Kutoka 35 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 35:1-35

Masharti Ya Sabato

135:1 Kut 34:32Mose akakusanya jumuiya yote ya Waisraeli na kuwaambia, “Haya ndiyo mambo ambayo Bwana amewaamuru ninyi mfanye: 235:2 Law 23:3; Mwa 2:3; Kut 34:21; Kum 5:13-14; Kut 31:14, 15; Hes 15:32; Lk 13:14Kwa siku sita, mtafanya kazi, lakini siku ya saba itakuwa takatifu kwenu, Sabato ya kupumzika kwa Bwana. Yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo ni lazima auawe. 335:3 Kut 16:23Msiwashe moto mahali popote katika makazi yenu siku ya Sabato.”

Vifaa Kwa Ajili Ya Maskani Ya Mungu

(Kutoka 25:1-9)

435:4 Kut 25:1, 2Mose akaiambia jumuiya yote ya Waisraeli, “Hili ndilo Bwana aliloamuru: 535:5 Kut 25:2; 2Kor 9:7Toeni sadaka kwa Bwana kutoka mali mliyo nayo. Kila mmoja aliye na moyo wa kupenda atamletea Bwana sadaka ya dhahabu, fedha na shaba; 6nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani safi; singa za mbuzi; 7ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo;35:7 Pomboo hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. mbao za mshita; 835:8 Kut 25:6mafuta ya zeituni kwa ajili ya taa; vikolezi kwa ajili ya mafuta ya upako, pamoja na uvumba wa harufu nzuri; 9vito vya shohamu, na vito vingine vya thamani vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha kifuani.

1035:10 Kut 31:6; 39:43; 1Fal 7:14; Isa 28:26“Wote wenye ujuzi miongoni mwenu inawapasa kuja na kutengeneza kila kitu Bwana alichoamuru: 1135:11 Kut 26:1-37; 36:8-38; Mdo 7:44, 45; Ebr 8:2, 5; 9:2-11; Ufu 21:3Maskani pamoja na hema lake na kifuniko chake, vibanio, mihimili, mataruma, nguzo na vitako; 1235:12 Kut 25:10-22; 37:1-9; 26:33Sanduku la Agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha kiti cha rehema na pazia linalokizuia; 1335:13 Kut 25:23-30; 37:10-16meza na mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote, mikate ya Wonyesho; 1435:14 Kut 25:31kinara cha taa kwa ajili ya mwanga pamoja na vifaa vyake vyote, taa na mafuta kwa ajili ya mwanga; 1535:15 Kut 30:1-6; 37:26-28; 30:34-38; 26:36; 1Sam 2:28; 1Nya 23:13; 2Nya 29:11; Lk 1:9madhabahu ya kufukiza uvumba pamoja na mipiko yake, mafuta ya upako na uvumba wenye harufu nzuri; pazia la mlangoni mahali pa kuingilia ndani ya maskani; 1635:16 Kut 27:1-8; 38:1-7; 30:18madhabahu ya sadaka za kuteketeza pamoja na wavu wake wa shaba, mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote; sinia la shaba pamoja na tako lake; 1735:17 Kut 27:9; 38:9-20pazia la eneo la ua pamoja na nguzo zake na vitako vyake, pazia la ingilio la kwenye ua; 1835:18 Kut 27:19; 38:20vigingi vya hema kwa ajili ya maskani pamoja na ua na kamba zake; 1935:19 Kut 28:2; 31:10; 39:1mavazi yaliyofumwa yanayovaliwa wakati wa huduma katika mahali patakatifu, yaani mavazi matakatifu kwa ajili ya kuhani Aroni, na mavazi kwa ajili ya wanawe watakapokuwa wakihudumu katika kazi ya ukuhani.”

20Ndipo jumuiya yote ya Waisraeli ilipoondoka mbele ya Mose, 2135:21 Kut 25:2; 36:2; 1Nya 28:2, 9; 29:9; Ezr 7:27; 2Kor 8:12; 9:7na kila mmoja aliyependa na ambaye moyo wake ulimsukuma alikuja na kuleta sadaka kwa Bwana, kwa ajili ya kazi katika Hema la Kukutania, kwa ajili ya huduma yake yote na kwa ajili ya mavazi matakatifu. 22Wote waliokuwa na utayari, wanaume kwa wanawake, wakaja wakaleta vito vya dhahabu vya kila aina: vipini, vipuli, pete na mapambo. Wote wakatoa dhahabu zao kama sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana. 2335:23 Kut 39:1; 1Nya 29:8Kila mmoja aliyekuwa na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, au za rangi nyekundu au kitani safi, au singa za mbuzi, ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, au ngozi za pomboo, wakavileta. 24Wale waliotoa sadaka ya fedha au shaba wakavileta kama sadaka kwa Bwana, na kila aliyekuwa na mti wa mshita kwa ajili ya kazi yoyote ile akauleta. 2535:25 Kut 28:3; 31:6; 36:1; 2Fal 23:7; Mit 31:19-24Kila mwanamke aliyekuwa na ujuzi alisokota kwa mikono yake na alileta kile alichosokota, iwe ni nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, au za rangi nyekundu au kitani safi. 2635:26 Kut 25:2; 1Nya 29:6-8Wanawake wote waliopenda na waliokuwa na ujuzi wakasokota singa za mbuzi. 27Viongozi wakaleta vito vya shohamu pamoja na vito vingine vya thamani kwa ajili ya kuweka kwenye kisibau na kwenye kifuko cha kifuani. 2835:28 Kut 25:6Wakaleta pia vikolezi na mafuta ya zeituni kwa ajili ya mwanga, kwa ajili ya mafuta ya upako na kwa ajili ya uvumba wenye harufu nzuri. 2935:29 Kut 25:2-7; 36:3; 2Fal 12:4Waisraeli wote waume kwa wake waliokuwa wanapenda wakaleta mbele za Bwana kwa hiari yao wenyewe sadaka kwa ajili ya kazi yote ya Bwana aliyokuwa amewaagiza kuifanya kupitia kwa Mose.

Bezaleli Na Oholiabu

(Kutoka 31:1-11)

30Kisha Mose akawaambia Waisraeli, “Tazameni, Bwana amemchagua Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda, 3135:31 2Nya 2:7, 14naye amemjaza Roho wa Mungu, pamoja na ustadi, na uwezo na ujuzi katika aina zote za ufundi, 32ili kubuni michoro ya kupendeza katika ufundi wa dhahabu, fedha na shaba, 33kuchonga vito na kuvitia mahali, kufanya ufundi kwa mbao, na kujishughulisha na aina zote za ufundi wa kupendeza. 3435:34 Kut 31:6; 2Nya 2:14Tena amempa yeye pamoja na Oholiabu, mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, uwezo wa kufundisha wengine. 3535:35 Kut 31:3, 6; 36:1, 2; 1Fal 7:14; 1Nya 2:14; Isa 28:26; Yak 1:5Amewajaza ustadi wa kufanya kazi za aina zote zifanywazo na mafundi, na wenye kubuni michoro, pia na watarizi kwa rangi za buluu, zambarau, nyekundu na kitani safi, na wafumaji: wote wakiwa mafundi na wabunifu hodari.

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Исход 35:1-35

Закон о субботе

1Муса собрал всё общество исраильтян и сказал им:

– Вот что Вечный повелел вам: 2заниматься делами следует шесть дней, но седьмой день – святой, это суббота покоя, день, посвящённый Вечному. Всякий, кто станет в этот день заниматься делами, будет предан смерти. 3Не зажигайте в субботний день огонь в своих жилищах.

Приношения для священного шатра

(Исх. 25:1-9; 39:32-43)

4Муса сказал обществу исраильтян:

– Вечный повелел: 5из того, что у вас есть, сделайте приношение Вечному. Пусть все, у кого щедрое сердце, сделают Вечному приношение золотом, серебром и бронзой; 6голубой, пурпурной и алой пряжей и тонким льном; козьей шерстью; 7бараньей кожей, покрашенной красным, кожей дюгоней и древесиной акации; 8оливковым маслом для светильников; благовониями для масла помазания и для возжигания; 9ониксом и другими самоцветами, чтобы украсить камнями ефод и нагрудник.

10Те из вас, кто искусен в ремёслах, пусть придут и сделают всё, что повелел Вечный: 11священный шатёр с покрытием, застёжками, брусьями, перекладинами, столбами и основаниями, 12сундук с шестами и крышкой, закрывающую завесу, 13стол с шестами и всей утварью, священный хлеб, 14светильник со всей утварью и лампадами для освещения, масло для светильника, 15жертвенник для возжигания благовоний с шестами, масло для помазания, благовония, завесу для входа в священный шатёр, 16жертвенник для всесожжений с бронзовой решёткой, шестами и утварью, умывальник с его основанием, 17завесы двора со столбами и основаниями, завесу для входа во двор, 18колья с верёвками для священного шатра и двора, 19тканые одеяния для служения в святилище: священные одеяния для священнослужителя Харуна и его сыновей, когда они совершают служение.

20Исраильтяне ушли от Мусы, 21и каждый, кто хотел и кого побуждало сердце, приходил и делал приношение Вечному на изготовление шатра встречи, на службу в нём и на священные одеяния. 22Все, кто желал, – и мужчины, и женщины – приходили и приносили разные золотые изделия: броши, серьги, перстни и подвески. Они посвящали своё золото Вечному. 23У кого были голубая, пурпурная или алая пряжа, тонкий лён, козья шерсть, баранья кожа, крашенная красным, или кожа дюгоней, те приносили их. 24Те, кто мог жертвовать серебро или бронзу, приносили их в дар Вечному, и все, у кого была древесина акации для какой-либо работы, приносили её. 25Каждая женщина-умелица сама пряла и приносила то, что напряла: голубую, пурпурную или алую пряжу или тонкий лён. 26Женщины, которые умели прясть, по велению сердца пряли козью шерсть. 27Главы родов приносили оникс и другие самоцветы, чтобы украсить ими ефод и нагрудник. 28Ещё они приносили благовония и оливковое масло для светильника, для масла помазания и для возжигания. 29Все исраильтяне и исраильтянки, кого побуждало сердце, делали Вечному добровольные приношения для той работы, которую Вечный через Мусу повелел им сделать.

Бецалил и Ахолиав

(Исх. 31:1-11)

30Муса сказал исраильтянам:

– Вечный избрал Бецалила, сына Ури, внука Хура, из рода Иуды, 31и исполнил его Духом Аллаха, мудростью, разумением, знанием и всяким мастерством. 32Он может воплощать свои замыслы в золоте, серебре и бронзе, 33может гранить и оправлять камни, резать по дереву и заниматься всяким ремеслом. 34Вечный даровал ему и Ахолиаву, сыну Ахисамаха, из рода Дана, способность учить других. 35Он дал им умение делать любую работу ремесленников, художников, ткачей и вышивальщиков по голубой, пурпурной и алой ткани и тонкому льну. Они были искусными ремесленниками и художниками.