Malaki 4 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Malaki 4:1-6

Siku Ya Bwana

14:1 Isa 2:12; 5:24; 1:31; 2Fal 10:11; Nah 1:10; Eze 17:8; Mt 3:10“Hakika siku inakuja, itawaka kama tanuru. Wote wenye kiburi na kila mtenda mabaya watakuwa mabua makavu, na siku ile inayokuja itawawasha moto,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Hakuna mzizi wala tawi litakalosalia kwao. 24:2 Kum 28:58; 2Pet 1:19; Za 61:5; 111:9; 118:27; 2Nya 7:14; Ufu 14:1; 22:2; Isa 9:2; 45:8; 30:26; Lk 1:78; Efe 5:14; Mt 4:23Bali kwenu ninyi mnaoliheshimu Jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mabawa yake. Nanyi mtatoka nje na kurukaruka kama ndama aliyeachiwa kutoka zizini. 34:3 Ay 40:12; Za 18:40-42; Eze 28:18; Mik 7:10Kisha ninyi mtawakanyaga waovu, nao watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nitakayofanya mambo haya,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

44:4 Kum 28:61; 4:10; Za 147:19; Mt 5:17; 7:12; Rum 2:13; 4:15“Kumbukeni sheria ya mtumishi wangu Mose, amri na sheria nilizompa huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote.

54:5 1Fal 17:1; Yoe 2:31; Mt 11:14; 16:14“Tazama, nitawapelekea nabii Eliya kabla ya kuja siku ile iliyo kuu na ya kutisha ya Bwana. 64:6 Dan 9:26; Lk 19:27, 43; 21:20; Mk 13:14; Lk 1:17; Zek 5:3; Isa 11:4; Ufu 19:15; Kum 13:15; Yos 6:17; 23:15; 4:2Ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, la sivyo nitakuja na kuipiga nchi kwa laana.”

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

玛拉基书 4:1-6

耶和华的日子

1“万军之耶和华说,‘那日要来临了,就像烧红的火炉,所有狂妄自大、作恶多端的人都要像碎秸一样被火烧尽,连根带枝,荡然无存。 2但必有公义的太阳为你们这些敬畏我名的人升起,它的光芒有医治的能力。你们必像栏中出来的牛犊一样欢欣跳跃。 3到我所定的日子,你们必践踏恶人,他们必成为你们脚下的尘土。’这是万军之耶和华说的。

4“你们要记住我仆人摩西的律法,就是我在何烈山借着他传给以色列人的律例和典章。

5“看啊,在耶和华那伟大而可畏的日子来临以前,我必差遣以利亚先知到你们那里。 6他必使父亲的心转向儿女,儿女的心转向父亲,免得我来用咒诅毁灭这地方。”