo. 2Después de ayunar cuarenta días y cuarenta noches, tuvo hambre. 3El tentador se acercó y le propuso:

—Si eres el Hijo de Dios, ordena a estas piedras que se conviertan en pan.

4Jesús respondió:

—Escrito está: “No solo de pan vive el hombre, sino de toda palabra que sale de la boca de Dios”.4:4 Dt 8:3.

5Luego el diablo lo llevó a la ciudad santa e hizo que se pusiera de pie sobre la parte más alta del Templo 6y le dijo:

—Si eres el Hijo de Dios, tírate abajo. Pues escrito está:

»“Ordenará que sus ángeles te protejan

y ellos te sostendrán en sus manos

para que no tropieces con piedra alguna”».4:6 Sal 91:11,12.

7—También está escrito: “No pongas a prueba al Señor tu Dios”4:7 Dt 6:16. —contestó Jesús.

8De nuevo el diablo lo llevó a una montaña muy alta. Allí le mostró todos los reinos del mundo y su esplendor. 9Y le dijo:

—Todo esto te daré si te postras y me adoras.

10—¡Vete, Satanás! —dijo Jesús—. Porque escrito está: “Adora al Señor tu Dios y sírvele solamente a él”.4:10 Dt 6:13.

11Entonces el diablo lo dejó y ángeles acudieron a servirle.

Jesús comienza a predicar

12Cuando Jesús oyó que habían encarcelado a Juan, regresó a Galilea. 13Partió de Nazaret y se fue a vivir a Capernaúm, que está junto al lago en la región de Zabulón y de Neftalí, 14para cumplir lo dicho por el profeta Isaías:

15«Tierra de Zabulón y tierra de Neftalí,

desde el Camino del Mar, al otro lado del Jordán,

Galilea de los gentiles;

16el pueblo que habitaba en la oscuridad

ha visto una gran luz;

sobre los que vivían en tierra de sombra de muerte

una luz ha resplandecido».4:16 Is 9:1,2.

17Desde entonces comenzó Jesús a predicar: «Arrepiéntanse, porque el reino de los cielos está cerca».

Jesús llama a sus primeros discípulos

4:18-22Mr 1:16-20; Lc 5:2-11; Jn 1:35-42

18Mientras caminaba junto al lago de Galilea, Jesús vio a dos hermanos: uno era Simón, llamado Pedro, y el otro, Andrés. Estaban echando la red al lago, pues eran pescadores. 19«Vengan, síganme —dijo Jesús—, y los haré pescadores de hombres». 20Al instante dejaron las redes y lo siguieron.

21Más adelante vio a otros dos hermanos: Santiago y Juan, hijos de Zebedeo, que estaban con su padre en una barca remendando las redes. Jesús los llamó 22y dejaron enseguida la barca y a su padre para seguirlo.

Jesús sana a los enfermos

23Jesús recorría toda Galilea enseñando en las sinagogas, anunciando las buenas noticias del reino y sanando toda enfermedad y dolencia entre la gente. 24Su fama se extendió por toda Siria y le llevaban todos los que padecían de diversas enfermedades, los que sufrían de dolores graves, los endemoniados, los epilépticos y los paralíticos, y él los sanaba. 25Lo seguían grandes multitudes de Galilea, Decápolis, Jerusalén, Judea y de la región al otro lado del Jordán.