Kutoka 22 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 22:1-31

Ulinzi Wa Mali

122:1 Law 6:1-7; 2Sam 12:6; Mit 6:31; Lk 19:8“Kama mtu akiiba maksai au kondoo na kumchinja au kumuuza, ni lazima alipe ngʼombe watano badala ya maksai mmoja na kondoo wanne badala ya kondoo mmoja.

222:2 Ay 24:16; Yer 2:34; Hos 7:1; Mt 6:19-20; 24:43; Hes 35:27; Kut 20:15; Law 19:11; Kum 5:19; Lk 18:20; Rum 13:9; Efe 4:28; 1Pet 4:15“Kama mwizi akishikwa anavunja nyumba akapigwa hata akafa, aliyemuua hana hatia ya kumwaga damu; 322:3 Kut 21:2; Mt 18:25lakini jambo hilo likitokea wakati jua limechomoza, huyo mtu atakuwa na hatia ya kumwaga damu.

“Mwizi huyo sharti alipe, lakini kama hana kitu, lazima auzwe ili alipe kwa ajili ya wizi wake.

422:4 1Sam 12:5; Mwa 43:12; Kut 21:16; Mit 6:31“Kama mnyama aliyeibwa akikutwa hai mikononi mwake, ikiwa ni maksai au punda au kondoo, lazima alipe mara mbili.

5“Kama mtu akichunga mifugo yake katika shamba au shamba la mizabibu, na akawaachia wajilishe katika shamba la mtu mwingine, ni lazima alipe vitu bora kutoka kwenye shamba lake mwenyewe au kutoka shamba lake la mizabibu.

622:6 Amu 15:5“Kama moto ukiwaka na kuenea kwenye vichaka vya miiba na kuteketeza miganda ya nafaka au nafaka ambayo haijavunwa, au kuteketeza shamba lote, mtu yule aliyewasha moto lazima alipe.

722:7 Law 6:2; Mwa 43:12“Kama mtu akimpa jirani yake fedha au mali nyingine amtunzie, na kama vikiibwa kutoka nyumba ya huyo jirani, kama mwizi atashikwa, lazima alipe mara mbili. 822:8 Kut 21:6; Kum 17:8-9Lakini mwizi asipopatikana, mwenye nyumba atafika mbele ya waamuzi ili kuthibitisha kuwa hakuchukua mali ya mwenzake. 922:9 Kum 25:1Pakiwepo jambo lolote la mali isiyo halali, ikiwa ni maksai, punda, kondoo, mavazi, ama mali yoyote iliyopotea ambayo fulani atasema, ‘Hii ni mali yangu,’ pande zote mbili wataleta mashauri yao mbele ya waamuzi. Yule ambaye waamuzi watamwona kuwa na hatia atamlipa jirani yake mara mbili.

10“Kama mtu akimpa jirani yake punda, ngʼombe, kondoo au mnyama mwingine yeyote amtunzie, akifa au akijeruhiwa au akichukuliwa wakati haonekani na mtu yeyote, 1122:11 Law 6:3; 1Fal 8:31; 2Nya 6:22; Ebr 6:16jambo hili kati yao wawili litaamuliwa kwa kuapa kiapo mbele za Bwana, kwamba huyo jirani hakuhusika na wizi wa mali ya jirani yake. Mwenye mali itampasa akubali jambo hili, na hakuna malipo yatakayohitajika. 12Lakini kama mnyama aliibwa kwa jirani, itampasa amlipe mwenye mnyama. 1322:13 Mwa 31:39Kama ameraruliwa na mnyama pori, ataleta mabaki ya mnyama kama ushahidi, naye hatadaiwa kulipa mnyama aliyeraruliwa.

14“Kama mtu akimwazima mnyama kutoka kwa jirani yake, na kama akiumia au akafa na mwenye mnyama hayupo, lazima amlipe huyo mnyama. 1522:15 Law 19:13; Ay 17:5Lakini mwenye mnyama akiwa angalipo na mnyama wake, mwazimaji hatalazimika kumlipa. Kama mnyama alikuwa amekodishwa, fedha iliyolipwa kwa kukodisha inatosha kwa kufidia hasara.

Uwajibikaji Wa Kijamii

1622:16 Kum 22:28; Mwa 34:12“Kama mtu akimshawishi bikira ambaye hajaposwa na akilala naye, lazima alipe mahari, kisha atamwoa msichana huyo. 17Baba wa msichana akikataa katakata kumpa huyo mtu huyo msichana wake, bado ni lazima huyo mtu atalipa mahari kama inavyostahili malipo ya ubikira.

1822:18 Kut 7:11; Law 19:26, 31; 20:27; Kum 18:17; 1Sam 28:3; 2Nya 33:6; Isa 57:3“Usiruhusu mwanamke mchawi aishi.

1922:19 Law 18:23; 20:15; Kum 27:21“Mtu yeyote aziniye na mnyama lazima auawe.

2022:20 Kut 20:23; 22:21“Mtu awaye yote anayemtolea mungu mwingine dhabihu isipokuwa Bwana, lazima aangamizwe.

21“Usimtendee mgeni vibaya au kumwonea, kwa kuwa nanyi mlikuwa wageni huko Misri.

2222:22 Kum 10:18; 24:6, 10-17; Ay 22:6-9; 24:3; 21; Za 68:5; 146:9; Mit 23:10; Isa 1:17; Yer 7:5-6; 21:12; 22:3; Eze 18:5-12; Zek 7:9-10; Mal 3:5; Yak 1:27“Usimdhulumu mjane wala yatima. 2322:23 Lk 18:7; Kum 10:18; 15:9; 24:15; Ay 34:28; 35:9; Za 10:14-17; 12:5; 18:6; Yak 5:4Kama ukifanya hivyo nao wakinililia, hakika nitasikia kilio chao. 2422:24 Za 10:9; 69:24; Mao 5:3Hasira yangu itawaka, nami nitawaua kwa upanga, wake zenu watakuwa wajane na watoto wenu watakuwa yatima.

2522:25 Law 25:35-37; Kum 15:7-11; 23:20; Neh 5:7-10; Za 15:5; Eze 18:8“Kama ukimkopesha mmojawapo wa watu wangu fedha ambaye ni mhitaji, usiwe kama mtu mkopesha fedha; usimtoze riba. 2622:26 Mit 20:16; Eze 33:15; Amo 2:8Kama ukichukua vazi la jirani kama rehani, ulirudishe kwake kabla jua kuzama, 2722:27 Kum 24:13, 17; Ay 22:6; 24:7; 29:11; 31:19-20; Eze 18:12, 16; Kut 34:6; Kum 4:31; 2Nya 30:9; Neh 9:17; Za 99:8; 103:8; 116:5; 145:8; Yoe 2:13; Yon 4:2kwa kuwa vazi lake ndilo pekee alilo nalo la kumfunika mwili wake. Ni nini kingine atajifunika nacho? Atakaponililia, nitasikia, kwa kuwa nina huruma.

2822:28 Kut 20:7; 2Sam 16:5, 9; 1Sam 19:21; 1Fal 21:10; 2Fal 2:23; Za 102; 8; Mhu 10:20; Mdo 23:5“Usimkufuru Mungu au kumlaani mtawala wa watu wako.

2922:29 Kut 23:15-19; 34:20-26; Law 19:24; 23:10; Hes 18:13; 28:26; Kum 18:4; 26:2, 10; 1Sam 6:3; Neh 10:35; Mit 3:9; Mal 3:10; Kut 13:2; Hes 8:16-17; Lk 2:23“Usiache kutoa sadaka kutoka ghala lako au mapipa yako.

“Lazima unipe mzaliwa wa kwanza wa wana wako. 3022:30 Kut 34:19; Kum 15:19; Law 12:3; 22:27; Mwa 17:12Ufanye vivyo hivyo kwa ngʼombe wako na kwa kondoo wako. Waache wakae na mama zao kwa siku saba, lakini siku ya nane unipe.

3122:31 Kut 19:6; Law 19:2; 22:31; Ezr 9:2; Law 7:24; 17:15; 22:8; Kum 14:21; Eze 4:14; 44:31“Ninyi mtakuwa watu wangu watakatifu. Kwa hiyo msile nyama ya mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori; mtupieni mbwa.

New International Reader’s Version

Exodus 22:1-31

Laws About Keeping Property Safe

1“Suppose someone steals an ox or a sheep. And suppose that person kills it or sells it. Then the thief must pay back five oxen for the ox. Or the thief must pay back four sheep for the sheep.

2“Suppose you catch a thief breaking into your house at night. And suppose you hit the thief and the thief dies. Then you are not guilty of murder. 3But suppose it happens after the sun has come up. Then you are guilty of murder.

“Anyone who steals must pay for whatever they steal. But suppose the thief does not have anything. Then the thief must be sold to pay for what was stolen. 4What if the stolen ox, donkey or sheep is found alive with the thief? Then the thief must pay back twice as much.

5“Suppose someone lets their livestock eat grass in someone else’s field or vineyard. Then they must pay that person back from the best crops of their own field or vineyard.

6“Suppose a fire breaks out and spreads into bushes. Suppose it burns cut and stacked grain or grain that is still growing. Or suppose it burns the whole field. Then the one who started the fire must pay for the loss.

7“Suppose someone gives a neighbor silver or other things to keep safe. And suppose they are stolen from the neighbor’s house. The thief, if caught, must pay back twice as much as was stolen. 8But suppose the thief is not found. Then the neighbor must go to the judges. They will decide whether the neighbor has stolen the other person’s property. 9Suppose you have an ox, donkey, sheep or clothing that does not belong to you. Or you have other property lost by someone else. And suppose someone says, ‘That belongs to me.’ Then both people must bring their case to the judges. The one the judges decide is guilty must pay back twice as much to the other person.

10“Suppose someone asks their neighbor to take care of a donkey, ox, sheep or any other animal. And suppose the animal dies or gets hurt. Or suppose it is stolen while no one is looking. 11Then the problem will be settled by promising the Lord to tell the truth. Suppose the neighbor says, ‘I didn’t steal your property.’ Then the owner must accept what the neighbor says. No payment is required. 12But suppose the animal really was stolen. Then the neighbor must pay the owner back. 13Or suppose it was torn to pieces by a wild animal. Then the neighbor must bring in what is left as proof. No payment is required.

14“Suppose someone borrows an animal from their neighbor. And it gets hurt or dies while the owner is not there. Then the borrower must pay for it. 15But suppose the owner is with the animal. Then the borrower will not have to pay. If the borrower hired the animal, the money paid to hire it covers the loss.

Laws About Social Problems

16“Suppose a man meets a virgin who is not engaged. And he talks her into having sex with him. Then he must pay her father the price for a bride. And he must marry her. 17But suppose her father absolutely refuses to give her to him. Then he must still pay the price for getting married to a virgin.

18“Do not let a woman who does evil magic stay alive. Put her to death.

19“Anyone who has sex with an animal must be put to death.

20“Anyone who sacrifices to any god other than the Lord must be destroyed.

21“Do not treat outsiders badly. Do not give them a hard time. Remember, you were outsiders in Egypt.

22“Do not take advantage of widows. Do not take advantage of children whose fathers have died. 23If you do, they might cry out to me. I will certainly hear them. 24And I will get angry. I will kill you with a sword. Your wives will become widows. Your children’s fathers will die.

25“Suppose you lend money to one of my people among you who is in need. Then do not treat it like a business deal. Do not charge any interest at all. 26Suppose your neighbor owes you money and gives you a coat as a promise to pay it back. Then return it by sunset. 27That coat is the only thing your neighbor owns to wear or sleep in. When they cry out to me, I will listen, because I am loving and kind.

28“Do not speak evil things against God. Do not curse the ruler of your people.

29“Do not keep for yourself your grain offerings or wine offerings.

“You must give me the oldest of your sons. 30Do the same with your cattle and sheep. Let them stay with their mothers for seven days. But give them to me on the eighth day.

31“I want you to be my holy people. So do not eat the meat of any animal that has been torn by wild animals. Throw it to the dogs.