Kutoka 20 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 20:1-26

Amri Kumi

(Kumbukumbu 5:1-21)

120:1 Kum 10:4; Neh 9:13; Za 119:9; 147:19; Mal 4:4Ndipo Mungu akasema maneno haya yote:

220:2 Mwa 17:7; Kut 16:12; Law 19:2; 20:7; Isa 43:3; Eze 20:19; Mwa 15:7; Kut 6:6; 13:3; Eze 20:6“Mimi ndimi Bwana Mungu wako, niliyekutoa Misri, kutoka nchi ya utumwa.

320:3 Kut 34:14; Kum 6:14; 13; 10; 2Fal 17:35; Za 44:20; 81:9; Yer 1:16; 7:6-9; 11:13; 19:4; 25:6Usiwe na miungu mingine ila mimi.

420:4 Kut 32:8; 34:17; Law 19:4; 26:1; Kum 4:15-23; 27:15; 2Sam 7:22; 1Fal 14:9; 2Fal 17:12; Isa 42:8; 44:9Usijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote kilicho juu mbinguni, au duniani chini, au ndani ya maji. 520:5 Kut 23:13; Yos 23:7; Amu 6:10; 2Fal 17:35; Isa 44:15-19; 46:6; Kut 34:14; Kum 4:24; Yos 24:19; Mwa 9:25; Law 26:39; Kut 34:7; Hes 14:18; Yer 32:18Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, Bwana Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto kwa ajili ya dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, 620:6 Kut 34:7; Hes 14:18; Kum 7:9; Yer 32:18; Lk 1:50; Rum 11:28lakini ninaonyesha upendo kwa maelfu ya vizazi vya wale wanipendao na kuzishika amri zangu.

720:7 Kut 22:28; Law 18:21; 19:12; 22:2; 24:11, 16; Kum 6:13; 10:20; Ay 2:5-9; Za 63:11; Isa 8:21; Eze 20:39; 39:7; Mt 5:33Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako, kwa kuwa Bwana hataacha kumhesabia hatia yeye alitajaye jina lake bure.

820:8 Kut 16:23; 31:13-16; 35:3; Law 19:3, 30; 26:2; Isa 56:2; Yer 17:21-27; Eze 22:8Ikumbuke siku ya Sabato, uitakase. 920:9 Kut 23:12; 31:13-17; 34:21; 35:2-3; Law 23:3; Lk 13:14Kwa siku sita utafanya kazi na kutenda shughuli zako zote, 1020:10 Mwa 2:3; Kut 31:14; Law 23:38; Hes 28:9; Isa 56:2; Eze 20:12, 20lakini siku ya saba ni Sabato kwa Bwana Mungu wako. Siku hiyo hutafanya kazi yoyote, wewe, wala mwanao au binti yako, wala mtumishi wako wa kiume au wa kike, wala wanyama wako, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. 1120:11 Mwa 1:3–2:1; 2:2; Kut 31:17; Eze 4:4Kwa kuwa kwa siku sita, Bwana aliumba mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo, lakini akapumzika siku ya saba. Kwa hiyo Bwana akaibariki siku ya Sabato na kuifanya takatifu.

1220:12 Kum 5:16; Mt 15:4; 19:19; Mk 7:10; 10:19; Lk 18:20; Efe 6:2; Kum 6:2; Efe 6:3; Kum 11:9; 25:15; Yer 35:7Waheshimu baba yako na mama yako, ili upate kuishi siku nyingi katika nchi anayokupa Bwana Mungu wako.

1320:13 Mwa 4:23; Mt 5:21; 19:18; Lk 18:20; Rum 13:8-9; Yak 2:11Usiue.

1420:14 Law 18:20; 20:10; Hes 5:12, 13, 29; Mit 6:29-32; Mt 5:27; 19:18; Mk 10:19; Lk 18:20; Rum 13:9; Yak 2:11Usizini.

1520:15 Law 19:11-13; Eze 18:7; Mt 19:18; Mk 10:19; Lk 18:20; Rum 13:9Usiibe.

1620:16 Law 19:11; Yer 9:3-5; Kut 23:1, 7; Law 19:18; Za 50:20; 101:5; 119:29; Mt 19:18; Mk 10:19; Lk 3:14; 18:20Usimshuhudie jirani yako uongo.

1720:17 Lk 12:15; Rum 7:7; 13:9; Efe 5:3; Ebr 13:5Usiitamani nyumba ya jirani yako. Usimtamani mke wa jirani yako, wala mtumishi wake wa kiume au wa kike, wala ngʼombe wake au punda wake, wala chochote kile alicho nacho jirani yako.”

Watu Wanaogopa

(Kumbukumbu 5:22-33)

1820:18 Kut 19:16-19; Kum 4:36; Isa 58:1; Yer 6:17; Eze 33:3; Ebr 12:1-19; Ufu 1:10; Kut 19:18; Mwa 3:10; Kut 14:31; 19:16Watu walipoona ngurumo na radi, na kusikia mlio wa tarumbeta, na kuuona mlima katika moshi, walitetemeka kwa woga. Wakasimama mbali 1920:19 Ay 37:4-5; 40:9; Za 29:3-4; Kum 5:23-27; 18:16; Gal 3:19na wakamwambia Mose, “Sema nasi wewe mwenyewe, nasi tutakusikiliza. Lakini usimwache Mungu aseme nasi, la sivyo tutakufa.”

2020:20 Mwa 15:1; 22:1; Kum 4:10; 6:2; 10:12; Za 111:10; 128:1; Mit 1:7; Mhu 12:13; Isa 8:13; Ay 1:8; 2:3; 28:28; Mit 3:7; 8:13; 14:16; 16:6Mose akawaambia watu, “Msiogope! Mungu amekuja kuwajaribu, ili kwamba hofu ya Mungu iwakalie, msitende dhambi.”

2120:21 Kut 19:9; Kum 5:22; Za 81:8; 68:4; 97:2; Isa 19:1Watu wakabaki mbali, wakati Mose alipolisogelea lile giza nene mahali pale Mungu alipokuwa.

Sanamu Na Madhabahu

2220:22 Kum 5:24-26; Neh 9:13Kisha Bwana akamwambia Mose, “Waambie Waisraeli hivi: ‘Mmejionea wenyewe kwamba nimesema nanyi kutoka mbinguni: 2320:23 Kut 22:20; 32:4, 8; 34:17; Kum 29:17-18; Neh 9:18Msijifanyizie miungu yoyote na kuilinganisha nami, msijitengenezee miungu ya fedha wala miungu ya dhahabu.

2420:24 Kut 27:1; 40:29; Hes 16:38; Kum 27:5; Yos 8:30; 2Fal 16:14; 2Nya 4:1; Eze 43:13; Mwa 8:20; Kut 18:12; Kum 12:5; 16:6, 11; 26:2; 1Fal 9:3; 2Fal 21:4-7; 2Nya 6:6; 12:13; Ezr 6:12; Mwa 12:2; 22:17“ ‘Utanitengenezea madhabahu ya udongo, na juu yake utoe sadaka za kuteketezwa kwa moto na sadaka za amani, kondoo zako, mbuzi na ngʼombe zako. Popote nitakapofanya Jina langu liheshimiwe, nitakuja kwenu na kuwabariki. 2520:25 Yos 8:31; 1Fal 6:7Ikiwa unanitengenezea madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe ya kuchonga, maana mkitumia chombo cha kuchongea mtaitia unajisi. 2620:26 Eze 43:17Msitumie ngazi kupandia kwenye madhabahu yangu, uchi wako usije ukadhihirika kwa chini.’

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

出埃及記 20:1-26

十誡

1以下是上帝的訓示:

2「我是你的上帝耶和華,曾把你領出埃及,使你不再受奴役。

3「除我以外,你不可有別的神。

4「不可為自己雕刻神像,不可仿照任何飛禽走獸或水族的樣子造神像, 5不可跪拜它們,也不可供奉它們,因為我——你的上帝耶和華痛恨不貞,我必追討背棄我之人的罪,從父到子直到三四代。 6但那些愛我、遵守我誡命的人,我必以慈愛待他們,直到千代。

7「不可妄用你上帝耶和華的名,違者必被耶和華定罪。

8「要記住安息日,守為聖日。 9你一週可工作六天, 10但第七天是你的上帝耶和華的安息日,這一天你和兒女、僕婢、牲畜及你那裡的外族人不可做任何工。 11因為耶和華用六天造了天、地、海和其中的萬物,第七天便休息了,所以耶和華賜福這日,把它定為聖日。

12「要孝敬父母,以便在你的上帝耶和華賜給你的土地上享長壽。

13「不可殺人。

14「不可通姦。

15「不可偷盜。

16「不可作偽證陷害人。

17「不可貪戀別人的房屋,不可貪戀別人的妻子、僕婢、牛驢或其他任何物品。」

18那時雷電交加,號角嘹亮,山上冒煙,百姓看見此情景,都嚇得渾身顫抖,不敢挨近。 19他們對摩西說:「求你跟我們說話,我們必聽從。不要讓上帝直接跟我們說話,恐怕我們會喪命!」 20摩西對百姓說:「不用害怕,上帝降臨是要試驗你們,好讓你們時時敬畏祂,不致犯罪。」

21百姓都站得遠遠的,摩西獨自走進上帝所在的密雲中。 22耶和華吩咐摩西以色列百姓說:「既然你們已經親眼看見我從天上向你們說話, 23除了敬拜我之外,不可為自己製造金銀神像。 24你們要為我築一座土壇,把你們的牛羊獻在壇上作燔祭和平安祭。凡是我使自己的名號被尊崇的地方,我會親臨那裡賜福給你們。 25你們若為我築石壇,不可用鑿刻的石頭,因為用工具鑿刻的石頭會玷污祭壇。 26不可踩著臺階登我的祭壇,免得露出你們的下體。