Kutoka 32 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 32:1-35

Ndama Wa Dhahabu

(Kumbukumbu 9:6-29)

132:1 Mwa 7:4; Kum 9:9-12; Kut 13:21; 24:18; Mdo 7:40Watu walipoona kuwa Mose amekawia sana kushuka kutoka mlimani, walimkusanyikia Aroni na kumwambia, “Njoo, tutengenezee miungu itakayotutangulia. Kwa maana huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri, hatujui jambo lililompata.”

232:2 Kut 35:22; Amu 8:24-27Aroni akawajibu, “Vueni vipuli vya dhahabu ambavyo wake zenu, wana wenu na binti zenu wamevaa, mkaniletee.” 3Kwa hiyo watu wote wakavua vipuli vyao, wakavileta kwa Aroni. 432:4 Kut 20:23; Amu 17:3-4; Isa 30:22; Kum 9:16; Neh 9:18; Za 106:19; Mdo 7:41; Kut 20:23; Isa 42:17; 1Fal 12:28; 14:9; 2Fal 10:29; 17:16; 2Nya 13:8; Hos 8:6; 10:5Akavichukua vile vitu walivyomkabidhi, akavifanyiza kwa kusubu sanamu yenye umbo la ndama, akaichonga kwa kutumia chombo. Kisha wakasema, “Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli, iliyowapandisha kutoka Misri.”

532:5 Law 23:2, 37; 2Fal 10:20; Yoe 2:15Aroni alipoona hili, akajenga madhabahu mbele ya yule ndama na kutangaza, “Kesho kutakuwa na sikukuu kwa Bwana.” 632:6 Kut 20:24; 34:15; Law 3:1; 4:10; 6:12; 9:4; 22:21; Hes 6:14; 25:2; Kum 27:7; Amu 20:26; Eze 43:27; Mdo 7:14; Amu 19:4; Rut 3:3; 1Sam 1:9; 2Sam 11; 11; 1Fal 13:23; 18:42; Neh 8:12; Mhu 5:18; Yer 16:8; 1Kor 10:7Kwa hiyo siku iliyofuata watu wakaamka asubuhi na mapema na kutoa sadaka za kuteketeza na sadaka za amani. Baadaye watu wakaketi kula na kunywa, nao wakasimama, wakajizamisha katika sherehe.

732:7 Kut 33:1; Mwa 6:11-12; Kut 20:8Kisha Bwana akamwambia Mose, “Shuka, kwa sababu watu wako, uliowatoa Misri, wamepotoka. 832:8 Yer 7:26; 16:12; Mal 2:8; 3:7; Kut 20:4; 22:20; 1Fal 12:28; Eze 23:8Wamekuwa wepesi kugeuka na kuacha niliyowaamuru, na wamejitengenezea sanamu ya kuyeyusha yenye umbo la ndama. Wameisujudia na kuitolea dhabihu, nao wamesema, ‘Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli iliyokupandisha kutoka Misri.’ ”

932:9 Kut 33:3-5; 34:9; Kum 9:6, 13; 10:16; 31:27; Amu 2:19; 2Fal 17:14; 2Nya 30:8; 36:13; Neh 9:16; Za 78:8; Mit 29:1; Isa 46:12; 48:4; Yer 7:26; Eze 2:4; Hos 4:16; Mdo 7:51Bwana akamwambia Mose, “Nimeona watu hawa, nao ni watu wenye shingo ngumu. 1032:10 1Sam 2:25; Yer 11:14; 7:16; 14:11; Kut 22:24; 33:3-5; Hes 16:21; Kum 9:14-19; Za 106:22; Yer 14:12; Eze 20:13; Hes 14:12; Dan 9:14Sasa niache ili hasira yangu ipate kuwaka dhidi yao, nami nipate kuwaangamiza. Kisha nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa.”

1132:11 Kum 9:18; 2Sam 21:1; 2Nya 15:2; Za 9:10; 34:4; 106:23; Isa 9:13; Yer 15:1; Kum 9:26; 1Sam 7:9; Neh 1:10; Za 136:12Lakini Mose akamsihi Bwana Mungu wake, akasema, “Ee Bwana, kwa nini hasira yako iwake dhidi ya watu wako, wale uliowatoa Misri kwa uweza mkuu na mkono wenye nguvu? 1232:12 Hes 14:13-16; Kum 9:28; Kut 33:13Kwa nini Wamisri waseme, ‘Ni kwa nia mbaya aliwatoa Misri, ili awaue milimani na kuwafuta usoni mwa dunia’? Achilia mbali hasira yako kali, waonee huruma na usilete maafa juu ya watu wako. 1332:13 Kut 2:24; 33:14; Mwa 22:16; Ebr 6:13; Mwa 15:5; 22:17; 12:7; 26:4Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaki na Israeli, ambao uliwaapia kwa nafsi yako mwenyewe: ‘Nitawafanya uzao wako kuwa wengi kama nyota za angani, nami nitawapa wazao wako nchi hii yote ambayo niliwaahidia, nayo itakuwa urithi wao milele.’ ” 1432:14 Kum 9:19; 1Sam 15:11; 2Sam 24:16; 1Fal 21:29; 1Nya 21:15; Za 106:45; Yer 18:8; 26:3; Amo 7:3; Yn 3:10Kisha Bwana akawaonea huruma, wala hakuleta juu ya watu wake maafa aliyokuwa amekusudia.

1532:15 Kut 31:18; 19:18; Ebr 9:4; Kut 34:4, 29; Kum 9:15; 2Kor 3:3Mose akageuka, akashuka kutoka mlimani akiwa na vibao viwili vya Ushuhuda mikononi mwake. Vilikuwa vimeandikwa pande zote mbili, mbele na nyuma. 1632:16 Kut 24:12; 31:18Vibao hivyo vilikuwa kazi ya Mungu; maandishi yalikuwa mwandiko wa Mungu, yaliyochorwa kama muhuri juu ya vibao.

1732:17 Kut 17:9; 31:18Yoshua aliposikia sauti za watu wakipiga kelele, akamwambia Mose, “Kuna sauti ya vita kambini.”

18Mose akajibu:

“Si sauti ya ushindi,

wala si sauti ya kushindwa;

ni sauti ya kuimba ninayosikia.”

1932:19 Kum 9:16; 1Kor 10:7; Ezr 9:3; Za 119:53, 158; Kut 34:1; Kum 9:17Mose alipoikaribia kambi na kuona yule ndama na ile michezo, hasira yake ikawaka, akatupa vile vibao vilivyokuwa mikononi mwake, akavipasua vipande vipande pale chini ya mlima. 2032:20 Kut 7:25; 12:3; Yos 7:1; 2Fal 23:6; 1Nya 14:12; 2Nya 34:7; Mik 1:7; Kum 9:21Kisha akamchukua yule ndama waliokuwa wamemtengeneza na kumchoma kwenye moto, kisha akamsaga kuwa unga, akanyunyiza kwenye maji na kuwafanya Waisraeli wanywe.

21Mose akamwambia Aroni, “Watu hawa walikufanyia nini, hata ukawaongoza kufanya dhambi kubwa hivyo?”

2232:22 Mwa 18:30; Kum 9:24; 28:20; 2Fal 21:15; Ezr 9:13; Neh 9:28; Yer 4:4; 44:3; Eze 6:9Aroni akamwambia, “Usikasirike bwana wangu. Unajua jinsi watu hawa walivyo tayari kwa maovu. 2332:23 Mdo 7:40Wao waliniambia, ‘Tufanyie miungu itakayotuongoza. Kwa kuwa huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri, hatufahamu yaliyompata.’ 24Kwa hiyo nikawaambia, ‘Yeyote aliye na kito chochote cha dhahabu avue.’ Kisha wakanipa hiyo dhahabu, nami nikaitupa motoni, akatokea huyu ndama!”

2532:25 Mwa 38:23Mose akaona kuwa watu wameasi, kwa kuwa Aroni alikuwa amewaacha waasi, na hivyo kuwa kichekesho kwa adui zao. 26Kwa hiyo Mose akasimama kwenye ingilio la kambi, akasema, “Yeyote aliye upande wa Bwana, aje upande wangu.” Walawi wote wakamjia.

2732:27 Hes 25:3-5; Kum 33:9; Eze 9:5Ndipo alipowaambia, “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Kila mmoja wenu ajifunge upanga wake kiunoni aende huku na huko kambi yote mwisho hadi mwisho mwingine, kila mmoja amuue ndugu yake, na rafiki yake na jirani yake.’ ” 28Walawi wakafanya kama Mose alivyoamuru, siku ile wakafa watu wapatao 3,000. 29Kisha Mose akasema, “Leo mmewekwa wakfu kwa Bwana, kwa kuwa mlikuwa kinyume na wana wenu wenyewe na ndugu zenu, naye Mungu amewabariki leo.”

3032:30 1Sam 12:20; Za 25:11; 85:2; Law 4:20; 5:6-13; 6:7; Hes 25:13Siku iliyofuata Mose akawaambia watu, “Mmefanya dhambi kubwa. Lakini sasa nitapanda juu kwa Bwana, labda nitaweza kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.”

3132:31 Kut 34:9; 9:18; 20:23Hivyo Mose akarudi kwa Bwana na kumwambia, “Lo! Hawa watu wamefanya dhambi kubwa namna gani! Wamejitengenezea miungu ya dhahabu. 3232:32 Hes 14:19; Rum 9:3; Za 69:28; Eze 13:9; Dan 7:10; 12:1; Mal 3:16; Lk 10:20; Efe 4:3Lakini sasa nakusihi, wasamehe dhambi yao; lakini kama sivyo, basi nifute kutoka kwenye kitabu ulichoandika.”

3332:33 Kut 17:14; Ay 21:20; Ufu 3:5; Za 9:5Bwana akamjibu Mose, “Yeyote aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta kutoka kwenye kitabu changu. 3432:34 Kut 15:17; 3:17; 14:19; Mwa 50:19; Kum 32:35; Za 89:32; 94:23; 99:8; 109:20; Isa 27:1; Yer 5:9; 11:22; 23:20; 44:13, 29; Hos 12:2; Rum 2:5-6Sasa nenda, uongoze hao watu mpaka mahali nilipokuambia, naye malaika wangu atakutangulia. Pamoja na hayo, wakati utakapofika wa mimi kuwaadhibu, nitawaadhibu kwa ajili ya dhambi yao.”

3532:35 2Sam 12:9Ndipo Bwana akawapiga watu kwa ugonjwa wa tauni kwa sababu ya yale waliyoyafanya kwa ndama yule ambaye alitengenezwa na Aroni.

Swedish Contemporary Bible

2 Moseboken 32:1-35

Brott mot lagen

(32:1—34:35)

Guldkalven

(5 Mos 9:7-21; 9:25-29)

1När folket såg att Mose dröjde med att komma tillbaka från berget, samlades de hos Aron och sa till honom: ”Gör gudar32:1 1 Kung 12:28 och Neh 9:18. Eller: Gör en gud. åt oss som kan leda oss, för vad som har hänt den där Mose, som förde oss upp ur Egyptens land, det vet vi inte.”

2”Ge mig era hustrurs, söners och döttrars örhängen av guld”, svarade Aron då. 3Och alla tog då av sig sina örhängen och gav dem till Aron, 4som tog det och formade det till en gjuten kalv32:4 Dyrkan av tjurkalvar var vanlig i hela Mellanöstern. Innebörden av det hebreiska ordet formade är här osäker.. Då ropade folket: ”Detta, Israel, är dina gudar, de som förde dig ut ur Egypten!”

5När Aron såg det, byggde han ett altare framför kalven och lät meddela: ”Imorgon ska vi ha en stor fest för Herren!”

6Nästa morgon steg de upp tidigt och började offra brännoffer och gemenskapsoffer. Sedan slog de sig ner för äta och dricka och sedan reste de sig för att roa sig32:6 Antagligen olika fruktbarhetsriter med sexuella inslag..

7Då talade Herren till Mose: ”Gå ner, för ditt folk som du fört ut ur Egypten har gjort något fruktansvärt. 8De har redan övergett den väg som jag befallt dem att gå. De har gjort åt sig en gjuten kalv som de tillber och offrar till och de säger: ’Detta, Israel, är dina gudar, de som förde dig ut ur Egypten.’ ”

9Herren fortsatte: ”Jag ser vilket motspänstigt folk detta är. 10Låt mig nu vara ensam, så ska jag i min vrede utplåna dem allesammans. Men dig ska jag göra till ett stort folk istället.”

11Mose vädjade till Herren, sin Gud: ”Herre, varför är din vrede så stor mot ditt eget folk som du fört ut ur Egypten med sådan makt och kraft? 12Vill du att egypterna ska säga: ’Gud lurade dem i onda avsikter ut till bergen för att döda dem och utrota dem från jorden’? Spara din vrede! Glöm bort de hemska planer du har mot ditt folk! 13Kom ihåg dina tjänare Abraham, Isak och Israel! Du lovade ju själv dem med en ed att göra deras efterkommande oräkneliga som stjärnorna på himlen och låta dem för all framtid få det land som du har lovat dem.” 14Då ångrade Herren sig och skonade dem.

15Mose gick ner från berget med de två stentavlorna i sina händer som han fått som förbundstecken med text på båda sidor av tavlorna. 16Tavlorna var Guds verk och skriften Guds skrift.

17När Josua hörde oväsendet från folket nedanför, ropade han till Mose: ”Det låter som om det är krig i lägret!” 18Mose svarade honom:

”Nej, det är varken segerrop

eller de besegrades klagorop som hörs,

det är sång jag hör.”

19När de kom närmare lägret fick Mose se kalven och hur man dansade omkring den och i sin vrede kastade han tavlorna vid bergets fot och slog sönder dem. 20Han tog kalven och smälte ner den i elden och krossade det till pulver och strödde ut det i vatten, som han sedan tvingade folket att dricka.

21Sedan sa Mose till Aron: ”Vad har folket gjort med dig32:21 Eller: Vad har folket gjort dig för ont…, eftersom du har förlett dem att synda på detta fruktansvärda sätt?”

22”Lugna dig lite, min herre”, svarade Aron. ”Du vet ju själv hur de här människorna dras till det onda. 23De sa till mig: ’Gör gudar åt oss, som kan leda oss, för den där Mose som förde oss ut ur Egypten tycks ha försvunnit och vi vet inte vart.’ 24Då sa jag till dem: ’Ge mig vad ni har av guld!’ Jag fick det, kastade det i elden, och så blev kalven till.”

25När Mose såg den lössläppthet som Arons handlande lett till och skadeglädjen hos deras fiender, 26ställde han sig vid ingången till lägret och ropade: ”Alla ni som vill stå på Herrens sida, kom hit och ställ er bredvid mig!” Då kom alla leviterna över till honom.

27Han sa till dem: ”Så säger Herren, Israels Gud: ’Ta era svärd och gå igenom hela lägret och döda alla ni stöter på, ja, även bröder, vänner och grannar.’ ” 28Leviterna gjorde som Mose hade sagt, och den dagen dog omkring 3 000 personer.

29Sedan sa Mose till leviterna: ”Idag har ni blivit vigda åt Herren. Ni stod emot era egna söner och bröder, och nu vill han välsigna er.”

Mose ber för folket

30Dagen därpå sa Mose till folket: ”Ni har begått en fruktansvärd synd, men jag ska gå tillbaka till Herren på berget. Kanske kan jag finna försoning för er synd.”

31Mose gick alltså tillbaka upp till Herren och sa: ”Folket har begått en stor synd, de har gjort sig gudar av guld. 32Förlåt dem! Om du inte gör det, så stryk mitt namn ur boken32:32 Tycks syfta på Guds register över de rättfärdiga som han skulle låta leva. Se ex. Ps 51:3 och Upp 3:5. du skriver i.”

33Herren svarade Mose: ”Den som har syndat mot mig ska jag stryka ur min bok. 34Gå nu och led folket till den plats som jag har sagt! Min ängel ska gå framför dig. Men när tiden är inne ska jag straffa dem för deras synd.”

35Herren straffade senare folket för att det hade tillbett Arons guldkalv.