Luka 17 – NEN & HHH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Luka 17:1-37

Yesu Afundisha Kuhusu Majaribu, Dhambi Na Imani

(Mathayo 18:6-7, 21-22; Marko 9:42)

117:1 Mt 5:29; 18:7Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mambo yanayosababisha watu watende dhambi hayana budi kutukia. Lakini ole wake mtu yule anayeyasababisha. 217:2 Mk 10:24; Lk 10:21; Mt 5:29Ingekuwa heri kama mtu huyo angefungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutoswa baharini, kuliko kumsababisha mmojawapo wa hawa wadogo kutenda dhambi. 317:3 Mt 18:15; Efe 4:32; Kol 3:13Kwa hiyo, jilindeni.

“Kama ndugu yako akikukosea mwonye, naye akitubu, msamehe. 417:4 Mt 18:21-22Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”

Imani

517:5 Mk 6:30; Lk 7:13Mitume wake wakamwambia Bwana, “Tuongezee imani.”

617:6 Mt 13:31; 17:20; 21:21; Mk 9:23Bwana akawajibu, “Kama mkiwa na imani ndogo kama punje ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu, ‘Ngʼoka ukaote baharini,’ nao ungewatii.

Wajibu Wa Mtumishi

7“Ikiwa mmoja wenu ana mtumishi anayelima shambani au anayechunga kondoo, je, mtumishi huyo arudipo atamwambia, ‘Karibu hapa keti ule chakula?’ 817:8 Lk 12:37Je, badala yake, hatamwambia, ‘Niandalie chakula, nile, jifunge unitumikie ninapokula na kunywa; baadaye waweza kula na kunywa?’ 9Je, huyo mtu atamshukuru mtumishi huyo kwa kutimiza yale aliyoamriwa? 1017:10 1Kor 9:16Vivyo hivyo nanyi mkiisha kufanya mliyoagizwa, semeni, ‘Sisi tu watumishi tusiostahili; tumefanya tu yale tuliyopaswa kufanya.’ ”

Yesu Atakasa Wakoma Kumi

1117:11 Lk 9:51-52; Yn 4:3-4Yesu alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya. 1217:12 Mt 8:2; Law 13:45-46Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye. Wakasimama mbali, 1317:13 Lk 5:5wakapaza sauti, wakasema, “Yesu, Bwana, tuhurumie!”

1417:14 Law 14:2; Mt 8:4Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Nao walipokuwa njiani wakienda, wakatakasika.

1517:15 Mt 9:8Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Yesu, akimsifu Mungu kwa sauti kuu. 1617:16 Mt 10:5Akajitupa miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.

17Yesu akauliza, “Je, hawakutakaswa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa? 18Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?” 1917:19 Mt 9:22Yesu akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako imekuponya.”

Kuja Kwa Ufalme Wa Mungu

(Mathayo 24:23-28, 37-41)

2017:20 Yn 18:36; 3:3Yesu alipoulizwa na Mafarisayo Ufalme wa Mungu utakuja lini, yeye akawajibu, “Ufalme wa Mungu hauji kwa kuchunguza kwa bidii, 2117:21 Mt 24:23; Yn 1:26; 12:35wala watu hawatasema, ‘Huu hapa,’ au ‘Ule kule,’ kwa maana Ufalme wa Mungu umo ndani yenu.”

2217:22 Mt 8:20; 9:15; Lk 5:35Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Wakati utafika ambapo mtatamani kuiona moja ya siku ya Mwana wa Adamu, lakini hamtaiona. 2317:23 Mt 24:23; Mk 13:21Watu watawaambia, ‘Yule kule!’ Au, ‘Huyu hapa!’ Msiwakimbilie. 2417:24 Mt 24:27Kwa maana kama vile umeme wa radi umulikavyo katika anga kuanzia mwisho mmoja hadi mwingine, ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu katika siku yake. 2517:25 Mt 16:21; Lk 9:22; Mk 13:30; Lk 18:32Lakini kwanza itampasa kuteseka katika mambo mengi na kukataliwa na kizazi hiki.

2617:26 Mwa 6:5-8; 7:6-24“Kama ilivyokuwa siku za Noa, ndivyo itakavyokuwa katika siku za Mwana wa Adamu. 2717:27 Mwa 7:7-23Watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, mpaka siku ile Noa alipoingia katika safina. Ndipo gharika ikaja na kuwaangamiza wote.

2817:28 Mwa 19:1-28“Ndivyo ilivyokuwa katika siku za Loti: Watu walikuwa wakila na kunywa, wakinunua na kuuza, wakilima na kujenga. 2917:29 Mwa 19:1-28Lakini siku ile Loti alipoondoka Sodoma, ikanyesha mvua ya moto na kiberiti kutoka mbinguni ukawaangamiza wote.

3017:30 2Pet 3:4; Ufu 1:7“Hivyo ndivyo itakavyokuwa siku ile Mwana wa Adamu atakapofunuliwa. 3117:31 Mt 24:17-18; Mk 13:15-16Siku hiyo, mtu yeyote aliye juu ya dari ya nyumba yake, hata vitu vyake vikiwa ndani ya hiyo nyumba, asishuke kuvichukua. Vivyo hivyo mtu aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua chochote. 3217:32 Mwa 19:26Mkumbukeni mke wa Loti! 3317:33 Yn 12:25Mtu yeyote anayejaribu kuyaokoa maisha yake atayapoteza, na yeyote atakayeyapoteza maisha yake atayaokoa. 3417:34 Mt 24:40, 41; 1The 4:17Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa wamelala kitanda kimoja; naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa. 3517:35 Mt 24:41Wanawake wawili watakuwa wanasaga nafaka pamoja; naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa. [ 36Wanaume wawili watakuwa wanafanya kazi pamoja shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.]”

3717:37 Mt 24:28Kisha wakamuuliza, “Haya yatatukia wapi Bwana?”

Akawaambia, “Pale ulipo mzoga, huko ndiko tai watakapokusanyika.”

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי לוקס 17:1-37

1”אין ספק שתיתקלו בפיתויים לחטוא ותועמדו בניסיון,“ אמר ישוע לתלמידיו, ”אבל אוי לאדם שדרכו אלה יבואו! 2לאדם כזה מוטב יהיה אם יקשרו אבן כבדה לצווארו ויטביעו אותו בים, מאשר שישא בעונש החמור המצפה למכשילים את המאמינים הצעירים. 3היזהרו לכם.

”אם חטא לך אחיך – הוכח אותו, ואם הוא מצטער ומבקש את סליחתך – סלח לו. 4גם אם הוא חטא לך שבע פעמים ביום אחד, אבל ביקש את סליחתך בכל פעם, עליך לסלוח לו.“

5ביקשו השליחים מהאדון: ”הגדל את אמונתנו!“

6”אפילו הייתה אמונתכם כגרגר צמח החרדל,“ השיב ישוע, ”הייתם אומרים לעץ הגדול הזה להיעקר ממקומו ולהתגלגל לים, והיה נשמע לכם!

7”נניח שיש לך עבד החורש בשדה או רועה את הצאן. בשובו הביתה מן השדה האם תאמר לו: ’שב, נח ואכול את ארוחת־הערב שלך?‘ 8ודאי שלא. הרי תאמר לו: ’הכן לי את ארוחתי, אחר כך חגור סינר והיה מוכן להגיש לי את מה שאבקש. לאחר שאגמור לאכול תוכל ללכת לאכול את ארוחתך‘. 9העבד אינו מצפה לתודה, מפני שעשה את המוטל עליו.

10”כך התנהגו גם אתם – אל תצפו לשבחים כשאתם מקיימים את מצוותי, כי אתם רק ממלאים את חובתכם.“

11בדרכו לירושלים יצא ישוע מגבול הגליל ונכנס אל אזור השומרון. 12בבואו אל אחד הכפרים ראה עשרה מצורעים עומדים במרחק מה 13וקוראים בתחינה: ”ישוע רבנו, רחם עלינו!“

14ישוע הביט בהם ואמר: ”לכו אל הכהן והראו לו שנרפאתם!“ בהיותם בדרך הם נרפאו. 15אחד הנרפאים חזר אל ישוע וקרא בשמחה ובצהלה: ”הללויה, אני בריא!“ 16האיש, שהיה שומרוני, נפל על פניו לרגלי ישוע והודה לו מעומק לבו על שריפא אותו.

17”האם לא ריפאתי עשרה אנשים?“ שאל ישוע. ”היכן תשעת האחרים? 18האם רק השומרוני הזה חזר כדי להודות לאלוהים?“

19”קום ולך, אמונתך ריפאה אותך“, אמר ישוע לאיש.

20יום אחד שאלו הפרושים את ישוע: ”מתי תבוא מלכות האלוהים?“

”מלכות האלוהים לא תבוא בצורה גלויה“, השיב ישוע. 21”לא תוכלו לומר: ’מלכות האלוהים כאן‘, או ’מלכות האלוהים שם‘. כי מלכות האלוהים היא בקרבכם.“

22ישוע פנה אל תלמידיו ואמר: ”יבוא הזמן שתשתוקקו כל־כך שאחזור אליכם, ולו גם ליום אחד בלבד, אך משאלתכם לא תתמלא.

23”אם מישהו יאמר לכם: ’ראיתי את המשיח במקום פלוני!‘ אל תאמינו לו ואל תלכו לחפש אותי. 24כי כשיבוא בן־האדם באמת, תדעו זאת ללא כל ספק; בואו ייראה לעין כברק המאיר את השמים מקצה לקצה. 25אבל לפני כן עליו לסבול הרבה ולהידחות על־ידי הדור הזה.

26”בימי בן־האדם יתנהלו החיים כבימי נוח. 27בני־האדם אכלו, שתו והתחתנו – הכול התנהל כרגיל עד היום שבו נכנס נוח לתיבה, ואז בא המבול והשמיד את כולם.

28”גם בימיו של לוט היה המצב דומה: האנשים אכלו, שתו, קנו, מכרו, נטעו ובנו. 29אולם ביום שעזב לוט את סדום המטיר אלוהים אש וגפרית על העיר, והשמיד את כולם. 30כך יהיה המצב ביום שובי.

31”אם תהיה מחוץ לבית ביום ההוא – אל תחזור לארוז את חפציך; אם תהיה בשדה – אל תחזור העירה. 32זכרו מה קרה לאשת לוט! 33מי שמנסה להציל את חייו יאבד אותם; מי שיוותר על חייו יציל אותם. 34בלילה ההוא שני אנשים יישנו באותו חדר: האחד יילקח והשני יישאר. 35שתי נשים יטחנו יחד: האחת תילקח וחברתה תישאר. 36שני גברים יעבדו בשדה: האחד יילקח וחברו יישאר.“

37”אדון, לאן הם יילקחו?“ שאלו התלמידים.

”במקום שבו נמצא הפגר, שם יתאספו הנשרים“, השיב ישוע.