Kutoka 16 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 16:1-36

Mana Na Kware

116:1 Kut 17:1; Hes 33:11-12; Kut 6:6; 12:1-2Jumuiya yote ya Kiisraeli ikaondoka Elimu, wakafika Jangwa la Sini, lililokuwa kati ya Elimu na Sinai, siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili baada ya kutoka Misri. 216:2 Kut 15:24; 14:11; 1Kor 10:10Huko jangwani hiyo jumuiya yote wakawanungʼunikia Mose na Aroni. 316:3 Kut 17:3; Hes 14:2; 20:3; 11:4, 34; Kum 12:20; Za 78:18; 106:14; Yer 44:12; Mwa 47:15Waisraeli wakawaambia, “Laiti tungelikufa kwa mkono wa Bwana huko Misri! Huko tuliketi tukizunguka masufuria ya nyama na tukala vyakula tulivyovitaka, lakini ninyi mmetuleta huku jangwani ili mpate kuua mkutano huu wote kwa njaa.”

416:4 Dan 8:3; Neh 9:15; Za 78:24; 105:40; Yn 6:31; Mwa 22:1Kisha Bwana akamwambia Mose, “Nitanyesha mikate kutoka mbinguni kwa ajili yenu. Watu watatoka kila siku na kukusanya kitakachowatosha kwa siku ile, kwa njia hii, nitawajaribu nione kama watafuata maelekezo yangu. 516:5 Law 25:21Siku ya sita watatayarisha kile waletacho ndani, nacho kitakuwa mara mbili kuliko ya kile walichokusanya kila siku.”

616:6 Kut 6:6Kwa hiyo Mose na Aroni wakawaambia Waisraeli wote, “Jioni mtajua kwamba Bwana ndiye aliwatoa Misri, 716:7 Kut 24:16; 29:43; 33:18-22; 40:34; Law 9:6; Hes 16:19; Kum 5:24; 1Fal 8:11; Za 63:2; Isa 6:3; 35:2; 40:5; 44:23; 66:18; Eze 1:28; 10:4; 43:5; Hab 2:14; Hag 2:7; Yn 11:40; Hes 11:1; 17:5; 16:11kisha asubuhi mtauona utukufu wa Bwana, kwa sababu amesikia manungʼuniko yenu dhidi yake. Sisi ni nani hata mtunungʼunikie?” 816:8 Hes 23:21; Kum 33:5; Amu 8:23; 1Sam 8:17; 12:12; Mt 10:40; Rum 13:2; 1The 4:8Pia Mose akasema, “Mtajua kuwa alikuwa Bwana wakati atakapowapa nyama mle ifikapo jioni na mikate yote mtakayohitaji asubuhi kwa sababu amesikia manungʼuniko yenu dhidi yake. Sisi ni nani? Hamnungʼuniki dhidi yetu, bali dhidi ya Bwana.”

9Kisha Mose akamwambia Aroni, “Iambie jumuiya yote ya Waisraeli kwamba, ‘Mje mbele zake Bwana, kwa maana amesikia manungʼuniko yenu.’ ”

1016:10 Yn 11:2; Kut 13:21; 40:34-35; 1Fal 8:10; 2Nya 7:1; Eze 10:4Aroni alipokuwa akizungumza na jumuiya yote ya Waisraeli, wakatazama kuelekea jangwani, na huko wakaona utukufu wa Bwana ukitokeza katika wingu.

11Bwana akamwambia Mose, 1216:12 Kut 6:2; 16:7; 20:2“Nimesikia manungʼuniko ya Waisraeli. Waambie, ‘Jioni mtakula nyama, na asubuhi mtashiba mikate. Ndipo mtajua ya kwamba Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’ ”

1316:13 Hes 11:31; Za 78:27-28; 105:40; 106:15; Hes 11:9Jioni ile kware wakaja wakaifunika kambi na asubuhi kulikuwa na tabaka la umande kuzunguka kambi. 1416:14 Hes 11:7-9; Kum 8:3, 16; Za 105:40Wakati umande ulipoondoka, vipande vidogo vidogo kama theluji vilionekana juu ya uso wa jangwa. 1516:15 Kum 8:16; Neh 9:20; Yn 6:31Waisraeli walipoona, wakaambiana, “Hiki ni nini?” Kwa kuwa hawakujua kilikuwa kitu gani.

Mose akawaambia, “Huu ndio mkate ambao Bwana amewapa mle. 16Hivi ndivyo Bwana alivyoamuru: ‘Kila mmoja akusanye kiasi anachohitaji. Chukueni pishi16:16 Pishi ni kipimo cha ujazo, kwa Kiebrania ni omeri, ambacho ni sawa na kilo mbili. moja kwa kila mtu mliye naye katika hema yenu.’ ”

17Waisraeli wakafanya kama walivyoambiwa, baadhi yao wakakusanya zaidi, wengine pungufu. 1816:18 2Kor 8:15Nao walipopima katika pishi, yule aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada, wala aliyekusanya kidogo hakupungukiwa. Kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji.

1916:19 Kut 12:10; 23:18Kisha Mose akawaambia, “Mtu yeyote asibakize chochote mpaka asubuhi.”

2016:20 Kut 32:31Hata hivyo, wengine hawakuzingatia aliyosema Mose, wakahifadhi kiasi fulani mpaka asubuhi, lakini kile alichohifadhi kikajaa mabuu na kuanza kunuka. Kwa hiyo Mose akawakasirikia.

21Kila asubuhi, kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji na jua lilipokuwa kali, iliyeyuka. 2216:22 Kut 34:31Siku ya sita, wakakusanya mara mbili, kiasi cha pishi mbili kwa kila mtu, nao viongozi wa jumuiya wakaja kumwarifu Mose. 2316:23 Mwa 2:3; Kut 20:8; Kum 5:13-14Mose akawaambia, “Hivi ndivyo alivyoagiza Bwana: ‘Kesho itakuwa siku ya mapumziko, Sabato takatifu kwa Bwana. Kwa hiyo okeni kile mnachotaka kuoka na mchemshe kile mnachotaka kuchemsha. Hifadhini chochote kinachobaki na mkiweke mpaka asubuhi.’ ”

24Kwa hiyo wakavihifadhi mpaka asubuhi, kama Mose alivyoagiza, na havikunuka wala kuwa na mabuu. 25Mose akawaambia, “Kuleni leo, kwa sababu leo ni Sabato kwa Bwana. Hamtapata chochote juu ya nchi leo. 2616:26 Kut 20:9-10Kwa siku sita mtakusanya, lakini siku ya saba, yaani Sabato, hakutakuwepo chochote.”

27Hata hivyo, baadhi ya watu wakatoka kwenda kukusanya siku ya saba, lakini hawakupata chochote. 2816:28 Yos 9:14; Za 78:10; 106:13; 107:11; Yer 32:23; 2Fal 17:14Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Je, mtaacha kushika maagizo na maelekezo yangu mpaka lini? 29Fahamuni kuwa Bwana amewapa ninyi Sabato, ndiyo sababu katika siku ya sita amewapa mikate ya siku mbili. Kila mmoja inampasa kukaa pale alipo katika siku ya saba. Hata mmoja haruhusiwi kutoka.” 30Kwa hiyo watu wakapumzika siku ya saba.

31Watu wa Israeli wakaita ile mikate mana16:31 Mana maana yake ni mkate kutoka mbinguni. Ilikuwa myeupe kama mbegu za mtama na ladha yake ilikuwa kama mkate mwembamba uliotengenezwa kwa asali. 32Mose akasema, “Hivi ndivyo alivyoagiza Bwana: ‘Chukueni pishi ya mana na kuhifadhi kwa ajili ya vizazi vijavyo ili vione mikate niliyowapa mle jangwani nilipowatoa katika nchi ya Misri.’ ”

3316:33 Ebr 9:4; Ufu 2:17Kwa hiyo Mose akamwambia Aroni, “Chukua gudulia na uweke pishi moja ya mana ndani yake. Kisha uweke mbele za Bwana ili kihifadhiwe kwa ajili ya vizazi vijavyo.”

3416:34 Kut 25:16, 21-22; 27:21; 31:18; 40:20; Law 16:13; Hes 1:50; 7:89; 10:11; 17:4; Kum 2:10; 1Fal 8:9; 2Nya 5:10Kama Bwana alivyomwagiza Mose, hatimaye Aroni alikuja kuihifadhi ndani ya Sanduku la Ushuhuda. 3516:35 Yn 6:31, 49; Hes 14:33; 33:38; Kum 1:3; 2:7; 8:2-4; Yos 5:6; Amu 3:11; Neh 9:21; Za 95:10; Amu 5:25; Yos 5:12Waisraeli wakala mana kwa miaka arobaini, mpaka walipofika katika nchi iliyokaliwa na watu; walikula mana hadi walipofika mpakani mwa Kanaani.

3616:36 Law 5:11; 6:20; Hes 5:15; 15:4; 28:5(Pishi moja ni sehemu ya kumi ya kipimo cha efa.16:36 Efa moja ni sawa na kilo 22.)

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Éxodo 16:1-36

El maná y las codornices

1Toda la comunidad israelita partió de Elim y llegó al desierto de Sin, que está entre Elim y el Sinaí. Esto ocurrió a los quince días del mes segundo, contados a partir de su salida de Egipto. 2Allí, en el desierto, toda la comunidad murmuró contra Moisés y Aarón:

3―¡Cómo quisiéramos que el Señor nos hubiera quitado la vida en Egipto! —les decían los israelitas—. Allá nos sentábamos en torno a las ollas de carne y comíamos pan hasta saciarnos. ¡Vosotros nos habéis traído a este desierto para matar de hambre a toda la comunidad!

4Entonces el Señor le dijo a Moisés: «Voy a hacer que os llueva pan del cielo. El pueblo deberá salir todos los días a recoger su ración diaria. Voy a ponerlo a prueba, para ver si cumple o no mis instrucciones. 5El día sexto recogerán una doble porción, y todo esto lo dejarán preparado».

6Moisés y Aarón dijeron a todos los israelitas:

―Esta tarde sabréis que fue el Señor quien os sacó de Egipto, 7y mañana por la mañana veréis la gloria del Señor. Ya él sabe que vosotros andáis murmurando contra él. Nosotros no somos nadie, para que vosotros murmuréis contra nosotros.

8Y añadió Moisés:

―Esta tarde el Señor os dará a comer carne, y mañana os saciará de pan, pues ya os oyó murmurar contra él. Porque ¿quiénes somos nosotros? ¡Vosotros no estáis murmurando contra nosotros, sino contra el Señor!

9Luego se dirigió Moisés a Aarón:

―Dile a toda la comunidad israelita que se acerque al Señor, pues los ha oído murmurar contra él.

10Mientras Aarón hablaba con toda la comunidad israelita, volvieron la mirada hacia el desierto, y vieron que la gloria del Señor se hacía presente en una nube.

11El Señor habló con Moisés y le dijo: 12«Han llegado a mis oídos las murmuraciones de los israelitas. Diles que antes de que caiga la noche comerán carne, y que mañana por la mañana se hartarán de pan. Así sabrán que yo soy el Señor su Dios».

13Esa misma tarde el campamento se llenó de codornices, y por la mañana una capa de rocío rodeaba el campamento. 14Al desaparecer el rocío, sobre el desierto quedaron unos copos muy finos, semejantes a la escarcha que cae sobre la tierra. 15Como los israelitas no sabían lo que era, al verlo se preguntaban unos a otros: «¿Y esto qué es?» Moisés les respondió:

―Es el pan que el Señor os da para comer. 16Y estas son las órdenes que el Señor me ha dado: “Recoged cada uno de vosotros la cantidad que necesite para toda la familia, calculando dos litros16:16 dos litros. Lit. un gómer; también en vv. 18 y 36. por persona”.

17Así lo hicieron los israelitas. Algunos recogieron mucho; otros recogieron poco. 18Pero, cuando lo midieron por litros, ni al que recogió mucho le sobraba, ni al que recogió poco le faltaba: cada uno recogió la cantidad necesaria. 19Entonces Moisés les dijo:

―Nadie debe guardar nada para el día siguiente.

20Hubo algunos que no le hicieron caso a Moisés y guardaron algo para el día siguiente, pero lo guardado se llenó de gusanos y comenzó a apestar. Entonces Moisés se enojó contra ellos.

21Todas las mañanas cada uno recogía la cantidad que necesitaba, porque se derretía en cuanto calentaba el sol. 22Pero el día sexto recogieron el doble, es decir, cuatro litros16:22 cuatro litros. Lit. dos gómer. por persona, así que los jefes de la comunidad fueron a informar de esto a Moisés.

23―Esto es lo que el Señor ha ordenado —les contestó—. Mañana sábado es día de reposo consagrado al Señor. Así que coced lo que tengáis que cocer, y hervid lo que tengáis que hervir. Lo que sobre, apartadlo y guardadlo para mañana.

24Los israelitas cumplieron las órdenes de Moisés y guardaron para el día siguiente lo que les sobró, ¡y no se pudrió ni se agusanó!

25―Comedlo hoy sábado —les dijo Moisés—, que es el día de reposo consagrado al Señor. Hoy no encontraréis nada en el campo. 26Debéis recogerlo durante seis días, porque el día séptimo, que es sábado, no encontraréis nada.

27Algunos israelitas salieron a recogerlo el día séptimo, pero no encontraron nada, 28así que el Señor le dijo a Moisés: «¿Hasta cuándo seguiréis desobedeciendo mis leyes y mandamientos? 29Tened en cuenta que yo, el Señor, os he dado el sábado. Por eso en el día sexto os doy pan para dos días. El día séptimo nadie debe salir. Todos debéis quedaros donde estéis».

30Fue así como los israelitas descansaron el día séptimo. 31Y llamaron al pan «maná».16:31 En hebreo, maná significa ¿Qué es? (Véase v. 15). Era blanco como la semilla de cilantro, y dulce como las tortas con miel.

32―Esto es lo que ha ordenado el Señor —dijo Moisés—: “Tomad unos dos litros16:32 unos dos litros. Lit. un gómer; también en v. 33. de maná, y guardadlos para que las generaciones futuras puedan ver el pan que yo os di a comer en el desierto, cuando os saqué de Egipto”.

33Luego Moisés le dijo a Aarón:

―Toma una vasija y pon en ella unos dos litros de maná. Colócala después en la presencia del Señor, a fin de conservarla para las generaciones futuras.

34Aarón puso el maná ante el arca del pacto, para que fuera conservado como se lo ordenó el Señor a Moisés. 35Comieron los israelitas maná cuarenta años, hasta que llegaron a los límites de la tierra de Canaán, que fue su país de residencia.

36La medida de dos litros, a la que llamaban gómer, era la décima parte de la medida a la que llamaban efa.16:36 La medida … efa. Lit. Un gómer es la décima parte de un efa.