Kutoka 9 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 9:1-35

Pigo La Tano: Vifo Vya Mifugo

19:1 Kut 8:1Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao ukamwambie, ‘Hili ndilo Bwana, Mungu wa Waebrania asemalo: “Waachie watu wangu waende ili wapate kuniabudu.” 2Kama ukikataa kuwaachia waende, nawe ukiendelea kuwashikilia, 39:3 Kut 7:4; 1Sam 5:6; Ay 13:21; Za 32:4; 39:10; 78:50; Mdo 13:11; Law 26:25; Amo 4:10mkono wa Bwana utaleta pigo baya kwa mifugo yako, juu ya farasi wako, punda, ngamia, ngʼombe wako, kondoo na mbuzi. 49:4 Kut 8:23Lakini Bwana ataweka tofauti kati ya mifugo ya Israeli na ile ya Misri, kwamba hakuna mnyama wa Mwisraeli atakayekufa.’ ”

5Bwana akaweka wakati na kusema, “Kesho Bwana atalitenda hili katika nchi.” 69:6 Kut 11:5; 12:29; Za 78:48-50Siku iliyofuata Bwana akalitenda: Mifugo yote ya Wamisri ikafa, lakini hakuna hata mnyama mmoja wa wana wa Israeli aliyekufa. 79:7 Kut 7:14, 22; 8:32Farao akatuma watu kuchunguza, nao wakakuta kuwa hakuna hata mnyama mmoja wa Waisraeli aliyekufa. Lakini moyo wa Farao haukukubali kuwaachia watu waende.

Pigo La Sita: Majipu

8Kisha Bwana akamwambia Mose na Aroni, “Chukueni majivu ya tanuru, naye Mose ayarushe angani mbele ya Farao. 99:9 Law 13:18-19; 2Fal 20:7; Ay 2:7; Isa 38:21; Ufu 16:2Yatakuwa vumbi jepesi juu ya nchi yote ya Misri, pia yatatokea majipu yenye kufura juu ya watu na wanyama katika nchi yote.”

10Basi wakachukua majivu kwenye tanuru na kusimama mbele ya Farao. Mose akayarusha hewani, nayo majipu yenye kufura yakatokea miilini mwa watu na wanyama. 119:11 Kut 8:18Waganga hawakuweza kusimama mbele ya Mose kwa sababu ya majipu yale yaliyokuwa miilini mwao na juu ya miili ya Wamisri wote. 129:12 Kut 4:21; 7:4Lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na Aroni, sawasawa kama vile Bwana alivyokuwa amemwambia Mose.

Pigo La Saba: Mvua Ya Mawe

139:13 Kut 3:18Kisha Bwana akamwambia Mose, “Amka mapema asubuhi, usimame mbele ya Farao, umwambie, ‘Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Waebrania: Waachie watu wangu waende, ili kwamba waweze kuniabudu, 149:14 Kut 8:10; 15:11; 1Sam 2:2; 2Sam 7:22; 1Fal 8:23; 1Nya 17:20; Za 35:10; 71:19; 86:8; 89:6; Isa 46:9; Yer 10:6; Mik 7:18au wakati huu nitaleta mapigo yangu yenye nguvu dhidi yako, maafisa wako na watu wako, ili upate kujua kuwa hakuna mwingine kama Mimi katika dunia yote. 159:15 Kut 3:20Kwa kuwa mpaka sasa ningelikuwa nimenyoosha mkono wangu na kukupiga wewe na watu wako kwa pigo ambalo lingekufutilia mbali juu ya nchi. 169:16 Mit 16:4; Kut 14:4, 17, 31; Za 20:6; 25:11; 68:28; 71:18; 106:8; 109:21; Rum 9:17Lakini nimekuinua wewe kwa kusudi hili hasa, ili nipate kukuonyesha uwezo wangu, na ili Jina langu lipate kutangazwa duniani yote. 17Bado unaendelea kujiinua juu ya watu wangu, wala hutaki kuwaachia waende. 189:18 Yos 10:11; Za 78:47-48; 105:32; 148:8; Isa 30:30; Eze 38:22; Hag 2:17; Kut 9:24; 10:6Kwa hiyo, kesho wakati kama huu nitaleta mvua mbaya sana ya mawe ambayo haijapata kunyesha katika nchi ya Misri, tangu siku ilipoumbwa mpaka leo. 19Sasa toa amri urudishe wanyama wote watoke malishoni na chochote ambacho kipo mashambani waje mpaka mahali pa usalama, kwa sababu mvua ya mawe itanyesha juu ya kila mtu na kila mnyama ambaye hajaletwa ndani ambao bado wako nje mashambani, nao watakufa.’ ”

209:20 Mit 13:13Wale maafisa wa Farao ambao waliliogopa neno la Bwana wakafanya haraka kuwaleta watumwa wao na mifugo yao ndani. 219:21 Mwa 19:14; Eze 33:4-5Lakini wale waliopuuza neno la Bwana wakawaacha watumwa wao na mifugo yao shambani.

22Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako kuelekea angani ili kwamba mvua ya mawe inyeshe juu ya Misri yote, juu ya watu, wanyama na juu ya kila kitu kiotacho katika mashamba ya Misri.” 239:23 Kut 20:18; 1Sam 12:17; Za 18:13; 29:3; 68:33; 77:17; 104:7; Ufu 8:7; 16:21Mose alipoinyoosha fimbo yake kuelekea angani, Bwana akatuma ngurumo na mvua ya mawe, umeme wa radi ulimulika hadi nchi. Kwa hiyo Bwana akaifanya mvua ya mawe kunyesha juu ya nchi ya Misri, 24mvua ya mawe ikanyesha na radi ikamulika pote. Ikawa dhoruba ya kutisha ambayo haijakuwako katika nchi ya Misri, tangu nchi hiyo iwe taifa. 259:25 Za 105:32-33; Eze 13:13Mvua ya mawe ikaharibu kila kitu katika nchi ya Misri kilichokuwa katika mashamba, watu na wanyama, ikaharibu kila kitu kinachoota mashambani na kuvunja kila mti. 269:26 Isa 32:18-20; Kut 10:23; 11:7; 12:13; Amo 4:7Mahali pekee ambapo mvua ya mawe haikunyesha ni nchi ya Gosheni, ambako Waisraeli waliishi.

279:27 Kut 10:16; Hes 14:40; Kum 1:41; Yos 7:11; Amu 10:10; 1Sam 15:24; 24:17; 26:21; Za 11:7; 116:5; 119:135; 129:4; 145:17; Yer 12:1; Mao 1:18Ndipo Farao akawaita Mose na Aroni akawaambia, “Wakati huu nimetenda dhambi. Bwana ni mwenye haki, mimi na watu wangu ni wakosaji. 289:28 Kut 8:8; Mdo 8:24Mwombeni Bwana, kwa kuwa tumepata ngurumo na mvua za mawe za kututosha. Nitawaachia mwondoke; hamtahitaji kungoja zaidi.”

299:29 1Fal 8:22; Ay 11:13; Za 77:2; 88:9; 143:6; Isa 1:15; Kut 19:5; Ay 41:11; Za 24:1; 50:12; 1Kor 10:26Mose akamjibu, “Nitakapokuwa nimetoka nje ya mji, nitanyoosha mikono yangu juu kumwomba Bwana. Ngurumo zitakoma na hapatakuwepo mvua ya mawe tena, ili upate kujua kuwa, nchi ni mali ya Bwana. 309:30 Kut 8:29Lakini ninajua kuwa wewe na maafisa wako bado hammwogopi Bwana Mungu.”

319:31 Kum 8:8; Rut 1:22; 2:23; 2Sam 14:30; 17:28; Isa 28:25; Eze 4:9(Kitani na shayiri viliharibiwa, kwa kuwa shayiri ilikuwa na masuke, na kitani ilikuwa katika kutoa maua. 329:32 Isa 28:25Hata hivyo, ngano na jamii nyingine ya ngano hazikuharibiwa kwa sababu zilikuwa hazijakomaa bado.)

33Kisha Mose akaondoka kwa Farao akaenda nje ya mji. Mose akanyoosha mikono yake kuelekea kwa Bwana, ngurumo na mvua ya mawe vikakoma, mvua haikuendelea tena kunyesha nchini. 34Farao alipoona kwamba mvua ya mawe na ngurumo zimekoma, akafanya dhambi tena. Yeye na maafisa wake wakafanya mioyo yao kuwa migumu. 359:35 Kut 4:2Kwa hiyo moyo wa Farao ukawa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waende, kama vile Bwana alivyokuwa amesema kupitia Mose.

Swedish Contemporary Bible

2 Moseboken 9:1-35

Boskapen dör

1”Gå tillbaka till farao”, sa Herren till Mose, ”och säg till honom: ’Så säger Herren, hebréernas Gud: ”Släpp mitt folk, så att de kan gå och tillbe mig.” 2Om du inte gör det 3ska Herren sända en svår pest till din boskap, dina hästar, åsnor, kameler och dina fårhjordar. 4Men Herren ska göra skillnad på Israels och Egyptens boskap: inget av de djur som tillhör Israel ska dö.’ ”

5Herren har bestämt tiden och sagt: ”I morgon ska Herren låta detta ske i landet.” 6Följande dag gjorde Herren som han hade sagt. All boskap som tillhörde egypterna dog, men av Israels boskap dog inte ett enda djur. 7Farao skickade då bud för att undersöka saken och fick veta inte något enda djur bland Israels boskap hade dött. Men fortfarande gav farao inte med sig. Han vägrade att släppa folket.

Sot orsakar bölder

8Herren sa till Mose och Aron: ”Ta händerna fulla med sot från brännugnen. Mose ska sedan kasta upp det mot himlen inför faraos ögon, 9och då ska det bildas damm över hela Egypten. Det ska ge variga bölder på människor och djur över hela landet.”

10Då tog de sot från brännugnen och gick till farao. Inför farao kastade Mose sedan upp sotet mot himlen och både människor och djur fick variga bölder. 11Magikerna kunde inte stiga fram inför Mose, eftersom de också drabbats av bölderna liksom alla andra egypter. 12Men Herren gjorde farao lika hård igen och han vägrade att höra på Mose och Aron, så som Herren hade sagt till Mose.

En fruktansvärd hagelstorm

13Sedan sa Herren till Mose: ”Gå upp tidigt imorgon bitti och säg till farao: ’Så säger Herren, hebréernas Gud: släpp mitt folk, så att de kan fira gudstjänst, 14annars ska jag denna gång sända alla mina plågor mot dig själv och dina hovmän och ditt folk för att du ska inse att ingen på hela jorden är som jag. 15Jag hade vid det här laget kunnat låta dig och ditt folk drabbas av pest, vilket skulle ha utplånat dig från jordens yta, 16men jag har låtit dig uppstå just med avsikten att jag ville visa dig min makt och att mitt namn skulle bli förkunnat överallt på jorden. 17Om du fortfarande sätter dig mot mitt folk och vägrar att släppa dem, 18ska jag i morgon vid den här tiden sända en väldig hagelstorm över hela landet, en storm vars like man aldrig sett sedan Egypten grundades. 19Se nu till att du får in din boskap och allt du har från fälten, för varje människa och varje djur som finns ute kommer att träffas och dö av haglet.’ ”

20De av faraos tjänstefolk som fruktade Herrens ord, hämtade sina slavar och sin boskap från fälten, 21men de som inte brydde sig om Herrens ord, lämnade dem kvar ute på fälten.

22Då sa Herren till Mose: ”Sträck upp din hand mot himlen, så ska hagel komma över hela Egypten, över både människor, djur och all växtlighet i Egypten.”

23När Mose lyfte staven mot himlen, sände Herren hagel och ett fruktansvärt åskväder med blixtar som slog ner. Så lät Herren hagel regna ner över Egypten. 24Det haglade och blixtrade så att det aldrig tidigare i Egyptens historia, sedan det blev befolkat, förekommit ett sådant oväder. 25Överallt i landet slogs allt ner som fanns ute på fälten, både människor och djur. Växterna ute på fälten slogs ner, och träden förstördes. 26Men i Goshen, där Israels folk bodde, kom det inget hagel.

27Farao kallade till sig Mose och Aron och sa: ”Den här gången har jag syndat. Det är Herren som är rättfärdig, och jag och mitt folk har handlat orätt. 28Be till Herren! Vi har fått nog av åska och hagel. Jag ska låta er gå nu genast. Ni behöver inte stanna längre.”

29Mose svarade: ”Så snart jag har lämnat staden ska jag lyfta mina händer mot Herren och då ska åskan och haglet sluta. Då ska du inse att jorden tillhör Herren. 30Men ändå kommer varken du eller dina hovmän att frukta Herren.”

31Allt lin och allt korn slogs ner och blev förstört, för kornet hade gått i ax och linet stod i blom, 32men vetet och speltet blev inte förstört eftersom de mognar senare.

33Mose lämnade farao, gick ut ur staden och lyfte sina händer mot Herren. Åskan och haglet upphörde och det kom inget regn mer. 34När farao såg att regnet, haglet och åskan hade upphört, syndade han igen och förhärdade sig, både han och hans hovmän. 35Farao var lika hård, och han släppte inte folket, så som Herren hade förutsagt genom Mose.