Kutoka 6 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 6:1-30

16:1 Kut 3:20; 11:1; 12:31-39; Kum 5:15Kisha Bwana akamwambia Mose, “Sasa utaona kitu nitakachomfanyia Farao: Kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawaachia watu waende; kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawafukuza waondoke nchini mwake.”

26:2 Kut 3:14-15; 7:5; 8:22; 10:2; 12:12; 14:4, 18; 16:12; Law 11:44; 18:21; 20:7; Isa 41:20; 43:11; 49:23; 60:16; Eze 13:9; 25:17; 36:38; 37:6, 13; Yoe 2:27Pia Mungu akamwambia Mose, “Mimi ndimi Bwana. 36:3 Mwa 7:1; 2Sam 7:26; Za 48:10; 61:5; 68:4; 83:18; 99:3; Isa 52:6; Kut 3:14, 15; Yn 8:58Nilimtokea Abrahamu, Isaki na Yakobo kama Mungu Mwenyezi,6:3 Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote). ingawa sikuwajulisha Jina langu, Yehova, Mimi mwenyewe sikujitambulisha kwao. 46:4 Mwa 6:18; 12:7; 15:18; 17:8; Mdo 7:5; Rum 4:13; Gal 3:16; Ebr 11:8-10Pia niliweka Agano langu nao kuwapa nchi ya Kanaani, ambako waliishi kama wageni. 56:5 Kut 2:23; Mdo 7:34; Mwa 9:15Zaidi ya hayo, nimesikia kilio cha huzuni cha Waisraeli ambao Wamisri wamewatia utumwani, nami nimelikumbuka Agano langu.

66:6 Kut 3:8, 19-20; 12:17, 51; 15:13; 16:6; 20:2; 29:46; Law 22:33; 26:13; Kum 6:12; 7:8; 9:26; Za 9:16; 19:14; 34:22; 74:2; 77:15; 81:10; 105:27; 136:11; Yer 2:6; 15:21; 31:11; 50:34; Hos 13:4; Amo 2:10; Mik 6:4; 1Nya 17:21; Isa 29:22; 35:9; 44:23; 48:20; Mdo 13:17“Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ndimi Bwana, nami nitawatoa mtoke katika kongwa la Wamisri. Nitawaweka huru mtoke kuwa watumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa pamoja na matendo makuu ya hukumu. 76:7 Mwa 17:7; Kut 34:9; Eze 11:19-20; 39:6; Rum 9:4; 1Fal 20:13, 28; Isa 43:10; Yoe 3:17Nitawatwaa mwe watu wangu mwenyewe, nami nitakuwa Mungu wenu. Ndipo mtajua kuwa mimi ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewatoa chini ya kongwa la Wamisri. 86:8 Mwa 12:7; 14:22; Kut 3:8; Yer 11:5; Eze 20:6; Ufu 10:5-6; Za 136:21-22; Law 18:21Nami nitawaleta mpaka nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kumpa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Nitawapa iwe milki yenu. Mimi ndimi Bwana.’ ”

96:9 Mwa 34:30; Kut 2:23Mose akawaarifu Waisraeli jambo hili, lakini hawakumsikiliza kwa sababu ya maumivu makuu ya moyoni na utumwa wa kikatili.

10Ndipo Bwana akamwambia Mose, 116:11 Kut 3:18“Nenda, mwambie Farao mfalme wa Misri awaachie Waisraeli waondoke nchini mwake.”

126:12 Kut 3:18; 4:10Lakini Mose akamwambia Bwana, “Ikiwa Waisraeli hawatanisikiliza, kwa nini yeye Farao anisikilize mimi, ambaye huzungumza kwa kigugumizi?”

Orodha Ya Jamaa Ya Mose Na Aroni

136:13 Kut 3:10Ndipo Bwana akanena na Mose na Aroni kuhusu Waisraeli na Farao mfalme wa Misri, naye akawaamuru wawatoe Waisraeli kutoka Misri.

146:14 Kut 13:3; Hes 1:1; 26:4; Mwa 29:32Hawa walikuwa wakuu wa jamaa zao:

Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli walikuwa Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi. Hawa walikuwa ndio koo za Reubeni.

156:15 Mwa 29:33Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani. Hawa walikuwa ndio koo za Simeoni.

166:16 Mwa 29:34; 46:11; Hes 3:17; Yos 21:7; 1Nya 6:1, 16Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi kufuatana na orodha zao: Gershoni, Kohathi na Merari. Lawi aliishi miaka 137.

176:17 Hes 3:18; 1Nya 6:17Wana wa Gershoni kwa koo, walikuwa Libni na Shimei.

186:18 Hes 3:19, 27; 1Nya 6:18; 23:12Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

196:19 1Nya 6:19; 23:21; Hes 3:20, 33Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi.

Hizi ndizo zilizokuwa koo za Lawi kufuatana na orodha zao.

206:20 Kut 2:1-2; 1Nya 23:13; Hes 26:59Amramu akamwoa Yokebedi, shangazi yake, ambaye alimzalia Aroni na Mose. Amramu aliishi miaka 137.

216:21 1Nya 6:38Wana wa Ishari walikuwa Kora, Nefegi na Zikri.

226:22 Law 10:4; Hes 3:30; 2Nya 29:13Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elisafani na Sithri.

236:23 Rut 4:19-20; 1Nya 2:10; 6:3; 24:1; Hes 2:3; 3:2, 32; 4:28; 16:37-39; 26:60; Kum 10:6; Kut 24:1; Law 10:1-6; 10:12-16Aroni akamwoa Elisheba binti wa Aminadabu ndugu yake Nashoni, naye akamzalia Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

246:24 Hes 16:1; 1Nya 6:22, 37Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasafu. Hawa walikuwa ndio koo za Kora.

256:25 Hes 25:7; 31:6; Yos 24:33; Za 106:30Eleazari mwana wa Aroni akamwoa mmoja wa binti za Putieli, naye akamzalia Finehasi.

Hawa walikuwa ndio wakuu wa jamaa za Walawi, ukoo kwa ukoo.

266:26 Kut 3:10; 7:4; 12:17, 41, 51Hawa walikuwa Aroni na Mose wale wale ambao Bwana aliwaambia, “Watoeni Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.” 27Ndio hao hao waliozungumza na Farao mfalme wa Misri kuhusu kuwatoa Waisraeli Misri. Ilikuwa ni huyo Mose na huyo Aroni.

Aroni Kuzungumza Badala Ya Mose

28Bwana aliponena na Mose huko Misri, 29akamwambia, “Mimi ndimi Bwana. Mwambie Farao mfalme wa Misri kila kitu nikuambiacho.”

306:30 Kut 3:11Lakini Mose akamwambia Bwana, “Kwa kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao atanisikiliza mimi?”

Nueva Versión Internacional

Éxodo 6:1-30

1El Señor respondió:

—Ahora verás lo que voy a hacer con el faraón. Realmente, solo por mi mano poderosa va a dejar que se vayan; solo por mi mano poderosa va a echarlos de su país.

2En otra ocasión, Dios habló con Moisés y dijo: «Yo soy el Señor. 3Me aparecí a Abraham, a Isaac y a Jacob bajo el nombre de Dios Todopoderoso, pero no les revelé mi verdadero nombre, que es el Señor.6:3 Véase nota en 3:15. 4También con ellos confirmé mi pacto de darles la tierra de Canaán, donde residieron como forasteros. 5He oído además el quejido de los israelitas, a quienes los egipcios han esclavizado, y he recordado mi pacto.

6»Así que ve y di a los israelitas: “Yo soy el Señor, y voy a quitarles de encima la opresión de los egipcios. Voy a librarlos de su esclavitud; voy a liberarlos con gran despliegue de poder y con grandes actos de justicia. 7Haré de ustedes mi pueblo y yo seré su Dios. Así sabrán que yo soy el Señor su Dios, que los libró de la opresión de los egipcios. 8Y los llevaré a la tierra que juré solemnemente con la mano en alto dar a Abraham, Isaac y Jacob. Yo, el Señor, les daré a ustedes posesión de ella”».

9Moisés dio a conocer esto a los israelitas, pero por su desánimo y las penurias de su esclavitud ellos no hicieron caso.

10Entonces el Señor habló con Moisés y dijo:

11—Ve y habla con el faraón, el rey de Egipto. Dile que deje salir de su país a los israelitas.

12Pero Moisés respondió al Señor:

—¿Y cómo va a hacerme caso el faraón si ni siquiera los israelitas me creen? Además, no tengo facilidad de palabra.6:12 no tengo facilidad de palabra. Lit. soy incircunciso de labios; también en v. 30.

Descendientes de Rubén, Simeón y Leví

13En otra ocasión el Señor habló con Moisés y Aarón acerca de los israelitas y del faraón, rey egipcio, y les ordenó sacar de Egipto a los israelitas.

14Estos fueron los jefes de las familias patriarcales:

Los hijos de Rubén, primogénito de Israel:

Janoc, Falú, Jezrón y Carmí.

Estos fueron los clanes de Rubén.

15Los hijos de Simeón:

Jemuel, Jamín, Oad, Jaquín, Zojar y Saúl, hijo de la cananea.

Estos fueron los clanes de Simeón.

16Según los registros familiares, estos son los nombres de los hijos de Leví, quien vivió ciento treinta y siete años:

Guersón, Coat y Merari.

17Los hijos de Guersón, según sus clanes:

Libní y Simí.

18Los hijos de Coat, quien vivió ciento treinta y tres años:

Amirán, Izar, Hebrón y Uziel.

19Los hijos de Merari:

Majlí y Musí.

Estos fueron los clanes de Leví, según sus registros familiares.

20Amirán, que vivió ciento treinta y siete años, se casó con su tía Jocabed, la cual le dio dos hijos, Aarón y Moisés.

21Los hijos de Izar:

Coré, Néfeg y Zicrí.

22Los hijos de Uziel:

Misael, Elzafán y Sitri.

23Aarón se casó con Elisabet, hija de Aminadab y hermana de Naasón, y ella le dio cuatro hijos: Nadab, Abiú, Eleazar e Itamar.

24Los hijos de Coré:

Asir, Elcaná y Abiasaf.

Estos fueron los clanes de Coré.

25Eleazar, hijo de Aarón, se casó con una de las hijas de Futiel, la cual le dio un hijo, Finés.

Estos fueron los jefes de los clanes levitas en orden de familias.

26Aarón y Moisés son los mismos a quienes el Señor mandó que sacaran de Egipto a los israelitas, ordenados en escuadrones. 27Son ellos quienes hablaron con el faraón, rey egipcio, en cuanto a sacar de Egipto a los israelitas.

Aarón, vocero de Moisés

28Cuando el Señor habló con Moisés en Egipto, 29le dijo:

—Yo soy el Señor. Habla con el faraón, rey de Egipto, y comunícale todo lo que yo te diga.

30Pero Moisés respondió al Señor:

—¿Y cómo va a hacerme caso el faraón si yo no tengo facilidad de palabra?