Marko 1 – NEN & HHH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Marko 1:1-45

Mahubiri Ya Yohana Mbatizaji

(Mathayo 3:1-12; Luka 3:1-8; Yohana 1:19-28)

11:1 Mt 4:3Mwanzo wa Injili ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu.

21:2 Mal 3:1; Lk 7:27Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya:

“Tazama, nitamtuma mjumbe wangu mbele yako,

atakayetengeneza njia mbele yako”:

31:3 Isa 40:3; Yn 1:23“sauti ya mtu aliaye nyikani.

‘Itengenezeni njia ya Bwana,

yanyoosheni mapito yake.’ ”

41:4 Yn 1:26, 33; Mt 3:1; Mdo 11:16; Lk 1:7Yohana alikuja, akibatiza huko nyikani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi. 51:5 Mt 3:5Watu kutoka Uyahudi wote na sehemu zote za Yerusalemu walikuwa wakimwendea. Nao wakaziungama dhambi zao, akawabatiza katika Mto Yordani. 61:6 Law 11:22; Mt 3:4Yohana alivaa mavazi yaliyotengenezwa kwa singa za ngamia na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwitu. 71:7 Mdo 13:25; Yn 1:27; Mdo 13:25Naye alihubiri akisema, “Baada yangu atakuja yeye aliye na uwezo kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kuinama na kulegeza kamba za viatu vyake. 81:8 Yoe 2:28; Yn 1:33Mimi nawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.”

Ubatizo Wa Yesu

(Mathayo 3:13-17; Luka 3:21-22)

91:9 Mt 2:23; Lk 3:21Wakati huo Yesu akaja kutoka Nazareti ya Galilaya, naye akabatizwa na Yohana katika Mto Yordani. 101:10 Yn 1:32Yesu alipokuwa akitoka ndani ya maji, aliona mbingu zikifunguka na Roho akishuka juu yake kama hua. 111:11 Mt 3:17; Mk 9:7; Za 2:7; Isa 42:1Nayo sauti kutoka mbinguni ikasema, “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”

Majaribu Ya Yesu

(Mathayo 4:1-11; Luka 4:1-13)

121:12 Mt 4:1; Lk 4:1Wakati huo huo, Roho akamwongoza Yesu kwenda nyikani, 131:13 Mt 4:10; Ebr 4:15naye akawa huko nyikani kwa muda wa siku arobaini, akijaribiwa na Shetani. Alikaa na wanyama wa mwituni, nao malaika wakamhudumia.

Yesu Aanza Kuhubiri

141:14 Mt 4:12; 4:23; 4:12; 4:23; Lk 4:14, 15Baada ya Yohana kukamatwa na kutiwa gerezani, Yesu aliingia Galilaya akaanza kuhubiri habari njema ya Mungu, 151:15 Rum 5:6; Gal 4:4; Mdo 20:21akisema, “Wakati umewadia, Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema.”

Yesu Awaita Wanafunzi Wanne

(Mathayo 4:12-22; Luka 4:14-15; 5:1-11)

161:16 Mt 4:18; Lk 5:4Yesu alipokuwa akitembea kando ya Bahari ya Galilaya, aliwaona Simoni na Andrea nduguye wakizitupa nyavu zao baharini, kwa kuwa wao walikuwa wavuvi. 171:17 Mt 13:47Yesu akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.” 181:18 Mt 19:27; Lk 5:11; Mt 4:19Mara wakaacha nyavu zao, wakamfuata.

191:19 Mt 4:21Alipokwenda mbele kidogo, akamwona Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana nduguye, wakiwa kwenye mashua yao wakizitengeneza nyavu zao. 20Papo hapo akawaita, nao wakamwacha Zebedayo baba yao kwenye mashua pamoja na watumishi wa kuajiriwa, nao wakamfuata Yesu.

Yesu Amtoa Pepo Mchafu

(Luka 4:31-37)

211:21 Mk 1:39; Mt 4:23Wakaenda mpaka Kapernaumu. Ilipofika siku ya Sabato, mara Yesu akaingia sinagogi, akaanza kufundisha. 221:22 Mt 7:28-29Watu wakashangaa sana kwa mafundisho yake, kwa maana aliwafundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wa sheria. 231:23 Lk 4:33Wakati huo huo katika sinagogi lao palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, 241:24 Mt 8:29; Yn 1:45-46; Mdo 4:10; Za 16:10; 1Yn 2:20naye akapiga kelele akisema, “Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakujua wewe ni nani. Wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu!”

251:25 Mk 1:34Lakini Yesu akamkemea, akamwambia, “Nyamaza kimya! Nawe umtoke!” 261:26 Mk 9:20Yule pepo mchafu akamtikisatikisa huyo mtu kwa nguvu, kisha akamtoka akipiga kelele kwa sauti kubwa.

271:27 Mk 10:24, 32Watu wote wakashangaa, hata wakaulizana wao kwa wao, “Haya ni mambo gani? Ni mafundisho mapya, tena yenye mamlaka! Anaamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!” 281:28 Mk 9:26Sifa zake zikaanza kuenea haraka katika eneo lote la karibu na Galilaya.

Yesu Amponya Mama Mkwe Wa Simoni

(Mathayo 8:14-15; Luka 4:38-39)

291:29 Mt 8:14; Lk 4:38Mara walipotoka katika sinagogi, walikwenda pamoja na Yakobo na Yohana hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea. 30Mama mkwe wa Simoni alikuwa kitandani, ana homa, nao wakamweleza Yesu habari zake. 311:31 Lk 7:14Hivyo Yesu akamwendea, akamshika mkono na kumwinua. Kisha homa ikamwacha, naye akaanza kuwahudumia.

Yesu Aponya Wengi

(Mathayo 8:16-17; Luka 4:40-41)

321:32 Mt 4:24Jioni ile baada ya jua kutua, watu wakamletea Yesu wagonjwa wote na waliopagawa na pepo wachafu. 33Mji wote ukakusanyika mbele ya nyumba hiyo. 341:34 Mt 4:23; Mk 3:12; Mdo 16:17-18Yesu akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa ya aina mbalimbali. Akawatoa pepo wachafu wengi, lakini hakuwaacha hao pepo wachafu waseme, kwa sababu walimjua yeye ni nani.

Yesu Aenda Galilaya

(Luka 4:42-44)

351:35 Lk 3:21Alfajiri na mapema sana kulipokuwa bado kuna giza, Yesu akaamka, akaondoka, akaenda mahali pa faragha ili kuomba. 361:36 Lk 4:43-44Simoni na wenzake wakaenda kumtafuta, 37nao walipomwona, wakamwambia, “Kila mtu anakutafuta!”

381:38 Isa 61:1Yesu akawajibu, “Twendeni mahali pengine kwenye vijiji jirani, ili niweze kuhubiri huko pia, kwa sababu hicho ndicho nilichokuja kukifanya.” 391:39 Mt 4:23-24Kwa hiyo akazunguka Galilaya kote, akihubiri katika masinagogi yao na kutoa pepo wachafu.

Yesu Amtakasa Mwenye Ukoma

(Mathayo 8:1-4; Luka 5:12-16)

401:40 Mk 10:17Mtu mmoja mwenye ukoma alimjia Yesu, akamwomba akipiga magoti, akamwambia, “Ukitaka, waweza kunitakasa.”

41Yesu, akiwa amejawa na huruma, akanyoosha mkono wake akamgusa, akamwambia, “Nataka. Takasika!” 42Mara ukoma ukamtoka, naye akatakasika. 431:43 Mk 3:12; 7:36Baada ya Yesu kumwonya vikali, akamruhusu aende zake 441:44 Mt 8:4; Law 13:49; 14:1-32akimwambia, “Hakikisha humwambii mtu yeyote habari hizi, bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, na ukatoe sadaka alizoagiza Mose kwa utakaso wako, ili kuwa ushuhuda kwao.” 451:45 Lk 5:15-16, 17; Yn 6:2Lakini yule mtu akaenda akaanza kutangaza habari za kuponywa kwake waziwazi. Kwa hiyo, Yesu hakuweza tena kuingia katika miji waziwazi lakini alikaa sehemu zisizo na watu. Hata hivyo watu wakamfuata huko kutoka kila upande.

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי מרקוס 1:1-45

1כך מתחיל הסיפור על ישוע המשיח בן־האלוהים. 2בספרי הנביאים הודיע לנו אלוהים שהוא עומד לשלוח אלינו את בנו, אולם לפני כן ישלח שליח מיוחד אשר יכין את העולם לקראת בואו של בן־האלוהים.1‏.2 א 2 מלאכי ג 1

3ישעיהו הנביא ניבא:1‏.3 א 3 ישעיהו מ 3 ”קול קורא במדבר פנו דרך ה׳, ישרו מסילותיו.“ 4שליח זה היה יוחנן המטביל. יוחנן גר במדבר והכריז שכל אחד צריך להיטבל במים, לאות חרטה על מעשיו וכדי שאלוהים יסלח לו עליהם. 5אנשים רבים מירושלים ומכל אזור יהודה באו להקשיב לדברי יוחנן, ולאחר שהתוודו על מעשיהם הרעים הוא הטביל אותם בנהר הירדן. 6בגדיו היו עשויים שער גמלים והייתה לו חגורת עור; הוא נהג לאכול ארבה ודבש־בר. 7המסר של יוחנן היה זה:

”בקרוב יבוא אדם גדול ונעלה ממני; הוא כה נעלה עד כי איני ראוי אפילו להסיר את נעליו! 8אני הטבלתי אתכם במים, אולם הוא יטביל אתכם ברוח הקודש של אלוהים!“

9יום אחד בא ישוע מנצרת שבגליל, ויוחנן הטביל אותו בנהר הירדן. 10כאשר יצא ישוע מהמים נפתחו השמים, ורוח אלוהים בדמות יונה ירדה ונחתה עליו, 11וקול מן השמים קרא: ”אתה בני אהובי, ובך אני חפץ.“ 12‏-13רוח אלוהים נשא מיד את ישוע אל המדבר, שם הוא נשאר לבדו עם חיות המדבר ארבעים יום, והשטן ניגש לנסותו. לאחר מכן באו המלאכים לשרת אותו.

14זמן מה לאחר שאסר המלך הורדוס את יוחנן, בא ישוע אל הגליל כדי להכריז על בשורת אלוהים.

15”העת הגיעה!“ קרא ישוע. ”מלכות אלוהים קרבה, שובו מדרככם הרעה והאמינו לבשורה!“

16יום אחד כשהתהלך ישוע על חוף הכינרת, ראה את האחים שמעון ו‎אַנְדְּרֵי דגים בעזרת רשתות. הם היו דייגים במקצועם.

17”בואו אחרי!“ קרא אליהם ישוע. ”אני אעשה אתכם לדייגי אדם!“ 18שני האחים עזבו מיד את הרשתות שלהם והלכו אחריו.

19לא הרחק משם ראה ישוע את יעקב ויוחנן בני־זבדי יושבים בסירת דיג ומתקנים את הרשתות. 20ישוע קרא להם, והשניים הצטרפו מיד אל החבורה, לאחר שהשאירו את זבדי אביהם בסירה עם מספר דייגים שכירים.

21ישוע ומלוויו הגיעו לכפר־נחום. בשבת בבוקר הלכו לבית־הכנסת, וישוע לימד את הקהל. 22היהודים בבית־הכנסת נדהמו מהדרשה שלו, מפני שדיבר אליהם בסמכות רבה ולא כמו הסופרים.

23בבית־הכנסת היה איש אחוז שד טמא, והלה צעק לפתע: 24”מדוע אתה מטריד אותנו, ישוע מנצרת, האם באת להשמיד את השדים? אני מכיר אותך; אתה בנו הקדוש של אלוהים!“

25ישוע נזף בשד וציווה עליו: ”שתוק וצא החוצה!“ 26השד טלטל את האיש המסכן מצד אל צד ויצא ממנו בקול צעקה.

27כל הנוכחים השתוממו והחלו לשוחח זה עם זה על המקרה. ”האם זוהי תורה חדשה?“ שאלו בהתרגשות. ”ראו, גם השדים שומעים בקולו!“

28עד מהרה התפשטו השמועות על מעשי ישוע והתפרסמו בכל אזור הגליל.

29ישוע ותלמידיו יצאו מבית־הכנסת והלכו לביתם של שמעון ו‎אַנְדְּרֵי. 30כאשר נכנסו אל הבית מצאו את חמותו של שמעון שוכבת שם חולה עם חום גבוה. התלמידים פנו מיד אל ישוע וביקשו את עזרתו. 31ישוע ניגש אל מיטת החולה, אחז בידה ועזר לה לשבת. החום נעלם מיד, היא קמה ממיטתה והכינה להם אוכל.

32‏-33עם שקיעת השמש התמלאה חצר הבית בחולים ואנשים אחוזי שדים, אשר הובאו אל ישוע כדי שירפא אותם. ליד הבית התאספו כל אנשי העיירה מתוך סקרנות.

34ישוע ריפא אנשים רבים שהיו חולים במחלות שונות, וגירש שדים רבים (אולם הוא לא הרשה לשדים לדבר, משום שידעו מי הוא).

35למחרת בבוקר, עוד לפני זריחת השמש, קם ישוע והלך למקום שקט ומבודד כדי להתפלל. 36‏-37שמעון והאחרים יצאו בעקבותיו, וכשמצאו אותו קראו: ”לאן אתה הולך? כולם מחפשים אותך!“

38”איננו יכולים להישאר כל הזמן במקום אחד“, השיב ישוע. ”עלינו ללכת גם למקומות אחרים, כדי לספר לאנשים על מלכות אלוהים; הרי לשם כך באתי!“

39ישוע עבר בכל רחבי הגליל, לימד בבתי־הכנסת וגירש שדים מהרבה אנשים. 40פעם בא אליו אדם חולה צרעת והתחנן לפניו שירפא אותו. ”אם רק תרצה, תוכל לרפא אותי“, אמר האיש.

41ישוע חש חמלה רבה, ועל כן נגע במצורע ואמר: ”ודאי שאני רוצה. הירפא!“ 42הצרעת נעלמה מיד, והאדם נרפא כליל!

43”לך מהר להיבדק אצל הכוהן“, אמר ישוע לאיש בתוקף. 44”אל תשכח לקחת איתך קורבן טהרה, כפי שציווה משה על בני־ישראל, כדי שכולם יראו שנרפאת. אל תעצור בדרך לדבר עם איש!“

45אבל האיש לא שמע בקול ישוע, והלך והכריז לכולם שהוא בריא. הוא סיפר לכולם שישוע ריפא אותו ממחלת הצרעת, וכתוצאה מכך שוב לא יכול היה ישוע להיכנס לעיר בגלוי, כי אנשים רבים הלכו אחריו לכל מקום ולא נתנו לו מנוחה. על כן הוא החליט לשבת מחוץ לעיר, אך גם זה לא הועיל, כי תוך זמן קצר מצא אותו ההמון והקיף אותו מכל עבר.