Kumbukumbu 9 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 9:1-29

Si Kwa Sababu Ya Haki Ya Waisraeli

(Kutoka 32:1-35)

19:1 Hes 35:10; Kum 1:28; 4:38; 11:23, 31; Hes 13:28; Mwa 11:4Sikiliza, ee Israeli. Sasa mnakaribia kuvuka Yordani mwingie na kuwafukuza mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi pamoja na miji mikubwa yenye kuta zilizofika juu angani. 29:2 Hes 13:22; Yos 11:12Watu ni wenye nguvu na warefu, ni wana wa Waanaki! Mnafahamu habari zao na mmesikia inavyosemekana: “Ni nani awezaye kusimama dhidi ya Waanaki?” 39:3 Kum 7:23-24; 31:3; Yos 3:11; Kut 15:7; 19:18; 23:31; Ebr 12:29; Mik 2:13; Ufu 19:11-15; Isa 30:27; 33:14; Nah 1:5, 6; 2The 1:8; Kut 23:31Kuweni na hakika leo kwamba Bwana Mungu wenu ndiye atakayetangulia kuvuka mbele yenu kama moto uteketezao. Atawaangamiza; atawatiisha mbele yenu. Nanyi mtawafukuza na kuwaangamiza mara moja, kama Bwana alivyowaahidi.

49:4 Kum 8:17; 18:9-14; 2Fal 16:3; 17:8; 21:2; Ezr 9:11; Kut 23:24; Law 18:21-24, 30; Eze 36:32; Rum 11:6; 1Kor 4:4; Mwa 15:16Baada ya Bwana Mungu wenu kuwafukuza mbele yenu, msiseme mioyoni mwenu, “Bwana ametuleta hapa kuimiliki nchi hii kwa sababu ya haki yetu.” La, ni kwa sababu ya uovu wa mataifa haya ndiyo Bwana anawafukuza mbele yenu. 59:5 Efe 2:9; Kum 18:9; 4:38; 11:22; Law 18:25; Mwa 12:7; 13:15; 26:4; Eze 36:32; Tit 3:5; 2Tim 1:9; Lk 1:54; Mdo 13:32, 33; Rum 15:8Si kwa sababu ya haki yenu wala uadilifu wenu kwamba mtaimiliki nchi yao; lakini kwa sababu ya uovu wa mataifa haya, Bwana Mungu wenu atawafukuza mbele yenu, ili kutimiza lile alilowaapia baba zenu Abrahamu, Isaki na Yakobo. 69:6 Kut 32:9; Mdo 7:51Basi mjue, si kwa sababu ya haki yenu Bwana Mungu wenu anawapa nchi hii nzuri kuimiliki, kwa kuwa ninyi ni taifa lenye shingo ngumu.

Ndama Ya Dhahabu

79:7 Hes 11:33; Kut 23:21; 14:11Kumbukeni hili, kamwe msisahau jinsi mlivyomkasirisha Bwana Mungu wenu kwa hasira huko jangwani. Tangu siku mlipotoka Misri mpaka mlipofika hapa, mmekuwa waasi dhidi ya Bwana. 89:8 Hes 16:46; 1Sam 28:18; Ay 20:28; Za 2:12; 7:11; 69:24; 110:5; 106:19; Isa 9:19; Eze 20:13; Kut 32:12; Ezr 9:14Kule Horebu mliamsha ghadhabu ya Bwana, kwa hiyo alikasirika vya kutosha hata akataka kuwaangamiza. 99:9 Kum 9:13; Mwa 7:4; Kut 24:12-18; 34:28; Lk 4:1Nilipopanda mlimani kupokea mbao za mawe, mbao za Agano lile Bwana alilofanya nanyi, nilikaa mlimani siku arobaini usiku na mchana, sikula mkate wala sikunywa maji. 109:10 Kut 31:18; Kum 10:4; 18:16Bwana alinipa mbao mbili za mawe zilizoandikwa kwa kidole cha Mungu. Juu ya mbao hizo kulikuwepo amri zote ambazo Bwana aliwatangazia kule mlimani kwa njia ya moto, siku ya kusanyiko.

119:11 Mwa 7:4; Kut 24:12Mwisho wa siku arobaini usiku na mchana, Bwana alinipa mbao mbili za mawe, mbao za Agano. 129:12 Kum 4:16; Amu 2:17; Kut 32:7-8Kisha Bwana akaniambia, “Shuka chini mara moja, kwa sababu watu wako ambao umewatoa katika nchi ya Misri wamepotoka. Wamegeukia mbali haraka kutoka lile nililowaagiza, wamejitengenezea sanamu ya kusubu.”

139:13 Kut 32:9; Kum 10:16; 2Fal 17:14Naye Bwana akaniambia, “Nimewaona watu hawa nao ni watu wenye shingo ngumu sana! 149:14 Kut 34:10; Hes 14:12; Yer 7:16; Kum 29:20; Za 9:5; 109:13Niache, ili nipate kuwaangamiza na kufuta jina lao kutoka chini ya mbingu. Nami nitakufanya kuwa taifa lenye nguvu zaidi na kuwa wengi kuliko wao.”

159:15 Kut 19:18; 32:15Kwa hiyo niligeuka na kuteremka kutoka mlimani kwani mlima ulikuwa ukiwaka moto. Pia vibao vile viwili vya Agano vilikuwa mikononi mwangu. 169:16 Kut 32:4, 9Nilipotazama, niliona kuwa mmefanya dhambi dhidi ya Bwana Mungu wenu; mmejifanyia sanamu ya kusubu katika umbo la ndama. Mmegeuka upesi kutoka njia ile Bwana aliyowaagiza. 179:17 Za 69:9; 119:139Kwa hiyo nilichukua vibao vile viwili nikavitupa na kuvipasua vipande vipande mbele ya macho yenu.

189:18 Kut 34:28; 32:31Ndipo tena nikasujudu mbele za Bwana kwa siku arobaini usiku na mchana. Sikula mkate wala sikunywa maji, kwa sababu ya dhambi yote mliyoifanya, mkifanya lile lililo ovu mbele za Bwana na kumkasirisha. 199:19 Kut 32:14; Ebr 12:21; Kut 34:10; Hes 11:2; 1Sam 7:9; Yer 15:1; Kum 9:26; 10:10; Za 106:23; Yak 5:15; Amo 7:1-6Niliogopa hasira na ghadhabu ya Bwana, kwa kuwa aliwakasirikia vya kutosha na kutaka kuwaangamiza. Lakini Bwana alinisikiliza tena. 20Bali yeye alimkasirikia Aroni kiasi cha kutaka kumwangamiza, nami wakati huo nilimwombea Aroni pia. 219:21 Za 18:42; Isa 2:18; 29:5; 40:15; Kut 32:20; Mk 1:7; Hos 8:11Kisha nikachukua ile sanamu ya ndama mliyoitengeneza na kuichoma kwenye moto. Nikaiponda na kuisaga ikawa unga laini kama vumbi, nikatupa lile vumbi kwenye kijito kilichotiririka toka mlimani.

229:22 Hes 1:53; 11:3; 11:34; Kut 17:7Pia mlimkasirisha Bwana huko Tabera, Masa na Kibroth-Hataava.

239:23 Kum 1:32; Hes 14:9; Za 106:24; Hes 13:3; 14:1; Za 78:22; Ebr 3:18, 19; 4:2Vilevile wakati Bwana alipowatuma kutoka Kadesh-Barnea, alisema, “Kweeni, mkaimiliki nchi ambayo nimewapa.” Lakini mliasi dhidi ya agizo la Bwana Mungu wenu. Hamkumtegemea wala kumtii. 249:24 Kum 8:17; 31:27Mmekuwa waasi dhidi ya Bwana tangu nilipowajua ninyi.

259:25 Mwa 7:4; Kut 33:17Nilianguka kifudifudi mbele za Bwana kwa zile siku arobaini usiku na mchana kwa sababu Bwana alikuwa amesema angewaangamiza ninyi. 269:26 Kut 33:13; 34:9; 6:6; 32:11; Kum 15:15; 2Sam 7:23; Za 78:35; 1Sam 7:9; Mit 15:29; Yer 15:1Nilimwomba Bwana na kusema, “Ee Bwana Mwenyezi, usiangamize watu wako, urithi wako mwenyewe ule ulioukomboa kwa uweza wako mkuu na kuwatoa katika nchi ya Misri kwa mkono wenye nguvu. 279:27 Kut 32:9Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaki na Yakobo. Usiangalie ukaidi wa watu hawa, uovu wao wala dhambi yao. 289:28 Kum 32:27; 1:27; Kut 32:12; Yos 7:9; Hes 14:16; Mwa 41:57; 1Sam 14:25; Yos 7:7-9; Za 115:1, 2; Isa 48:9-11Watu wa nchi ile uliyotutoa sisi wasije wakasema, ‘Ni kwa sababu Bwana hakuweza kuwachukua mpaka nchi aliyokuwa amewaahidia, kwa sababu aliwachukia, akawaleta ili aje kuwaua jangwani.’ 299:29 Kut 33:13; 34:9; Kum 32:9; 4:34; Neh 1:10; Yer 27:5; 32:17; 1Fal 8:51; Neh 1:10; Za 95:7Bali wao ni watu wako, urithi wako ule ulioutoa Misri kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyooka.”

New International Reader’s Version

Deuteronomy 9:1-29

Why the Lord Gave Canaan to Israel

1Israel, listen to me. You are now about to go across the Jordan River. You will take over the land of the nations that live there. Those nations are greater and stronger than you are. Their large cities have walls that reach up to the sky. 2The people who live there are Anakites. They are strong and tall. You know all about them. You have heard people say, “Who can stand up against the Anakites?” 3But today you can be sure the Lord your God will go over there ahead of you. He is like a fire that will burn them up. He’ll destroy them. He’ll bring them under your control. You will drive them out. You will put an end to them quickly, just as the Lord has promised you.

4The Lord your God will drive them out to make room for you. When he does, don’t say to yourself, “The Lord has done it because I am godly. That’s why he brought me here to take over this land.” That isn’t true. The Lord is going to drive out those nations to make room for you because they are very evil. 5You are not going in to take over their land because you have done what is right or honest. It’s because those nations are so evil. That’s why the Lord your God will drive them out to make room for you. He will do what he said he would do. He made a promise to your fathers, to Abraham, Isaac and Jacob. 6The Lord your God is giving you this good land to take as your own. But you must understand that it isn’t because you are a godly nation. In fact, you are stubborn.

Israel Worshiped the Golden Calf

7Here is something you must remember. Never forget it. You made the Lord your God angry in the desert. You refused to obey him from the day you left Egypt until you arrived here. 8At Mount Horeb you made the Lord angry enough to destroy you. 9I went up the mountain. I went there to receive the tablets of the covenant law. They were made out of stone. It was the covenant the Lord had made with you. I stayed on the mountain for 40 days and 40 nights. I didn’t eat any food or drink any water. 10The Lord gave me two stone tablets. The words on them were written by the finger of God. All the commandments the Lord gave you were written on the tablets. He announced them to you out of the fire on the mountain. He wrote them on the day you gathered together there.

11The 40 days and 40 nights came to an end. Then the Lord gave me the two stone tablets. They were the tablets of the covenant law. 12The Lord told me, “Go down from here right away. The people you brought out of Egypt have become very sinful. They have quickly turned away from what I commanded them. They have made a statue of a god for themselves.”

13The Lord also said to me, “I have seen these people. They are so stubborn! 14Do not try to stop me. I am going to destroy them. I will wipe them out from the earth. Then I will make you into a great nation. Your people will be stronger than they were. There will be more of you than there were of them.”

15So I turned and went down the mountain. It was blazing with fire. I was carrying the two tablets of the covenant law. 16When I looked, I saw that you had sinned against the Lord your God. You had made for yourselves a metal statue of a god. It looked like a calf. You had quickly turned away from the path the Lord had commanded you to follow. 17So I threw the two tablets out of my hands. You watched them break into pieces.

18Then once again I fell down flat in front of the Lord with my face toward the ground. I lay there for 40 days and 40 nights. I didn’t eat any food or drink any water. You had committed a terrible sin. You had done an evil thing in the Lord’s sight. You had made him angry. 19I was afraid of the Lord’s great anger. He was so angry with you he wanted to destroy you. But the Lord listened to me again. 20And he was so angry with Aaron he wanted to destroy him too. But at that time I prayed for Aaron. 21I also got that sinful calf you had made. I burned it in the fire. I crushed it and ground it into fine powder. Then I threw the powder into a stream that was flowing down the mountain.

22You also made the Lord angry at Taberah, Massah and Kibroth Hattaavah.

23The Lord sent you out from Kadesh Barnea. He said, “Go up and take over the land I have given you.” But you refused to do what the Lord your God had commanded you to do. You didn’t trust him or obey him. 24You have been refusing to obey the Lord as long as I’ve known you.

25I lay down in front of the Lord with my face toward the ground for 40 days and 40 nights. I did it because the Lord had said he would destroy you. 26I prayed to him. “Lord and King,” I said, “don’t destroy your people. They belong to you. You set them free by your great power. You used your mighty hand to bring them out of Egypt. 27Remember your servants Abraham, Isaac and Jacob. Forgive the Israelites for being so stubborn. Don’t judge them for the evil and sinful things they’ve done. 28If you do, the Egyptians will say, ‘The Lord wasn’t able to take them into the land he had promised to give them. He hated them. So he brought them out of Egypt to put them to death in the desert.’ 29But they are your people. They belong to you. You used your great power to bring them out of Egypt. You reached out your mighty arm and saved them.”