Kutoka 36 – NEN & APSD-CEB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 36:1-38

136:1 Kut 28:3; 25:8; Ay 32:8; Isa 28:26; Mit 2:6; Kut 25:8; Law 4:6; 19:30; Hes 18:5; 30:8; 1Fal 6:16; Za 96:6; 134:2; Isa 63:18; Eze 5:11; Dan 8:13, 14; Ebr 9:1, 2Kwa hiyo Bezaleli, Oholiabu na kila mtu Bwana aliyempa ustadi na uwezo wa kujua jinsi ya kufanya kazi zote za kujenga mahali patakatifu wataifanya hiyo kazi kama vile Bwana alivyoagiza.”

236:2 Kut 31:2, 6; 25:2; 35:2, 26; 1Nya 29:5Ndipo Mose akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Bwana alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi. 336:3 Kut 35:29Wakapokea kutoka kwa Mose sadaka zote ambazo Waisraeli walikuwa wameleta ili kuifanya kazi ya ujenzi wa Mahali Patakatifu. Nao watu wakaendelea kuleta sadaka za hiari kila asubuhi. 4Ikafika wakati mafundi wote wenye ujuzi waliokuwa wakiifanya kazi yote ya mahali patakatifu wakasimamisha kazi zao, 536:5 2Nya 24:14; 31:10; 2Kor 8:2-3wakaja na kumwambia Mose, “Watu wanaleta vitu vingi kuliko tunavyohitaji kwa ajili ya kazi hii ambayo Bwana ameagiza ifanyike.”

6Ndipo Mose akatoa agizo, nao wakapeleka neno hili katika kambi yote: “Mtu yeyote mwanaume au mwanamke asilete tena kitu chochote kwa ajili ya sadaka ya mahali patakatifu.” Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi, 736:7 1Fal 7:47kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.

Maskani Ya Mungu

(Kutoka 26:1-37)

836:8 Kut 26:1; Ay 32:8; Mit 10:8; 15:14; 21:1; Mwa 3:24; 1Fal 6:23; 2Nya 3:10; Eze 1:5-28; 10:1Watu wote wenye ustadi miongoni mwa wafanyakazi wote wakatengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye mapazia hayo. 9Mapazia yote yalitoshana kwa ukubwa: kila moja lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane,36:9 Dhiraa 28 ni sawa na mita 12.6. na upana wa dhiraa nne36:9 Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8. 10Wakayaunganisha mapazia matano pamoja, pia wakafanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano. 11Kisha wakatengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu la kwanza, pia wakafanya vivyo hivyo na pazia la fungu la mwisho. 1236:12 Kut 26:5Wakatengeneza pia vitanzi hamsini katika pazia mmoja, na vitanzi vingine hamsini kwenye pazia la mwisho la fungu hilo lingine, nazo vitanzi vyote vikaelekeana. 13Kisha wakatengeneza vifungo hamsini vya dhahabu, na wakavitumia kufunga na kuunganisha zile fungu mbili za mapazia pamoja ili maskani ipate kuwa kitu kimoja.

1436:14 Kut 26:7Wakatengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani. 15Mapazia hayo kumi na moja yalikuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini,36:15 Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5. na upana wa dhiraa nne. 16Wakaunganisha mapazia matano kuwa fungu moja, na hayo mengine sita kuwa fungu lingine. 17Kisha wakatengeneza vitanzi hamsini kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu moja, na vivyo hivyo kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu hilo lingine. 18Wakatengeneza vifungo hamsini vya shaba ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja. 1936:19 Kut 26:14Kisha wakatengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.36:19 Pomboo hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili.

2036:20 Kut 26:15; 25:5, 10; Hes 25:1; Kum 10:3; Yos 2:1Wakatengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani. 21Kila mhimili ulikuwa na urefu wa dhiraa kumi,36:21 Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5. na upana wa dhiraa moja na nusu,36:21 Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5. 22zikiwa na ndimi mbili zilizokuwa sambamba kila mmoja na mwingine. Wakatengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii. 23Wakatengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani, 24na wakatengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi. 25Kwa upande wa kaskazini wa maskani wakatengeneza mihimili ishirini 26na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili. 27Wakatengeneza mihimili sita kwa mwisho ulio mbali, yaani upande wa magharibi wa maskani, 28na mihimili miwili ikatengenezwa kwa ajili ya pembe za maskani za upande uliokuwa mbali. 2936:29 Kut 26:24; Za 133:1; Mdo 2:46; 1Kor 1:10Katika pembe hizi mbili mihimili yake ilikuwa miwili kuanzia chini mpaka juu, na ikaingizwa kwenye pete moja; mihimili ya pembe hizi mbili ilifanana. 30Kwa hiyo kulikuwa na mihimili minane, na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.

3136:31 Kut 26:26Wakatengeneza pia mataruma kwa mti wa mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa maskani, 32matano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na matano kwa ajili mihimili ya upande wa magharibi, mwisho kabisa mwa maskani. 33Wakatengeneza taruma la katikati, likapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine. 34Wakaifunika hiyo mihimili kwa dhahabu, na wakatengeneza pete za dhahabu za kushikilia hayo mataruma. Pia wakayafunika hayo mataruma kwa dhahabu.

3536:35 Kut 39:38; Mt 27:51; Lk 23:45; Ebr 9:5; 6:19; 10:20Wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye hilo pazia. 36Wakatengeneza nguzo nne za mti wa mshita kwa ajili yake na kuzifunika kwa dhahabu. Wakatengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya nguzo hizo, na kusubu vitako vinne vya fedha. 3736:37 Kut 27:16; Law 16:2Kwa ajili ya ingilio la hema wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. 3836:38 1Fal 7:16; 2Nya 4:12; Yer 52:22Pia wakatengeneza nguzo tano zenye kulabu. Wakafunika ncha za juu za hizo nguzo pamoja na tepe zake kwa dhahabu, na pia wakatengeneza vitako vyake vitano vya shaba.

Ang Pulong Sa Dios

Exodus 36:1-38

1“Si Bezalel, si Oholiab, ug ang uban pang gihatagan sa Ginoo ug kaalam ug abilidad sa nagkalain-laing buluhaton mao ang motrabaho sa Tolda sumala sa sugo sa Ginoo.”

2Busa gipatawag ni Moises si Bezalel, si Oholiab, ug ang uban pang gihatagan sa Ginoo ug kaalam ug abilidad sa nagkalain-laing buluhaton, ug buot gayod nga motabang sa pagtrabaho. 3Gihatag ni Moises kanila ang tanang gihalad sa mga Israelinhon alang sa pagpatindog sa Tolda. Ug padayon nga nagdala ang mga tawo sa ilang kinabubut-ong mga halad kada buntag. 4Busa gibiyaan una sa mga trabahante sa Tolda ang ilang trabaho ug miadto kang Moises ug miingon, 5“Nanobra na sa gikinahanglan ang gipangdala sa mga tawo alang sa buluhaton nga gisugo sa Ginoo nga himuon.”

6Busa nagpadala si Moises niining maong sugo ngadto sa tibuok kampo: “Wala nay maghalad alang sa pagpatindog sa Tolda.” Busa mihunong na ang mga tawo sa pagdala sa ilang mga halad, 7tungod kay nanobra na ang ilang gipanghatag alang sa tanang buluhaton sa Tolda.

Ang Pagpatindog sa Tolda nga Simbahan

(Exo. 26:1-37)

8Ang tanang labing maayong motrabaho mao ang naghimo sa Tolda nga Simbahan. Gihimo ang tolda gamit ang napulo ka panapton nga linen ug mga delana nga kolor ube, asul, ug pula. Ug gibordahan kini ug kerubin sa mga hanas moborda. 9Ang kada panapton may gitas-on nga 42 ka piye ug may gilapdon nga unom ka piye. 10Gisumpay nila kini sa tinag-lima; bali duha ka tag-lima. 11Unya gibutangan nilag mga singsing nga hinimo sa panapton nga asul ang kilid sa matag hut-ong sa sinumpay nga mga panapton; 12tag-50 ka mga singsing ang ilang gibutang sa kada kilid. 13Naghimo usab silag 50 ka kaw-it nga bulawan aron masumpay ang mga singsing sa duha ka hut-ong sa sinumpay nga mga panapton. Niining paagiha nahimo ang Tolda nga Simbahan.

14Unya naghimo silag tabon alang sa Tolda. Ang ilang ginamit 11 ka buok panapton nga hinimo gikan sa balhibo sa kanding. 15Ang kada panapton may gitas-on nga 45 ka piye ug may gilapdon nga unom ka piye. 16Gisumpay nila ang lima ka panapton, ug mao usab ang nahibiling unom. 17Gibutangan nilag 50 ka mga singsing ang kilid sa kataposang panapton sa duha ka hut-ong sa sinumpay nga mga panapton, 18ug gisumpay nila kini ginamit ang 50 ka kaw-it nga bronsi.

19Ang ibabaw niining tabon gihaklapan nilag panit sa laking karnero nga gitina ug pula, ug gisapawan pa gayod nilag maayong klase sa panit.36:19 maayong klase sa panit: Posible nga ang buot ipasabot niini sa Hebreo, panit sa dugong o dolfin.

20Unya naghimo silag dingding sa Tolda ginamit ang tabla nga akasya. 21Ang gitas-on sa kada tabla 15 ka piye ug ang gilapdon duha ka piye. 22Ang kada tabla gibutangan nilag duha ka dila-dila aron masumpay kini sa laing tabla. Sama niini ang gihimo nila sa kada tabla. 23Ang 20 niini nga mga tabla gigamit nila sa habagatang bahin sa Tolda. 24Kini nga mga tabla gipahaom nila sa 40 ka tungtonganan nga plata—duha ka tungtonganan sa kada tabla. 25Ang amihan nga bahin sa Tolda gigamitan usab nilag 20 ka tabla, 26ug gipahaom usab sa 40 ka tungtonganan nga plata—duha ka tungtonganan sa kada tabla. 27Ang kasadpang bahin sa Tolda gigamitan nilag unom ka tabla, 28ug duha ka tabla sa mga eskina niini. 29Kining mga tablaha sa mga eskina nasumpay pag-ayo sa ubos hangtod sa ibabaw. Sama usab niini ang ilang gihimo sa laing duha pa ka tabla sa mga eskina. 30Busa adunay walo ka tabla sa maong bahin sa Tolda, ug nahaom kini sa 16 ka tungtonganan nga plata—duha ka tungtonganan sa kada tabla.

31Naghimo usab silag mga pangbabag nga akasya sa dingding—lima alang sa amihan nga bahin sa Tolda, 32lima usab alang sa habagatang bahin, ug lima alang sa kasadpang bahin, luyo sa Tolda. 33Ang babag sa tunga-tungang bahin sa dingding nga ilang gibutang naggikan sa usa ka tumoy sa Tolda ug gipalapos kini sa pikas tumoy. 34Gihaklapan nilag bulawan ang mga tabla ug gibutangan ug mga singsing nga bulawan nga maoy tuhogan sa mga pangbabag sa dingding nga hinaklapan usab ug bulawan.

35Naghimo usab silag kurtina gikan sa linen ug delana nga kolor ube, asul ug pula, ug binordahan kini ug kerubin. 36Naghimo usab silag upat ka haligi nga akasya nga gihaklapan nila ug bulawan. Unya gihimoan nila kinig mga kaw-it nga bulawan ug upat ka tungtonganan nga plata. 37Naghimo sila ug usa pa ka kurtina alang sa Tolda nga Simbahan. Ang gigamit nila linen nga may delana nga kolor ube, asul, ug pula. Ug maayo gayod ang pagkaborda niini. 38Naghimo silag lima ka haligi nga may mga kaw-itanan alang niini. Kini nga mga haligi hinaklapan ug bulawan lakip ang mga ulo-ulo niini ug mga singsing, ug gipahaom kini sa lima ka tungtonganan nga bronsi.