Kumbukumbu 32 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 32:1-52

132:1 Za 49:1; Mik 1:2; Yer 2:12; Kum 4:26; Isa 1:2Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitasema;

sikia, ee nchi, maneno ya kinywa changu.

232:2 2Sam 23:4; Za 107:20; Isa 9:8; 55:11; Mik 5:7; Za 65:10; 68:9; 72:8; 147:8Mafundisho yangu na yanyeshe kama mvua,

na maneno yangu na yashuke kama umande,

kama manyunyu juu ya majani mabichi,

kama mvua tele juu ya mimea myororo.

332:3 Za 118:17; 145:6; Kut 33:16-19; 34:4-6; Kum 3:24Nitalitangaza jina la Bwana.

Naam, sifuni ukuu wa Mungu wetu!

432:4 Mwa 49:24; 2Sam 22:31; Za 18:30; 19:7; Kum 4:35; Za 92:15; Mwa 18:25Yeye ni Mwamba, kazi zake ni kamilifu,

njia zake zote ni haki.

Mungu mwaminifu ambaye hakosei,

yeye ni mnyofu na mwenye haki.

532:5 Kum 31:29; Mt 17:17; Lk 9:41; Mdo 2:40Wamefanya mambo ya upotovu mbele zake;

kwa aibu yao, wao si watoto wake tena,

lakini ni kizazi kilicho kiovu na kilichopotoka.

632:6 Za 116:12; 94:8; Yer 5:21; Kut 4:22; 2Sam 7:24; Isa 63:16Je, hii ndiyo njia ya kumlipa Bwana,

enyi watu wajinga na wasio na busara?

Je, yeye siye Baba yenu, Muumba wenu,

aliyewafanya ninyi na kuwaumba?

732:7 Za 44:1; 74:2; 74:2; 77:5; Isa 51:9; 63:9; Kum 4:32; Yos 8:8; 20:4; Za 78:4; Isa 46:9; Kut 10:2; 13:14; Ay 15:18Kumbuka siku za kale;

tafakari vizazi vya zamani vilivyopita.

Uliza baba yako, naye atakuambia,

wazee wako, nao watakueleza.

832:8 Za 7:8; Mwa 11:8; Mdo 8:1; Za 74:17; Hes 23:9; Kum 33:12; 28; Yer 23:6; Mdo 17:26Aliye Juu Sana alipowapa mataifa urithi wao,

alipogawanya wanadamu wote,

aliweka mipaka kwa ajili ya mataifa

sawasawa na hesabu ya wana wa Israeli.

932:9 Za 16:5; 73:26; 119:57; 142:5; Yer 10:16; Kum 9:29; 1Sam 26:19; 1Fal 8:51-53Kwa kuwa fungu la Bwana ni watu wake,

Yakobo kura yake ya urithi.

1032:10 Kum 1:19; 8:15; Ay 12:24; Za 107:40; 32:10; Yer 31:22; Za 17:8; Mit 7:2; Hos 13:5; Zek 2:8Katika nchi ya jangwa alimkuta,

katika nyika tupu ivumayo upepo.

Alimhifadhi na kumtunza;

akamlinda kama mboni ya jicho lake,

1132:11 Kut 19:4; Za 17:8; 18:10-19; 61:4kama tai avurugaye kiota chake,

na kurukaruka juu ya makinda yake,

ambaye hutanda mabawa yake kuwadaka,

na huwachukua kwenye mabawa yake.

1232:12 Za 106:9; Isa 63:13; Yer 31:32; Kum 4:35; Amu 2:12; Za 18:31; 81:9; Isa 43:12; 45:5Bwana peke yake alimwongoza;

hakuwepo mungu mgeni pamoja naye.

1332:13 Kum 33:29; 2Sam 22:34; Za 18:33; Isa 33:16; 58:14; Eze 36:2; Ebr 3:19; Kum 8:8; 33:24; Ay 29:6Akamfanya apande sehemu zilizoinuka za nchi,

akamlisha kwa mavuno ya mashamba.

Akamlea kwa asali toka mwambani,

na kwa mafuta kutoka mwamba mgumu,

1432:14 Hes 21:33; Za 65:9; 81:16; 147:14; Mwa 49:11kwa jibini na maziwa kutoka makundi ya ngʼombe

na kutoka makundi ya mbuzi,

kwa mafuta ya wana-kondoo na mbuzi,

kwa kondoo dume wazuri wa Bashani,

na kwa ngano nzuri.

Ukanywa damu ya zabibu inayotoa povu.

1532:15 Kum 33:5; 26; Isa 44:2; Kum 31:20; Yer 5:28; Kum 31:16; Isa 1:4, 28; 58:2; 65:11; Yer 15:6; Eze 14:5; Mwa 49:24Yeshuruni32:15 Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli (ona pia Kum 33:26; Isa 44:2). alinenepa na kupiga teke;

alikuwa na chakula tele,

akawa mzito na akapendeza sana.

Akamwacha Mungu aliyemuumba,

na kumkataa Mwamba Mwokozi wake.

1632:16 1Kor 10:22; Kum 31:17; 1Fal 14:9Wakamfanya Mungu kuwa na wivu kwa miungu yao migeni,

na kumkasirisha kwa sanamu zao

za machukizo.

1732:17 Kut 32:8; 22:20; 1Kor 10:20; Kum 28:64; Amu 5:8Wakatoa dhabihu kwa pepo, ambao si Mungu:

miungu wasiyoijua,

miungu iliyojitokeza siku za karibuni,

miungu ambayo baba zenu hawakuiogopa.

1832:18 Amu 3:7; 1Sam 12:9; Za 44:17, 20; 106:21; Yer 2:32; Eze 23:35; Hos 8:14; 13:6Mkamwacha Mwamba, aliyewazaa ninyi;

mkamsahau Mungu aliyewazaa.

1932:19 Law 26:30; Za 78:59; Amo 6:8; Yer 44:21-23; Za 106:40Bwana akaona hili, akawakataa,

kwa sababu alikasirishwa

na wanawe na binti zake.

2032:20 Kum 31:17; Za 4:6; 44:24; Kum 9:23Akasema, “Nitawaficha uso wangu,

nami nione mwisho wao utakuwa nini,

kwa kuwa wao ni kizazi kilichopotoka,

watoto ambao si waaminifu.

2132:21 Hes 25:11; 1Kor 10:22; 1Fal 16:13, 26; 2Fal 17:15; Yer 8:19; Yon 2:8; Rum 10:19; Za 31:6; Yer 2:8; 10:8; 16:19Wamenifanya niwe na wivu

kwa kile ambacho si mungu,

na kunikasirisha kwa sanamu zao

zisizokuwa na thamani.

Nitawafanya wawaonee wivu wale ambao si taifa.

Nitawafanya wakasirishwe

na taifa lile lisilo na ufahamu.

2232:22 Za 7:11; Hes 16:31-35; Za 18:7-8; Yer 15:14; Mao 4:11; Amo 7:4; Law 26:20Kwa maana moto umewashwa kwa hasira yangu,

ule uwakao hadi kwenye vina vya mauti.

Utateketeza dunia pamoja na mazao yake,

na kuwasha moto katika misingi ya milima.

2332:23 Kum 29:21; 2Sam 22:15; Ay 6:4; Za 7:13; 18:14; 45:5; 77:17; 120:4; Isa 5:28; 49:2; Eze 5:16; Hab 3:9-11“Nitalundika majanga juu yao

na kutumia mishale yangu dhidi yao.

2432:24 Mwa 26:1; 41:55; 42:5; 2Sam 24:13; 1Nya 21:12; Kum 28:22; Za 91:6; Mwa 37:20; Ay 20:16; Za 58:4; Yer 8:17; Amo 5:18-19; Mik 7:17; Ay 20:16Nitatuma njaa kali dhidi yao maradhi mabaya,

yateketezayo na tauni ya kufisha;

nitawapelekea meno makali ya wanyama mwitu,

na sumu ya nyoka wale watambaao mavumbini.

2532:25 Isa 24:17; Yer 14:18; Mao 1:20; Eze 7:15; 2Kor 7:5; 2Nya 36:17; Isa 13:18; Yer 4:31; Mao 2:21Barabarani upanga utawakosesha watoto;

nyumbani mwao hofu itatawala.

Vijana wao wa kiume na wa kike wataangamia,

pia watoto wachanga na wazee wenye mvi.

2632:26 Kum 4:27; Hes 14:12; Ay 18:17; Za 34:16; 37:28; 109:15; Isa 14:20Nilisema ningewatawanya

na kufuta kumbukumbu lao

katika mwanadamu.

2732:27 Kum 9:26-28; Za 140:8; Isa 11:13; Yer 40:2-3Lakini nilihofia dhihaka za adui,

adui asije akashindwa kuelewa,

na kusema, ‘Mikono yetu imeshinda;

Bwana hakufanya yote haya.’ ”

2832:28 Isa 1:3; 5:13; 27:11; Yer 8:7Wao ni taifa lisilo na akili,

hakuna busara ndani yao.

2932:29 Kum 5:29; Za 81:13; Isa 47:7; Mao 1:9Laiti wangekuwa na hekima wangefahamu hili,

na kutambua mwisho wao utakuwa aje!

3032:30 Law 26:8; Amu 2:14; 3:8; 4:2; 10:7; 1Sam 12:9; Hes 21:34; 1Sam 23:7; Za 31:18; 44:12; 106:41; Isa 50:1; 54:6Mtu mmoja angewezaje kufukuza elfu moja,

au wawili kufukuza elfu kumi,

kama si kwamba Mwamba wao amewauza,

kama si kwamba Bwana amewaacha?

3132:31 Mwa 49:24; Kut 14:25Kwa kuwa mwamba wao si kama Mwamba wetu,

sawasawa na vile adui zetu wanavyokiri.

3232:32 Yer 23:14; Ay 6:4; 20:16; Kum 29:18Mzabibu wao unatoka kwenye mzabibu wa Sodoma,

na kutoka kwenye mashamba ya Gomora.

Zabibu zake zimejaa sumu,

na vishada vyake vimejaa uchungu.

3332:33 Za 58:4Mvinyo wao ni sumu ya nyoka,

sumu yenye kufisha ya swila.

3432:34 Ay 14:17; Yer 2:22; Hos 13:12“Je, hili sikuliweka akiba

na kulifungia kwenye vyumba vyangu vya hazina?

3532:35 Mwa 4:24; Yer 51:6; Mwa 30:2; Kut 32:34; Za 54:5; Rum 12:19; Ebr 10:30; Za 17:5; 35:6; 37:31; 38:16; 66:9; 73:2; 94:18; 121:3; Mit 4:19; Yer 23:12; Eze 7:8-9Ni juu yangu kulipiza kisasi; nitalipiza.

Wakati utakapowadia, mguu wao utateleza;

siku yao ya maafa ni karibu,

na maangamizo yao yanawajia haraka.”

3632:36 Ebr 10:30; Amo 7:3; Law 26:43-45; Kum 30:1-3; Amu 2:18; Za 90:13; 102:13; 103:13; 106:45; 135:14; Yoe 2:14; 1Fal 14:10; 21:21; 2Fal 9:8Bwana atawahukumu watu wake,

na kuwahurumia watumishi wake

atakapoona nguvu zao zimekwisha

wala hakuna yeyote aliyebaki,

mtumwa au aliye huru.

3732:37 Amu 10:14; Yer 2:28; 11:12Atasema: “Sasa iko wapi miungu yao,

mwamba walioukimbilia,

3832:38 Hes 25:1-2; Yer 11:12; 44:8; 25miungu wale waliokula mafuta ya dhabihu zao

na kunywa mvinyo wa sadaka zao za vinywaji?

Wainuke basi, wawasaidie!

Wawapeni basi ulinzi!

3932:39 Isa 41:4; 43:10; 44:7; 46:4; 48:12; 1Sam 2:6; 2Fal 5:7; Za 68:20; Yn 11:25-26; Kut 15:26; Ay 5:18; 15:11; Za 147:3; Isa 6:10; 19:22; 30:26; 53:5; 57:18; Yer 33:6; Hos 6:1; Mal 4:2; 1Pet 2:24; Ay 9:12; 10:7; Za 7:2; 50:22; Isa 43:13; Dan 4:35; Hos 5:14“Tazama basi, Mimi mwenyewe, Mimi Ndiye!

Hakuna mungu mwingine ila Mimi.

Mimi ninaua na Mimi ninafufua,

Mimi nimejeruhi na Mimi nitaponya,

wala hakuna awezaye kuokoa kutoka mkononi mwangu.

4032:40 Mwa 14:22; 21:23; Ufu 1:18Ninainua mkono wangu kuelekea mbinguni na kusema:

Hakika kama niishivyo milele,

4132:41 Amu 7:20; Za 7:12; 45:3; Isa 27:1; 34:6; 66:16; Yer 12:12; Eze 21:9-10; Za 149:7; Yer 46:10; Neh 1:2; Za 137:8; Yer 25:14; 50:29; 51:24, 56wakati ninapounoa upanga wangu unaometameta

na mkono wangu unapoushika ili kutoa hukumu,

nitalipiza kisasi juu ya adui zangu

na kuwalipiza wale wanaonichukia.

4232:42 2Sam 2:26; Yer 12:12; 44:1; 46:10-14Nitailevya mishale yangu kwa damu,

wakati upanga wangu ukitafuna nyama:

damu ya waliochinjwa pamoja na mateka,

vichwa vya viongozi wa adui.”

4332:43 Za 137:6; Isa 25:9; 65:18; 66:10; Rum 15:10; 2Fal 9:7; Ufu 6:10; Isa 1:24; Yer 9:9; Za 65:3; 79:9Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,

kwa kuwa atailipiza damu ya watumishi wake,

atalipiza kisasi juu ya adui zake

na kufanya upatanisho

kwa ajili ya nchi na watu wake.

4432:44 Hes 13:8, 16Mose na Yoshua32:44 Yoshua, yaani Yehoshea kwa Kiebrania, maana yake ni Yehova ni Mwokozi. mwana wa Nuni wakaja, wakanena maneno yote ya wimbo watu wakiwa wanasikia. 45Mose alipomaliza kuyasoma maneno haya yote kwa Israeli wote, 4632:46 Kum 6:6; Yn 1:17; 7:19; Kum 6:7akawaambia, “Yawekeni moyoni maneno yote ambayo nimewatangazia kwa makini siku hii ya leo, ili kwamba mpate kuwaagiza watoto wenu wayatii kwa bidii maneno yote ya sheria hii. 4732:47 Kum 30:20; 33:25; Kut 23:26; Isa 65:22Siyo maneno matupu tu kwenu, bali ni uzima wenu. Kwa hayo mtaishi maisha marefu katika nchi mnayovuka Yordani kuimiliki.”

Mose Aelezwa Kuhusu Kifo Chake

4832:48 Hes 27:12Siku hiyo hiyo Bwana akamwambia Mose, 4932:49 Hes 27:12; 32:3; 22:1; Law 14:34“Kwea katika mapangano ya Mlima Abarimu hadi kilima cha Nebo kilichoko Moabu, ngʼambo ya Yeriko, na uitazame Kanaani, nchi ninayowapa Waisraeli kama milki yao wenyewe. 5032:50 Mwa 25:8; Hes 27:13; 20:22; 29Utafia kwenye mlima huo unaokwea na kukusanyika pamoja na watu wako, kama ndugu yako Aroni alivyofia juu ya Mlima Hori naye akakusanyika kwa watu wake. 5132:51 Eze 47:19; Hes 13:21; 20:11-13; 27:14Hii ni kwa sababu ninyi wawili mlivunja uaminifu nami mbele ya Waisraeli kwenye maji ya Meriba-Kadeshi katika Jangwa la Sini, na kwa sababu hamkuuinua utakatifu wangu miongoni mwa Waisraeli. 5232:52 Kum 34:1-3; 3:27Kwa hiyo, utaiona tu nchi kwa mbali; wewe hutaingia nchi ninayowapa watu wa Israeli.”

Korean Living Bible

신명기 32:1-52

1“하늘이여, 땅이여,

내 말을 들어라!

2내 교훈은 비처럼 내리고

이슬처럼 맺히며

연한 풀밭 위에 내리는 보슬비요

채소에 내리는 단비라네.

3내가 여호와의 이름을 선포하리니

너희는 우리 하나님의

위대하심을 찬양하라!

4그는 반석이시요

그의 일은 완전하며

그가 하는 모든 일이 공정하니

그는 진실하고 정직한 분이시다.

5“이스라엘이 부패하여 악을 행하니

이제 하나님의 자녀가 아니요,

고집스럽고 비뚤어진 민족이구나.

6어리석고 미련한 백성들아,

이것이 여호와께

보답하는 길이냐?

그는 너희 아버지요

창조주가 아니시냐?

그가 너희를

강한 민족으로 세우셨다.

7“지난날을 회상해 보아라!

과거의 모든 역사를

생각해 보아라!

너희 32:7 원문에는 ‘아비’부모들과

나이 많은 어른들에게

물어 보아라!

그들이 너희에게

설명해 줄 것이다.

8하나님이 모든 민족들에게

땅을 나누어 주실 때,

모든 인종을 구분하실 때에,

각 민족들의 경계를 정하셨다.

9여호와께서

이스라엘을 택하셨으니

야곱의 후손이

그의 백성이 되었네.

10“여호와께서 사막 같은 땅에서,

짐승이 울부짖는 광야에서,

그들을 자기 눈동자처럼

보호하고 지켜 주셨으니

11독수리가 그 보금자리를 흔들어

새끼가 떨어지면

날개를 펴서

새끼를 받아 올리듯 하셨네.

12여호와께서 자기 백성을

혼자 인도하셨고

그들을 도와준 다른 신이 없었다.

13“여호와께서 기름진 고원을

그들에게 주셔서

그들이

밭의 농산물을 먹게 하시고

바위에서 꿀을 빨게 하시며

단단한 바위에서

기름을 얻게 하셨다.

14그가 우유와 고기를 주시고

살진 양과 염소와

좋은 밀을 먹게 하시며

맛있는 포도주를 마시게 하셨네.

1532:15 히 ‘여수룬’이스라엘이 살찌고

비대하며 윤택해지자

자기를 창조하신

하나님을 저버리고,

자기들의 반석 되신

구원자를 멸시하였다.

16그들이 이방 신을 섬기므로

여호와께서 질투하시고,

그들이 악을 행하므로

여호와께서 분노하셨다.

17그들이 하나님이 아닌

마귀에게 제사하였으니

그들이 알지 못한 신,

최근에 나타난 신,

그들의 조상들이

두려워하지 않은 신이었다.

18그들은 자기들을 낳은

반석 되신 하나님을 잊어버렸다.

19“여호와께서 이것을 보시고

그들을 미워하셨으니

그의 자녀들이

그를 노하게 하셨음이라.

20여호와께서 이런 말씀을 하셨다.

‘내가 그들을 외면하고

그들의 종말을 지켜 볼 것이니

그들은 악하고

신실하지 못한 백성임이라.

21그들이 신이 아닌 것으로

나를 질투하게 하고,

무가치한 우상으로

나를 분노하게 하였으니

32:21 또는 ‘나도 백성이 되지 아니한 자로’나도 내 백성이 아닌 사람들에게

애정을 주어

그들을 질투하게 하고

어리석은 민족으로

그들을 분노하게 하리라.

22내 분노가 불같이 일어나

32:22 또는 ‘음부’땅 속 깊은 곳까지 태우며

땅에 있는 모든 것을 삼키고

산들의 터를 소멸하리라.

23내가 그들에게

끝없는 재앙을 내리고

그들에게 내 화살을

마구 쏠 것이다.

24내가 그들에게 심한 기근과

무서운 전염병을 보내고

사나운 들짐승과 독사로

그들을 해하리라.

25밖에서는 칼날에 죽고

집 안에서는

겁에 질려 쓰러질 것이니

젊은 남녀와 젖먹이와

백발 노인이 다 멸망하리라.

26내가 그들을 완전히 없애 버려

아무도 그들을

기억하지 못하게 하려고 하였으나

27그들의 원수들이 오해하여

나 여호와가 이렇게 한 것이 아니라

자기들이 내 백성을 멸망시켰다고

자랑하며 우쭐댈까 두렵구나.’

28“이스라엘은

어리석고 지혜가 없는 민족이다.

29그들이 지혜가 있어서

패망할 것을 알고

자기들의 종말이

어떻게 될 것인지 알았더라면!

30그들의 반석 되시는 하나님이

그들을 버리지 않고

여호와께서 그들을

내주지 않는다면

어떻게 한 사람의 적이

천 명을 추격하고

두 사람의 적이

만 명을 도망치게 할 수 있겠는가?

31원수들의 신이

우리 하나님과 같지 않으니

그들도 이 사실을 인정하는구나.

32그들은 소돔과 고모라 사람들처럼

부패하여

32:32 또는 ‘그들의 포도는’그 행위가 쓰고 독한 열매를 맺는

포도나무 같으며,

33독사의 독으로 만든 독주와 같다.

34“ ‘이것이 내 창고에 쌓여

밀봉되어 있지 않은가?

35원수 갚는 것은 나의 일이다.

내가 갚아 주겠다.

환난 날이 가깝고

멸망의 때가 속히 오리라.’

36“여호와께서 자기 백성을

심판하실 것이며

자기 종들이 무력해지고

종이나 자유인이나

남은 자가 없을 때

그들을 불쌍히 여기실 것이다.

37“여호와께서

이런 말씀을 하시리라.

‘그들의 신들이 어디 있으며,

그들이 피난처로 생각하던

반석이 어디 있느냐?

38그들이 제사지낸 기름을 먹고

포도주를 마시던 신들아,

너희는 지금 어디 있느냐?

일어나서 그들을 도와라.

39나만 하나님인 것을

알지 못하느냐?

나 외에는 참된 신이 없다.

내가 죽이기도 하고 살리기도 하며

상하게도 하고 고치기도 하는데

내가 하는 일을

누가 막을 수 있겠는가?

40내가 하늘을 향해 손을 들고

분명히 말하지만

41내가 심판의 칼을 갈아

내 원수들과

나를 미워하는 자에게 복수하리라.

42내 화살이

그들의 피로 물들 것이며

내 칼이 그들을 죽일 것이니

피를 흘릴 자는

피살자와 포로들과 적장들이다.’

43“만민들아,

여호와의 백성과 함께 기뻐하라.

여호와께서

자기 종들의 원수들을 죽이시고

그들에게 보복하여

32:43 또는 ‘자기땅과백성을위하여속죄하시리로다’자기 땅과 백성을

깨끗하게 하시리라.”

44-45모세는 눈의 아들 여호수아와 함께 이 모든 노래를 낭송한 다음에

46백성들에게 이렇게 말하였다. “여러분은 오늘 내가 전한 이 모든 말씀을 마음에 잘 간직하고 여러분의 자녀들에게도 가르쳐 지키게 하십시오.

47이것은 헛된 말이 아니라 바로 여러분의 생명입니다. 여러분이 이 말씀을 지켜야 요단강을 건너가 살 그 땅에서 오래오래 살게 될 것입니다.”

모세의 죽음에 대한 예고

48바로 그 날 여호와께서 모세에게 말씀하셨다.

49“너는 여리고 맞은편 모압 땅에 있는 아바림 산맥의 느보산에 올라가서 내가 이스라엘 백성에게 줄 가나안 땅을 바라보아라.

50너의 형 아론이 호르산에서 죽었던 것처럼 너는 그 산에서 죽게 될 것이다.

51이것은 너희가 진 광야에 있는 가데스의 므리바 샘에서 범죄하여 이스라엘 백성에게 나의 거룩함을 나타내지 않았기 때문이다.

52너는 내가 이스라엘 백성에게 줄 그 땅을 멀리서 바라보기만 하고 들어가지는 못할 것이다.”