Kutoka 8 – NEN & PCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 8:1-32

18:1 Kut 3:12; 4:23; 5:1; 9:1Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao ukamwambie, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu. 28:2 Za 78:45; 105:30; Ufu 16:13Kama ukikataa kuwaruhusu kuondoka, basi nitaipiga nchi yako yote kwa kuwaletea vyura. 38:3 Kut 10:6; 12:34Mto Naili utafurika vyura. Watakuja kwenye jumba lako la kifalme na katika chumba chako cha kulala na kitandani mwako, katika nyumba za maafisa wako na kwa watu wako, vyura hao wataingia katika meko yenu na kwenye vyombo vya kukandia unga. 4Vyura watapanda juu yako, juu ya watu wako na maafisa wako wote.’ ”

58:5 Kut 4:2, 17; 7:9-23; 10:13, 21-22; 14:27Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Nyoosha mkono wako ukiwa na ile fimbo yako juu ya vijito, mifereji na madimbwi, fanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.’ ”

68:6 Za 78:45; 105:30Ndipo Aroni akaunyoosha mkono wake juu ya maji ya Misri, nao vyura wakatokea na kuifunika nchi. 78:7 Kut 7:11; Mt 24:24Lakini waganga wakafanya vivyo hivyo kwa siri ya uganga wao, nao pia wakafanya vyura kuja juu ya nchi ya Misri.

88:8 Kut 9:28; 10:8, 17; Hes 21:7; 1Sam 12:19; 1Fal 13:6; Yer 42:2; Mdo 8:24Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na kusema, “Mwombeni Bwana awaondoe vyura kutoka kwangu na kwa watu wangu, nami nitawaachia watu wenu waende kumtolea Bwana dhabihu.”

98:9 Kut 9:5Mose akamwambia Farao, “Ninakupa heshima ya kuamua ni wakati gani wa kukuombea wewe, maafisa wako na watu wako ili kwamba vyura watoke kwenu na kwenye nyumba zenu. Isipokuwa wale walio katika Mto Naili.”

108:10 Kut 9:14; 15:11; Kum 3:24; 4:35; 33:26; 2Sam 7:22; 1Fal 8:23; 1Nya 17:20; 2Nya 6:14; Za 71:19; 86:8; 89:6; Isa 40:18; 42:8; 46:9; Yer 49:19; Mik 7:18Farao akasema, “Kesho.”

Mose akamjibu, “Itakuwa kama unavyosema, ili upate kujua kwamba hakuna yeyote kama Bwana Mungu wetu. 11Vyura wataondoka kwako na katika nyumba zako, kwa maafisa wako na kwa watu wako, ila watabakia katika Mto Naili tu.”

12Baada ya Mose na Aroni kuondoka kwa Farao, Mose akamlilia Bwana kuhusu vyura aliokuwa amewaleta kwa Farao. 138:13 Yak 5:16-18Naye Bwana akafanya lile Mose alilomwomba. Vyura wakafia ndani ya nyumba, viwanjani na mashambani. 14Wakayakusanya malundo, nchi nzima ikanuka. 158:15 Mhu 8:11; Kut 7:14Lakini Farao alipoona pametokea nafuu, akaushupaza moyo wake na hakuwasikiliza Mose na Aroni, kama vile Bwana alivyokuwa amesema.

Pigo La Tatu: Viroboto

168:16 Kut 4:2Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Nyoosha fimbo yako uyapige mavumbi ya ardhi,’ nayo nchi yote ya Misri mavumbi yatakuwa viroboto.” 178:17 Za 105:31Wakafanya hivyo, Aroni aliponyoosha mkono wake wenye fimbo na kuyapiga mavumbi ya nchi, viroboto wakawajia watu na wanyama. Mavumbi yote katika nchi ya Misri yakawa viroboto. 188:18 Kut 7:11; 9:11; Dan 5:8Lakini waganga walipojaribu kutengeneza viroboto kwa siri ya uganga wao, hawakuweza. Nao viroboto walikuwa juu ya watu na wanyama.

198:19 Kut 7:5, 13-15; 10:7; 12:33; 31:18; 1Sam 6:9; Neh 9:6; Za 8:3; 33:6; Lk 11:20Waganga wale wakamwambia Farao, “Hiki ni kidole cha Mungu.” Lakini moyo wa Farao ukawa mgumu naye hakuwasikiliza, kama vile Bwana alivyosema.

Pigo La Nne: Mainzi

208:20 Kut 7:15; 9:13; 3:18Kisha Bwana akamwambia Mose, “Amka mapema asubuhi na usimame mbele ya Farao wakati anapokwenda mtoni nawe umwambie, ‘Hili ndilo Bwana asemalo: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu. 21Kama hutawaachia watu wangu waondoke nitakupelekea makundi ya mainzi juu yako, kwa maafisa wako, kwa watu wako na kwenye nyumba zenu. Nyumba za Wamisri zitajazwa mainzi, hata na ardhi yote ya Misri.

228:22 Mwa 45:10; Kut 7:5; 9:4-6, 26, 29; 10:23; 11:7; 12:13; 19:5; Kum 4:20; 7:6; 14:2; 26:18; 1Fal 8:36; Ay 36:11; Za 33:12; 135:4; Mal 3:17“ ‘Lakini siku ile nitafanya kitu tofauti katika nchi ya Gosheni, ambapo watu wangu wanaishi, hapatakuwepo na makundi ya mainzi, ili mpate kujua kwamba Mimi, Bwana, niko katika nchi hii. 238:23 Kut 9:4-6; 10:23; 11:7; 12:23-27Nitaweka tofauti kati ya watu wangu na watu wenu. Ishara hii ya ajabu itatokea kesho.’ ”

248:24 Za 78:45; 105:31Naye Bwana akafanya hivyo. Makundi makubwa ya mainzi yalimiminika katika jumba la kifalme la Farao na katika nyumba za maafisa wake, pia nchi yote ya Misri ikaharibiwa na mainzi.

258:25 Kut 9:27; 10:16; 12:31Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na kuwaambia, “Nendeni mkamtolee Mungu wenu dhabihu katika nchi hii.”

268:26 Mwa 43:32Lakini Mose akamwambia, “Hilo halitakuwa sawa. Dhabihu tutakazomtolea Bwana Mungu wetu zitakuwa chukizo kwa Wamisri. Kama tukitoa dhabihu ambazo ni chukizo mbele yao, je, hawatatupiga mawe? 278:27 Mwa 30:36; Kut 3:18Ni lazima twende mwendo wa siku tatu mpaka tufike jangwani ili tumtolee Bwana Mungu wetu dhabihu, kama alivyotuagiza.”

288:28 Yer 37:3; Mdo 8:24Farao akamwambia, “Nitawaruhusu mwende kumtolea Bwana Mungu wenu dhabihu huko jangwani, lakini hamna ruhusa kwenda mbali sana. Sasa mniombee.”

298:29 Kut 9:30; 10:11; Isa 26:10Mose akajibu, “Mara tu nitakapoondoka, nitamwomba Bwana na kesho mainzi yataondoka kwa Farao, kwa maafisa wake na kwa watu wake. Hakikisha tu kwamba Farao hatatenda kwa udanganyifu tena kwa kutokuwaachia watu waende kumtolea Bwana dhabihu.”

308:30 Kut 9:33; 10:18Ndipo Mose akamwacha Farao na kumwomba Bwana, 31naye Bwana akafanya lile Mose alilomwomba. Mainzi yakaondoka kwa Farao, kwa maafisa wake na kwa watu wake, wala hakuna hata inzi aliyebakia. 328:32 Kut 7:14Lakini wakati huu pia Farao akaushupaza moyo wake, wala hakuwaruhusu Waisraeli waondoke.

Persian Contemporary Bible

خروج 8:1-32

بلای قورباغه

1خداوند به موسی فرمود: «پيش فرعون برگرد و به او بگو كه خداوند چنين می‌فرمايد: بگذار قوم من بروند و مرا عبادت كنند؛ 2و گرنه سرزمينت را پر از قورباغه خواهم نمود. 3‏-4رود نيل به قدری از قورباغه پر خواهد شد كه قورباغه‌ها از آن بيرون آمده، به كاخ تو هجوم خواهند آورد و به خوابگاه و بسترت و نيز خانه‌های درباريان و تمام قوم تو رخنه خواهند كرد، به طوری كه حتی تغارهای خمير و تنورهای نانوايی را پر خواهند ساخت و از سر و رويتان بالا خواهند رفت.»

5سپس خداوند به موسی فرمود: «به هارون بگو كه عصای خود را به سوی رودخانه‌ها، چشمه‌ها و حوضها دراز كند تا قورباغه‌ها بيرون بيايند و همه جا را پر سازند.»

6هارون چنين كرد و مصر از قورباغه پر شد. 7ولی جادوگران مصری هم با جادوی خود، همين كار را كردند و قورباغه‌های بسيار زيادی پديد آوردند.

8پس فرعون، موسی و هارون را فرا خواند و گفت: «از خداوند درخواست كنيد اين قورباغه‌ها را از ما دور كند و من قول می‌دهم بنی‌اسرائيل را رها كنم تا بروند و برای خداوند قربانی كنند.»

9موسی در جواب فرعون گفت: «زمانی را معين كن تا برای تو و درباريان و قومت دعا كنم و تمام قورباغه‌ها به‌جز آنهايی كه در رود نيل هستند نابود شوند.»

10فرعون گفت: «فردا.»

موسی جواب داد: «اين كار را خواهم كرد تا تو بدانی كه مثل خداوند ما خدايی نيست. 11تمام قورباغه‌ها از بين خواهند رفت، به‌جز آنهايی كه در رود نيل هستند.»

12موسی و هارون از دربار فرعون بيرون آمدند و موسی از خداوند خواهش كرد تا قورباغه‌ها را از بين ببرد. 13خداوند هم دعای موسی را اجابت فرمود و تمام قورباغه‌ها در سراسر مصر مردند. 14مردم آنها را جمع كرده، روی هم انباشتند، آنچنانكه بوی تعفن همه جا را فرا گرفت. 15اما وقتی قورباغه‌ها از بين رفتند، فرعون باز هم دل خود را سخت كرد و همانطور كه خداوند فرموده بود راضی نشد قوم اسرائيل را رها كند.

بلای پشه

16آنگاه خداوند به موسی فرمود: «به هارون بگو كه عصای خود را به زمين بزند تا سراسر مصر از پشه پر شود.» 17موسی و هارون همانطور كه خداوند به ايشان فرموده بود عمل كردند. وقتی هارون عصای خود را به زمين زد انبوه پشه سراسر خاک مصر را فرا گرفت و پشه‌ها بر مردم و حيوانات هجوم بردند. 18جادوگران مصر هم سعی كردند همين كار را بكنند، ولی اين بار موفق نشدند. 19پس به فرعون گفتند: «دست خدا در اين كار است.» ولی همانطور كه خداوند فرموده بود، دل فرعون باز نرم نشد و به موسی و هارون اعتنايی نكرد.

بلای مگس

20پس خداوند به موسی فرمود: «صبح زود برخيز و به كنار رودخانه برو و منتظر فرعون باش. وقتی او به آنجا آيد به او بگو كه خداوند می‌فرمايد: قوم مرا رها كن تا بروند و مرا عبادت كنند، 21و گرنه خانهٔ تو و درباريان و تمام مردم مصر را از مگس پر می‌كنم و زمين از مگس پوشيده خواهد شد. 22اما در سرزمين جوشن كه محل سكونت بنی‌اسرائيل است، مگسی نخواهد بود تا بدانی كه من خداوند اين سرزمين هستم 23و بين قوم تو و قوم خود فرق می‌گذارم. اين معجزه فردا ظاهر خواهد شد.»

24خداوند به طوری كه فرموده بود، قصر فرعون و خانه‌های درباريان را پر از مگس كرد و در سراسر خاک مصر ويرانی به بار آمد. 25پس فرعون، موسی و هارون را احضار كرد و به آنها گفت: «بسيار خوب، به شما اجازه می‌دهم كه برای خدای خود قربانی كنيد، ولی از مصر بيرون نرويد.»

26موسی جواب داد: «ما نمی‌توانيم در برابر چشمان مصريان حيواناتی كه آنها از كشتنشان كراهت دارند، برای خداوند، خدای خود قربانی كنيم؛ چون ممكن است ما را سنگسار كنند. 27ما بايد به مسافت سه روز راه، از مصر دور شويم و طبق دستور خداوند، در صحرا برای خداوند، خدای خود قربانی كنيم.»

28فرعون گفت: «من به شما اجازه می‌دهم تا به صحرا برويد و برای خداوند، خدای خود قربانی تقديم كنيد؛ ولی زياد دور نشويد. حال، برای من دعا كنيد.»

29موسی گفت: «وقتی از اينجا خارج شوم، نزد خداوند دعا خواهم كرد و فردا اين بلا از تو و درباريان و مردم مصر دور خواهد شد. اما مواظب باش بار ديگر ما را فريب ندهی، بلكه بگذاری قوم من برود و برای خداوند قربانی تقديم كند.»

30پس موسی از حضور فرعون بيرون رفت و نزد خداوند دعا كرد. 31خداوند دعای موسی را اجابت فرمود و تمام مگسها را دور كرد، به طوری كه حتی يک مگس هم باقی نماند. 32ولی اين بار نيز دل فرعون نرم نشد و اجازه نداد قوم اسرائيل از مصر بيرون بروند.