Kutoka 17 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 17:1-16

Maji Kutoka Kwenye Mwamba

(Hesabu 20:1-13)

117:1 Kut 16:1; 19:2; Hes 3:15; 20:5; 33:14Jumuiya yote ya Israeli ikaondoka kutoka Jangwa la Sini, ikisafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine kama Bwana alivyoagiza. Wakapiga kambi huko Refidimu, lakini hapakuwa na maji ya watu kunywa. 217:2 Hes 20:2; 33:14; Za 107:5; Kut 14:12; Kum 6:16; Za 78:18, 41; 106:14; Mt 4:7; 1Kor 10:9Kwa hiyo wakagombana na Mose wakisema, “Tupe maji ya kunywa.”

Mose akajibu, “Mbona mnagombana nami? Kwa nini mnamjaribu Bwana?”

317:3 Kut 15:22-24; 14:11; 16:2-3Lakini watu walikuwa na kiu huko, wakanungʼunika dhidi ya Mose, wakisema, “Kwa nini ulitutoa kule Misri, ukatuleta hapa utuue kwa kiu sisi, watoto wetu na mifugo yetu?”

417:4 Hes 14:10; Isa 30:6; Yn 8:59Kisha Mose akamlilia Bwana, akasema, “Niwafanyie nini watu hawa? Sasa wanakaribia kunipiga kwa mawe.”

517:5 Kut 4:2; 10:12-13; 7:20Bwana akamjibu Mose, “Pita mbele ya watu. Wachukue pamoja nawe baadhi ya wazee wa Israeli, ichukue mkononi mwako ile fimbo uliyopiga nayo Mto Naili, nawe uende. 617:6 Hes 20:8-11; Kum 8:15; Amu 15:19; 2Fal 3:20; Neh 9:15; Za 74:15; 78:15-16; 105:41; 107:35; 114:8; Isa 30:25; 35:6; 43:19; 48:21; 1Kor 10:4Huko nitasimama mbele yako karibu na mwamba wa Horebu. Uupige mwamba na maji yatatoka ndani yake kwa ajili ya watu kunywa.” Kwa hiyo Mose akafanya haya mbele ya wazee wa Israeli. 717:7 Kum 6:16; 9:22; 33:8; Za 95:8; Hes 20:13, 24; 27:14; Za 81:7; 106:32Naye akapaita mahali pale Masa,17:7 Masa maana yake ni Kujaribu. na Meriba17:7 Meriba maana yake ni Kugombana. kwa sababu Waisraeli waligombana na kumjaribu Bwana wakisema, “Je, Bwana yu pamoja nasi au la?”

Vita Na Waamaleki

817:8 Mwa 36:12; Kum 25:17-19Waamaleki wakaja na kuwashambulia Waisraeli huko Refidimu. 917:9 Kut 24:13; 32:17; 33:11; Hes 11:28; 27:22; Kum 1:38; Mdo 7:45; Kut 4:17Mose akamwambia Yoshua, “Chagua baadhi ya watu wetu na uende kupigana na Waamaleki. Kesho nitasimama juu ya kilima nikiwa na fimbo ya Mungu mkononi mwangu.”

1017:10 Kut 24:14; 31:2Kwa hiyo Yoshua akapigana na Waamaleki kama Mose alivyomwagiza, nao Mose, Aroni na Huri wakapanda juu ya kilima. 1117:11 Yak 5:16Ikawa wakati wote Mose alipokuwa amenyanyua mikono yake, Waisraeli walikuwa wakishinda, lakini kila aliposhusha mikono yake Waamaleki walishinda. 1217:12 Yos 8:26Mikono ya Mose ilipochoka, wakachukua jiwe na kumpa alikalie. Aroni na Huri wakaishikilia juu mikono ya Mose, mmoja upande huu na mwingine upande huu. Wakaitegemeza mikono yake ikabaki thabiti mpaka jua lilipozama. 13Kwa hiyo Yoshua akalishinda jeshi la Waamaleki kwa upanga.

1417:14 Kut 24:4; 34:27; 33:2; Kum 31:9; Ay 19:23; Isa 30:8; Yer 36:2; 45:1; 51:60; Kut 32:33; Kum 29:20; Ay 18:17; Za 9:5; 34:15; 109:15; Eze 18:4; Mwa 36:12; Hes 24:7; Amu 3:13; Isa 30:17-18; Za 83:7Kisha Bwana akamwambia Mose, “Andika mambo haya katika kitabu ili yakumbukwe, na uhakikishe kwamba Yoshua amesikia, kwa sababu nitafuta kabisa kumbukumbu la Amaleki chini ya mbingu.”

1517:15 Mwa 8:20; 22:14Mose akajenga madhabahu na kuiita Yehova Nisi.17:15 Yehova Nisi maana yake ni Bwana ni Bendera yangu. 1617:16 Hes 24:7; 1Sam 15:8, 32; 1Nya 4:43; Es 3:1; 8:3; 9:5, 24Mose akasema, “Kwa maana mikono iliinuliwa mpaka kwenye kiti cha enzi cha Bwana. Bwana atakuwa na vita dhidi ya Waamaleki kutoka kizazi hata kizazi.”

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

出埃及记 17:1-16

磐石出水

1以色列全体会众按照耶和华的吩咐,从旷野启程,一程一程往前行,来到利非订安营,可是那里没有水喝。 2百姓便跟摩西吵闹,要他给他们水喝。摩西便对他们说:“你们为什么跟我吵闹?为什么试探耶和华?” 3百姓非常口渴,他们向摩西抱怨说:“你为什么要把我们带出埃及,让我们一家大小和牲畜都在这里渴死?”

4摩西就呼求耶和华说:“我拿这些百姓怎么办?他们准备拿石块打死我!” 5耶和华对摩西说:“你带着之前击打尼罗河水的杖,率领以色列的几个长老走在众人前面。 6我必在何烈的磐石那里等候你们,你用杖击打磐石,磐石必流出水来给众人喝。”摩西便当着以色列长老的面这样做了。 7摩西称那地方为玛撒米利巴17:7 玛撒”意思是“试探”;“米利巴”意思是“争闹”。,因为百姓在那里吵闹,又试探耶和华,说:“耶和华真的在我们当中吗?”

战胜亚玛力人

8后来,亚玛力人到利非订攻打以色列人。 9摩西约书亚说:“选一些人出去迎战亚玛力人。明天,我会带着上帝的杖站在山顶上。” 10约书亚便遵照摩西的吩咐迎战亚玛力人,摩西亚伦户珥站在山顶上。 11摩西什么时候举手,以色列人就得胜;他的手什么时候垂下来,亚玛力人就占上风。 12不久,摩西的手疲倦发软,亚伦户珥就抬来一块石头让摩西坐下,然后站在他的两边扶着他的手,他就稳稳地举着手,直到日落。 13这样,约书亚用刀杀败了亚玛力人。

14耶和华对摩西说:“我要抹去世人对亚玛力人的记忆。你要把这话记在书卷上作纪念,也要把这话告诉约书亚。” 15摩西在那里筑了一座坛,称之为耶和华尼西17:15 耶和华尼西”意思是“耶和华是我的旌旗”。16摩西说:“耶和华已经起誓要世代与亚玛力人为敌。”