Mathayo 22 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mathayo 22:1-46

Mfano Wa Karamu Ya Arusi

(Luka 14:15-24)

122:1 Lk 14:16; Ufu 19:7-9Yesu akasema nao tena kwa mifano, akawaambia, 222:2 Mt 13:24; Yn 3:29“Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mfalme mmoja aliyemwandalia mwanawe karamu ya arusi. 322:3 Mt 21:34Akawatuma watumishi wake kuwaita wale waliokuwa wamealikwa karamuni, lakini wakakataa kuja.

422:4 Mt 21:36“Kisha akawatuma watumishi wengine akisema, ‘Waambieni wale walioalikwa kwamba nimeandaa chakula. Nimekwisha kuchinja mafahali wangu na vinono, karamu iko tayari. Karibuni kwa karamu ya arusi.’

5“Lakini hawakuzingatia, wakaenda zao: huyu shambani mwake na mwingine kwenye biashara zake. 6Wengine wao wakawakamata wale watumishi wake, wakawatesa na kuwaua. 722:7 Lk 19:27Yule mfalme akakasirika sana, akapeleka jeshi lake likawaangamiza wale wauaji na kuuteketeza mji wao kwa moto.

822:8 Mt 10:11-13“Kisha akawaambia watumishi wake, ‘Karamu ya arusi imeshakuwa tayari, lakini wale niliowaalika hawakustahili kuja. 922:9 Eze 21:21; Mt 13:47; 21:43Kwa hiyo nendeni katika njia panda mkamwalike karamuni yeyote mtakayemwona.’ 1022:10 Mt 13:47-48Wale watumishi wakaenda barabarani, wakawakusanya watu wote waliowaona, wema na wabaya. Ukumbi wa arusi ukajaa wageni.

1122:11 2Kor 5:3; Efe 4:24; Kol 3:10, 12; Ufu 3:4; 16:15; 19:8“Lakini mfalme alipoingia ndani ili kuwaona wageni, akamwona mle mtu mmoja ambaye hakuwa amevaa vazi la arusi. 1222:12 Mt 20:12; 26:50Mfalme akamuuliza, ‘Rafiki, uliingiaje humu bila vazi la arusi?’ Yule mtu hakuwa na la kusema.

1322:13 Mt 8:12“Ndipo mfalme akawaambia watumishi wake, ‘Mfungeni mikono na miguu mkamtupe nje, kwenye giza. Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno.’

1422:14 Ufu 17:14; Mt 20:16“Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.”

Kulipa Kodi Kwa Kaisari

(Marko 12:13-17; Luka 20:20-26)

1522:15 Mk 12:13; Lk 20:20Ndipo Mafarisayo wakatoka nje wakaandaa mpango wa kumtega Yesu katika maneno yake. 1622:16 Mk 3:6Wakatuma wanafunzi wao kwake pamoja na Maherode. Nao wakasema, “Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwadilifu na unafundisha njia ya Mungu katika kweli bila kuyumbishwa na mtu wala kuonyesha upendeleo. 1722:17 Mt 17:25Tuambie basi, wewe unaonaje? Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”

18Lakini Yesu, akijua makusudi yao mabaya, akawaambia, “Enyi wanafiki, kwa nini mnajaribu kunitega? 19Nionyesheni hiyo sarafu inayotumika kwa kulipia kodi.” Wakamletea dinari. 20Naye akawauliza, “Sura hii ni ya nani? Na maandishi haya ni ya nani?”

2122:21 Rum 13:7Wakamjibu, “Ni vya Kaisari.”

Basi Yesu akawaambia, “Mpeni Kaisari kilicho cha Kaisari, naye Mungu mpeni kilicho cha Mungu.”

2222:22 Mk 12:12Waliposikia hili, wakashangaa. Hivyo wakamwacha, wakaenda zao.

Ndoa Na Ufufuo

(Marko 12:18-27; Luka 20:27-40)

2322:23 Mdo 4:1; 23:8; 1Kor 15:12Siku hiyo hiyo Masadukayo, wale wasemao kwamba hakuna ufufuo wa wafu, wakamjia Yesu na kumuuliza swali, wakisema, 2422:24 Kum 25:5-6“Mwalimu, Mose alisema, ‘Kama mtu akifa bila kuwa na watoto, ndugu yake inampasa amwoe huyo mjane ili ampatie watoto huyo nduguye aliyekufa.’ 25Basi palikuwa na ndugu saba miongoni mwetu. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa, na kwa kuwa hakuwa na watoto, akamwachia nduguye yule mjane. 26Ikatokea vivyo hivyo kwa yule ndugu wa pili, na wa tatu, hadi wote saba. 27Hatimaye, yule mwanamke naye akafa. 28Sasa basi, siku ya ufufuo, yeye atakuwa mke wa nani miongoni mwa wale ndugu saba, kwa kuwa wote walikuwa wamemwoa huyo mwanamke?”

2922:29 Yn 20:9Yesu akawajibu, “Mwapotoka kwa sababu hamjui Maandiko wala uweza wa Mungu. 3022:30 Mt 24:38Wakati wa ufufuo, watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni. 31Lakini kuhusu ufufuo wa wafu, hamjasoma kile Mungu alichowaambia, kwamba, 3222:32 Kut 3:6; Mdo 7:32‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo’? Yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai.”

3322:33 Mt 7:28Ule umati wa watu uliposikia hayo, ulishangaa sana kwa mafundisho yake.

Amri Kuu Kuliko Zote

(Marko 12:28-34; Luka 10:25-28)

3422:34 Mdo 4:1Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, Mafarisayo wakakusanyika pamoja. 3522:35 Lk 11:45; 14:3Mmoja wao, mtaalamu wa sheria, akamuuliza swali ili kumjaribu, akisema, 36“Mwalimu, ni amri ipi katika Sheria iliyo kuu kuliko zote?”

3722:37 Kum 6:5Yesu akamjibu, “ ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote na kwa akili zako zote.’ 38Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza. 3922:39 Law 19:18; Gal 5:14Nayo ya pili ni kama hiyo, nayo ni hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’ 4022:40 Mt 7:12; Lk 10:25-28Amri hizi mbili ndizo msingi wa Sheria na Manabii.”

Swali Kuhusu Mwana Wa Daudi

(Marko 12:35-37; Luka 20:41-44)

4122:41 Mk 12:35; Lk 20:41Wakati Mafarisayo walikuwa wamekusanyika pamoja, Yesu akawauliza, 4222:42 Mt 9:27“Mnaonaje kuhusu Kristo?22:42 Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta. Yeye ni mwana wa nani?”

Wakamjibu, “Yeye ni mwana wa Daudi.”

43Akawaambia, “Inakuwaje basi kwamba Daudi, akinena kwa kuongozwa na Roho, anamwita Kristo ‘Bwana’? Kwa maana asema,

4422:44 1Fal 5:3; Ebr 1:13“ ‘Bwana alimwambia Bwana wangu:

“Keti mkono wangu wa kuume,

hadi nitakapowaweka adui zako

chini ya miguu yako.” ’

45Kama basi Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ awezaje kuwa mwanawe?” 4622:46 Mk 12:34; Lk 20:40Hakuna mtu aliyeweza kumjibu Yesu neno. Tena tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu kumuuliza tena maswali.

Korean Living Bible

마태복음 22:1-46

천국이란?

1예수님은 다시 비유로 이렇게 말씀하셨다.

2“하늘 나라는 자기 아들을 위해 결혼 잔치를 베푸는 어떤 왕과 같다.

3왕은 종들을 시켜 잔치에 초대한 손님들을 불렀으나 그들은 오지 않았다.

4왕은 또 다른 종들을 초대한 사람들에게 보내 ‘살진 소를 잡아 모든 음식을 푸짐하게 준비해 놓았으니 어서 잔치에 오십시오’ 하라고 하였다.

5그러나 그들은 들은 척도 않고 어떤 사람은 자기 밭으로 가고 어떤 사람은 장사하러 가고

6또 다른 사람들은 그 종들을 잡아 모욕하고 죽여 버렸다.

7그러자 왕은 화가 나서 군대를 보내 살인자들을 죽이고 마을을 불태워 버렸다.

8그러고 나서 왕은 종들에게 말하였다. ‘잔치는 준비되었으나 초대받은 사람들은 자격이 없다.

9그러니 너희는 길거리에 나가 만나는 사람마다 잔치에 초대하여라.’

10“그래서 종들이 나가 좋은 사람이건 나쁜 사람이건 만나는 대로 데려오자 잔치 자리가 가득 찼다.

11왕이 손님들을 보려고 들어갔다가 예복을 입지 않은 한 사람을 보고

12‘그대는 어째서 예복도 입지 않고 여기 들어왔는가?’ 하고 묻자 그는 아무 대답이 없었다.

13그때 왕은 종들에게 ‘이 사람의 손발을 묶어 바깥 어두운 곳에 던져라. 거기서 통곡하며 이를 갈 것이다’ 하였다.

14이와 같이 초대받은 사람은 많지만 선택받은 사람은 적다.”

15그때 바리새파 사람들이 어떻게 하면 말로 예수님을 함정에 빠뜨릴 수 있을까 하고 의논한 후에

16자기들의 제자들을 헤롯 당원들과 함께 예수님께 보내 물어 보게 하였다. “선생님, 우리가 알기에 선생님은 진실하시고 진리대로 하나님의 교훈을 가르치시며 사람의 겉모양을 보지 않으시기 때문에 누구에게도 거리낌이 없으십니다.

17그래서 선생님의 의견을 듣고자 합니다. 22:17 원문에는 ‘가이사에게’로마 황제에게 세금을 바치는 것이 옳습니까, 옳지 않습니까?”

18그러나 예수님은 그들의 간교한 생각을 아시고 “위선자들아, 왜 나를 시험하느냐?

19세금으로 바치는 돈을 내게 보여라” 하고 말씀하셨다. 그들이 예수님께 22:19 한 데나리온은 하루의 품삯.데나리온 하나를 가져오자

20예수님은 “이 초상과 글이 누구의 것이냐?” 하고 물으셨다.

21그들이 “황제의 것입니다” 하고 대답하자 예수님이 “황제의 것은 황제에게, 하나님의 것은 하나님께 바쳐라” 하고 말씀하셨다.

22이 말씀을 듣고 그들은 말문이 막힌 채 가 버렸다.

23바로 그 날 부활이 없다고 주장하는 사두개파 사람들이 예수님께 와서 물었다.

24“선생님, 모세는 형이 자식 없이 죽으면 동생이 형수와 결혼하여 형의 대를 이어야 한다고 했습니다.

25우리 이웃에 일곱 형제가 있었는데 맏이 결혼하여 살다가 자식 없이 죽고 그 동생이 형수와 살게 되었습니다.

26그러나 둘째도 자식 없이 죽었고 셋째에서 일곱째까지 모두 그렇게 되었으며

27끝내는 그 여자도 죽었습니다.

28이렇게 일곱 형제가 모두 한 여자와 살았으니 부활 때 그 여자는 누구의 아내가 되겠습니까?”

29그래서 예수님은 그들에게 이렇게 대답하셨다. “너희는 성경과 하나님의 능력을 모르기 때문에 잘못 생각하고 있다.

30부활하면 장가도 시집도 안 가고 다만 하늘에 있는 천사들과 같이 된다.

31너희는 죽은 사람들의 부활에 대하여 하나님이

3222:32 출3:6‘나는 아브라함의 하나님, 이삭의 하나님, 야곱의 하나님이다’ 라고 하신 말씀을 읽어 보지 못했느냐? 하나님은 죽은 사람들의 하나님이 아니라 살아 있는 사람들의 하나님이시다.”

33그러자 군중들은 예수님의 가르치심에 감탄하였다.

34바리새파 사람들은 예수님이 사두개파 사람들의 말문을 막으셨다는 말을 듣고 다 함께 모였다.

35그들 중에 한 율법학자가 예수님을 시험하려고

36“선생님, 모세의 법 중에 가장 큰 계명은 어느 계명입니까?” 하고 물었다.

37그래서 예수님은 이렇게 대답하셨다. “22:37 신6:5‘네 마음을 다하고 정성을 다하고 뜻을 다하여 주 너의 하나님을 사랑하라.’

38“이것이 제일 중요한 계명이다.

39그 다음은 22:39 레19:18‘네 이웃을 네 몸과 같이 사랑하라’ 는 계명이다.

40모든 율법과 예언자들의 가르침은 이 두 계명에서 나온 것이다.”

41바리새파 사람들이 모였을 때 예수님은 그들에게

42“너희는 그리스도에 대하여 어떻게 생각하느냐? 그는 누구의 후손이냐?” 하고 물으셨다. 그들이 “다윗의 후손입니다” 하고 대답하자

43예수님은 다시 그들에게 물으셨다. “다윗이 성령님의 감동으로

4422:44 시110:1‘하나님이 나의 주님에게 말씀하셨다: 내가 네 원수들을 네 발 앞에 굴복시킬 때까지 너는 내 오른편에 앉아 있거라’ 고 하지 않았느냐?

45다윗이 이렇게 그리스도를 주라고 불렀는데 어떻게 그리스도가 다윗의 후손이 되겠느냐?”

46그러자 한마디도 대답하는 사람이 없고 그 날부터 예수님께 묻는 사람도 없었다.