Marko 16 – NEN & HHH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Marko 16:1-20

Kufufuka Kwa Yesu

(Mathayo 28:1-8; Luka 24:1-12; Yohana 20:1-10)

116:1 Lk 24:9; Yn 19:39-40Sabato ilipomalizika, Maria Magdalene, Maria mama yake Yakobo, na Salome walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu. 216:2 Lk 24:1; Yn 20:1Asubuhi na mapema, siku ya kwanza ya juma, mara tu baada ya kuchomoza jua, walikwenda kaburini. 316:3 Mk 15:46Njiani wakawa wanaulizana wao kwa wao, “Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe kutoka kwenye ingilio la kaburi?”

4Lakini walipotazama, wakaona lile jiwe, ambalo lilikuwa kubwa sana, limekwisha kuvingirishwa kutoka pale penye ingilio la kaburi. 516:5 Lk 24:3-4Walipokuwa wakiingia mle kaburini, wakamwona kijana mmoja aliyevaa joho jeupe akiwa ameketi upande wa kuume, nao wakastaajabu.

616:6 Mk 1:24Yule malaika akawaambia, “Msistaajabu. Mnamtafuta Yesu, Mnazareti, aliyesulubiwa. Amefufuka! Hayuko hapa. Tazameni mahali walipomlaza. 716:7 Yn 21:1-23; Mk 14:28Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro, kwamba, ‘Anawatangulia kwenda Galilaya. Huko ndiko mtamwona, kama alivyowaambia.’ ”

816:8 Mt 28:8; Lk 24:9Hivyo wakatoka, wakakimbia kutoka mle kaburini wakiwa na hofu kuu na mshangao. Nao hawakumwambia mtu yeyote neno lolote, kwa sababu waliogopa.

Yesu Anamtokea Maria Magdalene

(Mathayo 28:9-10; Yohana 20:11-18)

916:9 Mk 15:4-7Yesu alipofufuka alfajiri na mapema siku ya kwanza ya juma alimtokea kwanza Maria Magdalene, yule ambaye alikuwa amemtoa pepo wachafu saba. 1016:10 Lk 24:10; Yn 20:18Maria akaenda, naye akawaambia wale waliokuwa wamefuatana na Yesu, waliokuwa wanaomboleza na kulia. 1116:11 Mk 16:13, 14; Lk 24:11Lakini waliposikia kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria alikuwa amemwona, hawakusadiki.

Yesu Awatokea Wanafunzi Wawili

(Luka 24:13-35)

1216:12 Lk 24:13-32Baadaye Yesu akawatokea wawili miongoni mwa wanafunzi wake walipokuwa wakienda shambani akiwa katika sura nyingine. 13Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.

Yesu Awaagiza Wale Wanafunzi Kumi Na Mmoja

(Mathayo 28:16-20; Luka 24:36-49; Yohana 20:19-23; Matendo 1:6-8)

1416:14 Lk 24:36-43Baadaye Yesu akawatokea wale wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa wakila chakula. Akawakemea kwa kutoamini kwao na kwa ugumu wa mioyo yao kwa kutosadiki wale waliomwona baada yake kufufuka.

1516:15 Mt 28:18-20; Mdo 1:8Akawaambia, “Enendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 1616:16 Mdo 16:31; Yn 12:48Yeyote aaminiye na kubatizwa ataokoka. Lakini yeyote asiyeamini atahukumiwa. 1716:17 Lk 10:17; 1Kor 13:1; 14:2-39Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya; 1816:18 Lk 10:19; Mdo 28:3-5; 6:6watashika nyoka kwa mikono yao; na hata wakinywa kitu chochote cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”

[Yesu Apaa Kwenda Mbinguni

(Luka 24:50-53; Matendo 1:9-11)

1916:19 Lk 24:50-51; Yn 6:6; Mdo 1:19; 1Tim 3:16; Za 110:1; Mt 26:64; Mdo 2:33; 5:31; Rum 8:34; Kol 3:1; Ebr 1:3; 12:2Baada ya Bwana Yesu kusema nao, alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa Mungu. 2016:20 Yn 4:48Kisha wanafunzi wake wakatoka, wakahubiri kila mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha neno lake kwa ishara zilizofuatana nalo.]

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי מרקוס 16:1-20

1במוצאי שבת הלכו מרים המגדלית, שלומית ומרים (אמו של יעקב) לקנות בשמים ומרקחות כדי למשוח את גופתו של ישוע. 2ביום ראשון השכם בבוקר הן הלכו לקבר, 3ובדרך שאלו את עצמן: ”מי יזיז לנו את האבן מפתח הקבר?“

4אולם כשהגיעו אל הקבר גילו להפתעתן הרבה שמישהו הזיז את האבן הכבדה והקבר פתוח. 5הנשים נכנסו פנימה וראו בחור צעיר לבוש כולו לבן יושב בצד ימין. הנשים נחרדו.

6”אל תתפלאו כל כך“, אמר המלאך. ”האם אינכן מחפשות את ישוע מנצרת שנצלב? הוא איננו כאן, הוא קם לתחייה! הנה, כאן הייתה גופתו. 7לכו למסור את ההודעה הזאת לתלמידים, במיוחד לפטרוס:

” ’ישוע הולך לפניכם לגליל. אתם תראו אותו שם ממש כפי שאמר לכם לפני מותו‘.“

8הנשים ברחו משם כל עוד רוחן בהן, מבוהלות ומפוחדות מכדי למסור את ההודעה.

9כאשר קם ישוע לתחייה ביום ראשון השכם בבוקר, פגש תחילה את מרים המגדלית שממנה גירש שבעה שדים. 10‏-11מרים הלכה אל התלמידים ומצאה אותם מתאבלים ובוכים.

”ישוע חי!“ קראה בהתרגשות. ”ראיתי אותו“ אך איש לא האמין לה.

12לאחר מכן נגלה ישוע לשני תלמידים שהלכו בדרך מירושלים לכיוון השדות. השניים לא הכירו אותו בהתחלה, משום שהמראה שלו השתנה במידת מה. 13לבסוף, כאשר הבינו מי הוא, מיהרו לירושלים וסיפרו לאחרים, אך איש לא האמין להם.

14מאוחר יותר נגלה ישוע לאחד־עשר התלמידים בשעת הארוחה. הוא הוכיח אותם על חוסר אמונתם, ועל העקשנות שלהם לא להאמין לעדים שסיפרו כי ראו את ישוע קם לתחייה.

15לאחר מכן הוא ציווה עליהם: ”לכו אל כל העולם להכריז על הבשורה לכל אדם. 16מי שיאמין וייטבל ייוושע; מי שיסרב להאמין יואשם בעיני אלוהים.

17”למאמינים בשמי אתן סמכות לגרש שדים; הם ידברו בלשונות חדשות; 18הם אף יוכלו להחזיק נחשים בידיהם ולא יקרה להם דבר; הם יוכלו לסמוך את ידיהם על אנשים חולים ולרפא אותם.“

19וכאשר סיים האדון ישוע לדבר אליהם, הוא נלקח לשמים לשבת לימין האלוהים.

20התלמידים הלכו לכל מקום והכריזו את הבשורה. האדון חיזק ועודד אותם, וחולל באמצעותם ניסים ונפלאות אשר אישרו וחיזקו את עדותם.