Kutoka 31 – NEN & KJV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 31:1-18

Bezaleli Na Oholiabu

(Kutoka 35:30–36:1)

1Ndipo Bwana akamwambia Mose, 231:2 Kut 36:1-2; 37:1; 38:22; 1Nya 21:20; 2Nya 1:5; Kut 17:10“Tazama, nimemchagua Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda, 331:3 Kut 28:3; 1Fal 7:14; 1Kor 12:4; Kut 35:31; Isa 28:26nami nimemjaza Roho wa Mungu, pamoja na ustadi, uwezo na ujuzi katika aina zote za ufundi, 4ili kubuni michoro ya kupendeza katika ufundi wa dhahabu, fedha na shaba, 5kuchonga vito na kuvitia mahali, kufanya ufundi kwa mbao, na kujishughulisha na aina zote za ufundi. 631:6 Kut 36:1-2; 38:23; 1Fal 7:14; 2Nya 2:14Tena nimemteua Oholiabu mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, ili kumsaidia. Pia mafundi wote nimewapa ustadi wa kutengeneza kila kitu nilichokuamuru wewe: 731:7 Kut 36:8-38; 37:1-6; 40:20Hema la Kukutania, Sanduku la Ushuhuda pamoja na kiti cha rehema juu yake, pia na vifaa vyote vya kwenye hema, 831:8 Kut 37:10-24; Law 24:4; Kut 37:25-28meza na vifaa vyake, kinara cha taa cha dhahabu safi na vifaa vyake vyote, madhabahu ya kufukizia uvumba, 931:9 Kut 38:3; Hes 4:14; Kut 30:18madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake vyote, sinia na kinara chake, 1031:10 Kut 28:2; 39:1, 41pamoja na mavazi matakatifu yaliyofumwa ya kuhani Aroni, na mavazi kwa ajili ya wanawe wakati wanahudumu katika kazi ya ukuhani, 1131:11 Kut 30:22-32; 37:29; 25:6-9pia mafuta ya upako na uvumba wenye harufu nzuri kwa ajili ya Mahali Patakatifu. Watavitengeneza sawasawa kama vile nilivyokuagiza wewe.”

Sabato

12Kisha Bwana akamwambia Mose, 1331:13 Kut 20:8; Isa 56:4; Eze 20:12, 20; Kut 29:42; Law 11:44; 20:8; Eze 37:28“Waambie Waisraeli, ‘Ninyi ni lazima mzishike Sabato zangu. Hii itakuwa ni ishara kati yangu na ninyi kwa ajili ya vizazi vijavyo, ili mpate kujua kwamba Mimi Ndimi Bwana, niwafanyaye ninyi watakatifu.

1431:14 Kut 35:2; Hes 15:32-36“ ‘Mtaishika Sabato, kwa sababu ni takatifu kwenu. Yeyote atakayeinajisi lazima auawe, yeyote atakayefanya kazi siku hiyo lazima akafie mbali na watu wake. 1531:15 Kut 20:8-11; 35:2; Law 16:29; 23:3; Hes 29:7; Mwa 2:3Kwa siku sita, mtafanya kazi, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika, takatifu kwa Bwana. Yeyote afanyaye kazi yoyote siku ya Sabato ni lazima auawe. 1631:16 Kut 20:8Waisraeli wataishika Sabato, kuiadhimisha kwa vizazi vijavyo kuwa Agano la milele. 1731:17 Mwa 2:2-3; Kut 20:9; Isa 56:2; 58:13; 66:23; Yer 17:21-22; Eze 20:12, 20Itakuwa ishara kati yangu na Waisraeli milele, kwa kuwa kwa muda wa siku sita Bwana aliumba mbingu na dunia, na siku ya saba akaacha kufanya kazi, akapumzika.’ ”

1831:18 Kut 19:11; 24:12; 2Kor 3:3; Ebr 9:4; Kut 32:15-16; 34:1; 28; Kum 4:30; 9:10Bwana alipomaliza kusema na Mose juu ya Mlima Sinai, Mungu akampa vile vibao viwili vya Ushuhuda, vibao vya mawe vilivyoandikwa kwa kidole cha Mungu.

King James Version

Exodus 31:1-18

1And the LORD spake unto Moses, saying, 2See, I have called by name Bezaleel the son of Uri, the son of Hur, of the tribe of Judah: 3And I have filled him with the spirit of God, in wisdom, and in understanding, and in knowledge, and in all manner of workmanship, 4To devise cunning works, to work in gold, and in silver, and in brass, 5And in cutting of stones, to set them, and in carving of timber, to work in all manner of workmanship. 6And I, behold, I have given with him Aholiab, the son of Ahisamach, of the tribe of Dan: and in the hearts of all that are wise hearted I have put wisdom, that they may make all that I have commanded thee; 7The tabernacle of the congregation, and the ark of the testimony, and the mercy seat that is thereupon, and all the furniture of the tabernacle,31.7 furniture: Heb. vessels 8And the table and his furniture, and the pure candlestick with all his furniture, and the altar of incense,31.8 furniture: Heb. vessels 9And the altar of burnt offering with all his furniture, and the laver and his foot,31.9 furniture: Heb. vessels 10And the cloths of service, and the holy garments for Aaron the priest, and the garments of his sons, to minister in the priest’s office, 11And the anointing oil, and sweet incense for the holy place: according to all that I have commanded thee shall they do.

12¶ And the LORD spake unto Moses, saying, 13Speak thou also unto the children of Israel, saying, Verily my sabbaths ye shall keep: for it is a sign between me and you throughout your generations; that ye may know that I am the LORD that doth sanctify you. 14Ye shall keep the sabbath therefore; for it is holy unto you: every one that defileth it shall surely be put to death: for whosoever doeth any work therein, that soul shall be cut off from among his people. 15Six days may work be done; but in the seventh is the sabbath of rest, holy to the LORD: whosoever doeth any work in the sabbath day, he shall surely be put to death.31.15 holy: Heb. holiness 16Wherefore the children of Israel shall keep the sabbath, to observe the sabbath throughout their generations, for a perpetual covenant. 17It is a sign between me and the children of Israel for ever: for in six days the LORD made heaven and earth, and on the seventh day he rested, and was refreshed.

18¶ And he gave unto Moses, when he had made an end of communing with him upon mount Sinai, two tables of testimony, tables of stone, written with the finger of God.