Kumbukumbu 6 – NEN & HTB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 6:1-25

Mpende Bwana Mungu Wako

1Haya ndiyo maagizo, amri na sheria ambazo Bwana Mungu wenu aliniagiza niwafundishe ninyi ili mpate kuyashika katika nchi ambayo ninyi mnavuka Yordani kuimiliki, 26:2 Kut 20:20; 1Sam 12:24; Kum 4:9; Mwa 26:5; Kut 20:12ili kwamba ninyi, watoto wenu na watoto wao baada yao wamche Bwana Mungu wenu siku zote kwa kushika amri na maagizo yake yote ninayowapa, ili mweze kuyafurahia maisha marefu. 36:3 Mwa 15:5; Kum 5:33; 32:13-14; Kut 3:8; 13:5; 19:5Sikia, ee Israeli, nawe uwe mwangalifu kutii ili upate kufanikiwa na kuongezeka sana katika nchi itiririkayo maziwa na asali, kama Bwana, Mungu wa baba zenu, alivyowaahidi ninyi.

46:4 Zek 14:9; Kum 4:35-39; Neh 9:6; Za 86:10; Isa 44:6; Mk 12:29; Yn 10:30; 1Kor 8:4; Efe 4:6; Yak 2:19Sikia, ee Israeli: Bwana Mungu wako, Bwana ni mmoja. 56:5 Kum 11:1, 22; Mt 22:37; Mk 12:30; Lk 10:27; 1Sam 12:24; Kum 4:29; 10:12; Yos 22:5Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote. 66:6 Kum 11:18; 30:14; 32:46; Za 26:2; 37:31; 40:8; 119:11; Mit 3:3; Isa 51:7; Yer 17:1; 31:33; Eze 40:4Amri hizi ninazokupa leo zitakuwa katika moyo wako. 76:7 Kum 4:9; 11:19; Mit 22:6; Efe 6:4Wafundishe watoto wako kwa bidii. Nena kuhusu amri hizi uketipo nyumbani na wakati utembeapo njiani, ulalapo na uamkapo. 86:8 Kut 13:9; Mt 23:5; Mit 3:3; 7:3; 6:21Zifunge kama alama juu ya mkono wako, na uzifunge juu ya paji la uso wako. 96:9 Kum 11:20; Isa 50:8; 57:8Ziandike kwenye miimo ya milango ya nyumba yako na juu ya malango yako.

106:10 Mwa 11:4; Kum 12:29; 19:1; Yos 24:13Wakati Bwana Mungu wako atakapokuleta katika nchi aliyowaapia baba zako, Abrahamu, Isaki na Yakobo, kukupa wewe, nchi kubwa, ina miji inayopendeza ambayo hukuijenga, 116:11 Yer 22:13; Law 26:5; Kum 8:10; 11:29; 31:20nyumba zilizojaa vitu vizuri vya aina nyingi ambavyo hukuvijaza, visima ambavyo hukuchimba, na mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukupanda wewe, basi, utakapokula na kushiba, 126:12 Kum 4:9, 23; 2Fal 17:38; Za 44:17; 78:7; 103:2jihadhari usije ukamwacha Bwana, aliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.

136:13 Za 33:8; 34:9; Kum 13:4; 1Sam 7:3; Yer 44:10; Mt 4:10; Lk 4:4, 8; 1Sam 20:3; Kut 20:7; Mt 5:33Utamcha Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake na kuapa kwa jina lake. 14Usifuate miungu mingine, miungu ya mataifa yanayokuzunguka; 156:15 Kum 4:24kwa kuwa Bwana Mungu wako, ambaye yuko katikati yako, ni Mungu mwenye wivu na hasira yake itawaka dhidi yako, naye atakuangamiza kutoka uso wa nchi. 166:16 Kut 17:2; Mt 4:7; Lk 4:12Usimjaribu Bwana Mungu wako kama ulivyofanya huko Masa. 176:17 Law 26:3; Kum 11:22; Za 119:4-5, 56, 100, 134, 168Utayashika maagizo ya Bwana Mungu wako kwa bidii, na masharti na amri alizokupa. 186:18 2Fal 18:6; Isa 36:7; 38:3; Kum 4:40Fanya lililo haki na jema mbele za Bwana, ili upate kufanikiwa, uweze kuingia na kuimiliki nchi nzuri ambayo Bwana aliahidi kwa kiapo kwa baba zako, 196:19 Kut 23:27; Yos 21:44; Za 78:53; 107:2; 136:24kuwafukuza kwa nguvu adui zako mbele yako kama Bwana alivyosema.

206:20 Kut 10:2; 13:14Siku zijazo, mtoto wako atakapokuuliza, “Ni nini maana ya masharti haya, amri na sheria hizi ambazo Bwana Mungu wako alikuagiza wewe?” 216:21 Kum 4:34Mwambie: “Tulikuwa watumwa wa Farao huko Misri, lakini Bwana alitutoa sisi kutoka Misri kwa mkono wenye nguvu. 22Bwana akapeleka mbele yetu ishara za miujiza na maajabu makubwa na ya kutisha mno juu ya Misri na Farao pamoja na nyumba yake yote. 23Lakini Mungu akatutoa huko, akatuleta na kutupa nchi hii ambayo aliwaahidi baba zetu kwa kiapo. 246:24 Kum 10:12; 30:6; Za 86:11; Yer 32:39; Za 27:12; 41:2; Rum 10:5Bwana akatuagiza tutii amri hizi zote na kumcha Bwana Mungu wetu, ili tupate kustawi na kuendelea kuwa hai kama ilivyo leo. 256:25 Za 103:18; 119:34, 55; Kum 24:13; Rum 9:31Kama tukizitii kwa bidii amri hizi zote mbele za Bwana Mungu wetu, kama alivyotuamuru sisi, hiyo itakuwa haki yetu.”

Het Boek

Deuteronomium 6:1-25

Wetten voor groot en klein

1‘De Here, uw God, droeg mij op u al deze geboden te geven, die u moet gehoorzamen in het land dat u spoedig zult binnentrekken en waar u zult leven. 2Het doel van deze wetten is dat u, uw kinderen en uw kleinkinderen de Here, uw God, eer bewijzen door al zijn aanwijzingen uw leven lang op te volgen. Als u dat doet, hebt u een lang en voorspoedig leven in het vooruitzicht. 3Daarom, Israël, luister goed naar elk gebod en gehoorzaam het nauwgezet, zodat het u goed zal gaan en u vele kinderen zult hebben. Als u deze geboden gehoorzaamt, zult u een groot volk worden in een heerlijk land dat overvloeit van melk en honing, net zoals de God van uw voorouders het u heeft beloofd.

4Israël, luister: de Here is onze God, de Here is één. 5Heb de Here, uw God, lief met heel uw hart, en geheel uw ziel en al uw krachten. 6En u moet de geboden die ik u vandaag geef, voortdurend in gedachten houden. 7U moet ze uw kinderen inprenten en erover praten als u thuis bent of buiten loopt. Ja, ook tijdens het opstaan en naar bed gaan. 8Bind ze aan uw hand, draag ze op uw voorhoofd 9en schrijf ze op de deurposten van uw huis en op de poorten van uw steden. 10-12Wanneer de Here, uw God, u in het land heeft gebracht dat Hij uw voorouders Abraham, Isaak en Jakob beloofde en u grote steden vol met goede dingen heeft gegeven—steden die u niet zelf hebt gebouwd, bronnen die u niet hebt gegraven en wijngaarden en olijfbomen die u niet hebt geplant—en wanneer u uw buik vol hebt gegeten, zorg er dan voor dat u de Here, die u uit Egypte—het land van de slavernij—heeft bevrijd, niet vergeet. 13Als u voldaan bent, vergeet dan niet Hem dankbaar te zijn en Hem te dienen en alleen zijn naam te gebruiken voor het bekrachtigen van uw beloften. 14U mag de afgoden van de naburige volken niet vereren, 15want de Here, uw God, die bij u woont, is een jaloerse God. Zijn toorn zou dan wel eens tegen u kunnen ontbranden, zodat Hij u van de aardbodem wegvaagt.

16U moet de Here, uw God, niet op de proef stellen, zoals u deed toen u zich tegen Hem beklaagde bij Massa. 17U moet al zijn geboden met woord en daad gehoorzamen. 18Alleen dan zult u doen wat rechtvaardig en goed is in de ogen van de Here. Als u Hem gehoorzaamt, zal het u goed gaan en zult u het land kunnen binnentrekken en in bezit nemen dat de Here uw voorouders beloofde. 19Ook zult u in staat zijn uw vijanden die in uw land leven te verdrijven, want de Here heeft dat al bepaald.

20Als uw zoon later aan u vraagt: “Wat is het nut van de wetten die de Here, onze God, ons heeft gegeven?”, 21moet u hem antwoorden: “In Egypte waren wij slaven van de farao en de Here voerde ons met grote kracht 22en machtige wonderen uit Egypte, wonderen die onheil brachten over Egypte, de farao en zijn hele volk. Wij hebben dat met onze eigen ogen gezien. 23Hij leidde ons uit Egypte om ons het land te geven dat Hij onze voorouders had beloofd. 24Hij heeft ons bevolen al deze wetten te gehoorzamen en Hem hoog in ere te houden, zodat Hij ons kan laten leven zoals Hij tot nu toe heeft gedaan. 25Zolang wij alle wetten van de Here onze God gehoorzamen, zullen wij rechtvaardig tegenover God zijn, omdat wij doen wat Hij ons heeft geboden.” ’