Kutoka 40 – NEN & CCL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 40:1-38

Kuweka Wakfu Maskani Ya Mungu

1Kisha Bwana akamwambia Mose: 240:2 Kut 26:30; Law 3:2; 6:26; 9:23; 16:16; Hes 7:89; 11:16; 17:4; 20:6; Yos 18:1; 19:51; Yer 7:12; Kut 12:2; Hes 9:1“Simika Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza. 340:3 Kut 26; 33; Hes 4:5Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake. 440:4 Kut 25:23; 25:30-31; 26:33Kisha ingiza kinara cha taa na uweke taa zake juu yake. 540:5 Kut 30:1Weka madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba mbele ya Sanduku la Ushuhuda kisha uweke pazia kwenye lango la Maskani ya Mungu.

640:6 Kut 27:1; 2Fal 16:14; 2Nya 4:1“Weka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa mbele ya lango la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania; 740:7 Kut 30:18weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake. 840:8 Kut 27:9Fanyiza ua kuzunguka maskani na uweke pazia penye ingilio la ua.

940:9 Kut 30:26; Hes 7:1; Law 8:10“Chukua mafuta ya upako, ipake Maskani ya Mungu pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake; iweke wakfu pamoja na vitu vyote vilivyomo ndani mwake, nayo itakuwa takatifu. 1040:10 Kut 29; 36Kisha yapake mafuta hayo madhabahu ya kuteketezea sadaka pamoja na vifaa vyake vyote; weka wakfu madhabahu nayo yatakuwa takatifu sana. 11Paka sinia mafuta pamoja na kishikilio chake na uviweke wakfu.

1240:12 Hes 8:9; Kut 29:4; 30:19“Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji. 1340:13 Kut 28:41; Law 8:1-12Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia katikati ya ukuhani. 1440:14 Kut 28:40; Law 10:5Walete wanawe na uwavike makoti. 1540:15 Kut 29:9; Hes 25:13Kisha watie mafuta kama ulivyomtia baba yao, ili nao pia wanitumikie katika kazi ya ukuhani. Kutiwa mafuta kwao kutakuwa kwa ajili ya ukuhani utakaoendelea kwa vizazi vyote vijavyo.” 1640:16 Mwa 6:22Mose akafanya kila kitu sawa kama vile Bwana alivyomwagiza.

1740:17 Hes 7:10Kwa hiyo Maskani ya Mungu ilisimikwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, katika mwaka wa pili. 1840:18 2Nya 1:3; Kut 36:20-34Mose alipoweka wakfu Maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, akasimamisha mihimili, akatia mataruma na kusimamisha nguzo. 1940:19 Kut 36:19; Mwa 6:22Kisha akalitandaza hema juu ya Maskani ya Mungu na kuifunika hema, kama Bwana alivyomwagiza.

2040:20 Kut 16:34; Ebr 9:4; 1Fal 8:9; Kut 25:17-22; 26:34; 31:7Akachukua ule Ushuhuda na kuuweka ndani ya Sanduku la Agano, akaweka ile mipiko ya kubebea hilo Sanduku na kuweka kiti cha rehema juu yake. 2140:21 Kut 26:33; Mwa 6:22Kisha Mose akalileta Sanduku ndani ya Maskani ya Mungu, akatundika pazia ili kulifunika Sanduku la Ushuhuda, kama Bwana alivyomwagiza.

2240:22 Kut 25:23Mose akaweka meza ndani ya Hema la Kukutania, upande wa kaskazini ya Maskani ya Mungu nje ya pazia 2340:23 Kut 25:30; Law 24:5-8; Mwa 6:22na kupanga mikate juu yake mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.

2440:24 Kut 25:31; 26:35Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la Kukutania mkabala na meza upande wa kusini mwa Maskani ya Mungu 2540:25 Kut 25:37; 37:23; Mwa 6:22na kuziweka taa mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.

2640:26 Kut 30:1Mose akaweka madhabahu ya dhahabu ndani ya Hema la Kukutania mbele ya pazia 2740:27 Mwa 6:22; Kut 30:7na kufukiza uvumba wenye harufu nzuri, kama Bwana alivyomwagiza. 2840:28 Kut 26:36Kisha akaweka pazia kwenye ingilio la Maskani ya Mungu.

2940:29 Kut 20:24; 29:38-42; Mwa 6:22Mose akaweka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa karibu na ingilio la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, na kutoa juu yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka kama Bwana alivyomwagiza.

3040:30 Kut 30:18Akaweka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili ya kunawia, 3140:31 Kut 30:19-21Naye Mose, Aroni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao. 3240:32 Kut 30:20; Mwa 6:22Wakanawa kila walipoingia katika Hema la Kukutania au walipoikaribia madhabahu kama Bwana alivyomwagiza Mose.

3340:33 Kut 27:9; 38:9-20; 27:16Kisha Mose akafanya ua kuizunguka Maskani ya Mungu na madhabahu, pia akaweka pazia kwenye ingilio la huo ua. Hivyo Mose akaikamilisha kazi.

Utukufu Wa Bwana

(Hesabu 9:15-23)

3440:34 Kut 19:16; 16:7; Law 16:2; Hes 9:15-23; 1Fal 8:12; 2Nya 5:13; Isa 6:4; Eze 10:4; Kut 19:16; 23; 2Nya 5:13; Yn 1:14; 12:41; Ufu 15:8Ndipo wingu likafunika Hema la Kukutania, na utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu. 3540:35 Kut 16:10; 1Fal 8:11; 2Nya 5:13-14; 7:2Mose hakuweza kuingia ndani ya Hema la Kukutania kwa sababu wingu lilikuwa limetua juu ya Hema, nao utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu.

3640:36 Hes 9:17-23; 10:13; Neh 9:19Katika safari yote ya Waisraeli, kila wakati wingu lilipoinuka kutoka juu ya Maskani ya Mungu, wangeondoka; 37lakini kama wingu halikuinuka, hawakuondoka, mpaka siku lilipoinuka. 3840:38 Hes 9:15; Kut 13:21; 1Kor 10:1Kwa hiyo wingu la Bwana lilikuwa juu ya maskani mchana, na moto ulikuwa katika hilo wingu wakati wa usiku, machoni pa nyumba yote ya Israeli siku zote za safari zao.

Mawu a Mulungu mu Chichewa Chalero

Eksodo 40:1-38

Adzutsa Chihema

1Kenaka Yehova anati kwa Mose, 2“Imika chihema, tenti ya msonkhano, tsiku loyamba la mwezi. 3Uyikemo bokosi la umboni ndipo uphimbe bokosilo ndi katani. 4Ulowetsemo tebulo ndi kuyika zimene zimakhala pamenepo. Kenaka ulowetse choyikapo nyale ndipo uyikepo nyale zake. 5Uyike guwa lofukiza la golide patsogolo pa bokosi la umboni ndipo uyike katani ya pa chipata cha chihema.

6“Uyike guwa lansembe yopsereza patsogolo pa chipata cha chihema, tenti ya msonkhano. 7Uyike beseni pakati pa tenti ya msonkhano ndi guwa lansembe ndipo uyikemo madzi. 8Upange bwalo lozungulira chihemacho ndipo uyike katani ya pa chipata cha bwalolo.

9“Utenge mafuta wodzozera ndipo udzoze chihema ndi chilichonse chili mʼmenemo ndipo zidzakhala zoyeretsedwa. 10Kenaka udzoze guwa lansembe lopsereza ndi ziwiya zake zonse. Ulipatule guwalo ndipo lidzakhala loyera kwambiri. 11Udzoze beseni ndi miyendo yake ndipo uzipatule.

12“Ubwere ndi Aaroni ndi ana ake pa chipata cha tenti ya msonkhano ndipo uwasambitse ndi madzi. 13Kenaka umuveke Aaroni zovala zopatulika, umudzoze ndi kumupatula kotero kuti athe kunditumikira monga wansembe. 14Ubweretse ana ake ndipo uwaveke minjiro. 15Uwadzoze monga momwe unadzozera abambo awo, kotero kuti anditumikire monga ansembe. Kudzozedwako kudzakhala unsembe wawo pa mibado ndi mibado” 16Mose anachita zonse monga Yehova anamulamulira.

17Kotero anayimika chihema tsiku loyamba la mwezi woyamba mʼchaka chachiwiri. 18Nthawi imene Mose anayimika chihema, anayika matsinde mʼmalo ake, kuyimitsa maferemu, kulowetsa mitanda ndi kuyika nsichi. 19Kenaka anayika tenti pamwamba pa chihema ndipo anayika chophimba pa tenti monga momwe Yehova analamulira Mose.

20Iye anatenga miyala ya umboni nayika mʼbokosi lija ndi kuyika chivundikiro pamwamba pake. 21Kenaka analowetsa bokosilo mʼchihema ndipo anapachika katani ndi kubisa bokosi la umboni monga momwe Yehova analamulira iye.

22Mose anayika tebulo mu tenti ya msonkhano kumpoto kwa chihema, kunja kwa katani, 23ndipo anayikapo buledi pamaso pa Yehova, monga momwe Yehova analamulira Mose.

24Iye anayikanso choyikapo nyale mu tenti ya msonkhano moyangʼanana ndi tebulo mbali yakummwera kwa chihema. 25Ndipo anayikapo nyale zija pamaso pa Yehova, monga Yehova analamulira Mose.

26Mose anayika guwa la golide mu tenti ya msonkhano patsogolo pa katani 27ndipo anapserezapo lubani wonunkhira monga Yehova anamulamulira. 28Kenaka anayika katani ya pa chipata cha chihema.

29Iye anayika guwa lansembe yopsereza pafupi ndi chipata cha chihema, tenti ya msonkhano, ndipo anapereka nsembe yopsereza ndi nsembe ya ufa monga Yehova anamulamulira.

30Iye anayika beseni pakati pa tenti ya msonkhano ndi guwa lansembe ndipo anathiramo madzi wosamba, 31ndipo Mose, Aaroni ndi ana ake amasamba manja ndi mapazi awo. 32Iwo amasamba nthawi zonse akamalowa mu tenti ya msonkhano kapena kuyandikira guwa lansembe monga Yehova analamulira Mose.

33Kenaka Mose anamanga bwalo kuzungulira chihema ndi guwa lansembe ndipo anayika katani ya pa chipata cha bwalo. Kotero Mose anamaliza ntchito.

Ulemerero wa Yehova

34Kenaka mtambo unaphimba tenti ya msonkhano, ndipo ulemerero wa Yehova unadzaza mʼchihemacho. 35Mose sanathe kulowa mu tenti ya msonkhano chifukwa mtambo unali utakhazikika pa chihemacho, ndipo ulemerero wa Yehova unadzaza mʼchihemacho.

36Pa maulendo awo onse, mtambo ukachoka pamwamba pa chihema, Aisraeli ankasamukanso pamene analipo. 37Koma ngati mtambo sunachoke, iwo sankasamukanso mpaka tsiku limene udzachoke. 38Kotero mtambo wa Yehova unkakhala pamwamba pa chihema usana, ndi mtambo wamoto umakhala usiku, pamaso pa nyumba yonse ya Israeli pa masiku onse aulendo wawo.