Kutoka 27 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 27:1-21

Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa

(Kutoka 38:1-7)

127:1 Kut 20:24; 40:6; 1Fal 8:64“Jenga madhabahu ya mbao za mti wa mshita, kimo chake kiwe dhiraa tatu;27:1 Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35. itakuwa mraba, urefu wake dhiraa tano,27:1 Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25. na upana wake dhiraa tano. 227:2 Kut 29:12; 30:2; 37:25; Law 4:7; 1Fal 1:50; 2:28; Za 118:27; Yer 17:1; Eze 43:15; Amo 3:14; Zek 9:15Tengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba. 327:3 Hes 7:13; 1Fal 7:40-45; 2Fal 12:13; Hes 4:14; 1Nya 28:17; Yer 52:18Tengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba: vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepetu, mabakuli ya kunyunyizia, uma za nyama, na vyombo vya kuchukulia moto. 4Kisha tengenezea hayo madhabahu wavu wa shaba, na utengeneze pete za shaba kwenye kila moja ya hizo pembe nne za huo wavu. 5Weka wavu huo chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu. 627:6 Kut 25:13-14, 28Tengeneza mipiko ya mti wa mshita kwa ajili ya madhabahu, na uifunike kwa shaba. 727:7 Hes 4:15; Isa 52:11Hiyo mipiko itaingizwa kwenye zile pete ili iwe pande mbili za madhabahu inapobebwa. 827:8 Kut 25:9, 40; Ebr 8:5; Mdo 7:44Tengeneza madhabahu yawe na uvungu ndani yake ukitumia mbao. Utaitengeneza sawasawa na vile ulivyoonyeshwa mlimani.

Ua Wa Kukutania

(Kutoka 38:9-20)

927:9 Kut 35:17; 40:8, 33; Law 6:16, 26; Eze 40:14; 42:1“Tengeneza ua kwa ajili ya Hema la Kukutania. Upande wa kusini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja,27:9 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45. na utakuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri, 10pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo. 11Upande wa kaskazini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja, nao utakuwa na mapazia, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

12“Upande wa magharibi wa ua utakuwa na upana wa dhiraa hamsini,27:12 Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5. nao utakuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi. 13Upande wa mwisho wa mashariki jua linakochomoza, ua pia utakuwa na upana wa dhiraa hamsini. 14Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano yatakuwa upande mmoja wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu. 15Kutakuwepo tena na mapazia ya dhiraa kumi na tano27:15 Dhiraa 15 ni sawa na mita 6.75. kwa upande mwingine wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.

1627:16 Kut 40:33; 36:37“Kuhusu ingilio la ua, weka pazia lenye urefu wa dhiraa ishirini27:16 Dhiraa 20 ni sawa na mita 9. la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. Pazia hilo litashikiliwa na nguzo nne na vitako vinne. 17Nguzo zote zinazozunguka ua zitakuwa na tepe na kulabu za fedha, na vitako vya shaba. 18Ua wa kukutania utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini, ukiwa na mapazia ya kitani yaliyosokotwa vizuri yenye urefu wa dhiraa tano kwenda juu na vitako vya shaba. 19Vyombo vingine vyote vinavyotumika katika maskani kwa shughuli yoyote, pamoja na vigingi vyote na hata vile vya ua, vitakuwa vya shaba.

Mafuta Ya Kinara Cha Taa

(Walawi 24:1-4)

2027:20 Kut 25:6; Law 24:2“Utawaamuru Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa kwa ajili ya mwanga ili zile taa ziwake mfululizo. 2127:21 Kut 28:43; 29:42; 30:36; 33:7; Law 6:26; 8:3, 31; Hes 31:54; Yos 18:1; 1Fal 1:38-39; Kut 16:34; 25:37; 29:9; 30:21; Law 3:17; 16:34; 17:7; Hes 18:23; 19:21; 1Sam 30:25Katika Hema la Kukutania, nje ya pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda, Aroni na wanawe watahakikisha kuwa taa hizo zinawaka kuanzia jioni mpaka asubuhi mbele za Bwana. Hili litakuwa agizo la milele miongoni mwa Waisraeli kwa vizazi vyote vijavyo.

Bibelen på hverdagsdansk

2. Mosebog 27:1-21

Brændofferalteret

1Du skal bygge et alter af akacietræ med kvadratisk grundflade, 2,25 m langt, 2,25 m bredt og 1,35 m højt. 2Lav et horn i hvert af alterets fire hjørner, så de går ud i et med alteret og belæg det hele med bronze. 3De nødvendige redskaber til brug ved alteret skal ligeledes laves af bronze: bakkerne til at fjerne asken i, diverse skovle, stænkeskåle, kødgafler og bakker til gløder. 4Lav et bronzegitter med en ring i hvert hjørne 5og placer gitteret under listen, så det når til midt på alteret. 6-7Lav derefter stænger af akacietræ belagt med bronze og stik stængerne gennem ringene på hver side af alteret, så alteret kan bæres. 8Alteret skal laves som en hul trækasse, nøjagtig som jeg har vist dig på bjerget.

Forgården og indhegningen omkring den

9-10Rundt om boligen skal du lave en forgård, omgivet af en indhegning. Indhegningen skal laves af stolper og fintvævet linned. På sydsiden skal indhegningen bestå af et stykke stof på 45 meters længde. Det skal ved hjælp af sølvkroge hænges op på sølvstænger, der sidder fast på 20 bronzestolper, der hver står på en sokkel af bronze. 11Indhegningen på forgårdens nordside skal laves på samme måde og bestå af et stykke stof på 45 m, der ved hjælp af sølvkroge og sølvstænger er hængt op på 20 stolper med sokler af bronze. 12Indhegningen på forgårdens vestside skal være 22,5 m lang med ti stolper og ti sokler. 13Forgårdens østside, hvor indgangen til boligen er, skal ligeledes være 22,5 m. 14-15På begge sider af indgangen skal der være et stykke indhegning på 6,75 m, hver med tre stolper og tre sokler.

16Foran indgangen til forgården skal der hænges et 9 m langt stykke stof af fintvævet linned med broderier i blåt, violet og purpurrødt garn. Det skal hænges op på fire stolper med dertil hørende sokler. 17Alle stolperne hele vejen rundt om forgården skal stå på bronzesokler og forbindes med sølvstænger, og stoffet til indhegningen skal hænges op på sølvstængerne med sølvkroge. 18Forgårdens mål er altså 45 m i længden og 22,5 m i bredden. Stofindhegningen skal være 2,25 m i højden.

19Samtlige redskaber, der bruges i arbejdet ved boligen, inklusive teltpløkkerne til boligen og indhegningen, skal være lavet af bronze.

Olie til lamperne

20Befal Israels folk at bringe ren olivenolie til lamperne på den syvarmede lysestage, så de kan blive ved at brænde. 21Lysestagen skal stå udenfor forhænget til det allerhelligste rum, og Aron og hans sønner skal hver aften og morgen sørge for at gøre lamperne i stand, så de altid er tændt.27,21 Teksten er uklar med hensyn til, om lamperne skal brænde 24 timer eller kun om natten. Senere jødisk tradition fortæller, at lampen mod vest altid skulle være tændt, og at de to lamper mod øst som regel var tændt om dagen, mens de andre fire blev slukket om dagen. Det skal være en vedvarende forordning blandt Israels folk fra slægt til slægt.