Kutoka 33 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 33:1-23

Amri Ya Kuondoka Sinai

133:1 Kut 13:11; Hes 14:23; Ebr 6:13; Mwa 12:7Kisha Bwana akamwambia Mose, “Ondoka mahali hapa, wewe pamoja na hao watu uliowapandisha kutoka Misri, mpande mpaka nchi niliyomwahidi Abrahamu, Isaki na Yakobo kwa kiapo, nikisema, ‘Nitawapa wazao wenu nchi hii.’ 233:2 Kut 14:19; 23:28; Kum 7:22; Yos 24:11Nitamtuma malaika mbele yenu, naye atawafukuza Wakanaani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi na Wayebusi. 333:3 Kut 3:8; 32:9-10; Mdo 7:51; Kum 9:6Pandeni mwende katika nchi itiririkayo maziwa na asali. Lakini mimi sitakwenda pamoja nanyi, kwa sababu ninyi ni watu wenye shingo ngumu, nisije nikawaangamiza njiani.”

433:4 Hes 14:39; Ezr 9:3; Es 4:1; Za 119:53; 2Sam 19:24Watu waliposikia habari hizo za huzuni, wakaanza kuomboleza wala hakuna mtu aliyevaa mapambo yoyote. 533:5 Kut 32:9-10Kwa kuwa Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Waambie Waisraeli, ‘Ninyi ni watu wenye shingo ngumu. Kama ningefuatana nanyi hata kwa muda mfupi, ningewaangamiza. Sasa vueni mapambo yenu, nami nitaamua nitakalowatendea.’ ” 6Hivyo Waisraeli wakavua mapambo yao katika Mlima wa Horebu.

Hema La Kukutania

733:7 Kut 27:21; Mwa 25:22; 1Fal 22:5; Kut 29:42-43; 2Sam 21:1Basi Mose alikuwa na desturi ya kuchukua hema na kuliweka wakfu nje ya kambi umbali kiasi, akaliita “Hema la Kukutania.” Kila aliyekuwa akiulizia shauri kwa Bwana, angelikwenda katika Hema la Kukutania nje ya kambi. 833:8 Hes 16:27Wakati wowote Mose alipokwenda kwenye Hema, watu wote waliinuka na kusimama kwenye maingilio ya mahema yao, wakimwangalia Mose mpaka aingie kwenye Hema. 933:9 Kut 13:21; 19:9; Kum 31:15; 1Kor 10:1; Kut 29:42; 31:18; Za 99:7Kila mara Mose alipoingia ndani ya hema, nguzo ya wingu ingeshuka chini na kukaa kwenye ingilio, wakati Mungu akizungumza na Mose. 10Kila mara watu walipoona hiyo nguzo ya wingu ikiwa imesimama kwenye ingilio la hema, wote walisimama wakaabudu, kila mmoja kwenye ingilio la hema lake. 1133:11 Hes 12:8; Kum 5:4; 34:10; Kut 17:9; Mwa 32:30; Kut 24:13Bwana angezungumza na Mose uso kwa uso, kama vile mtu azungumzavyo na rafiki yake. Kisha Mose angerudi kambini, lakini msaidizi wake kijana Yoshua mwana wa Nuni hakuondoka mle Hemani.

Mose Na Utukufu Wa Bwana

1233:12 Kut 3:10; 15:17; Isa 43:1; 45:3; 49:1; Yn 10:14-15; 2Tim 2:19; Mwa 6:8Mose akamwambia Bwana, “Umekuwa ukiniambia, ‘Ongoza watu hawa,’ lakini hujanifahamisha ni nani utakayemtuma pamoja nami. Umesema, ‘Ninakujua wewe kwa jina lako, nawe umepata kibali mbele zangu.’ 1333:13 Za 25:4; 27:11; 51:13; 86:11; 103:7; 143:8; Kut 3:7; Kum 9:26-29; Za 77:15; Yoe 2:17Ikiwa umependezwa nami, nifundishe njia zako ili nipate kukujua, nami nizidi kupata kibali mbele zako. Kumbuka kuwa taifa hili ni watu wako.”

1433:14 Kut 13:21; Kum 4:37; Isa 63:9; Hag 1:13; 2:4; Kum 12:9-10; 25:19; Yos 1:13; 11:23; 21:44; 22:4; 1Fal 8:56; Isa 63:14; Yer 31:2; Mt 11:28; Ebr 4:1-11Bwana akajibu, “Uso wangu utakwenda pamoja nawe, nami nitakupa raha.”

1533:15 Kut 34:9; 2Fal 13:23; 17:18; 23:27; 24:20; Za 51:11; 80:3, 7; Yer 7:15; 52Kisha Mose akamwambia, “Kama Uso wako hauendi pamoja nasi, usituondoe hapa. 1633:16 Kut 34:5; 40:34-35; Hes 9:15; 14:14; Kut 34:10; Law 20:24-26; Hes 23:9; Kum 4:7, 32, 34; 32:9; 33:28Mtu yeyote atajuaje kuwa mimi pamoja na watu wako tumepata kibali mbele zako, usipokwenda pamoja nasi? Ni nini kingine kitakachoweza kututofautisha mimi na watu wako miongoni mwa watu wengine wote walio katika uso wa dunia?”

1733:17 Kut 34:28; Kum 9:18, 25; 10:10; Yak 5:16; Mwa 6:8Bwana akamwambia Mose, “Nitakufanyia jambo lile uliloomba, kwa sababu ninapendezwa nawe, nami ninakujua kwa jina lako.”

1833:18 Kut 16:7; Yn 1:12; 12:41; 1Tim 6:16; Ufu 15:8Kisha Mose akasema, “Basi nionyeshe utukufu wako.”

1933:19 1Fal 19:11; Kut 6:3; 34:5-7; Rum 9:15Ndipo Bwana akasema, “Nitapitisha wema wangu wote mbele yako, nami nitalitangaza Jina langu, Bwana, mbele ya uso wako. Nitamrehemu yeye nimrehemuye, na pia nitamhurumia yeye nimhurumiaye.” 2033:20 Mwa 16:13; Kut 3:6; Kum 5:26; Yn 1:18; Isa 6:5Lakini Mungu akasema, “Hutaweza kuuona uso wangu, kwa kuwa hakuna mtu yeyote awezaye kuniona akaishi.”

21Kisha Bwana akasema, “Kuna mahali karibu nami ambapo unaweza kusimama juu ya mwamba. 2233:22 Mwa 49:24; 1Fal 19:9; Za 27:5; 31:20; 62:7; 91:1; Isa 2:21; Yer 4:29; Isa 49:2; 51:16; Za 91:4Utukufu wangu unapopita, nitakuweka gengeni kwenye mwamba na kukufunika kwa mkono wangu mpaka nitakapokwisha kupita. 23Kisha nitaondoa mkono wangu nawe utaona mgongo wangu; lakini kamwe uso wangu hautaonekana.”

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Исход 33:1-23

1Вечный сказал Мусе:

– Покинь это место, ты и народ, который ты вывел из Египта, и иди в землю, которую Я клялся дать Ибрахиму, Исхаку и Якубу, сказав: «Я дам её твоим потомкам». 2Я пошлю перед тобой Ангела и прогоню хананеев, аморреев, хеттов, перизеев, хивеев и иевусеев. 3Идите в землю, где течёт молоко и мёд. Но Я не пойду с вами, чтобы не погубить вас в дороге, потому что вы – упрямый народ.

4Услышав эти грозные слова, народ зарыдал, и никто не надевал украшений. 5Ведь Вечный сказал Мусе:

– Скажи исраильтянам: «Вы – упрямый народ. Даже если бы Я прошёл с вами хоть немного, Я погубил бы вас. Снимите же украшения, а Я решу, что делать с вами».

6И у горы Синай33:6 Букв.: «у горы Хорив». Хорив – другое название горы Синай. исраильтяне сняли свои украшения.

Шатёр встречи

7Муса поставил шатёр за лагерем, поодаль, и называл его «шатёр встречи». Всякий, кто хотел спросить Вечного, шёл к шатру встречи за лагерь. 8Всякий раз, когда Муса шёл к шатру, народ поднимался и, стоя у входа в свои шатры, смотрел на Мусу, пока тот не входил в шатёр. 9Когда Муса входил в шатёр, облачный столб опускался и стоял у входа, пока Вечный говорил с Мусой. 10Когда народ видел у входа в шатёр облачный столб, они вставали и кланялись у входа в свои шатры. 11Вечный говорил с Мусой лицом к лицу, как человек говорит со своим другом. Потом Муса возвращался в лагерь, но его молодой помощник Иешуа, сын Нуна, не покидал шатра.

Муса и слава Вечного

12Муса сказал Вечному:

– Ты велел мне: «Веди этот народ», но не дал знать, кого пошлёшь со мной. Ты сказал: «Я знаю тебя по имени. Ты нашёл у Меня милость». 13Если так, то научи меня Твоим путям, чтобы мне познавать Тебя и находить у Тебя милость и впредь. Вспомни: эти люди – Твой народ.

14Вечный ответил:

– Я Сам пойду с тобой и дам тебе покой.

15Тогда Муса сказал:

– Если Ты не пойдёшь с нами, то и не выводи нас отсюда. 16Откуда станет известно, что Ты благосклонен ко мне и Своему народу, если Ты не пойдёшь с нами? Что ещё отличит меня и Твой народ от прочих народов на земле?

17Вечный сказал Мусе:

– Я сделаю то, о чём ты просишь, потому что благосклонен к тебе и знаю тебя по имени.

18Тогда Муса сказал:

– Прошу, покажи мне Свою славу.

19Вечный сказал:

– Я покажу всё Своё великолепие и возвещу Своё имя – Вечный. Я проявлю милосердие к тем, к кому Я хочу его проявить, и помилую тех, кого Я хочу помиловать. 20Но лица Моего ты не увидишь, потому что никто не может увидеть Меня и остаться в живых.

21Вечный сказал:

– Вот место рядом со Мной – встань тут на скале. 22Когда будет проходить Моя слава, Я поставлю тебя в расселину скалы и покрою тебя рукой, пока не пройду. 23Когда Я уберу руку, ты увидишь Меня сзади, но Моего лица не будет видно.