Matendo 11 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Matendo 11:1-30

Petro Aeleza Alivyotumwa Kwa Watu Wa Mataifa

111:1 Mdo 1:16; Ebr 4:12Mitume na ndugu walioamini waliokuwa huko Uyahudi wakasikia kuwa watu wa Mataifa nao wamepokea neno la Mungu. 211:2 Mdo 10:45; Gal 2:12Hivyo Petro alipopanda Yerusalemu, wale wa tohara waliokuwa wameamini wakamshutumu, 311:3 Mdo 10:25-28; Gal 2:12wakisema, “Ulikwenda kwa watu wasiotahiriwa na kula pamoja nao.”

411:4 Lk 1:3Ndipo Petro akaanza kuwaeleza kuhusu mambo yote yalivyotokea hatua kwa hatua akisema, 511:5 Mdo 10:9-32; 9:10“Nilikuwa katika mji wa Yafa nikiomba, nami nikapitiwa na usingizi wa ghafula, nikaona maono. Kulikuwa na kitu kama nguo kubwa ikishuka kutoka mbinguni, ikishushwa kwa ncha zake nne, nayo ikanikaribia. 6Nilipoangalia ndani yake kwa karibu niliona wanyama wenye miguu minne wa nchini, wanyama wa mwitu, watambaao na ndege wa angani. 7Ndipo nikasikia sauti ikiniambia, ‘Petro, ondoka uchinje na ule.’

8“Nikajibu, ‘La hasha Bwana! Kitu chochote kilicho najisi hakijaingia kinywani mwangu.’

911:9 Mdo 10:15“Sauti ikasema kutoka mbinguni mara ya pili, ‘Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.’ 10Jambo hili lilitokea mara tatu, ndipo kile kitu kikavutwa tena mbinguni.

11“Wakati ule ule watu watatu, waliokuwa wametumwa kutoka Kaisaria waliwasili katika nyumba niliyokuwa nikikaa. 1211:12 Mdo 8:29; 15:9; Rum 3:22; Mdo 1:16; Yn 16:13Roho Mtakatifu akaniambia niende nao bila kuwa na ubaguzi kati yao na sisi. Hawa ndugu sita pia walifuatana nami, nasi tukaingia nyumbani mwa huyo Kornelio. 1311:13 Mdo 5:19; 10:30Akatuambia jinsi alivyoona malaika aliyekuwa amesimama katika nyumba yake na kusema, ‘Tuma watu waende Yafa wakamlete Simoni aitwaye Petro. 1411:14 Yn 4:53; 1Kor 1:11-16Yeye atakupa ujumbe ambao kwa huo wewe na wa nyumbani mwako wote mtaokoka.’

1511:15 Mdo 10:44; 2:4“Nami nilipoanza kusema, Roho Mtakatifu akashuka juu yao kama vile alivyotushukia sisi hapo mwanzo. 1611:16 Mk 1:8; Mdo 1:5Nami nikakumbuka neno la Bwana alivyosema, ‘Yohana alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu.’ 1711:17 Mdo 10:45-47Basi ikiwa Mungu aliwapa hawa watu kipawa kile kile alichotupa sisi tuliomwamini Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani hata nifikirie kuwa ningeweza kumpinga Mungu?”

1811:18 Rum 10:12-13; 2Kor 7:10Waliposikia haya hawakuwa na la kupinga zaidi. Nao wakamwadhimisha Mungu wakisema, “Basi, Mungu amewapa hata watu wa Mataifa toba iletayo uzima wa milele.”

Kanisa La Antiokia

1911:19 Mdo 8:1-4; 14:26; Gal 2:11Basi wale waliotawanyika kwa ajili ya mateso yaliyotokana na kifo cha Stefano, wakasafiri hadi Foinike na Kipro na Antiokia. Nao hawakuhubiri lile Neno kwa mtu yeyote isipokuwa Wayahudi. 2011:20 Mdo 4:36; Mt 27:32; Mdo 4:36; Mt 27:32Lakini baadhi yao walikuwepo watu wa Kipro na Kirene, ambao walipokuja Antiokia walinena na Wayunani pia wakiwahubiria habari njema za Bwana Yesu. 2111:21 Lk 1:66; Mdo 2:41-47Mkono wa Bwana ulikuwa pamoja nao, nayo idadi kubwa ya watu wakaamini na kumgeukia Bwana.

2211:22 Mdo 4:36Habari hizi zilipofika masikioni mwa kanisa huko Yerusalemu, wakamtuma Barnaba aende Antiokia. 2311:23 Mdo 15:40; 20:24; 14:22Alipofika na kuona madhihirisho ya neema ya Mungu, akafurahi na kuwatia moyo waendelee kuwa waaminifu kwa Bwana kwa mioyo yao yote. 2411:24 Mdo 2:41; 5:14Barnaba alikuwa mtu mwema, aliyejaa Roho Mtakatifu, mwenye imani, nayo idadi kubwa ya watu wakaongezeka kwa Bwana.

2511:25 Mdo 9:11Kisha Barnaba akaenda Tarso kumtafuta Sauli, 2611:26 Mdo 6:1-2; 9:19-26; 26:28; 1Pet 4:16naye alipompata akamleta Antiokia. Hivyo kwa mwaka mzima Barnaba na Sauli wakakutana na kanisa na kufundisha idadi kubwa ya watu. Ilikuwa ni katika kanisa la Antiokia kwa mara ya kwanza wanafunzi waliitwa Wakristo.

2711:27 1Kor 11:4; Efe 4:11Wakati huo manabii walishuka toka Yerusalemu hadi Antiokia. 2811:28 Mdo 21:10; Mt 24:14; Mdo 18:2Mmoja wao, jina lake Agabo, akasimama akatabiri kwa uweza wa Roho Mtakatifu kwamba njaa kubwa itaenea ulimwengu mzima. Njaa hiyo ilitokea wakati wa utawala wa Klaudio. 2911:29 Rum 15:26; 2Kor 8:1-4; Mdo 1:16Mitume wakaamua kwamba kila mtu, kulingana na uwezo alio nao, atoe msaada kwa ajili ya ndugu wanaoishi Uyahudi. 3011:30 Mdo 14:23; 15:2; 22; 20:17; 1Tim 5:17; Tit 1:5; Yak 5:14; 1Pet 5:1; Mdo 4:36; 12:25Wakafanya hivyo, misaada yao ikapelekwa kwa wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.

La Bible du Semeur

Actes 11:1-30

Le rapport de Pierre aux croyants de Jérusalem

1Les apôtres et les frères qui habitaient la Judée apprirent que les non-Juifs venaient d’accepter la Parole de Dieu. 2Et dès que Pierre fut de retour à Jérusalem, les croyants d’origine juive lui firent des reproches : 3Comment ! lui dirent-ils, tu es entré chez des incirconcis et tu as mangé avec eux !

4Mais Pierre se mit à leur exposer, point par point, ce qui s’était passé.

5– Pendant mon séjour à Jaffa, dit-il, j’étais en train de prier, quand je suis tombé en extase et j’ai eu une vision : une sorte de grande toile, tenue aux quatre coins, est descendue du ciel et elle est venue tout près de moi. 6J’ai regardé attentivement ce qu’il y avait dedans et j’ai vu des quadrupèdes, des bêtes sauvages, des reptiles et des oiseaux. 7J’ai entendu alors une voix qui me disait : « Lève-toi, Pierre, tue ces bêtes et mange-les. » 8Mais j’ai répondu : « Oh ! non, Seigneur, car jamais de ma vie je n’ai rien mangé de souillé ou d’impur. » 9La voix céleste s’est fait entendre une deuxième fois : « Ce que Dieu a déclaré pur, ce n’est pas à toi de le considérer comme impur. »

10Cela est arrivé trois fois, puis tout a disparu dans le ciel.

11Et voilà qu’au même moment trois hommes sont arrivés à la maison où nous nous trouvions11.11 Certains manuscrits ont : je me trouvais.. Ils venaient de Césarée et avaient été envoyés vers moi. 12Alors l’Esprit me dit d’aller avec eux sans hésiter. Je pris donc avec moi les six frères que voici et nous nous sommes rendus chez cet homme.

13Celui-ci nous a raconté qu’un ange lui était apparu dans sa maison et lui avait dit : « Envoie quelqu’un à Jaffa pour faire venir chez toi Simon, surnommé Pierre. 14Il te dira comment toi et tous les tiens vous serez sauvés. »

15J’ai donc commencé à leur parler, quand l’Esprit Saint est descendu sur eux, de la même manière qu’il était descendu sur nous au commencement. 16Aussitôt, je me suis souvenu de cette parole du Seigneur :

Jean a baptisé dans de l’eau, mais vous,

vous serez baptisés dans le Saint-Esprit.

17Puisque Dieu leur a accordé le même don qu’à nous quand nous avons cru, qui étais-je, moi, pour pouvoir m’opposer à Dieu ?

18Ce récit les apaisa et ils louèrent Dieu et dirent : Dieu a aussi donné aux non-Juifs de changer pour recevoir la vie.

La Parole annoncée aux non-Juifs à Antioche

19Les disciples s’étaient dispersés lors de la persécution survenue après la mort d’Etienne. Ils allèrent jusqu’en Phénicie, dans l’île de Chypre et à Antioche11.19 Antioche: capitale de la province romaine de Syrie. Troisième ville de l’Empire romain (après Rome et Alexandrie). Appelée souvent Antioche de Syrie pour la distinguer d’Antioche de Pisidie (voir 13.14)., mais ils n’annonçaient la Parole qu’aux Juifs. 20Toutefois, quelques-uns d’entre eux, qui étaient originaires de Chypre et de Cyrène, se rendirent à Antioche et s’adressèrent aussi aux non-Juifs11.20 Certains manuscrits ont : des Juifs de culture grecque. en leur annonçant le Seigneur Jésus. 21Or le Seigneur était avec eux ; un grand nombre de personnes crurent et se convertirent au Seigneur.

22Bientôt l’Eglise qui était à Jérusalem apprit la nouvelle. Elle envoya Barnabas à Antioche. 23A son arrivée, il constata ce que la grâce de Dieu avait accompli et il en fut rempli de joie. Il encouragea donc tous les croyants à rester fidèles au Seigneur avec une ferme assurance. 24Barnabas était en effet un homme bienveillant, rempli d’Esprit Saint et de foi. Et un grand nombre de personnes s’attachèrent au Seigneur. 25Barnabas se rendit alors à Tarse pour y chercher Saul. Quand il l’eut trouvé, il l’amena avec lui à Antioche. 26Ils passèrent toute une année à travailler ensemble dans l’Eglise et enseignèrent beaucoup de gens. C’est à Antioche que, pour la première fois, les disciples de Jésus furent appelés « chrétiens ».

27A cette même époque, des prophètes se rendirent de Jérusalem à Antioche. 28L’un d’eux, nommé Agabus, se leva et prédit sous l’inspiration de l’Esprit qu’une grande famine sévirait bientôt dans le monde entier11.28 Le monde entier: expression qui désigne souvent l’Empire romain (voir Lc 2.1-2).. Elle eut lieu, en effet, sous le règne de l’empereur Claude11.28 Claude: empereur romain qui a régné de 41 à 54 apr. J.-C. La famine a sévi dans diverses provinces romaines entre 46 et 48.. 29Les disciples d’Antioche décidèrent alors de donner, chacun selon ses moyens, et d’envoyer des secours aux frères qui habitaient la Judée. 30C’est ce qu’ils firent : ils envoyèrent leurs dons aux responsables de l’Eglise par l’intermédiaire de Barnabas et de Saul11.30 Deuxième visite de Paul à Jérusalem, qui coïncide selon certains avec celle qu’il mentionne en Ga 2.1-10..